Uve said tht white pple dont look old coz they do a lot of exercise, it's not true black skin pple look more younger than other skin types coz we've got more melanin
He is saying the truth. White people always look young and healthy because they exercise often and watch what they consume. Melanin is gold but black people mostly dont
@@freddieelice6377 hahahaha 🤣🤣🤣🤣I wish unge jua vyenye amenisinya nakupindisha majibu yake Tena anavyo ongea nakumeza matamushi megine ndo kabisa alifanya nikose kumaliza hii exclusive yake yani kiufupi hajaitendea haki hata kidongo hii exclusive ila ndo hivyo
Kweli kabisa, najivunia kuwa African. Sisi wa Africa tuwache kuona eti wazungu ndio watu sahihi, eti kilakitu kizuri ni mzungu. Kwa kweli mzungu ni mtu hivyo kabisa. And I say again, I am proud to be African.
Tembea uone. Mzungu akifika. Miaka 12 kashaanza mchezo akifika 20 uzee ma meke up usiseme bila ya kujipamba No huezi amini uzee akifika 40 ndio mama usiseme wee Huna ujualo bro wafrica shida tu ila hawazeeki haraka
Kuna mtu anaweza uluzwa swali akalijibu kiustaarabu n'a mtu akamuelewa ila huyu mm Ni meshindwa kumuelwa anavyo jibu kwanza anaogea haraka haraka hadi maneno megine haya sikiki ila kma ndivyo ulivyo it's okay
Yani unapinda pinda majibu yko Hii ni Kati ya interview mbovu yenye hadi imenikatisha taama ya Kuma lizia hayo Ni maoni yangu musinifokee Thafadhili 🤣🤣😜
Asante calisah kwanzia leo watanikomaaa ntavimbaaa no gd9t no gdmorn sasa kaz ipo kwenda gym😀😀😀😀😀😀
😂😂😂Tupo wote mwanang
He does research 👌🏾 and he brilliant open guy
Wow 🤩 600k 💙💙🤩 nawapenda sna Sns 💙🤩
Huyu jamaa ni professional mario
Hahaha mamae professional marioo in world anatupa na mbinu kabisaa
🤣🤣🤣
Nakuelewa sana blood
Huyu jamaa ni mnyama kweli nakubali anaongea point sana
Uve said tht white pple dont look old coz they do a lot of exercise, it's not true black skin pple look more younger than other skin types coz we've got more melanin
facts
He is saying the truth. White people always look young and healthy because they exercise often and watch what they consume. Melanin is gold but black people mostly dont
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
SNS Subscribers 600 congrats 🔥🔥🔥
Hii interview itabidi niiwekee muda wa kuitizama kwa mankini 🤩
Calisah ❤️❤️
Anaonekana mjanja mjanja u may see him as a play Boy somehow but kuna vi fact fulani ivi anavisema na ni point especially kwenye relationship
Sasa wewe kama una sura ngumu msikilize calisah utaumiaaaa 😁😁😁
Nnachomkubali huyu jamaa anaishi yeye yan hana muda wa kuwafurahisha walimwengu na ndomaana anachukiwa
Kumekucha uku 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
uyu mutangazaji yuko smart kwa kuriza maswari sns nawakubari sana
adui 🔥
Ooo my God
We ni mshamba sana
Mzee baba Leo umeongea umetupa funzo🙏🙏
Dah! Huyo dada ni Desperate kupita maelezo anadhani Tako lakichina litampa Dill? Wanaume hawatazami matako, ila huruma uzee unawajia jitambueni
Kaongea point. Mwanamke ukimpa mbegu anakupa mtt
Sio akili pekeyake bahati mwzi mungu pia
Calisah hapo kwenye kujichubua ndio umebugi bro...
Jamani Calish si chawawa ☺☺☺
We caLisah acha kudanganya wenzio wanawake tumejanjaruka nikupe pesa pengine ukanironge
Huyo mchizi kweli kawa mdudu dah 😁😁😁
👌🏿
Mmmh jmn wanawake wengine wakoje lakin
Yaani Vera sidika na urembo wote huo unaokota vitu vya ajabu ajabu visivyo na msingi halafu vinakuaibisha mitandaoni
sikuzote unambiwa uzur wa mwamake so sura wal mavazi bali uzuri wa mwanamke upo ndan yk
Jamaa sinoendagi ila leo ameongea vitu kuhus wanawake namie kama mwanaume nimemuelewa sana kabsa🔥🔥🔥
Mbona mrembo tu huyu Calisa wala haingiii kwenye list ya wanaume
🤣🤣🤣🤣
Peleka posa kwa wazazi wake
@@magynzioka1122 😂😂
Hyu Calisa nae ni tatizo km domo, yaani kila mwanamke Mrembo lazima achovye.
