Mirindimo: kijana amletea raha mno Rais Uhuru Kenyatta akizuru kaunti ya Mombasa
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Katika Mirindimo tunaangazia kijana mmoja huko kwale ambaye alileta raha kwa rais Uhuru Kenyatta, huku naibu rais William Ruto akionyesha ubingwa wake kwa kuimba nyimbo za injili.
SUBSCRIBE to our RUclips channel for more great videos: / ktnkenya
Follow us on Twitter: / ktnnews
Like us on Facebook: / ktnnewskenya
For more great content go to www.standardmed... and download our apps:
std.co.ke/apps/...
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
Great people Kenya tunaipenda
I say thanks to God oolord naiombea NHI yangu ya Kenya owe na amani wakati WA election hatutaki u.wagikaji WA damu God save your nation Catherine from Lebanon
Mko sawa nyingi nyote akuna matuzi mungu ataamua kiongozi mwenyewe
Kenya tuko mbele we have everything. God have mercy.,
Good for my proudly vice presdent
hahaa😂😂sasa mtamwita Mungu jameni.mwiteni siku zote sio huu mwaka tu😂😂😂
Mungu yupo
sis tunawaombea tu jubblee ikipita ni yetu ODM ikipita ni sawa ila tunataka amani upendo na umoja kwa nyinyi viongozi jumula mungu mwenyezi awape upendo. n bila hiyo kazi yenu mungu anakasirika nayo.
Elizabeth Nafunae.
Dada Elizabeth hapo umenena, asante kwa ushauri wako, Mungu na akubariki.
Sam John Amen n Amen my bro kusema sio kumaanisha umefaulu ila ni mungu tunalilia kenya yetu iwe n amani nashukuru sana tena nawependa wanasiaza wote maan hujui ya kesho😩😩😩😩
Elizabeth Nafunae amen
Elizabeth Nafunae kweli
Elizabeth Nafunae Amen
I can see Nkaissery
Tuombe Kenya amani wakenya wenzangu uchaguzi huu unaokuja hatukuwa urahisi, lakini mwisho wacku lazima mshindi na mshindwa wakubali matokeo . ni Wyclife kutoka +49
Wyklife Kalama nice tok Kaka
mwakumbuka kama kuna Mungu siku za Campeign.....mafala sana JuBiLiii.......we hate you!
evans gambo wakati wa mwisho ndo mwanadamu humkumbuka Mungu ,,,hata wanafunzi wakati wa knec ukiwadia ndo wajua kuna Mungu ...so it's nature don't blame jubilee
Wacha wivu afadhali kuzaliwa mwizi kuliko kuzaliwa mjinga mwizi aeza okoka lkn mjinga hufa na ujinga wake kaa wewe sasa
raila na rutu na uhuru kenyatta na Kalonza atakuwa rais wakenya
this Kenyan politicians will kill me one day with laughter 😂😂😂😂😂
Kenya politician will kill me one day with laughter
siasa haipiti kwa matusi kwa kukosa adabu kwako waona sifa basi wakenya wanakuona kuwa wewe ni mtu wa matusi hufai na wewe mama hukuitwa odm na hukufukuzwa fuata lako sisi hatupigii kura chama tunapiga kura kwa mtu na matendo yako kma hukufanya vizuri kwa odm hiyo ni tabia yako ata uko jubilee hutafanua vizuri usidhani umejificha uko unaagaziwa
hahaha aki hawa viongozi yawah...wameokoka wote elections zikiisha waanguke😂😂😂
wameokoka sasa,karibu kupatizwa August. Pweeeeeh!
incoming president halo william
...kalembe ndile 😂😂😂
tena naomba mtu ukitoka jubelee usijisifu maan haujui mungu anampango ngani nawe pia ODM pia hivyo mungu ako unakuona eeeeeh chunga ulimi wako. nikitoka lakini matatizo yake mkumbwa mno ambia mungu vile unaongea akusamehe yangu ni hayo barikiweni n ODM N JUBELEE UWACHA NI WENU SIZ RAYAA TWAWEKA MACHO BOX SITAFANYA KAZI. BYE
Elizabeth Nafunae
wanafaa watuelezee wakishindwa watafanyia wananchi nini kwa sababu kenya ni moja? sio mambo tukishinda! asante Eliza.
Sam John unajua Bro hao wanapika kifua lakini raya tunaumia mambo yatakuja kubatilika wanashukuru kuuwa wezao kiweni wapole jinzi yesu alivyo mpole na mutabarikiwa hawajui Mimi naumia huku Galf nao wako sawa mmh watu wetu wanakufa huku Saudi Arabia fikiria hapo Jubblee ingekuwa kenya yetu iko sawa watu hatungiteswa hivyo tunalia machozi ikianguka kwa tumbo bro Asante jubblee jeuliza kura ngabi zeko inch kwa sababa ufisadi hakuna pesa kenya msikini.Ndio tunatangatanga kwa inch ya kiarabu, maan warabu wanapotuona wanajua sisi msikini ati fi mshikila mafi fulusi swai mmh uhuru watu kama makumbwa wacha tuumie tukikula mchele kila siku eeeeh. lakini mpendane kama wakenya.
Elizabeth Nafunae na ujifuze kuongea kiswahili inakupiga chenga sana uarabuni kuko vp?
Mimi odm apna i know the sequences of drugs to our children
Sonko na kiswahili😂😂😂😂
viongozi Sasa mnatuchosha, matusi ni ya nini?
Eti tukitukana ss twatiwa ndani🤔🤔😠😠
wewe sonko nyinyi mwahubiri amani gani na watukana wenzako nyinyi ni wavuruga amani huwezi sema wataka amani na watukana sasa nawe ukitukanwa wasema mbona odm hawakutukana hapo wacha ufedhuli
Happy times ,wajua nini nyani haoni kudule vyama vingine hawatusi wana jubilee apo unakimya tu husemi
Staaap singing🙄 ur the problem we have!! 🤒