FUNGUO ZA USHINDI KATIKA MAOMBI || PASTOR GEORGE MUKABWA - JRC || 25/08/2022

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
    For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
    #jrcchurch #Tanzania #jrctz

Комментарии • 163

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад +34

    Piga makofi kwa Yesu kristo kama mnamuelewa huyu mtumishi wa MUNGU,,,,,mimi anafanyika baraka Sana ,, barikiwa mtumishi wa MUNGU

    • @sherryfuraha3076
      @sherryfuraha3076 9 месяцев назад +3

      Ywafundisha vizuri Sana waelewa

    • @EmiliaAggrey
      @EmiliaAggrey 9 месяцев назад +1

      Ninabarikiwaa sana

    • @aminakabuka8700
      @aminakabuka8700 8 месяцев назад

      Mhhh makofi ayatoshi na vigelegele, nampenda mnooooooo aaah yesu mnunu jama

    • @carolinederi5690
      @carolinederi5690 4 месяца назад

      Ni mwalimu huyu kama Christopher Mwakasege.. Mungu aendlee kuwatunza

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu 3 месяца назад +2

    haleluya!ukweli nimetiwa moyo nakuongezewa imani kwa neno hili,umefanyika kuwa daraja kwangu nifike ninakokwenda,ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu aliye hai,umeitwa vizuri na Bwana.🎉🎉❤❤

  • @BarackaSeleman
    @BarackaSeleman 9 месяцев назад +5

    Pasta mungu akubaliki sana katika mkoa huu wa mwanza wewe ni mwalimu mzuri kabisa mafundisho kama haya ni adimu sana Mungu akupe mafunuo zaidi ili utupe madini ya mbinguni Amen 🙏🙏🙏

  • @jackserere7431
    @jackserere7431 4 месяца назад +2

    Bwana asifiwe sana mtumishi wa mungu mafundisho yako yanijenga sana Mungu azidi kukupa hekima

  • @paulchristian2131
    @paulchristian2131 4 месяца назад +2

    🎉hakika mungu hutumia mtumishi wake kama huyu ilitupate kujifunza elimu ya kimungu

  • @stephenchege9937
    @stephenchege9937 Год назад +5

    God bless u you pastor u have real moved me to the next level

  • @sospeterisack7051
    @sospeterisack7051 3 месяца назад +1

    Kuna neno la huyu baba ctakuja kusahau liliniponya na kifo nililisikiliza hilo neno nikalifanyia kazi kesho yake lilituokoa na kifo sitakaa nisahau namna Mungu alivyo mtumia mtumishi wake mana tulikua tunakufa walimu naa watoto wote shule nzima , Utukufu nakurudishia Mungu hakika nimeuona mkono wako ,Mungu akuweke baba untundisha neno na linatubadilisha

  • @Agnes-rl8co
    @Agnes-rl8co 19 дней назад

    Hallelujah hallelujah mungu atukunzwe siku sote

  • @patricknjoroge6282
    @patricknjoroge6282 Год назад +2

    Umekua wa baraka sana mtumishi wa Mungu;Mungu aendelee kukujaza neema zake. Ubarikiwe sana.

  • @aminakabuka8700
    @aminakabuka8700 8 месяцев назад +1

    Nampenda sana uyu baba asantee yesu kwa ajili yakeeee oooh Lord am so grateful for your love ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @johnmosha9590
    @johnmosha9590 3 месяца назад

    Asante Mwl kwa darasa zuri.Mungu akubariki

  • @DianaPius-y4q
    @DianaPius-y4q 27 дней назад

    Mungu akibariki pastor.

  • @mildredsakali2243
    @mildredsakali2243 Год назад +1

    Amen 🙏 Mungu akubariki sana mtumishi kwanzia leo nimejifunza moyo wangu ndiyo madhibahu ya Bwana 🙌

  • @lillianngao1974
    @lillianngao1974 Год назад +1

    Barikiwa mtumish wa Mungu kwa mafundisho yako nabarikiwa xana nkiwa Kenya

  • @stellarutaguza5583
    @stellarutaguza5583 2 года назад +2

    Amen, Asante sana kwa mafundisho mazuri,hakika umeniponya. Barikiwa mtumishi wa Mungu.

    • @margrethemanuel7501
      @margrethemanuel7501 Год назад

      Hutu pastor anafundisha hadi bongo unayeyuka, unajiunda upya. Mwenyenz Mungu ainuliwe Kwa ajili yake

  • @HawerisaMudzo
    @HawerisaMudzo 10 месяцев назад

    Mchungaji mungu akubariki chapa injili Kuna thawabu bwana anakuandalia🙏🙏🙏

  • @upendomlakimlaki9397
    @upendomlakimlaki9397 6 месяцев назад +1

    Naamini ipo siku mungu ataniwezesha kufika kwenye hili kanisa.nimuone huyu mtumishi kwa macho mawili.

