Yaani mtu hajui mateso watu wanapitia outside surely but bibilia inasema musilipishe mabaya kwa mabaya lakini oesa za wenyewe rudidisha hata mungu hawezi kubali lilo 😢
@@NofelaJaco kumbe tu hawa watu wako kimoja ju mm w levyne aliniitisha 17007 nikamupea 8k nikamwambia afanye kazi nikipata pesa zangu nitamaliza deni yke
Wakati wowote ukituma pesa online hufanyiwi kazi wanakula ,,,hata mm kuna beshte yangu alituma 20k kwa dactari wa jonsina yule wamwanzo alikula alivo mupigia simu akamwambia ongeza 10 umupatie jonsina,,,ma dactari wote niwaizi hilo mulijue
Last year nilikuwa na shida na niko true levyne tv alikuwa na daktari wake yule wa kwanza akaniambia nieatumie 13,000 waende wanunue dawa wanifanyie kazi yangu mpaka leo hii sikusaidika na kitu chochote but niliachia mungu tu
Wote wakisii content creators ni kudaganya na wagaga.imagine hata bibi ya Brighton nilimuitisha numbet ya mgaga wao akaniambia Nilipe.what a shame.sidhani nafikiri ni content. Please stay away from sanitazation kwa barabara mtabaki bila families.cheating kwani watu wako under 18😅 wacheni zenu
But wasichana wa gulf hii tabia ya madkitari achaneni nayo mtaliwa pesa hadi mwisho hii kazi mnafanya kwani hamchoki hapa hivi karibu True K aliwakula pesa kwa ujanja too tena mumeanza story za na Lyvene Tv shauri yenu
Kama umeona mtu anaweza kusaidia shida unayo namakuakikishi mbona usituma.ni juu ya shida usiseme hivyio tukitaka kuwagomesha mtu akoniwa hivi sema usinyamasie please okoa mwenzako
@@UncleSimeons wacha watu kwanza wajitokeze.hao wakisii wamekuwa kazi ni wagaga please tell them tutawaachia hizo kuturudisha 50 years dark days za wanyanya
Endeleeni kutuma pesa koz inaonekana mko nazo why can't you trust God only kumbavu zenu 😅😅😅😅
I will only support term senior and mfalme tv najua hamfafurahia ju nimetaja mungu pekee😂😂😂😂
Uncle Simeon hapa nayo niko nawe 💯 mtu hafai kukula jasho ya mtu
😮😮😮
Kwani alikula kiaje
Yaani mtu hajui mateso watu wanapitia outside surely but bibilia inasema musilipishe mabaya kwa mabaya lakini oesa za wenyewe rudidisha hata mungu hawezi kubali lilo 😢
Kwani sio kuchangia Roba eeee nyasae
Umefanya vizuri kusema hata mimi lamonike na daktari wake walikula pesa zangu 21k na bado alikua ananiitishs 11k ndio anifanyie kazi😢
@@NofelaJaco kumbe tu hawa watu wako kimoja ju mm w levyne aliniitisha 17007 nikamupea 8k nikamwambia afanye kazi nikipata pesa zangu nitamaliza deni yke
Kumbe ni mwizi na venye alikua amenipea number ya dakitari nanilikua niongee na yeye anisaindie mungu ni mwema cz sikua nimetoa pesa😢😢😢😢
Ata mimi thao tano Kwanza ni lamonike aliniitisha
Ata mimi alikula yangu 17k 322
@@NofelaJaco pole haki tutawatoga
Levyne after kupata views na subscribers umeona ulipe watu na hyo njia 😢😢😢 Ungejua kazi huyo msichana anafanya ndo apate hyo peaa 😢😢😢😢
Levyne ni mwizi hata mm alikuwa zangu akidaganya doctor atanisaidia ju kuna mtu alikula pesa yangu
Kale kamtu ni mwizi better yule wa Mercy June alisaidia Gilly
Kupe sio mm tu tuko wengi mm 17000k zote but siku itafika
Mie aliniomba 25000 lakini sikutuma juu niliona izo pesa zenye napeana kwa ushirikina n heli nipeleke kwa kanisa 😢😢😢😢
Wakati wowote ukituma pesa online hufanyiwi kazi wanakula ,,,hata mm kuna beshte yangu alituma 20k kwa dactari wa jonsina yule wamwanzo alikula alivo mupigia simu akamwambia ongeza 10 umupatie jonsina,,,ma dactari wote niwaizi hilo mulijue
