FUNGUO ZA USHINDI KATIKA MAOMBI || PASTOR GEORGE MUKABWA - JRC || 25/08/2022
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
#jrcchurch #Tanzania #jrctz
Piga makofi kwa Yesu kristo kama mnamuelewa huyu mtumishi wa MUNGU,,,,,mimi anafanyika baraka Sana ,, barikiwa mtumishi wa MUNGU
Ywafundisha vizuri Sana waelewa
Ninabarikiwaa sana
Mhhh makofi ayatoshi na vigelegele, nampenda mnooooooo aaah yesu mnunu jama
Ni mwalimu huyu kama Christopher Mwakasege.. Mungu aendlee kuwatunza
haleluya!ukweli nimetiwa moyo nakuongezewa imani kwa neno hili,umefanyika kuwa daraja kwangu nifike ninakokwenda,ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu aliye hai,umeitwa vizuri na Bwana.🎉🎉❤❤
Pasta mungu akubaliki sana katika mkoa huu wa mwanza wewe ni mwalimu mzuri kabisa mafundisho kama haya ni adimu sana Mungu akupe mafunuo zaidi ili utupe madini ya mbinguni Amen 🙏🙏🙏
Bwana asifiwe sana mtumishi wa mungu mafundisho yako yanijenga sana Mungu azidi kukupa hekima
🎉hakika mungu hutumia mtumishi wake kama huyu ilitupate kujifunza elimu ya kimungu
God bless u you pastor u have real moved me to the next level
❤🎉
Kuna neno la huyu baba ctakuja kusahau liliniponya na kifo nililisikiliza hilo neno nikalifanyia kazi kesho yake lilituokoa na kifo sitakaa nisahau namna Mungu alivyo mtumia mtumishi wake mana tulikua tunakufa walimu naa watoto wote shule nzima , Utukufu nakurudishia Mungu hakika nimeuona mkono wako ,Mungu akuweke baba untundisha neno na linatubadilisha
Hallelujah hallelujah mungu atukunzwe siku sote
Umekua wa baraka sana mtumishi wa Mungu;Mungu aendelee kukujaza neema zake. Ubarikiwe sana.
Nampenda sana uyu baba asantee yesu kwa ajili yakeeee oooh Lord am so grateful for your love ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Asante Mwl kwa darasa zuri.Mungu akubariki
Mungu akibariki pastor.
Amen 🙏 Mungu akubariki sana mtumishi kwanzia leo nimejifunza moyo wangu ndiyo madhibahu ya Bwana 🙌
Barikiwa mtumish wa Mungu kwa mafundisho yako nabarikiwa xana nkiwa Kenya
Amen, Asante sana kwa mafundisho mazuri,hakika umeniponya. Barikiwa mtumishi wa Mungu.
Hutu pastor anafundisha hadi bongo unayeyuka, unajiunda upya. Mwenyenz Mungu ainuliwe Kwa ajili yake
Mchungaji mungu akubariki chapa injili Kuna thawabu bwana anakuandalia🙏🙏🙏
Naamini ipo siku mungu ataniwezesha kufika kwenye hili kanisa.nimuone huyu mtumishi kwa macho mawili.
Tunamwerewa vizuri mtumichi mungu amtunze miaka mingi kwa huduma hii 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mze Niko nakufata sana.nasikiya raha kukusikiya ukofundi kimaisha yangu ya ki roho.uko mwalimu muzuri sana.Mungu ananipenda kukusikiliza n'a sikiya moto kwenye moyo wangu ninapo kufata sana.ubarikiye sana.unipe naomba zako.
God bless you pastor you always speak facts
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah 🙏🙏
Pastor umenibariki Sana Na mahubiri yako,Mungu akubariki sana
Nakuelewa sana pastor,Bwana akijaze zaidi ili tupate siri hizi kupitia watumishi wake aliowapaka Mafuta kufundisha,ubarikiwe!
Leo nmepona,kufunguka macho ya ndani na kuhimizwa sana❤❤❤❤Mungu n mwaminifu sana
Hallelujah glory to God nabarikiwa Kila siku mungu akuongeze miaka mingi zaidi🙏🙏🙏🙏
Ameen mtumishi unazidi fungua kichwa changu ktk kusamehe ilimaombi yangu yaweze kujibiwa asante mtumishi wa mungu
Ameen! Glory to God! Neno hili limeniponya Moyo wangu mtumishi. Ubarikiwe sana
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU kwa fundisho zuri lenye uponyaji MUNGU aendelee kukutumia kuliponya kanisa lake
Neema ya mungu izidi kuwa kuu katika maisha yako mtumishi
Bwana Yesu asifiwe pastor mafundisho haya yananipa hatuwa kiroho
Amen mungu azidi kukupaka mafuta mtumishi na baraka za mungu ziwe pamoja nawe juu ya utumishi wako
Moyo wangu umefurahi sana
Hili neno ni langu, pastor God bless you so much 🙏🙏
Nabarikiwa snaa na mafundisho yako naenjoy mno mungu akubariki sna mtumishi
Mungu akubariki baba yangu hakika nainuliwa🙏🙏🙏
Hallelujah!! Mungu akubariki saaan mtumishi wa Mungu🎉🎉
Asante baba hli neno ni langu kbsa nashukuru kwa uponyaji
Amen mtumishi umenifunua akili Asante Sana barikiwa Sana 🙏🙏
Ameen mtumishi asante sana umeniponya sana ubarikiwe na sikiza kutoka Jordan 🇯🇴
Kwakweli Mungu wape. Ufunuo zaidi watumishi kama hawa
Be blessed pastor nimejua jinsi ya kuomba kupitia mahubiri yako
Ahsantee kwa injili inayotupa ujasiri Ubarikiwe sanaaa:
🙏 NAMSHUKURU MUNGU KWA VILE NIMEPATANA HII MAFUNDUSHO YAKO,,,KWA HUU MTANDAOO,,,UMEKUWA WA MSAADA TENA SANA.EEE MUNGU AKUNEHEMESHE MWALIMU,
Amina MUNGU nifungue nipone ktk jina la YESU
Paster unanijenga rohoni sana aah ubarikiwe sana baba
Ninakuekewa mtumishi Mungu akubariki sana.
