Finally tumepata dada ya chisaka aliyeshikwa na kub@kwa akitoka shuleni akiwa hali mahututi😭💔

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 179

  • @adelaidemary5514
    @adelaidemary5514 26 дней назад +21

    Mkichoma mtu hakikisha ameungua nusu,unaona aliokolewa ametesa mtoto sana, tulisema huyo hakukufa😢

  • @winneykasaya5819
    @winneykasaya5819 26 дней назад +10

    God is great kama amepatikana akiwa hai🙏🙏🙏apokee uponyaji kwa jina la yesu

  • @SomaliJemoo
    @SomaliJemoo 26 дней назад +15

    Chisaka kutoka saai jua mungu yupo nanyi Kila wakati 🙏🏽

  • @shinehusnah6572
    @shinehusnah6572 26 дней назад +11

    ❤❤❤Alhdhulillah...mtoto amepitia shida wallh hata yaelekea 3 wks aky mungu awatangulie,,

  • @annaandrea2812
    @annaandrea2812 26 дней назад +11

    Huyu mtoto ameteseka sana tangia kipindi kile mmm😮😮 Mungu mponye huyu binti na rejesha afya yake tena

  • @stellaprotazibashaijaban-gq4mb
    @stellaprotazibashaijaban-gq4mb 26 дней назад +2

    Ewe Mwenyezi Mungu asante kwa kuendelea kufanya njia paspo njia kuwaokowa watu🙏🙏🙏

  • @everlynemutaye5464
    @everlynemutaye5464 26 дней назад +6

    Rafu plz mkipata mtu mtoe haraka muulize maswali mbele sijui mnajisahau ama hapo n hatari sana

    • @MwangalaEverlyneNelima
      @MwangalaEverlyneNelima 26 дней назад

      Sasa huyu tunamwambianga kila siku hasikii wawachange kukata kwa crime scene hawasikiangi

  • @joycemu9257
    @joycemu9257 26 дней назад +10

    Atapona katika jina la yesu

  • @violetNyaboke-f8c
    @violetNyaboke-f8c 26 дней назад +4

    Aki nyinyi mnajituma sana mungu awatangulie

  • @user-kk7dd3xm8t
    @user-kk7dd3xm8t 26 дней назад +4

    Subuanallah 😭 😭 😭 😭 mungu hakuponye dada😢😢😢.kwani watu hawana imani kiasi ngani

  • @lennahharrison8809
    @lennahharrison8809 26 дней назад +4

    Chisaka jifunzeni mkimpata mtu mnatoka hapo haraka iwezekanavyo case badaye please please please tokeni hapo Raff msikue watu WA kukaa mahali hatari please please Ngai bona hamsikii aki😢😢

  • @Nancybosibori-sz5nb
    @Nancybosibori-sz5nb 26 дней назад +8

    Huyo mzee akuchomeka ni shetani aki mkiwapata ni kuuwa akuna kumbembelesa 😅

    • @atwowa6380
      @atwowa6380 26 дней назад

      Pengine ni mwengine

  • @mesaidi9147
    @mesaidi9147 26 дней назад +4

    Siku hizi Wanyama walikufa kwa ukame binadamu ndo wamegeuka Wanyama

  • @iranziseer5641
    @iranziseer5641 26 дней назад +3

    Huyo watumbo kubwa ni kile kizee ,mana hakikufa kiriokolewa nakijana wake.mtoto wamemtesa sanaa tangu siku yile 😢😢

  • @yustinaandrew7335
    @yustinaandrew7335 26 дней назад +2

    Asante sana kwa Mungu aki. Wekeni hidden camera mtajua wote walikuwa wanamtesa!