Afadhali nitume kwa kina team dangulo or riaga watoto wasaidike better GoD than gods
Simeo pia mimi uyu wa rizy p anajiita daktari mkali walikula 25ksh yangu alf ako busy ,,,alinblock waanikwe
Uuui itisha anaitwa nani.expose them.arudishe.kuna moja ule slim wa levyn alikula 8k zangu na akamimyawith no results.next one asked for 25k nothing
Heri wewe 25k mimi 70k
@@annnekesa8103 wamekuwa wakora,,alikuwa daktari mgani
Waanike jogi chamo pesa ji Kwanza na hawa so called dakitari wanatembea nao nitakutumia mwengine pia uanike
0735186057 call
Waanikwe kabiza wanatumia jina daktari wanakula pesa ya watu,,
Hata heri roba angepigia kina Brighton pl na angie b angesaidika but levynr nikama ataki kuambia uyo daktari wake asaidie roba
Hyo pia ni nani
Njoo nikupee msg zangu za mpesa za hyo dktari mwenye unasema
@@JulianaFuraha🙆🙆🙆🙆
Huyo daktari wa Brighton na Angie B hawezi kusaidia
Utafanya poa ata mm nataka pesa zangu 17000k wenye munasema n uongo ujafikiwa mm pia wako n pesa zangu
Last year nilikuwa na shida na niko true levyne tv alikuwa na daktari wake yule wa kwanza akaniambia nieatumie 13,000 waende wanunue dawa wanifanyie kazi yangu mpaka leo hii sikusaidika na kitu chochote but niliachia mungu tu
@@PhebeAuma hata mm hyo ndyo alikula 8k yangu anajiita shadrack .aliniambia anenda kununua dawa hadi waleo but niliambia levyne nimekuwachia mungu
Ata mimi nilikua ninatuma kesho yawa na ni mukisii wetu
Usijaribu kutuma tunalia
Hata mimi msafree alikula 8100 na akanblok hadi wa leo hii sijawai mpata
Huyu lamonike na dakitari wake wanaitisha watu pesa then wako busy
Hyo Levyn ni Conn man mkaki sana unaeza aje fanyia layalty test na credit ya 600 surely koomaaa Levyn
Bora. Huyu ni 600 Annita aliniambia atanifanyia na 5k nikasema kumbe huku injee watu wanaliwa pesaaa hivii😅😅😅
@shinehusnah6572 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣watu ni wezi my darling
@SokinaChapia Sana'a xwt nilishangaa namwambia nataka ufanye loyal test boy wangu....anasema nilipe 5k hhhhh nikamwambia muache aendelee kucheat ...hhhhhh
@shinehusnah6572 ok😅😅😅😅😅annita yupi
@@shinehusnah6572😂😂😂😂
Huyu ni MWIZI SUGU NA HUYO MGANGA WAKE. WALINIKULA MY 10K PIA. UKIMPIGIA SIMU ANAJIFANYA AKO BUSY. HAWA NI WEZI.
Mimi nita muronga tu ndiyo dawayake😢
Mroge mom😂😂😂
@ 😹😹😹😹😂
@annette4656 yes roga ngombe
True
Mmekosa cha kufanya sindio tafteni content muache ujinga nynyi n watu wakubwa mko na ndevu
Anaibia watu na jina la daktari,inatakikana daktari ajue
MuKisii mwizi kabisa anaconny watu mm zangu zilienda
Juzi nimeongea nae nikitaka kusaidiwa akanipea number ya huyo doc lmgn aliniambia nimtumie 18k za kubuy madawa sikutuma😂
@@NofelaJaco mm niliambiwa nitoe7k
Kwanza Mimi kuna huyo daktari ,ameniambia nimutumie 5k cjui kama nikunicon ama mtu anichanue
Wote wakisii content creators ni kudaganya na wagaga.imagine hata bibi ya Brighton nilimuitisha numbet ya mgaga wao akaniambia Nilipe.what a shame.sidhani nafikiri ni content. Please stay away from sanitazation kwa barabara mtabaki bila families.cheating kwani watu wako under 18😅 wacheni zenu
Levyne rekesha pesa zangu 8hours ijaisha hadi sihi alafu unani block. Kama ulikua na shida ungesema usaidiwe sio kutumia hiyo njia 😢😢😢
Lazima aregeshe
I might take to court if he failed to refund the money
👍👍
😂😂😂kama nani??
