PAUL MWANGOSI: NAKUAMINI YESU NAKUAMINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • MOYO WA IBADA.
    Hizi ni siku za Mwisho lakini Imani yako umweka wapi
    Maana Biblia inasema mwenye haki ataishi kwa Imani
    Usiku ule Musa anamsikia Mungu akitoa maelekezo juu ya kupaka Damu katika milango, yamkini kuna baadhi ya Wamisri walisikia, Ila hawakuwa na Imani
    IMBA WIMBO HUU PAMOJA NAMI KWA IMANI
    NAKUAMINI YESU NAKUAMINI
    NAKUAMINI YESU NAKUAMINI

Комментарии • 154

  • @edrozakfashionstylish5500
    @edrozakfashionstylish5500 Год назад +9

    Suwezi hata kuandika zaidi ya kulia
    Sijui kwanini nishindwe muamini alonitendea ni mengi sana kama ameweza kunilea tangu wazazi wangu waondoke duniani nimekuwa nikilelewa na watu mbalimbali hata hapa nilipo ni neema yake tu.
    Miaka 22 bila wazazi na sasa niko Europe naishi maisha niliyoyataka why not?😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
    I trust you Jesus, I love you Jezu, I worship you Jesu ❤

  • @goodluckmsuya8994
    @goodluckmsuya8994 Год назад +24

    Nakuamini Yesu wangu bado nitaendelea kukuamini YESU WNGU

    • @rulebudodo2301
      @rulebudodo2301 Год назад

      Umefanya vema sana kaka. Mungu azidi sana ndani yako

    • @natembeanayesukristo_madha9295
      @natembeanayesukristo_madha9295 Год назад +1

      My brother naomba nifundishe kumtumikia Mungu katika uzuri wa utakatifu wake kama vile daudi alivyosema nitamtumikia Mungu katika uzuri wa utakatifu wake....

  • @lydiaaruba6670
    @lydiaaruba6670 9 месяцев назад +1

    Kama unaamini kuna Watu Mungu anawatumia kubariki na kuinua Imani za wenginegonga like hapa..❤❤🇦🇸🇦🇰🇪🇰🇪

  • @JoeKaragu
    @JoeKaragu Год назад +15

    This new song "Nakuamini", God gave me the exact same song last year October 22 and I actually recorded a voice note.
    When I heard you sing it I remembered it immediately. Glory to God for using you mightily!

  • @Suzana-cw5cd
    @Suzana-cw5cd Месяц назад

    NAMI naamin Yesu atatenda Kwa Yale ninayopitia leo kazini kupata haki yangu.

  • @neemakitasho2305
    @neemakitasho2305 Год назад +3

    Huu wimbo nimeusubiri mno nilikuwa nausikiliza online radio ya Mungu kwanza kila ukipigwa naacha kufanya ninachofanya na hata ukipigwa nikiwa usingizini naamka. Wimbo huu una upako wa aina yake. Barikiwa mtumishi na huduma yako inabadilisha...Mungu aendelee kukutumia kutuvuta karibu Naye.

  • @SherryEverest
    @SherryEverest 3 месяца назад

    Nakuamini Yesu bado Nakuamini wewe
    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @marynyambu8886
    @marynyambu8886 8 месяцев назад +1

    I want a miracle of healing lord I want to testify your healer name najua utaniponya tu😢😢

  • @devotharaphael9392
    @devotharaphael9392 4 месяца назад

    Hata sasa katika haya mapito yanayoendelea bado nakuamini Yesu.😭😭😭😭

  • @JBB875
    @JBB875 4 месяца назад

    😭😭😭 nakuamini sana YESU nakuamini mnoooo kuliko vyote 😭😭😭🙌🙌🙌🙏🙏🙏

  • @aivanntomi9484
    @aivanntomi9484 2 месяца назад

    Nakuamini Nakuamini Nakuamini Nakuamini Nakuamini Nakuamini Nakuamini Yesu

  • @donniemirobo8047
    @donniemirobo8047 Год назад +5

    Kaka Mwangosi nami pia namwamini Yesu pamoja na mlango wote wa nyumba ya baba yangu.

