Mzee Gideon L. Mwenda kwenye miaka ya 1985 hadi 1990 wimbo huu aliuimba hivi, Tazama niko mlangoni, naomba nifungulie; Natamani,natamani ii, natamani kuingia. Naomba nifungulie, na nipate ingia kwako,; Huzuni zote zitakwisha, Natamani kuingia. Kwaya Teule Kijitonyama. Nimekumbuka mbali sana, mbarikiwe.
Nafunga mwaka na huu wimbo leo, baba angu alikua akiupenda sana nikiwa mdogo miaka 5, na sasa nna miaka 29. I just love the song so much, for him.
naukubali sana huu wimbo
I love this song very very very much.
Kwaya ya nyumban kabisaa mbarikiwe sanaa ndugu zangu
Mzee Gideon L. Mwenda kwenye miaka ya 1985 hadi 1990 wimbo huu aliuimba hivi, Tazama niko mlangoni, naomba nifungulie; Natamani,natamani ii, natamani kuingia.
Naomba nifungulie, na nipate ingia kwako,;
Huzuni zote zitakwisha,
Natamani kuingia.
Kwaya
Teule Kijitonyama.
Nimekumbuka mbali sana, mbarikiwe.
Mbarikiwe, nyimbo hizi zinatusogeza karibu na uwepo wa MUNGU
Mungu awabariki waimbaji wote wanatubariki sana
Wimbo mzuri sana
Nimebarikiwa mnooo wimbo mzuri sana.
nimebarikiwa na nyimbo hizi
Ninaupenda Sana wimbo huu na sichoki kuusikiliza
Album yao natafuta jaman, mwenye jina la album tafadhali
nami pia
Aisee post na ule mwingine unaitwa unioshe niwe safi
Nabarikiwa sana na hizi nyimbo, hivi album yao inapatikana siku hizi
ALBAMU YAKE JAMANI TUNAOMBA
Purely inspired, really voices
Weka album yote
kama umeurudia huu wimbo zaidi ya maramoja kuja hapa