Levin hanaga kazi mpaka afuatane na muganga wake
But wasichana wa gulf hii tabia ya madkitari achaneni nayo mtaliwa pesa hadi mwisho hii kazi mnafanya kwani hamchoki hapa hivi karibu True K aliwakula pesa kwa ujanja too tena mumeanza story za na Lyvene Tv shauri yenu
Leave levyne alone koz c mara y kwanza kusikia ivyo but mwenye kutums ndiye mjinga
Dear shida ikikupata ndio utajua kuwa mjinga sio kupenda
Moha 3k zangu utalipa tu
Hata hyo hyo dkr wa kina angie b alikuka doo zangu niko na msg hapa za mpesa
Pia mm Angie b alikuzangu 1200 akisema atanipea namba ya Dakitari mkali
Atamimi walikula zangu
Pia mm alikuwa yngu
@ sasawamepatikana
Ghaiiii na roba Bado anateseka wallai
Hiyo n acting 2
Hawa askari wamekuwa macatoons sasa😅
😅😅😅😅😅😅😅sipia unajua hakuna kazi kenya so contert pia ina bust salary yao😂😂
Pia mm huyo levyne alinikula 38k huyo n conman but siku moja atajua ajui aliniwekea Whatsapp disappear meso
Huwa anaeka disappear massage huyu Levyne, mm kdgo kinirambe 10k bt sikutuma😢😢
😂😂😂😂ata mm alinifanya hivyo
Simion 🤣 dakitari wa lamonike aliniibia five k na huyo lamonike ndio aliniitisha pesa
Wee unasema 5k uyu WA agie b amekula 25ksh Alf akaniblock
@JacklineNyabokeOsiango siwezi danganya alikula more ni hiyo five k
But nyinyi pia achaneni na story za madaktari
Imagine levyne nimkora
Wacheni kuigilia mtoto wa wenyewe waweza kudhibisha? Huyu mtu amesaidia robe sana muacheni.
@@AgnesKamau-h6j wewe ju zako zijakuliwa ndyo unaogea goja yako ikuliwe ndyo utasikia vile ss tumasikia sawa
Agnes aijakufikia ndio sababu unamtetea hawa watu ni weziiiiiiiii
Ya ni ukweli ukiom ba number ya daktari anakupatia no ingine alàfu anakuda ganya amende uganda
Hao unawaona nairobi ukimpigia anasema ako congo nabii wa Levyn.anasema ako mwisho
Mwenye kutuma ndo mjinga achana na levyne
Atutakubali😊
Wote niwajinga ukiona huwezi saidia mtu achana na ndipo mimi nichukuwe sim nikutumie pesa tunakuwanga tumeelewana sawa
Kama umeona mtu anaweza kusaidia shida unayo namakuakikishi mbona usituma.ni juu ya shida usiseme hivyio tukitaka kuwagomesha mtu akoniwa hivi sema usinyamasie please okoa mwenzako
😢😢😢😢😮😮😮
Hawa watu ni waongo na hawa madactari wajinga
Now stop trusting people and trust God 🙏
😢😢😢😢
Na ww ndio unajuaga mambo ya watu na yako mbona ujawai post
🙈🙈🙈🙈🙈
Ghaiiii 😮😮😮😮😮😮
Wewe n
Na wew ni nani.... style up ! you defending something you don't even know...kama ni mwizi ni mwizi....why sugarcoat
Mmekosa content. Leave Levyne alone
I will arrest him
I know that lady hiyo kitu ni ukweli mercy acha mchezo
@@UncleSimeons wacha watu kwanza wajitokeze.hao wakisii wamekuwa kazi ni wagaga please tell them tutawaachia hizo kuturudisha 50 years dark days za wanyanya
Wewe ni mwizi kama yeye
Umejosa content achana na levyne nkt kuna mtu alishikiwa bunduki atoe pesa@@UncleSimeons
😮😮😮😢😢😢😢😢😢