Amina natamani kutoa machozi nikimsikiliza mtumishi namna navyo tufundisha
Amen,yo have come my my teacher have learned many things from you through God
mtumish wa mungu mungu akubarki napenda sana mafundisho yako
Kwakweli nimeguswa sana na mafundisho yako Pastor George u are the Oracle of God Mungu azidi kukupa mafunuo tuzidi kukua kiroho ...Watching from zambia
Very powerful message pastor barikiwa sana kwa kunijenga na neno lako
Amen Mungu mzuri nmepokea shuhuda wakati nikiendelea kupokea na kusikiliza neno 🙏
❤❤❤❤Aleluya sipiti siku bila kula chakula Cha bwana Toka kwa mchungaji joji
Mungu amtunze sana huyu mtumishi ni nadra kuwapata watumishi kama kama hawa
Amina i have learned something be blessed more pastor
asante mungu nmepokea ushindi mkubwa kupitia neno lake la uzima
Namshukuru mungu kwa ajili ya huyu . Mtumishi . Wake Kani fungua macho
Amen hakika kila atakayesikia na kuyatendea kazi mafundisho haya, kwa hakika atakuwa na ushuhuda, maisha yangu yamebadilika kwa kiwango kikubwa sana, Mungu akubariki mtumishi wa Mungu, 🙌
😊😊
Man of God am sharpened any time I letsen to you
❤
Mungu nipe moyo wakuwatosha watu niliyo fungi ya moyoni mwangu
God! This manis qualified in your word...bless you God for him
Ameeeen Asante sana mutumishi wa MUNGU 🙏🙏🙏
Ameni na Asante kwa neno safi la Mungu baba.
Baba barikiwa sana
Mungu nisamee kwa makosa yesterday nimefanya
Nabarikiwa sana .Nimejifunza jambo kubwa sana.Zidi kubarikiwa pastor
Asante pasta kwamafundisho
Mimi namuelewa sana huyu mtumishi wa Bwana,
Ameni God bless you pastor 🙏🙏🙏
Amen Asante mtumishi baraka
Ubarikiwe mtu wangu kweli uko naneno ya Mungu
Amina mtumishi, MUNGU akubariki sana, anatufunulia vingi vilivyofunikwa binafsi vingi sikuwa navijua hasa madhabahu. Karibu uje na huku Dar es salaam ulishe kondoo wa MUNGU, malisho ukiongezea na wewe Pastor George kondoo nyingi utazifikisha Mbinguni. MUNG akutunze.
Be blessed
Real moved my faith to next level
UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU SOMO NI NZURI SANA HILI
Amen mtumishi kweli unanibariki
Amen Ubarikiwe baba
Hakika somo zuri mno,
Utukufu nikwako ee mungu,,,asante sana mtumishi wa mungu,,unanitiaga nguvu sana Katka hii safari ya ki Imani 👏🙏🙏🙏
Amina mtumishi barikiwa sana
Nampenda sana huyu pastor lazima uelewe hata kama ulikuwa na akili nzito sijui kwanini hakuja dar
Asante kwa mafundisho
Ubarikiwe Sana Pastor
Ameen Ameen 🙏🙏 god bless U forever
Amen praise the lord 🙏🙏🙏
Nina barikiwa sana today Kyela
Nimepona ktk jina la yesu
Vinavyoaribu madhabahu/ maombi- bio for
1.Makwazo/ lawama
2. Uchungu moyoni (kaka wa Makwazo)
3. Wasiwasi ( tafuta amani kwanza)
4.Mashaka - Doubt
B. UNganisha maombi na neno la Mungu
Amen man of God
Jina laYESU litukuzweeee
Barikiwa umenibariki nimetoka kwa vifu ngo Niko huru ameni
Amen asifiwe mungu
Nabarikiwa sana
Amen n Amen 💘🙏 N AMEN 💟🙏.
Ameni man of God.
51 year waiting God 🙏
Aminaaa 🙏🙏🙏
Amina sana
Asante sanaaa
Amen 🙏🙏🙏
Mafunuo ya ajabu sana