Jinga sana hili
Hatari n'a nusu lol yani wanawake tu najua kujishusha hesha Mungu tuhurumie
Metrine mbona kama umempenda jamaa, maana wewe ndio ume comment mala nyingi zaidi humu
@@freddieelice6377 hahahaha 🤣🤣🤣🤣I wish unge jua vyenye amenisinya nakupindisha majibu yake Tena anavyo ongea nakumeza matamushi megine ndo kabisa alifanya nikose kumaliza hii exclusive yake yani kiufupi hajaitendea haki hata kidongo hii exclusive ila ndo hivyo
@@freddieelice6377 Mwanangu umeniwahi mm mwenyewe nimeliona hilo, huyu dada kapagawa na mchizi so anahangaika kujibebisha kwenye comment
🚶🏻♂️🚶🚶
Eti alikua dadaangu🤣🤣🤣😅😅😅
Vera jamani
Nmejfunz vng xn kiptia huyu mwamb ✊🏿
Am muna from tz musimufokee jamani alikula ujana
Muna so you support his foolishness?
Huyu mwanaume bwege sana ieleweke tu hivyo hamna wanaume anaejielewa ataweza kuongea hiv
Wazungu unawaabudu sanaaa punguza
Huyu Vera nilivyo elewa me nataliwa sana basi
Ila #SKY Unazingua sana haaaahahahaa alikuwa anawakikisha #TAIFA
Well I have learn something from this guy I'm going to read alot
Hehe what is that
don't say i have learn, you've to say i've learned.
Sky sky sky sky... Intro ya "chill na sky" Ina saut Kali Sana kaka
Kweli kabisa
Huyu jamaa anasoma vitabu vipi hivyo, mbona anaoongea ujinga ujinga sana, ila anaburudisha kishkaji ,no wonder wanampa interviews nyingi 😂.
wivu tu 😂
Yaani wabongo bwana kila mtu siku hizi ktk interviews by the time unaisikia mara kadhaa cha kushangaza hata matumizi yake yanatumiwa isivyo sahihi
We wa wapi?
Vera sidika🤣🤣🤣🤣🤷♀️🤷♀️🤷♀️🤷♀️🤷♀️🤷♀️jamani kwani ukimwi uliisha mbona kufungua miguu hovyo hovyo..Women let's respect our bodies
🤣🤣🤣🤣Inaonekana kabisa ukimwi hakuna Sasa ni corona Dunia I naenda kasi 😂😂😂😂
Miguu yake ndio biashara yake, akifunga miguu utamnunulia mawig? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@Esty1248 🤣🤣🤣😂😂🤣ni kweli
Esty 1248 But this guy doesn’t have money.
Vera ananiudhi sasa
Hana mpango. Anaongea rubbish. Ni mtumwa wa wazungu. Haishi ki vyake anaishi chini ya kuiga ujinga wa wazungu. Ni muhuni tuu
mjinga sana ikisha ana dharao..yupp ovyo sana
Kweli kabisa, najivunia kuwa African. Sisi wa Africa tuwache kuona eti wazungu ndio watu sahihi, eti kilakitu kizuri ni mzungu. Kwa kweli mzungu ni mtu hivyo kabisa. And I say again, I am proud to be African.
Meisubiri hii kwa hamu saaana
Nimejifunz kitu nd man mupnz wang anavimb ar mm mwenyew muhun nt muonesha
😀😀😀 ye anavimba na ww unataka uanze kuvimba bas mnaenda kuachana.
@@kazkaz1943razim n mm nimuoneshe ubabe asinicukurie poa
Tembea uone. Mzungu akifika. Miaka 12 kashaanza mchezo akifika 20 uzee ma meke up usiseme bila ya kujipamba No huezi amini uzee akifika 40 ndio mama usiseme wee Huna ujualo bro wafrica shida tu ila hawazeeki haraka
Wanaanza miaka 9
Ndioo
Slay king. And a narcissist. GIGOLO!!!!!!!!!!!!!
Ili jamaa shoga
SUPER MARIO NA TECNICK ZAKE ZAKUDANGA 😂🙌🏼🤮🤮🤮🤮
Huu mtambo
Kuna mtu anaweza uluzwa swali akalijibu kiustaarabu n'a mtu akamuelewa ila huyu mm Ni meshindwa kumuelwa anavyo jibu kwanza anaogea haraka haraka hadi maneno megine haya sikiki ila kma ndivyo ulivyo it's okay
Eti anasoma vitabu
Siamini mtu yeyote mwenye kuongea haraka haraka namna y huyu
Anakigugumizi
Kweli kabisa
Kwani anatumia mkorogo naona vidole Fanta na cocacola
Push ups za knuckles hizo zinaleta sugu
Hahahaha linajichubua hilo
Una uhakika mzee
Jamani ivyo vidole byakalisa ndokitaulo ao
😂😂😂😂
Mazoez ya push-ups za knuckles
Kitauloo
Umalaya unakusumbua ww
🙄 waste of time
Yani unapinda pinda majibu yko
Hii ni Kati ya interview mbovu yenye hadi imenikatisha taama ya Kuma lizia hayo Ni maoni yangu musinifokee Thafadhili 🤣🤣😜
Wacha hasira
@Preetty Shemsa kama unamchukia mtu kiasi hicho usingepoteza muda wako ukaingia hapa. Mbona naona kama hii iko kinyume vile😀😀
CALISA acha kupaka mkorogo kitaulo sijui kwanini ma marioo wa mjini wanapaka mkorogo 🤮
nani ni mbaya? ona hii
ruclips.net/video/lbkoaTToIjk/видео.html
Vua miwani tukuone!.
Unajificha nini?..