  • @WiniSanga
    @WiniSanga 4 месяца назад

    Tunamwerewa vizuri mtumichi mungu amtunze miaka mingi kwa huduma hii 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @PatrickCirhuza-dr1bq
    @PatrickCirhuza-dr1bq 6 месяцев назад

    Mze Niko nakufata sana.nasikiya raha kukusikiya ukofundi kimaisha yangu ya ki roho.uko mwalimu muzuri sana.Mungu ananipenda kukusikiliza n'a sikiya moto kwenye moyo wangu ninapo kufata sana.ubarikiye sana.unipe naomba zako.

  • @mussamzeewetu
    @mussamzeewetu 8 месяцев назад +1

    God bless you pastor you always speak facts

  • @cerecere5758
    @cerecere5758 10 месяцев назад +2

    Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah 🙏🙏

  • @EmilyKituyi
    @EmilyKituyi 4 месяца назад

    Pastor umenibariki Sana Na mahubiri yako,Mungu akubariki sana

  • @elizabertnyamubi6477
    @elizabertnyamubi6477 9 месяцев назад

    Nakuelewa sana pastor,Bwana akijaze zaidi ili tupate siri hizi kupitia watumishi wake aliowapaka Mafuta kufundisha,ubarikiwe!

  • @annkuria8127
    @annkuria8127 8 месяцев назад

    Leo nmepona,kufunguka macho ya ndani na kuhimizwa sana❤❤❤❤Mungu n mwaminifu sana

  • @trizashanelly
    @trizashanelly 9 месяцев назад

    Hallelujah glory to God nabarikiwa Kila siku mungu akuongeze miaka mingi zaidi🙏🙏🙏🙏

  • @Fatumabwana-p6m
    @Fatumabwana-p6m Год назад

    Ameen mtumishi unazidi fungua kichwa changu ktk kusamehe ilimaombi yangu yaweze kujibiwa asante mtumishi wa mungu

  • @cathymathew6088
    @cathymathew6088 Год назад +1

    Ameen! Glory to God! Neno hili limeniponya Moyo wangu mtumishi. Ubarikiwe sana

  • @wilsonmkumbo3032
    @wilsonmkumbo3032 Год назад

    Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU kwa fundisho zuri lenye uponyaji MUNGU aendelee kukutumia kuliponya kanisa lake

  • @ruthmuchina3963
    @ruthmuchina3963 5 месяцев назад

    Neema ya mungu izidi kuwa kuu katika maisha yako mtumishi

  • @NicholasMkare
    @NicholasMkare 5 месяцев назад

    Bwana Yesu asifiwe pastor mafundisho haya yananipa hatuwa kiroho

  • @robertleja2567
    @robertleja2567 Год назад

    Amen mungu azidi kukupaka mafuta mtumishi na baraka za mungu ziwe pamoja nawe juu ya utumishi wako

  • @angumbwike6445
    @angumbwike6445 Месяц назад

    Moyo wangu umefurahi sana

  • @Judith-mw4ys
    @Judith-mw4ys 11 месяцев назад

    Hili neno ni langu, pastor God bless you so much 🙏🙏

  • @christinaemanuelyusta4228
    @christinaemanuelyusta4228 6 месяцев назад

    Nabarikiwa snaa na mafundisho yako naenjoy mno mungu akubariki sna mtumishi

  • @happymbise3399
    @happymbise3399 3 месяца назад

    Mungu akubariki baba yangu hakika nainuliwa🙏🙏🙏

  • @AlexMwaringa-c4u
    @AlexMwaringa-c4u 10 месяцев назад

    Hallelujah!! Mungu akubariki saaan mtumishi wa Mungu🎉🎉

  • @AyshramazanRamazan
    @AyshramazanRamazan 6 месяцев назад

    Asante baba hli neno ni langu kbsa nashukuru kwa uponyaji

  • @adelambaye1298
    @adelambaye1298 Год назад +1

    Amen mtumishi umenifunua akili Asante Sana barikiwa Sana 🙏🙏

  • @josephwawuda3204
    @josephwawuda3204 Год назад

    Ameen mtumishi asante sana umeniponya sana ubarikiwe na sikiza kutoka Jordan 🇯🇴

  • @richardgeorge5377
    @richardgeorge5377 3 месяца назад

    Kwakweli Mungu wape. Ufunuo zaidi watumishi kama hawa

  • @IreeneMuthoni-g2p
    @IreeneMuthoni-g2p 10 месяцев назад

    Be blessed pastor nimejua jinsi ya kuomba kupitia mahubiri yako

  • @OresterKaguo
    @OresterKaguo 10 месяцев назад

    Ahsantee kwa injili inayotupa ujasiri Ubarikiwe sanaaa:

