levyne TV exposed 😳 after conning his fan this kind of amount you must return the money

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • #levynetv

Комментарии • 115

  • @LucieLucie-s1n
    @LucieLucie-s1n 10 дней назад +1

    Endeleeni kutuma pesa koz inaonekana mko nazo why can't you trust God only kumbavu zenu 😅😅😅😅

  • @RuthGwako-ro9wl
    @RuthGwako-ro9wl 9 дней назад

    I will only support term senior and mfalme tv najua hamfafurahia ju nimetaja mungu pekee😂😂😂😂

  • @nelsonmandela3046
    @nelsonmandela3046 10 дней назад +2

    Uncle Simeon hapa nayo niko nawe 💯 mtu hafai kukula jasho ya mtu

  • @DIANA-v8x
    @DIANA-v8x 9 дней назад

    Yaani mtu hajui mateso watu wanapitia outside surely but bibilia inasema musilipishe mabaya kwa mabaya lakini oesa za wenyewe rudidisha hata mungu hawezi kubali lilo 😢

  • @BeckyMaranga
    @BeckyMaranga 10 дней назад +2

    Kwani sio kuchangia Roba eeee nyasae

  • @NofelaJaco
    @NofelaJaco 10 дней назад +4

    Umefanya vizuri kusema hata mimi lamonike na daktari wake walikula pesa zangu 21k na bado alikua ananiitishs 11k ndio anifanyie kazi😢

    • @maurenisamisi-th5wx
      @maurenisamisi-th5wx 10 дней назад +1

      @@NofelaJaco kumbe tu hawa watu wako kimoja ju mm w levyne aliniitisha 17007 nikamupea 8k nikamwambia afanye kazi nikipata pesa zangu nitamaliza deni yke

    • @karendinancy1708
      @karendinancy1708 10 дней назад

      Kumbe ni mwizi na venye alikua amenipea number ya dakitari nanilikua niongee na yeye anisaindie mungu ni mwema cz sikua nimetoa pesa😢😢😢😢

    • @Morinodhiambo-b5p
      @Morinodhiambo-b5p 10 дней назад

      Ata mimi thao tano Kwanza ni lamonike aliniitisha

    • @dorisbernard4836
      @dorisbernard4836 10 дней назад

      Ata mimi alikula yangu 17k 322

    • @Morinodhiambo-b5p
      @Morinodhiambo-b5p 10 дней назад

      @@NofelaJaco pole haki tutawatoga

  • @nancynzinah8290
    @nancynzinah8290 10 дней назад +1

    Levyne after kupata views na subscribers umeona ulipe watu na hyo njia 😢😢😢 Ungejua kazi huyo msichana anafanya ndo apate hyo peaa 😢😢😢😢

  • @maurenisamisi-th5wx
    @maurenisamisi-th5wx 10 дней назад +3

    Levyne ni mwizi hata mm alikuwa zangu akidaganya doctor atanisaidia ju kuna mtu alikula pesa yangu

    • @dolphinemouya3813
      @dolphinemouya3813 10 дней назад

      Kale kamtu ni mwizi better yule wa Mercy June alisaidia Gilly

    • @LydiahZablon
      @LydiahZablon 9 дней назад

      Kupe sio mm tu tuko wengi mm 17000k zote but siku itafika

    • @EstherMogire-u9i
      @EstherMogire-u9i 9 дней назад

      Mie aliniomba 25000 lakini sikutuma juu niliona izo pesa zenye napeana kwa ushirikina n heli nipeleke kwa kanisa 😢😢😢😢

  • @MamrF-v9v
    @MamrF-v9v 10 дней назад

    Wakati wowote ukituma pesa online hufanyiwi kazi wanakula ,,,hata mm kuna beshte yangu alituma 20k kwa dactari wa jonsina yule wamwanzo alikula alivo mupigia simu akamwambia ongeza 10 umupatie jonsina,,,ma dactari wote niwaizi hilo mulijue

  • @LilianJuma-wv7nf
    @LilianJuma-wv7nf 13 часов назад

    Afadhali nitume kwa kina team dangulo or riaga watoto wasaidike better GoD than gods

  • @JacklineNyabokeOsiango
    @JacklineNyabokeOsiango 10 дней назад +2

    Simeo pia mimi uyu wa rizy p anajiita daktari mkali walikula 25ksh yangu alf ako busy ,,,alinblock waanikwe

    • @oenothera100
      @oenothera100 10 дней назад

      Uuui itisha anaitwa nani.expose them.arudishe.kuna moja ule slim wa levyn alikula 8k zangu na akamimyawith no results.next one asked for 25k nothing

