SENSA 2022: WAHADZABE WAIPA MASHARTI SERIKALI/ "HATUTAHESABIWA"/ RC SINGIDA AWAFUATA VIJIJINI
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- ZOEZI LA SENSA AMBALO LINATARAJIWA KUFANYIKA MWEZI AGOSTI MWAKA HUU 2022 LIMEANZA KUINGIA DOA, KUFUATIA JAMII YA WAHADZABE KUIWEKEA NGUMU SERIKALI
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#WAHADZABE #SENSA2022 #TANZANIA
Wako sawa,wanaoesabu wenyewe wamepewa hela na wao nyama wapewe
Kiekiekieeee
Wahadzabe
😂😂😂 wanataka nyama kwanza