  • @judithmbura9062
    @judithmbura9062 6 месяцев назад

    🙏 NAMSHUKURU MUNGU KWA VILE NIMEPATANA HII MAFUNDUSHO YAKO,,,KWA HUU MTANDAOO,,,UMEKUWA WA MSAADA TENA SANA.EEE MUNGU AKUNEHEMESHE MWALIMU,

  • @victoriajohn3161
    @victoriajohn3161 Год назад

    Amina MUNGU nifungue nipone ktk jina la YESU

  • @SamuelJira-hp2or
    @SamuelJira-hp2or 10 месяцев назад

    Paster unanijenga rohoni sana aah ubarikiwe sana baba

  • @getrudamwakasege2000
    @getrudamwakasege2000 9 месяцев назад

    Ninakuekewa mtumishi Mungu akubariki sana.

  • @winniejuma4661
    @winniejuma4661 9 месяцев назад

    Amina natamani kutoa machozi nikimsikiliza mtumishi namna navyo tufundisha

  • @rosekenya9401
    @rosekenya9401 Год назад

    Amen,yo have come my my teacher have learned many things from you through God

  • @sarahjoseph-ft2rq
    @sarahjoseph-ft2rq 4 месяца назад

    mtumish wa mungu mungu akubarki napenda sana mafundisho yako

  • @PatienceNgolotwa-cv5jo
    @PatienceNgolotwa-cv5jo Год назад

    Kwakweli nimeguswa sana na mafundisho yako Pastor George u are the Oracle of God Mungu azidi kukupa mafunuo tuzidi kukua kiroho ...Watching from zambia

  • @AaaBbb-fw3sw
    @AaaBbb-fw3sw Год назад

    Very powerful message pastor barikiwa sana kwa kunijenga na neno lako

  • @magrethchristopher3285
    @magrethchristopher3285 2 года назад

    Amen Mungu mzuri nmepokea shuhuda wakati nikiendelea kupokea na kusikiliza neno 🙏

  • @jordanchisawilo6177
    @jordanchisawilo6177 Год назад

    ❤❤❤❤Aleluya sipiti siku bila kula chakula Cha bwana Toka kwa mchungaji joji

  • @StephenMansuet
    @StephenMansuet 4 месяца назад

    Mungu amtunze sana huyu mtumishi ni nadra kuwapata watumishi kama kama hawa

  • @penninahmarthias9301
    @penninahmarthias9301 Год назад

    Amina i have learned something be blessed more pastor

  • @sarahjoseph-ft2rq
    @sarahjoseph-ft2rq 4 месяца назад

    asante mungu nmepokea ushindi mkubwa kupitia neno lake la uzima

  • @NeemaWanjiku-vd8sb
    @NeemaWanjiku-vd8sb 7 месяцев назад

    Namshukuru mungu kwa ajili ya huyu . Mtumishi . Wake Kani fungua macho

  • @marianguli7994
    @marianguli7994 Год назад

    Amen hakika kila atakayesikia na kuyatendea kazi mafundisho haya, kwa hakika atakuwa na ushuhuda, maisha yangu yamebadilika kwa kiwango kikubwa sana, Mungu akubariki mtumishi wa Mungu, 🙌

  • @officialjemimahowiti
    @officialjemimahowiti Год назад

    Man of God am sharpened any time I letsen to you

    • @Ndamaje
      @Ndamaje 11 месяцев назад

  • @JustineMariam
    @JustineMariam 3 месяца назад

    Mungu nipe moyo wakuwatosha watu niliyo fungi ya moyoni mwangu

  • @margrethemanuel7501
    @margrethemanuel7501 Год назад

    God! This manis qualified in your word...bless you God for him

  • @liliankeyabaraka8195
    @liliankeyabaraka8195 Год назад

    Ameeeen Asante sana mutumishi wa MUNGU 🙏🙏🙏

  • @edwinonsombi
    @edwinonsombi Год назад

    Ameni na Asante kwa neno safi la Mungu baba.

  • @SinalPatel
    @SinalPatel 2 месяца назад

    Baba barikiwa sana

  • @PeninahSangura
    @PeninahSangura 2 месяца назад

    Mungu nisamee kwa makosa yesterday nimefanya

  • @annahayasanday7174
    @annahayasanday7174 Год назад

    Nabarikiwa sana .Nimejifunza jambo kubwa sana.Zidi kubarikiwa pastor

  • @RajabCayvan
    @RajabCayvan 5 месяцев назад

    Asante pasta kwamafundisho

  • @ayubusadiki9902
    @ayubusadiki9902 4 месяца назад

    Mimi namuelewa sana huyu mtumishi wa Bwana,

  • @HappyRodrnn
    @HappyRodrnn 9 месяцев назад

    Ameni God bless you pastor 🙏🙏🙏

  • @CatherineHanje
    @CatherineHanje Год назад

    Amen Asante mtumishi baraka

  • @buragabiribuza9426
    @buragabiribuza9426 4 месяца назад

    Ubarikiwe mtu wangu kweli uko naneno ya Mungu

    • @VailethJimmy-v7u
      @VailethJimmy-v7u 17 дней назад

      Amina mtumishi, MUNGU akubariki sana, anatufunulia vingi vilivyofunikwa binafsi vingi sikuwa navijua hasa madhabahu. Karibu uje na huku Dar es salaam ulishe kondoo wa MUNGU, malisho ukiongezea na wewe Pastor George kondoo nyingi utazifikisha Mbinguni. MUNG akutunze.