    • @annnekesa8103
      @annnekesa8103 9 дней назад

      Heri wewe 25k mimi 70k

    • @JacklineNyabokeOsiango
      @JacklineNyabokeOsiango 9 дней назад

      @@annnekesa8103 wamekuwa wakora,,alikuwa daktari mgani

  • @Morinodhiambo-b5p
    @Morinodhiambo-b5p 10 дней назад +2

    Waanike jogi chamo pesa ji Kwanza na hawa so called dakitari wanatembea nao nitakutumia mwengine pia uanike

  • @jamesmaundu9189
    @jamesmaundu9189 10 дней назад +2

    Hata heri roba angepigia kina Brighton pl na angie b angesaidika but levynr nikama ataki kuambia uyo daktari wake asaidie roba

    • @JulianaFuraha
      @JulianaFuraha 10 дней назад

      Hyo pia ni nani

    • @JulianaFuraha
      @JulianaFuraha 10 дней назад

      Njoo nikupee msg zangu za mpesa za hyo dktari mwenye unasema

    • @Morgan-k8q
      @Morgan-k8q 10 дней назад

      ​@@JulianaFuraha🙆🙆🙆🙆

    • @annnekesa8103
      @annnekesa8103 9 дней назад

      Huyo daktari wa Brighton na Angie B hawezi kusaidia

  • @LydiahZablon
    @LydiahZablon 9 дней назад

    Utafanya poa ata mm nataka pesa zangu 17000k wenye munasema n uongo ujafikiwa mm pia wako n pesa zangu

  • @PhebeAuma
    @PhebeAuma 10 дней назад +1

    Last year nilikuwa na shida na niko true levyne tv alikuwa na daktari wake yule wa kwanza akaniambia nieatumie 13,000 waende wanunue dawa wanifanyie kazi yangu mpaka leo hii sikusaidika na kitu chochote but niliachia mungu tu

    • @maurenisamisi-th5wx
      @maurenisamisi-th5wx 10 дней назад

      @@PhebeAuma hata mm hyo ndyo alikula 8k yangu anajiita shadrack .aliniambia anenda kununua dawa hadi waleo but niliambia levyne nimekuwachia mungu

  • @BeckyMaranga
    @BeckyMaranga 10 дней назад +2

    Ata mimi nilikua ninatuma kesho yawa na ni mukisii wetu

  • @joycenyabuke8873
    @joycenyabuke8873 10 дней назад

    Hata mimi msafree alikula 8100 na akanblok hadi wa leo hii sijawai mpata

  • @Morinodhiambo-b5p
    @Morinodhiambo-b5p 10 дней назад

    Huyu lamonike na dakitari wake wanaitisha watu pesa then wako busy

  • @SokinaChapia
    @SokinaChapia 10 дней назад +1

    Hyo Levyn ni Conn man mkaki sana unaeza aje fanyia layalty test na credit ya 600 surely koomaaa Levyn

    • @shinehusnah6572
      @shinehusnah6572 10 дней назад

      Bora. Huyu ni 600 Annita aliniambia atanifanyia na 5k nikasema kumbe huku injee watu wanaliwa pesaaa hivii😅😅😅

    • @SokinaChapia
      @SokinaChapia 10 дней назад

      @shinehusnah6572 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣watu ni wezi my darling

    • @shinehusnah6572
      @shinehusnah6572 10 дней назад

      @SokinaChapia Sana'a xwt nilishangaa namwambia nataka ufanye loyal test boy wangu....anasema nilipe 5k hhhhh nikamwambia muache aendelee kucheat ...hhhhhh

    • @Morgan-k8q
      @Morgan-k8q 10 дней назад

      ​@shinehusnah6572 ok😅😅😅😅😅annita yupi

    • @Morgan-k8q
      @Morgan-k8q 10 дней назад

      ​@@shinehusnah6572😂😂😂😂

  • @PhylisPhylo-bv3yo
    @PhylisPhylo-bv3yo 10 дней назад

    Huyu ni MWIZI SUGU NA HUYO MGANGA WAKE. WALINIKULA MY 10K PIA. UKIMPIGIA SIMU ANAJIFANYA AKO BUSY. HAWA NI WEZI.