  • @dokasimwamlima3550
    @dokasimwamlima3550 Год назад +5

    Ameni ameni aaminiwe aliyeko ju ju ju ju zaidi huu ni wimbo wenye nguvu rohoni hakika mungu azidi kuwajalia nguvu zaid na zaid za kutoa nyimbo nyingi kuweza kulitangaza jina la mkuu alie umba mbingu na nchi hakika hallelujah hallelujah mungu awabaliki Sana nyote mulioshiliki nyimbo hii maana tumepokea kitu ndani yake 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌👈

  • @RuthKhamali
    @RuthKhamali Год назад

    Amina nakuamini yesu hata kama hujanijibu wewe unajibu nakuamini yesu

  • @dorcasmaunganya9299
    @dorcasmaunganya9299 Год назад +2

    Amen Amen Huu ni wimbo wa moyo wangu Asante YESU kwa ajili ya Mwangosi nimejibiwa Maombi ,,, NAKUAMINI YESU Was waiting for this miracle may your soul be blessed abandantly...

  • @oliveessveedee
    @oliveessveedee 8 месяцев назад +1

    Hakika,hakika...nakuamini Sina mashaka na wewe.......

  • @wendebange8580
    @wendebange8580 Год назад +1

    Amina sana mtumishi tupone

  • @felicianamhema9411
    @felicianamhema9411 Год назад +1

    Amina Bwana YESU. Nakuamini na nitaendelea kukuamini bila kujali ni nini kinatokea kwenye maisha yangu. maana ahadi zako ni kweli na kama uliahidi hutaniacha utakuwa pamoja siku zote hata ukamilifu Bwana YESU nakuamini. AMINA, UBARIKIWE SANA MTUMISHI WA MUNGU NA MUNGU AENDELEE KUKUTUMIA KWAAJILI YA UTUKUFU WA JINA LAKE MILELE NA MILELE. 🙏

  • @dorcasmaunganya9299
    @dorcasmaunganya9299 Год назад

    AM BLESSED MUCH🙏... na Bro Msuya YESU akuinue zaidi.. niliona clip nkataman ata nipate ii nymb since last year was pray for... THANKS MUNGU awakumbuke daima

  • @christophermuli-jy6qs
    @christophermuli-jy6qs 3 месяца назад

    In seasons and out of seasons,,,ana stahili kuaminiwa milele

  • @marymalingunamulinda1858
    @marymalingunamulinda1858 Год назад +3

    To me this is the song of the year Lord Jesus I know and believe you are alive sitted at the right hand side of God the Father. I trust in you

  • @user-uf5sz2nk6w
    @user-uf5sz2nk6w 11 месяцев назад

    Mungu akubariki mwangosi kwa huu wimbo mzuri

  • @oman798
    @oman798 8 месяцев назад

    AMINA ni YESU tu peke yake Haufananishwi

  • @sallyo6099
    @sallyo6099 Год назад

    Baba mwaminifu ......YESU nakuamini!

  • @johnfilbert5915
    @johnfilbert5915 Год назад +2

    Mtumishi ulikuwa umetutelekeza vijana wako tunaohitaji kumwabudu Mungu katika viwango vya juu,barikiwa sana

  • @AbigailElius
    @AbigailElius 10 месяцев назад +1

    Nakuamini Yesu

  • @paulinekimani7687
    @paulinekimani7687 Год назад +3

    Powerful song.full of holy spirit.hata Mimi Yesu nakuamini.yote yaliyo mbele yangu.nakuamini 100 percent bila wewe Mimi siwezi.

  • @lucywangui1552
    @lucywangui1552 Год назад +2

    Nakuamini kwa Hili🙌🙌🙌hata kama naona nikungumu nakuamini mungu wangu.time like this I will testify how faithful your timing is🧎‍♀️🙏.