  • @Nancybosibori-sz5nb
    @Nancybosibori-sz5nb 26 дней назад +5

    Mungu wetu ni mwaminifu kwa waliyo wake yeye ndiye kimbilio kwa kila jambo tunamshukuru

    • @user-zq1bn8zs2v
      @user-zq1bn8zs2v 26 дней назад

      Asante mungu kwa hili

    • @user-zq1bn8zs2v
      @user-zq1bn8zs2v 26 дней назад

      Chisaka pole my dear bora yupo hi shukuru mungu mmekutana nawengi wameuliwa ila kazini yako yipo hi so shukuru pia japo inauma ila kuusu waxazi wataelewa tu

    • @Nancybosibori-sz5nb
      @Nancybosibori-sz5nb 26 дней назад

      Yeah indeed God is great

  • @user-hd4gd1wv5l
    @user-hd4gd1wv5l 26 дней назад +1

    Wewe chisaka thank God.amepatikana nakama mungepata kama wamemua ungesemaj 😢

  • @issamwasonya524
    @issamwasonya524 24 дня назад +1

    Asante Mungu
    I'm your brother from another Mother Chisaka Erick and laf good job God bless you. From Tanzania

  • @mesaidi9147
    @mesaidi9147 26 дней назад +3

    Mgekuwa kama watu mkajificha hapo Ile mida wakijitokaza mnamalizana nao hapo hapo

  • @mercylinemoindi8446
    @mercylinemoindi8446 26 дней назад +2

    Mungu awalinde kutokana na mitego miovuya ya shetani 😢😢😢

  • @rehema-yu1qo
    @rehema-yu1qo 26 дней назад +2

    Mbaba watumbokubwa ni kinyambizi😢 humutoto apelekwe hospital

  • @graceg.g5199
    @graceg.g5199 26 дней назад +1

    Mkipata mtu in such a situation msikae hapo msikuwe mumesetiwa
    Otherwise good work for saving that girl.

  • @annaandrea2812
    @annaandrea2812 26 дней назад +1

    Sijui kwanini hamkumchoma yule mzee mkahakikisha amekufa kabisa nyie mnakuwa na huruma fulani hebu ona walichomfanyia huyu msichana jamani aiseeee Mungu akurejeshe upya mwanangu

  • @charitymwaiti1151
    @charitymwaiti1151 26 дней назад +4

    Mngelikua mnafanya kama Dangulo, mkishika mtu hakikisheni m,metenganisha mwili na kichwa ndo mtawakomesha hao majambazì

  • @talatalaco6837
    @talatalaco6837 26 дней назад +1

    Chisaka usiende we love you mkiwa na Ruff n Eric

  • @monicahnjoroge5075
    @monicahnjoroge5075 26 дней назад +1

    Glory to God, angarao chisaka atapata usingizi sasa,atapona uzuri hajatorewa figo

  • @shalomkind4575
    @shalomkind4575 26 дней назад

    Am so grateful amepatikana .Thank you LORD !!

  • @FfGg-bf6mf
    @FfGg-bf6mf 26 дней назад

    Chisaka welcome Uganda you will be one of my brothers in our family 🙏🙏

  • @mercylinemoindi8446
    @mercylinemoindi8446 26 дней назад +2

    Pokea uponyaji in the mighty name of Jesus Christ 🔥🔥🔥

  • @violetoketch
    @violetoketch 26 дней назад

    Mungu anawapenda Sana. Mshukuru mkirudi nyumbani salama.

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu 26 дней назад +1

    yani hadi mmezoea kuona maiti zimetupwa tu,Mungu awatie nguvu na awalinde

  • @damarisnjerunjeru399
    @damarisnjerunjeru399 26 дней назад +1

    Twashukuru Mungu yuko hai

  • @susanh.m-qk2pt
    @susanh.m-qk2pt 26 дней назад

    Thankyou lord kwa kumpata huyu msichana but for sure kuliko kuchoma mtu better kumgonga magoti then mnanyonga

