Ila waandishi wa habari jamn hamuwahurumii kila siku mnawahoji mnaona ni fashion au hadi mnaboa yaan. Watu wanamachungu kila wakati maswali hayo hayo duuu. Polen sana Zabron family Mungu awatie nguvu awape faraja.. pia tunamuombea MARCO APUMZIKE KWA AMANI🙏🙏🙏
Mwandishi mmbea sana huyu,umeshajibiwa na Japhet maswali hayo,umeenda kwa kaka wa Marcos, kaka kajieleza vizuuuuuri,lkn bado unauliza mwaswali yaleyale.Pole kaka mwaya,Mwenyezi MUNGU akupe neema ya kuwa na kiasi.
Kwanza poleni sana,,kiukweli inaonekana ni kana kwamba si viziri kuwahoji kwa wakati huu lakini kwangu mm nivizuri ndio waongee yalio miyoni mwao ndio iweze kuwatoka maana hakula siku nyingine watapata nafasi hiyo .tena poleni sana ,, Lilian kutoka kenya
Yan waandishi wahabar bwana mnachosha kwakwel hiv nanyie mkifiwa mtaweza kuvumilia hayo maswali yenu yasiokuw nautofaut maana mnajibiwa jibu moja lakin hamuelew sasa amekwambia wewe hivo namwengine ameambiwa hivohivo wengine si mjiongeze mjuet mkienda majibu nihayo hayo hayo achen ujinga mda mwengine bwana dada hawez hata kuongea lakin humuachi ndo nin sasa
Hivi ninyi waandishi wahabari hamuwezi kuchukua taarifa kwa wandishi wenzenu hadi kila saa kuwahoji ikiwa wtu wanamachungu nabado kitu mnachokihoji nikimoja ty😢 hebu tumieni busara basi just emagine kama niww ndio unauchungu nakila saa macamera yanafuata.
Jamani,wewe mwandishi umehamia Kahama kwa ajili ya hela,loooh! Ibada ya faraja inaendelea wewe unahoji wafiwa,kweeeeeli??????? Haya! Nakuombea neema ya kujitambua na neema ya kuwa na HEKIMA ya Ki MUNGU zaidi.
Poleni poleni sana. Sio rahisi lakini Mungu atawafariji. Kutoka 🇰🇪
Ila waandishi wa habari jamn hamuwahurumii kila siku mnawahoji mnaona ni fashion au hadi mnaboa yaan. Watu wanamachungu kila wakati maswali hayo hayo duuu. Polen sana Zabron family Mungu awatie nguvu awape faraja.. pia tunamuombea MARCO APUMZIKE KWA AMANI🙏🙏🙏
Mwandishi mmbea sana huyu,umeshajibiwa na Japhet maswali hayo,umeenda kwa kaka wa Marcos, kaka kajieleza vizuuuuuri,lkn bado unauliza mwaswali yaleyale.Pole kaka mwaya,Mwenyezi MUNGU akupe neema ya kuwa na kiasi.
Hakika inauma sana jaman, bora Marco amefaliki akiwa mikononi mwa mungu hata mim nataman hvyo jaman
Si muwapumzishe hawa watu jaman mmewahoji vya kutosha au ndio kufa kufaana😏😏😏
Yaani wanakera sana.msibani mahojiano saa nzima😢
Aky ni ukweli unaumwa unaojiwa amna rohoo 😢😢😢
Halafu anamwambia HESHIMA yako,ndo ajibuje jamani? Kwani ukimsalimia shikamoo au habari za saivi unapungukiwa na Nini?!😢
😢😢😢😢😢
Wana habari wajinga wanaudhi😢😢
Poleni sana zabron mungu atawafariji
@maikopaul🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 dah pole San ndugu zangu mungu atawa mkono❤❤❤mbele etu nyuma yake
Mungu awapiganie sana nafasi lliyobaki mungu awalinde maombi yangu ninayo muomba mungu kwa ajili yenu🙏🙏🙏
Kwanza poleni sana,,kiukweli inaonekana ni kana kwamba si viziri kuwahoji kwa wakati huu lakini kwangu mm nivizuri ndio waongee yalio miyoni mwao ndio iweze kuwatoka maana hakula siku nyingine watapata nafasi hiyo .tena poleni sana ,, Lilian kutoka kenya
Poleni sana ndugu jamaa na marafiki familiy kiujumra mungu awatie nguvu
Polen Sanaa ,M/Mungu awatie ngv jmniii inaumaaaa sanaaaaa sanaaaaa
Poleni sana ndugu jamaa na marafiki kwa msiba huu wa marko
Vichwa vya habari nivyauongo na maswali ni yaleyale na majibu yake mnayajua sasa sijui kwann muwasumbue watu hivi.
Watumishi WA mungu mtambuwe kuwa hawasitahili kudumu sana ulimwenguni maana wanaweza kukengeuka badae
Jaman Dunia gwalide juzi kwa zabron kwesho kwet je 2tavumilia maswali,?