  • @Minister_Vinnie
    @Minister_Vinnie Год назад +5

    I will always believe and trust in You Jesus no matter the situation 🙏

  • @PendoJohn-jk5jx
    @PendoJohn-jk5jx Год назад

    Nakuamini Yesu ni mengi umenisaidia, nisamehe kutokuamini kwangu

  • @PendoJohn-jk5jx
    @PendoJohn-jk5jx Год назад

    Nakuamini Yesu, nisamehe kutoamini kwangu

  • @markpaulmumba5847
    @markpaulmumba5847 5 месяцев назад

    Nakuamini wee YESU

  • @augustinenjagi404
    @augustinenjagi404 3 месяца назад

    My all time worshiper. One day by God's grace we will meet and plan something. Yesu nakuamini.

  • @michaelmbena6644
    @michaelmbena6644 Год назад

    tunaomba utuwekee na wimbo wa ebeneza huwa naupenda sana

  • @IloveJesus-nd7sw
    @IloveJesus-nd7sw 9 месяцев назад

    Utukufu kwa Mungu.
    I do trust Jesus.

  • @sarahmtindo2373
    @sarahmtindo2373 6 месяцев назад

    Yesu nakuamini 💯

  • @JoyceAkyoo
    @JoyceAkyoo Год назад +1

    Haufananishwi BWANA, wewe pekee ninakuamini YESU❤❤

  • @tumainimwaitebele8926
    @tumainimwaitebele8926 11 месяцев назад

    Nakuaminiiii, YESU nakuaminiiii.

  • @elkanakilumbe
    @elkanakilumbe Год назад +1

    Nakuamini Yesu Nakuamini,

  • @amirikitururu9494
    @amirikitururu9494 8 месяцев назад

    Nakuamini yesu wangu

  • @namlehufrancis2655
    @namlehufrancis2655 Год назад

    Nakuamini Bwana katika haya nikuombayo ipo siku utanijibu Yesu nakuamini😭😭😭😭😭😭

  • @evelynsalila
    @evelynsalila 3 месяца назад

    Nakuamini yesu 🙏

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Год назад

    Ameen ubarkiwe mtumish

  • @ruthsakipuga3511
    @ruthsakipuga3511 Год назад

    Nakuamini Yesu nakuamini

  • @ianmurengu1540
    @ianmurengu1540 Год назад +2

    I PUT MY FAITH IN YOU LORD GOD!

  • @sitikatembo5835
    @sitikatembo5835 Год назад +2

    Nakuamini Bwana Wangu Yesu Kristo 🙌🙌

  • @janetshuma4605
    @janetshuma4605 Год назад

    Nakuamini Yesu though nmepoteza watoto utanipa wengi zaidi , this is my cry to you. My name is mom of Nations kwa baraka zile ulizompa Sara

  • @paumtur4822
    @paumtur4822 Год назад

    Yesu nakuamini wewe katika Mapito ninayoyapitia nakuamini utanivusha,hakika ntaendelea kukuamin Leo,kesho,hata mile..Amina.😭😭🙏

  • @frankanatory6801
    @frankanatory6801 Год назад +1

    Power full groly to the lord God almighty the king majesty

  • @felicianamhema9411
    @felicianamhema9411 Год назад

    Nakuamini Bwana Yesu naamini kuwa utakuwa pamoja nami siku zote huchoki kunihurumia na kunitendea na kunitegemeza. Jina lako Bwana Yesu na lihimidiwe. Asante Yesu kwa kila kitu kwa furaha na kwa huzuni, kwa kupata na kwa kukosa, kwa kushinda na kwa kushindwa. Daima wewe utabakia kuitwa Mungu. Asante sana Bwana yesu

  • @sejoko
    @sejoko Год назад

    Nasema, Yesu Nakuamini Amina; Baraka na utukufu na shukrani na uweza na nguvu zina Mungu wetu hata milele na milele. Amina.