  • @annette4656
    @annette4656 10 дней назад +1

    Mimi nita muronga tu ndiyo dawayake😢

  • @Tiffah-e7y
    @Tiffah-e7y 10 дней назад

    Mmekosa cha kufanya sindio tafteni content muache ujinga nynyi n watu wakubwa mko na ndevu

  • @JosephineAnyango-j1e
    @JosephineAnyango-j1e 10 дней назад

    Anaibia watu na jina la daktari,inatakikana daktari ajue

  • @maurenisamisi-th5wx
    @maurenisamisi-th5wx 10 дней назад +1

    MuKisii mwizi kabisa anaconny watu mm zangu zilienda

    • @NofelaJaco
      @NofelaJaco 10 дней назад

      Juzi nimeongea nae nikitaka kusaidiwa akanipea number ya huyo doc lmgn aliniambia nimtumie 18k za kubuy madawa sikutuma😂

    • @karendinancy1708
      @karendinancy1708 10 дней назад

      @@NofelaJaco mm niliambiwa nitoe7k

  • @JullieNjoki
    @JullieNjoki 10 дней назад

    Kwanza Mimi kuna huyo daktari ,ameniambia nimutumie 5k cjui kama nikunicon ama mtu anichanue

    • @oenothera100
      @oenothera100 10 дней назад

      Wote wakisii content creators ni kudaganya na wagaga.imagine hata bibi ya Brighton nilimuitisha numbet ya mgaga wao akaniambia Nilipe.what a shame.sidhani nafikiri ni content. Please stay away from sanitazation kwa barabara mtabaki bila families.cheating kwani watu wako under 18😅 wacheni zenu

  • @everlyne8605
    @everlyne8605 10 дней назад

    Levyne rekesha pesa zangu 8hours ijaisha hadi sihi alafu unani block. Kama ulikua na shida ungesema usaidiwe sio kutumia hiyo njia 😢😢😢

  • @UncleSimeons
    @UncleSimeons  10 дней назад +1

    I might take to court if he failed to refund the money

  • @CharityChao
    @CharityChao 10 дней назад

    Levin hanaga kazi mpaka afuatane na muganga wake

  • @harrietajiambo229
    @harrietajiambo229 10 дней назад

    But wasichana wa gulf hii tabia ya madkitari achaneni nayo mtaliwa pesa hadi mwisho hii kazi mnafanya kwani hamchoki hapa hivi karibu True K aliwakula pesa kwa ujanja too tena mumeanza story za na Lyvene Tv shauri yenu

  • @LucieLucie-s1n
    @LucieLucie-s1n 10 дней назад

    Leave levyne alone koz c mara y kwanza kusikia ivyo but mwenye kutums ndiye mjinga

    • @LydiahZablon
      @LydiahZablon 9 дней назад

      Dear shida ikikupata ndio utajua kuwa mjinga sio kupenda

  • @LilianJuma-wv7nf
    @LilianJuma-wv7nf 13 часов назад

    Moha 3k zangu utalipa tu

  • @JulianaFuraha
    @JulianaFuraha 10 дней назад +1

    Hata hyo hyo dkr wa kina angie b alikuka doo zangu niko na msg hapa za mpesa

    • @nancykigen
      @nancykigen 10 дней назад

      Pia mm Angie b alikuzangu 1200 akisema atanipea namba ya Dakitari mkali

  • @annette4656
    @annette4656 10 дней назад +2

    Atamimi walikula zangu

  • @pamellahnafula6633
    @pamellahnafula6633 10 дней назад +2

    Ghaiiii na roba Bado anateseka wallai

  • @godyrtv9188
    @godyrtv9188 10 дней назад +1

    Hawa askari wamekuwa macatoons sasa😅

    • @Morgan-k8q
      @Morgan-k8q 10 дней назад

      😅😅😅😅😅😅😅sipia unajua hakuna kazi kenya so contert pia ina bust salary yao😂😂

  • @AfGs-vl3xr
    @AfGs-vl3xr 10 дней назад

    Pia mm huyo levyne alinikula 38k huyo n conman but siku moja atajua ajui aliniwekea Whatsapp disappear meso

    • @MwakaKombo-h7r
      @MwakaKombo-h7r 10 дней назад

      Huwa anaeka disappear massage huyu Levyne, mm kdgo kinirambe 10k bt sikutuma😢😢

    • @LydiahZablon
      @LydiahZablon 9 дней назад

      😂😂😂😂ata mm alinifanya hivyo

  • @Morinodhiambo-b5p
    @Morinodhiambo-b5p 10 дней назад

    Simion 🤣 dakitari wa lamonike aliniibia five k na huyo lamonike ndio aliniitisha pesa

    • @JacklineNyabokeOsiango
      @JacklineNyabokeOsiango 10 дней назад +1

      Wee unasema 5k uyu WA agie b amekula 25ksh Alf akaniblock

    • @Morinodhiambo-b5p
      @Morinodhiambo-b5p 10 дней назад

      @JacklineNyabokeOsiango siwezi danganya alikula more ni hiyo five k

    • @harrietajiambo229
      @harrietajiambo229 10 дней назад

      But nyinyi pia achaneni na story za madaktari

  • @HUSSEINMWARUWA-b3u
    @HUSSEINMWARUWA-b3u 10 дней назад +1

    Imagine levyne nimkora

  • @AgnesKamau-h6j
    @AgnesKamau-h6j 10 дней назад

    Wacheni kuigilia mtoto wa wenyewe waweza kudhibisha? Huyu mtu amesaidia robe sana muacheni.