  • @dorkasjohn688
    @dorkasjohn688 Год назад +2

    Be blessed

  • @ElizabethNyalimbe
    @ElizabethNyalimbe 7 месяцев назад

    Real moved my faith to next level

  • @glorylema8136
    @glorylema8136 2 года назад

    UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU SOMO NI NZURI SANA HILI

  • @LydiaNdosi-on7xz
    @LydiaNdosi-on7xz 10 месяцев назад

    Amen mtumishi kweli unanibariki

  • @HAWAMSIGALA-z1n
    @HAWAMSIGALA-z1n 4 месяца назад

    Amen Ubarikiwe baba

  • @JuhudiJotham
    @JuhudiJotham 4 месяца назад

    Hakika somo zuri mno,

  • @ElizabethMuthui-k5g
    @ElizabethMuthui-k5g 2 месяца назад

    Utukufu nikwako ee mungu,,,asante sana mtumishi wa mungu,,unanitiaga nguvu sana Katka hii safari ya ki Imani 👏🙏🙏🙏

  • @msafirishio3012
    @msafirishio3012 Год назад

    Amina mtumishi barikiwa sana

  • @Fina-86
    @Fina-86 3 месяца назад

    Nampenda sana huyu pastor lazima uelewe hata kama ulikuwa na akili nzito sijui kwanini hakuja dar

  • @MAGDALENAURIO-jq3ip
    @MAGDALENAURIO-jq3ip 6 месяцев назад

    Asante kwa mafundisho

  • @israelandrew8851
    @israelandrew8851 Год назад

    Ubarikiwe Sana Pastor

  • @angelrugemalila3359
    @angelrugemalila3359 10 месяцев назад

    Ameen Ameen 🙏🙏 god bless U forever

  • @sherryfuraha3076
    @sherryfuraha3076 9 месяцев назад

    Amen praise the lord 🙏🙏🙏

  • @edwardmbwile9537
    @edwardmbwile9537 Год назад

    Nina barikiwa sana today Kyela

  • @lovenessmwamengo7090
    @lovenessmwamengo7090 2 года назад

    Nimepona ktk jina la yesu

  • @ericaedenthomas8710
    @ericaedenthomas8710 4 месяца назад

    Vinavyoaribu madhabahu/ maombi- bio for
    1.Makwazo/ lawama
    2. Uchungu moyoni (kaka wa Makwazo)
    3. Wasiwasi ( tafuta amani kwanza)
    4.Mashaka - Doubt
    B. UNganisha maombi na neno la Mungu

  • @RodahMuasa
    @RodahMuasa 5 месяцев назад

    Amen man of God

  • @LucieKayumba
    @LucieKayumba 4 месяца назад

    Jina laYESU litukuzweeee

  • @ThereziaDanielKajuna
    @ThereziaDanielKajuna 10 месяцев назад

    Barikiwa umenibariki nimetoka kwa vifu ngo Niko huru ameni

  • @MbelechiJean
    @MbelechiJean 8 месяцев назад

    Amen asifiwe mungu

  • @emmanuelmowo3329
    @emmanuelmowo3329 9 месяцев назад

    Nabarikiwa sana

  • @wilsonkahuthu6604
    @wilsonkahuthu6604 3 месяца назад

    Amen n Amen 💘🙏 N AMEN 💟🙏.

  • @lusajomwanyingi5812
    @lusajomwanyingi5812 2 года назад

    Ameni man of God.

  • @maryann6241
    @maryann6241 2 года назад +1

    51 year waiting God 🙏

  • @WiniSanga
    @WiniSanga 5 месяцев назад

    Aminaaa 🙏🙏🙏

  • @RajabCayvan
    @RajabCayvan 5 месяцев назад

    Amina sana

  • @linnetatama8164
    @linnetatama8164 10 месяцев назад

    Asante sanaaa

  • @SusanSimiyu-c9e
    @SusanSimiyu-c9e 2 месяца назад

    Amen 🙏🙏🙏

  • @CareenJohn-mw9vy
    @CareenJohn-mw9vy 4 месяца назад

    Mafunuo ya ajabu sana