Biblia Takatifu Agano la kale Mwanzo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Biblia Takatifu Agano la kale Mwanzo

Комментарии • 60

  • @bahelanyakilozo7507
    @bahelanyakilozo7507 3 года назад +1

    Ubarikiwe Roho ya Bwana iwe ju yako

  • @yudamsongore6514
    @yudamsongore6514 7 месяцев назад +1

    God bless you 🙏🙏

  • @tibeitajoseph6646
    @tibeitajoseph6646 4 года назад +2

    Tuishi katika bwana Amen

  • @user-mv7mw4xu7g
    @user-mv7mw4xu7g 8 месяцев назад +1

    Safikabis❤

  • @lazaroekela3193
    @lazaroekela3193 6 лет назад +2

    natujifuze kutokana na mahandiko mataka tifu ili tuwe watu safi mashozi baba yetu mungu

  • @khairatzinzibar1434
    @khairatzinzibar1434 7 лет назад +8

    Baraka zikushukie siku zote za maisha yako

  • @stevenbupamba4161
    @stevenbupamba4161 2 года назад

    Ahsante

  • @estaedwardedward7750
    @estaedwardedward7750 6 лет назад +4

    mungu akubalik na aweze kkzidishia zaid

  • @ledrahtanzaneasexual324
    @ledrahtanzaneasexual324 5 лет назад +3

    Amn

  • @africafrank4993
    @africafrank4993 7 лет назад +5

    Ameni

  • @eliudhajilingasiku5512
    @eliudhajilingasiku5512 7 лет назад +7

    Bwana akutendee mema siku zoote za uhai wako, Ameen.

  • @graceamani6488
    @graceamani6488 6 лет назад +3

    ubarikiwe sanaaaa

  • @rozaikelelo3374
    @rozaikelelo3374 6 лет назад +4

    Ubarikiwe sana

  • @ireneandrew1621
    @ireneandrew1621 6 лет назад +1

    umebarikiwa.. ahsante sana mtume mwema wa Bwana!

  • @johnmwakasege2647
    @johnmwakasege2647 6 лет назад +4

    Mungu akubariki sana siku moja tuonane mbinguni

    • @johnwilliam1420
      @johnwilliam1420 6 лет назад +1

      heri mtu amtumaini yemungu hatatikisika kama mrima sayuni

    • @mutukumainga9103
      @mutukumainga9103 5 лет назад +1

      Nina jengeka sana kiroho kwa kusikiliza biblia ikisomwa... Mungu akubariki sana kwa usomi mzuri

  • @yudamsongore6514
    @yudamsongore6514 7 месяцев назад +1

    MasomoYenuNiMazuriMno

  • @nelsonishengoma6242
    @nelsonishengoma6242 7 лет назад +4

    amen

  • @mamatuishi-mamatuondoke8822
    @mamatuishi-mamatuondoke8822 8 лет назад +6

    Ufe uzee mwema na ujae heshima kama baba ibrahim--thenk you my frend

  • @mammyali3424
    @mammyali3424 7 лет назад +5

    amen sichoki kusikiliza ubarikiwe na Bwana. ...

  • @belianludisi3460
    @belianludisi3460 6 лет назад +1

    Barikiwa katika jina la Yesu Amen

  • @sagilongonile4191
    @sagilongonile4191 8 лет назад +5

    mungu ni pendo atupenda

  • @ghhfgbgfhh1980
    @ghhfgbgfhh1980 6 лет назад +1

    Barikiwa mtumishi

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 5 лет назад +1

    Amen

  • @Nnnnnnnnnnnnnnnnnnnmmmmmmm
    @Nnnnnnnnnnnnnnnnnnnmmmmmmm 3 года назад

    Amen smen ubariwe saana 🙏🙏🙏

  • @salmamustapha289
    @salmamustapha289 5 лет назад +1

    Mungu akubaliki sanaaa

  • @mariammariamjumatano8197
    @mariammariamjumatano8197 5 лет назад +1

    mungu akusimamie

  • @nambokasafi3780
    @nambokasafi3780 3 года назад

    Biblia takatifu agano

  • @Nnnnnnnnnnnnnnnnnnnmmmmmmm
    @Nnnnnnnnnnnnnnnnnnnmmmmmmm 3 года назад

    Amen Ubarikiwe

  • @iddyissa8110
    @iddyissa8110 3 года назад

    God is love

  • @kelvinvenance1483
    @kelvinvenance1483 7 лет назад +3

    Asante

  • @sarahgichuru4006
    @sarahgichuru4006 8 лет назад +6

    Barikiwa sana kaka unaye tuletea injiri mpaka kwa simu # jordan

  • @fridahmaingi6025
    @fridahmaingi6025 5 лет назад +1

    Mungu akubariki sana kaka..