    • @maurenisamisi-th5wx
      @maurenisamisi-th5wx 10 дней назад +1

      @@AgnesKamau-h6j wewe ju zako zijakuliwa ndyo unaogea goja yako ikuliwe ndyo utasikia vile ss tumasikia sawa

    • @Morinodhiambo-b5p
      @Morinodhiambo-b5p 10 дней назад +1

      Agnes aijakufikia ndio sababu unamtetea hawa watu ni weziiiiiiiii

  • @JosephineAnyango-j1e
    @JosephineAnyango-j1e 10 дней назад

    Ya ni ukweli ukiom ba number ya daktari anakupatia no ingine alàfu anakuda ganya amende uganda

    • @oenothera100
      @oenothera100 10 дней назад

      Hao unawaona nairobi ukimpigia anasema ako congo nabii wa Levyn.anasema ako mwisho

  • @SallySalma-k1l
    @SallySalma-k1l 10 дней назад

    Mwenye kutuma ndo mjinga achana na levyne

    • @UncleSimeons
      @UncleSimeons  10 дней назад

      Atutakubali😊

    • @harrietajiambo229
      @harrietajiambo229 10 дней назад

      Wote niwajinga ukiona huwezi saidia mtu achana na ndipo mimi nichukuwe sim nikutumie pesa tunakuwanga tumeelewana sawa

    • @HUSSEINMWARUWA-b3u
      @HUSSEINMWARUWA-b3u 10 дней назад

      Kama umeona mtu anaweza kusaidia shida unayo namakuakikishi mbona usituma.ni juu ya shida usiseme hivyio tukitaka kuwagomesha mtu akoniwa hivi sema usinyamasie please okoa mwenzako

  • @ChristineEtyang
    @ChristineEtyang 10 дней назад +1

    😢😢😢😢😮😮😮

  • @MaryWairimongatia
    @MaryWairimongatia 10 дней назад

    Hawa watu ni waongo na hawa madactari wajinga

  • @QUEENSTAR-pr6fp
    @QUEENSTAR-pr6fp 10 дней назад

    Now stop trusting people and trust God 🙏

  • @ednanyaboke9849
    @ednanyaboke9849 10 дней назад

    😢😢😢😢

  • @naseeralbishi4726
    @naseeralbishi4726 10 дней назад

    Na ww ndio unajuaga mambo ya watu na yako mbona ujawai post

    • @Morgan-k8q
      @Morgan-k8q 10 дней назад

      🙈🙈🙈🙈🙈

  • @adelaidemary5514
    @adelaidemary5514 10 дней назад

    Ghaiiii 😮😮😮😮😮😮

  • @johnorina5952
    @johnorina5952 10 дней назад

    Wewe n

    • @annekinyua7374
      @annekinyua7374 10 дней назад

      Na wew ni nani.... style up ! you defending something you don't even know...kama ni mwizi ni mwizi....why sugarcoat

  • @mercy_mutile
    @mercy_mutile 10 дней назад +1

    Mmekosa content. Leave Levyne alone

    • @UncleSimeons
      @UncleSimeons  10 дней назад

      I will arrest him

    • @nelsonmandela3046
      @nelsonmandela3046 10 дней назад

      I know that lady hiyo kitu ni ukweli mercy acha mchezo

    • @oenothera100
      @oenothera100 10 дней назад

      ​@@UncleSimeons wacha watu kwanza wajitokeze.hao wakisii wamekuwa kazi ni wagaga please tell them tutawaachia hizo kuturudisha 50 years dark days za wanyanya

    • @UncleSimeons
      @UncleSimeons  10 дней назад

      Wewe ni mwizi kama yeye

    • @Tiffah-e7y
      @Tiffah-e7y 9 дней назад

      Umejosa content achana na levyne nkt kuna mtu alishikiwa bunduki atoe pesa​@@UncleSimeons

  • @Marionwanjiru009
    @Marionwanjiru009 10 дней назад

    😮😮😮😢😢😢😢😢😢