Ila wandishi Mungu anamuona😢😢😢😢masaa yote munawahoji maswal tu hamujui kuwa munawaumiza😢😢😢
Rest in heaven Marco. 🇨🇩
Jamani poleni sana MUNGU awatie nguvu
Pole sana dadangu
Jamani hivi wewe mwandishi unapata wapi ujasiri wapi wakuendelea kumhoji huyodada ..EBU muache apumzike jmani😭😭😭
Polen sana mungu awatie nguvu
Hamna utu wana habari😢😢😢mtaulizia kila mtu kwa jamii😢😢si muwape mda watulie Kwanza😢😢
Pole sana sister Mungu hawafariji
Yan waandishi wahabar bwana mnachosha kwakwel hiv nanyie mkifiwa mtaweza kuvumilia hayo maswali yenu yasiokuw nautofaut maana mnajibiwa jibu moja lakin hamuelew sasa amekwambia wewe hivo namwengine ameambiwa hivohivo wengine si mjiongeze mjuet mkienda majibu nihayo hayo hayo achen ujinga mda mwengine bwana dada hawez hata kuongea lakin humuachi ndo nin sasa
Mnachosha nakuwaoji jamani, ningekuwa mwanafamilia ningewafukuza wote
Pole maman Aki awa wana habali kwer😢😢😢😢
Jamani poleni Sana wezenu timepita hum0 lakini mungu mwenyewe awatunze
Pole sana zabron
Hivi ninyi waandishi wahabari hamuwezi kuchukua taarifa kwa wandishi wenzenu hadi kila saa kuwahoji ikiwa wtu wanamachungu nabado kitu mnachokihoji nikimoja ty😢 hebu tumieni busara basi just emagine kama niww ndio unauchungu nakila saa macamera yanafuata.
Inakera kwakweli sijui wakoje
Haya maandishi ya habari haya 😮wapimzisheni khaa
Kwa kwel ni uchungu sana kw wanafamilia na wote tunaonmchua 😢😢
Poleni sana mungu awatienguvu
Mmh! Huyu dada amehojiwa sana jaman mpumzishen sasa
Jamani wapumzisheni wafiwa,,, acheni kufatilia Sana. Arudi tena. Tuliandikiwa na mugu kufa hakika tutakufa....ata wewe mwandishi unakifo chako nyuma ya mgongo wako.
Achaneni na Hawa wafiwa wajipange upya
Hv nyie waandsh mnajua maumiv y msiba Kila saa mnamuhoj mtu kitu kimoja tu mnaboa😢😭
Sijui hawasomi comments za watu, yaani unakomaa na mtu anakwambia umuache kwanza wamsitiri mwenzao hafu unauliza kitu kingine du!!
Jamani,wewe mwandishi umehamia Kahama kwa ajili ya hela,loooh! Ibada ya faraja inaendelea wewe unahoji wafiwa,kweeeeeli??????? Haya! Nakuombea neema ya kujitambua na neema ya kuwa na HEKIMA ya Ki MUNGU zaidi.
Jaman waandishi Hadi mnakela hata hamuna huruma au ndo ile kufa kufaana watu Wana majonsi nyie mda wote mnahoji Nini mnakela bhana
Mbona mtumishi anahubiri mambo ya ngono kwenye msiba jamani?! 😭😭
Mwenzangu badala yakutoa neno la faraja, kutomdhurumu mjane n.k yanayohusu msiba
@@aliciaprojestus2336 yani,watumishi wa siku hizi hakika wanahitaji sana semina elekezi.
Poleni sana
Huyo anaongea tendo la ndoa mara kujamiiana ..hizi topic ganii wakati huu mgumu hivi...halafu mwapumzishe😢😢😢😢 sasa..
kama ingekua mimi ningekataa kuhojiwa kila saa
Waache wawahoji wazidi kulia wapunguze uchungu wasikae na Machozi
Jameni muwape nafasi waombeleze sio Kila wakati kuwahoji
Mwandishi acha kujiona myoto heshima yko unamaanisha nin??aitikie marahaba au??😊
Jamani nyie mnao waoji hao wafiwa embu wapumsheni maana amuoni walivyo na maumivu makali
Ani huyo muhubiri kanikela anahubiria mambo ya doa kweri
Kwel ianakua sio pw huo n mxiba xio xhereh au hamjui maumiv ya mxib achen bhan
Wanakera hao. Waandishi. Wanaonqeza. Machunqu
Kwakweli wanawaumiza mno jamani toka kutokea msiba munahoji tu ili iweje?
Pole sana
Hii ni ujiga.mtu atasikiza ngani sasa?kuna muhubili kuna muojaji
Muojaji😂😂😂😂
Waandishi wa habari tumieni busara ata kidogo tuu Kila saa kuwaoji wafiwa kama aliyemuoji mke wa marehemu kanikera kama vile ndio mimi
Poleni sana mungu awatie nguvu
Poleni sana
Pole sana
Pole Sana