  • @stellakussaga3537
    @stellakussaga3537 Год назад

    Woooow!!!huuu wimbo ni mpya bila shaka!!!kwekweli nakuamini Yesuuuuu shujaa wa msalaba!umegusa moyo wangu!!! upandishwe Kwa viwango vya juu zaidi na zaidi mtumishi Paul Mwangosi!!!

  • @nurusaidi3642
    @nurusaidi3642 Год назад

    Nakuamini Sana yesu wangu ni nini kinitenge na upendo wako dhiki njaa au uchi nakuamini mnooooooo yesu Mungu akubariki Sana Paul mwangosi

  • @user-vu6vd7re9r
    @user-vu6vd7re9r Год назад

    😭nakuamini Yesu🙌

  • @cherry00510
    @cherry00510 Год назад

    JINA LA YESU LIIINULIWE SANA

  • @user-gr4vu2qh9s
    @user-gr4vu2qh9s Год назад

    Mungu akulinde 🎉

  • @janetshuma4605
    @janetshuma4605 Год назад

    Nakuamini YESU hujanikatia tamaa, najua upendo wako kwangu n mkubwa sana, I need a joyful life from you

  • @egesatv7997
    @egesatv7997 Год назад +2

    I really love this man of God, I keep praying for you Sir. Hope one time will meet

    • @lydiaaruba6670
      @lydiaaruba6670 7 месяцев назад

      He's a very humble creature one day I met him live, prepare for a conference Dodoma thuandamane I

  • @jannefidelis1364
    @jannefidelis1364 Год назад

    Balikiwa sana

  • @natembeanayesukristo_madha9295

    My brother naomba nifundishe kumtumikia Mungu katika uzuri wa utakatifu wake kama vile daudi alivyosema nitamtumikia Mungu katika uzuri wa utakatifu wake....

  • @rosemaryulomi2282
    @rosemaryulomi2282 Год назад

    Hakika katika hali zote.Yeye Yesu Kristo anadumu wakuaminiwa,milele na hata milele.

  • @berthabernard622
    @berthabernard622 Год назад

    Sioni cha kunitega na wema wako Yesu nakuamini kwako niko salama

  • @marygati4688
    @marygati4688 Год назад

    Naamini kwa hilo kabisa

  • @nawikemwasamboma5510
    @nawikemwasamboma5510 Год назад

    Namuamini yesu maana Kama siyo yeye Mimi nisinge comment

  • @richardkayumbo2885
    @richardkayumbo2885 Год назад

    Kuna uzima wa milele katika kumwamini Yesu Kristo. Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwa wimbo wa ibada, ni wimbo unaogusa sana.

  • @godfreyezekiel6448
    @godfreyezekiel6448 Год назад

    BWANA nakuamini🧎🏾😭

  • @dogemushi5560
    @dogemushi5560 Год назад +1

    Nakuamini Nakuamini sana Yesu wangu❤❤

  • @khainzajoan9602
    @khainzajoan9602 Год назад

    Wow amen amen amen amen 🙏

  • @gwamakamwasongwe8053
    @gwamakamwasongwe8053 Год назад

    Nakuamini Yesu Kwa Mtumishi wako Mwangosi Mungu wewe ndiyo Kila kitu kwetu

  • @rosekandonga6023
    @rosekandonga6023 Год назад

    Nakuamin Mungu wimbo umenivusha kwayale nayo kumbana nayo najuwa Mungu nakuamin m balikiwe watumishi Mungu awainuwe zaid

  • @user-tx3ei3gi9t
    @user-tx3ei3gi9t 9 месяцев назад

    Amina 😢😢😢

  • @Johnsonkayila
    @Johnsonkayila Год назад +3

    Very Powerful 🔥🔥 still am believing in Him

  • @aivanntomi9484
    @aivanntomi9484 2 месяца назад

    Amen

  • @ellyraphael6067
    @ellyraphael6067 Год назад

    Amen 🙏

  • @sarahshibonje1201
    @sarahshibonje1201 Год назад

    I wil always trust u Daddy coz in Isaiah 55:11 says no word comes out of your mouth wil come back to u null and void I trust u Jehova Adonai

  • @neemaelinyari807
    @neemaelinyari807 Год назад

    Nakuamini Yesu hujawahi kunia Cha hata nilipojikwaa uliniinua Tena.Asante kwa rehema zako.