  • @dimariaanger6891
    @dimariaanger6891 7 лет назад +5

    nice

  • @abduldaniel6273
    @abduldaniel6273 6 лет назад +1

    asante sana

  • @ufc-ultimatefightingchampi8456
    @ufc-ultimatefightingchampi8456 5 лет назад +3

    Tafadharini ndugu na jamaa, tukisikiliza kwa watu au tukisoma haya maneno yalio andikwa na watu Yaani ni Biblia au vitabu vyovyote vinavyo Hadithia maneno ya mungu , Tujitahidi kuelewa maana zake, la sivyo tutapelekwa motoni kesho kwa Mungu, kwa kuamini na kuhabudu visivyo habudiwa. Mungu hana huruma kwa makosa yetu wenyewe kwa kufauta ushawishi bila ya kufuatilia maana yake. sasa kama Adam na Awa walizaa watoto wawili, yaani Ken na Abel. Ki ukweli Duniani kote kulikuwa na watu wanne si ndio yaani Adam, Awa, Ken na Abiel, Na baada ya Ken kwa kumuhua kaka yeke Abel kwa chuki ya wivu na mungu hakupenda si ndio , na Ken hakaondoka kivyake, na Duniani kulibakia na watu watatu yaani Adam, Awa na mtoto wao Ken, na huko Ken halipo kwenda hakamuoa mwamke na kuzaa nae si ndio, swali ni hili, Huyo mwanamke halie muoa Ken nakuzaa nae, Halitokea wapi? naomba mni saidie kunijibu, God bless thanks.

    • @fridahmaingi6025
      @fridahmaingi6025 5 лет назад +1

      UFC-Ultimate Fighting Championship** pengine mungu alishusha mke kutoka mbinguni,you never know sababu kama akona uwezo wa kuumba je asiwe na uwezo wa kushusha mtu kukoka mbinguni?never doubt the word of God .

    • @ufc-ultimatefightingchampi8456
      @ufc-ultimatefightingchampi8456 5 лет назад

      @@fridahmaingi6025** thanks kwa kunijibu Fridah Maingi.. ...lakini unachosema ni unakifiria kutoka kichwani mwako, na wala hakipo katika Biblia tunazozisoma kwamba mungu halishusha mke kwa Ken, jaribu kuwa mkweli na mlango wa peponi utakukalibisha, usiwe bendela ufuata upepo yaani usiogope kuwa mkweli na mungu God bless ..

    • @fridahmaingi6025
      @fridahmaingi6025 5 лет назад

      UFC-Ultimate Fighting Championship**sitasema sana nisije nikaleta kutoelewana ..pili mungu ujitetea mwenyewe.lakini si unakumbuka biblia inasema kuna mambo mengi mno ambayo yesu alitenda lakini hayakuandikwa?kwanini tusiamini baada ya mungu kuumba watu wa kwanza aliendelea kuumba?sio watu wote walioishi enzi hizo yenye yaliandikwa...bali tu yenye yatamfanya mwanadamu ajue kunaye muumba wake.

    • @ufc-ultimatefightingchampi8456
      @ufc-ultimatefightingchampi8456 5 лет назад

      @@fridahmaingi6025 Asante Fridah..usijali hatutokoseana ni tuna helimishana kuhusu kumfahamu mungu,,Unaishi wapi

    • @fridahmaingi6025
      @fridahmaingi6025 5 лет назад

      UFC-Ultimate Fighting Championship** mimi mkenya.

  • @boniphacemsagaa5180
    @boniphacemsagaa5180 6 лет назад +1

    Ameni

  • @zahaljamal4520
    @zahaljamal4520 5 лет назад +1

    Ubarikiwe sana