  • @TrizahWesonga
    @TrizahWesonga 26 дней назад +2

    Hakuna kama MUNGU❤❤❤

  • @ZippyLove-xs1ry
    @ZippyLove-xs1ry 24 дня назад

    Wah 3weeks mlieka camera lkn raff ham kuwatch lkn it was too. Late kusave but mungu ponya huyu msichana na mungu awapee nguvu ruff ad ur team

  • @joycewafula935
    @joycewafula935 26 дней назад +2

    Thank you Lord Jesus Christ, thank you mtume AZIZ kwa lulinda huyo msichana, we know mtume AZIZ ako kazini

  • @Lovie-o3z
    @Lovie-o3z 26 дней назад +1

    Thank you God

  • @user-vr1gj4gn8t
    @user-vr1gj4gn8t 26 дней назад

    Glory be to God,bt msikae kwa scene mkisha save mtu mtoke ,those people are just around monitoring you.

  • @MwangalaEverlyneNelima
    @MwangalaEverlyneNelima 26 дней назад +1

    Munafanya kazi nzuri but kuna vile munafail kusukiza comments za funs,mukichoma mtu tafuta tyre si nyasi na mukiokoa mtu pia mutoke haraka kwa scene musianze kuuliza mtu maswali

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 26 дней назад

    Kwani wewe Chsaka kwani ni wewe ulim kidnapp si unawambia ilivyokuwa tu basi kwani wao si wanajua hali ya Kenya Kidnapping, Raping and selling body parts of the human being is deal in Kenya. May God provide quick recovery to your sister stay blessed

  • @user-rs6rk1ui3z
    @user-rs6rk1ui3z 26 дней назад +1

    Mungu nimwema kila wakati

  • @user-rs6rk1ui3z
    @user-rs6rk1ui3z 26 дней назад

    Mungu ampe uponyaji wa haraka ameteseka mda mrefu

  • @JosephGichuhi-tc7fq
    @JosephGichuhi-tc7fq 26 дней назад

    Waaoo, munafanya kazi poa akh mungu awaprotect sana

  • @shinehusnah6572
    @shinehusnah6572 26 дней назад +1

    Plz kateni shingo Na bolingo ikibidi toa maini kaa chifuu musiwah choma juu MTU hafi haraka napia nyinyi mulichoma Na nyasi so haingeeza muwaa..don't repeat that