  • @paulwafula1958
    @paulwafula1958 Год назад +1

    To God be the glory ❤

  • @eliasfijabo4995
    @eliasfijabo4995 Год назад

    Amen good songs mungu akuinue kwa viwango sana

  • @lazaroraphaelmwandosya7010
    @lazaroraphaelmwandosya7010 Год назад +1

    nakuamini Bwana🙏🙏🙌

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore2236 10 месяцев назад

    Hallelujah

  • @adrofina1376
    @adrofina1376 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽🧎‍♀️🧎‍♀️🧎‍♀️🙏🏽

  • @jesusisgood..3068
    @jesusisgood..3068 Год назад

    Bado NAKUAMINI BWANAAAA😭😭😭 YESU NAKUAAAMINI NA KUKUPENDA SANAAA😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @abbygaelsharon497
    @abbygaelsharon497 Год назад

    Yesu nakuamini hata kama hujatenda bado nitaendelea kukuamini

  • @rachelkaymax547
    @rachelkaymax547 Год назад

    YESU NAKUAMINI...BARIKIWA SANA MTUMISHI WA MUNGU

  • @emmanuelepafradito3766
    @emmanuelepafradito3766 Год назад

    Nakuwekea amana maisha yangu yesuuu🙌

  • @ezrakaturitsaofficialtz7873
    @ezrakaturitsaofficialtz7873 Год назад

    Naomba uni feat kwenye video ya huu wimbo Mr Paul Mwangosi hata Mimi ni Gospel sivumi lakini nimo

  • @nawikemwasamboma5510
    @nawikemwasamboma5510 Год назад

    Asante kaka mwangosi kwa kunifundisha kitu. Hapa nimeelewa nilikuwa sijui chochote

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Год назад

    🙏🙏
    Amen n amen
    We miss u mwangosi jmn kwenye semina,duh

  • @breakthroughsynagogue2021
    @breakthroughsynagogue2021 Год назад +1

    be uplifted my brother in service and calling.....glory be unto Him who liveth above

  • @Boniface.
    @Boniface. Год назад

    Amen Amen Hakika katika yote tunakuamini Mungu

  • @marlynnecheruto184
    @marlynnecheruto184 Год назад +2

    Powerful song🙌

  • @EmmanuelKwayu
    @EmmanuelKwayu Год назад

    Amina Sifa na Utukufu kwa Mungu pekee

  • @lagatperis4319
    @lagatperis4319 Год назад

    Nakuamini yesu hatapavume dhoruba kiasi gani tumaini langu li kwako

  • @lutenganokalonge8684
    @lutenganokalonge8684 Год назад

    Mzee Wa Siku(NIKO AMBAYE NIKO) Nakuamini

  • @gabrielmwakwenje8924
    @gabrielmwakwenje8924 Год назад

    Asante Yesu nakuamini Baba... ubarikiwe sana mtumishi...

  • @lilianwere9628
    @lilianwere9628 Год назад

    Amen. YESU NAKUAMINI. HALLELUJAH

  • @AshleyNassaryOfficial
    @AshleyNassaryOfficial Год назад +1

    Utukufu Kwa YESU barikiwa sana baba🙌

    • @vmavindu3803
      @vmavindu3803 Год назад

      Nmefurahia kuona hapa mtumishi 🙌🏽

  • @nsiaussiri1025
    @nsiaussiri1025 Год назад

    Nakuamin Yesu wng 🙏🙏🙏

  • @esther-we1wr
    @esther-we1wr Год назад

    ooooh halleluja nakuamini yesu wangu

  • @ezrakaturitsaofficialtz7873
    @ezrakaturitsaofficialtz7873 Год назад +2

    Amen Holy Spirit is in this Song