PATANISHO : MIMI NI AFANDE NA SITAKI BABANGU MZAZI AUZE SHAMBA
HTML-код
- Опубликовано: 9 окт 2024
- Join this channel to get access to perks:
/ @radiojambokenyaofficial
Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #gidinaghostasubuhi #patanisho
Subscribe to RadioJambo RUclips - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
My big brother stopped my dad from selling land we call home today. Greatly appreciate both dad and big bro
Afande ako sawa kabisa i wish bwana yangu angekua hivi
Kijana Ako right Mr Gidi juu Kuna jirani yangu aliuza shamba n alianza kuuza point mojamoja Hadi 5acres ikaisha sai watoto wake wanateseka
polygamy its a selfish mans move...ile vita na chuki hukua huko...saitan husonga
Afande ako sawa kabisa...huyu mzee ako na influence from 2nd wife which i don't think huyo bibi mdogo ako na nia nzuri.
Here i support Gidi...very wise, mali ni ya mzee...
Soma sheria... You are primitive.. hawakujizaa wenyewe
Mali ni ya mzee kweli lakini kama hajamaliza kulea he shouldn’t selll it. They will appreciate it later.
Wazazi wa kuuza shamba wanaachia watoto shida ,hakuna mtoto alisema azaliwe so wapewe haki yao,tena sai life iko tough sana
Baba aende polisi achukue abstract ya lost document. Then aende kwa lands na hiyo abstract and apply for a duplicate. Hii yenye afande alimnyanganya itadunishwa, title itatoka duplicate with different serial number. Sawa?
My morning duo😅
Jayden Ako right.courageou man
Afande is right
Afande is a good Leader
Afande Jayden kaa na hiyo title deed mzee ako na mchezo
If it is inheritance land he should not sell even if it is in his name!!!You sell what you have bought with your money.
Jayden is right.Babu ya Jayden angeuza hio Shamba hata huyu baba hangeipata.So ni haki yao watoto kwa hiyo shamba and i like such courageous boys in the family.God protect this young man he's a good family leader 🎉🎉👏👏👏👏🙏
He's not right. Shamba ni ya mzee. Watoto wajitafutie mali yao.
@@mpendamuziki shamba ni la jamii kama alirithi ingekua alinunua ningeitikia.
Shamba ni ya Mzee auzee tu afade nunua shamba yako😂😂😂
Afande Jayden hako sawa ❤❤❤❤
Good boy Jayden watoto 20 akiuza shamba mwenye atanunua hapo pia atapata shida,hiyo shamba inatosha hao 20 kids,saizi vile shamba imependa hadi mimi sina hata 1 point,good job afande.Alafu huko ushago kuna hawa Wazee wa mitaa ndio kuwa wanaconvince hao wazee wauze shamba.Babangu pia alikua mlevi sasa akienda kukunywa wanamdanya then after sometime anakuja kuwakatia shamba na my brothers wanaangalia tu.
gidii mbna unashanga aty watoto 7 n wengi
Shamba ni yakeeeeee,courageous man, nipitieni guys pale kwangu youtube channel tafadhali tukiwait apate shamba yake
Shamba ni ya watoto coz mzee amezeeka..
Afande ako sawa sasa hawa watoto wote wata jenga wapi na ujue nahao wata zaana hata kama mtu amesoma hii maisha ya ruto nimagumu kazi zenyewe aziko tuma mamama twingine ni twa kuharibu maboma badala ya kwambia mzae hii famili nikubwa usi uzee shamba uza ng'ombe
Afande ako sawa huyo mzee kama wanampa kitu kidogo atulie aache izo
Hakuna polymers uwa na amani ata waolewe kutoka kwa family moja ,bt watazozana tu
Tengeneza hiyo simu yenu ndiyo muaje kuuliza wapatanizwa watoe loudspeaker
Jayden usiede kumuongelesha peke yako tuma wazee wakijiji..
Hawa wazee wana maneno sana utaenda peke yako aseme umemtusi..
Kama baba anataka kuuza shamba si uinunue na uko na pesa ikuwe yako.. juu utajiletea maneno.
Usiwahi nunua shamba lenu, the other brothers watakusumbua tu heri anunue mbali na kwao
Afande ako right,watoto wataenda wapi.
Shamba ni ya famili sio ya baba ju ata huyo baba alipewa iyo shamba kama babu afande angeuza huyo mzee angeuza nini??
I think afade Jayden amefanya the correct thing juu wazazi wanuza mashamba zao na kuachia watoto mashida na vile hiyo familia ni kubwa so cidhani kama amekosea kama first WA familia Ako sawa na ana jaribu kusaidia Hadi walio mfuata NYUMA
Gidi kweli akili ndio hauna aki...mzee anaweza aje kuuza shamba na ako na watoto..shame on you
Huku kericho radio jambo ilipotea
Poleni itafuteni mtaipata, ama muulise zakayo aliipeleka wapi, shenzi🤣
😅😅😅😅😅 aki wwe mungu anakuona@@Nicholas-yr2sq
Mali ya babako ni yake sio yako. Wacha ushenzi. Go work and build your own wealth. Hii upuzi ya kufuata mzazi with such entitlement must end!
Gidi ukweli wa mambo nikama akili yako haiko timamu,mzee atauzaje shamba na ako na watoto?Wacha kuiga tabia za kizungu Gidi,Ghost amekushinda akili mara 100%
NOOOOO!!!!!! BABANGU TULIMURUHUSU NA MALI YAKE, AFANYE KILE ANATAKAAAAA!!!! HE HAS RIGHT!!!!! WATOTO WATAFUTE MALI ZAO NAOOOOOOOO!!!!!!!
Gidi jaribu kuuza land yako ujue si yako!! Utaitwa na bibi na watoto kwa lands board waseme reason ya kuuza shamba
Shamba ni yake
Nipitie
Afande Ako na rights za kupinga vijana saba alafu auze eti shamba ni yake 2nd wife vijana wanne
Shamba inherited sio ya huyo baba kama albuy then ni case tofauti. Kijana kaa ngumu..usikubali shamba iuuzwe ..tulikua na similar case kwetu saa hii tungekua homeless.
Afande pigania shamba bro