  • @user-en9qq1cy9x
    @user-en9qq1cy9x 26 дней назад +1

    Mungu ndie kilakitu katika hii Dunia hakuna mshirika

  • @emilymideva8783
    @emilymideva8783 26 дней назад

    Mungu ni mwema amepatikana aenda tu hosy kwanza

  • @charitywangeci4846
    @charitywangeci4846 26 дней назад

    Mungu ampe uponyaji wa haraka aki ameteseka sana

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 26 дней назад +1

    Duu jamani

  • @user-dj1io8uy5f
    @user-dj1io8uy5f 26 дней назад

    Tokeni mahali ukipata mitu plx kszinjema mungu awabstiki

  • @EuniceWai-cq3gi
    @EuniceWai-cq3gi 26 дней назад +1

    Ondokeni haraka apo chisaka

  • @markimetalsceo8341
    @markimetalsceo8341 26 дней назад +1

    HI mtafuteni haraka b4 aaandiii

  • @DataPlus-sh3bi
    @DataPlus-sh3bi 26 дней назад

    Mungu awape moyo huo huo wa kusaidia watu

  • @LadykenyaNandigaa-eh9hi
    @LadykenyaNandigaa-eh9hi 26 дней назад

    Thankz God ❤❤

  • @Lucyluciano254
    @Lucyluciano254 26 дней назад

    Huyo Mzee hiyo moto kidogo haingemuuwa mungechinja then mtoeni hapo muende

  • @GeorgeAyieye
    @GeorgeAyieye 25 дней назад

    God thank you

  • @user-pd1bj6go7l
    @user-pd1bj6go7l 26 дней назад

    Mukimupata😢😢hiy.nze.mukate.chingo😢😢😢haraka😢😢

  • @REBAHMULONGO
    @REBAHMULONGO 26 дней назад

    Mungu akuponye

  • @violetoketch
    @violetoketch 26 дней назад

    Wachana na watu shukuru mungu. Ako mzima

  • @user-fk3jl9yp5i
    @user-fk3jl9yp5i 19 дней назад

    God protect you always

  • @lennyfrank
    @lennyfrank 26 дней назад

    Mmpeleke hosy akapimwe kwanza labda hao watu wana ugonjwa😢😢😢😢😢

  • @VAa-nb1odviolette
    @VAa-nb1odviolette 26 дней назад

    Mungu aguponye dada

  • @ZolufaMas-ie4un
    @ZolufaMas-ie4un 26 дней назад

    Aky naskia vby natamani nimupate huyo boy nimuwe kabisaaa 😢 pole san daaa

  • @alexsaidi3940
    @alexsaidi3940 26 дней назад +1

    Ambia wazazi ukweli she was kidnapped from school.. again don't be standing where the scenes mnaatarisha maisha yenu cz mdadeal na majangili walio already kufa walking dead they hv nothing to loose

  • @shinehusnah6572
    @shinehusnah6572 26 дней назад

    Sasa Chisaka mbona ukasema uko nae ungesema tuu ukwel alibakwa ..😢wazazi wakakaa wakijua hyo

  • @queenyakinangop4096
    @queenyakinangop4096 26 дней назад

    😭😭😭😭🤭umundu wathire kuu?hii niile Kenya nanjua ama niingine

  • @LuckyPromise-o4i
    @LuckyPromise-o4i 26 дней назад

    Mungu awabariki sana . Haijakuwa rahisi lakini Mungu aitwe Mungu

  • @BrendaJelagat-fb1pj
    @BrendaJelagat-fb1pj 26 дней назад

    God is great 🙏💯

  • @cynthiaburundi5116
    @cynthiaburundi5116 26 дней назад

    Tumbokubwa. Nikinyambizi.. Muguwagu. 😢😢😢😢😢

  • @anncilla
    @anncilla 26 дней назад

    Hawa watu mbona mna waacha huai mi sielewi😢😢 muwauwe kwanza

  • @TeresiahTess
    @TeresiahTess 26 дней назад

    We pray for your healing gal,

  • @hffalkurbi3812
    @hffalkurbi3812 26 дней назад

    God is so great aky

  • @user-cz9ck1fb2m
    @user-cz9ck1fb2m 26 дней назад

    Ujasiri wenu👌👌👌👌 naupenda

  • @jacksonkarisa5794
    @jacksonkarisa5794 26 дней назад

    Mtoeni plz mungu awasaidie

  • @carlolinekuria1914
    @carlolinekuria1914 25 дней назад

    woii😢😢😢,,, alafu tumbo kubwa si ni kinyambizi aki bona mliondoka kabla kinyambizi hajakufa??

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qw 26 дней назад +1

    Aku ii kenya hakuna serikali ya maana kama mambo kama haya yanafanyika ivo,ad unapata askari wenyewe nwausika pia,,,

  • @khadijah1290
    @khadijah1290 25 дней назад

    Aki mungu nimkubwa kama mschana ame patikana raf nachisaka mungu awape guvu.ebu murudi kwa ile video muangalie huyo kijana anakaa kayule alikuwa anataka kuwa Erick pale mtoni akawa amechinjamtoi jacket na kofia inafanana

  • @estherbaraka3035
    @estherbaraka3035 26 дней назад

    Kateni mtu shingo ndio mchome, na make sure amechomeka completely

  • @JosephineKageha-qx7ut
    @JosephineKageha-qx7ut 26 дней назад

    Mungu ni mwema kama mmepata huyo mrembo msipeleke yeye kwa ile shule heri akae atapewa cos badala ya kuteswa hivi

  • @user-he7ht6mj4f
    @user-he7ht6mj4f 26 дней назад

    Maskini mtoto mdogo kweli hao wazee niwakushikwa waende hela

  • @janejapan9363
    @janejapan9363 26 дней назад

    God is good

  • @Infinix23-s4m
    @Infinix23-s4m 26 дней назад

    Waaah, let lord be God for what he did for you my brothers be blessed

  • @MawiaCarol
    @MawiaCarol 26 дней назад

    Ak hizo siku ni mingi...gosh pole mommy😢

  • @luciamwikali3616
    @luciamwikali3616 25 дней назад

    May God heal her aki❤

  • @salomeomashibo1971
    @salomeomashibo1971 26 дней назад +2

    chisaka badala ya kushukuru MUNGU Ume mpata unasema utambia nini watu?muhimu hapo mume mpata ako hai🙏🙏 namba tu jambo likitokea nivizuri kyambia wenyewe sio vizuri kuficha baadaye ndio uwambie

  • @cynthiaburundi5116
    @cynthiaburundi5116 26 дней назад

    Thankyougod❤❤❤❤✅✅✅✅✅❤️❤️🤝🤝🤝🤝⭐⭐⭐

  • @jacklinemateli8952
    @jacklinemateli8952 26 дней назад +1

    Plz chisaka ad raff take other 5 young men musaidiane hii kazi

  • @evelinemose9959
    @evelinemose9959 26 дней назад

    Ye kijana from Uganda ambaye alikuja kudai kuangamiza Familia ya akina chisaka mkimpata tu hivi mkamchome vile alinajizi huyo sstr ake na hadi sasa ivi siku yake itafika tu

  • @EuniceSaru-tr1fn
    @EuniceSaru-tr1fn 26 дней назад

    Wacha tumshukuru mungu😢❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @kyaloeric5482
    @kyaloeric5482 26 дней назад +1

    Mchukue haraka mtoke hapo

  • @BarabaraSamwel
    @BarabaraSamwel 20 дней назад

    Qr mamaa

  • @MercyChepkirui-qo7kq
    @MercyChepkirui-qo7kq 26 дней назад

    Woiye mtoto ameteseka na hajakula hiyo time yote

  • @user-hd4gd1wv5l
    @user-hd4gd1wv5l 26 дней назад

    Waaaa aki wanadamu niwanyama😢😢😢😢😢😢😢

  • @GerladSimon-me3sc
    @GerladSimon-me3sc 26 дней назад

    Huyo mzee hamjamchoma? Duuuuuuh mim nashindwa kuangalia hzo vitu

  • @CaroJerry
    @CaroJerry 26 дней назад

    Mbona mkapenda kuka katukio jameni

  • @shariffamaulid
    @shariffamaulid 26 дней назад

    Chisaka pole kumaanisha yule mzee hakufa tokeni apo plz pole nenda ukawaketishe tu uwaeleze uoneshe tu videos zote watakeelewa tu broo wazazi nenda uharakishe hos plz

  • @mwariwaweru-wl4de
    @mwariwaweru-wl4de 26 дней назад

    Badala mtoke mbio ni swaliMunapotezanga muda sana na tena munaweka silaha chini hwhy?

  • @HappynessJose
    @HappynessJose 26 дней назад

    Mkipata Mtu mnaondoka haraka akitibiwa ndio manamuhoji baadae kujandirisio surulisho chisaka jikaze umubebe

  • @muzungunamalwalinet324
    @muzungunamalwalinet324 25 дней назад

    Tokeni hapo haraka mutakutwa na hao majambazi😢😢😢

  • @paullelei7993
    @paullelei7993 26 дней назад

    Tunashukuru mungu amepatikana maombi nikitu ya maana

  • @joemoki6534
    @joemoki6534 26 дней назад

    Cheseka don't kill anyone in front of small kids that might affect them please 😮😮😮😮