SAKATA SERIES""Episode 15 Starling Tinwhite kilangaso Dagobert Queen Kiduchu Tausi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 321

  • @cynthiampawenimana7594
    @cynthiampawenimana7594 2 года назад +19

    Numbr one from Burundi 😍😍😍

  • @fabianoerastus5445
    @fabianoerastus5445 2 года назад +12

    Straight from Doha was waiting for this ndio kimeeleweka bigup Sana wanangu munanitengezea Siku🥰🥰🥰🥰🥰🥰 wacha sakata itambe
    Mm ndio wa kwanza

  • @iddykayembe727
    @iddykayembe727 2 года назад +15

    Dumelapwani anakipaji kikubwa Sana✍️💛💛💛

  • @stellageorge1813
    @stellageorge1813 2 года назад +13

    😂😂😂😂Kilangaso angetuliaga kwa mkewe hay yote yasingemkuta Leo amekutana na mkono wa Nagwa 😂😂😂😂

  • @egideemmanuely9937
    @egideemmanuely9937 2 года назад +11

    Hii isiishie kwene twenty au thirty liwe kama za kihindi! Big up tunawapata vema kutoka Bujumbura Burundi

  • @prophetislael5265
    @prophetislael5265 2 года назад +2

    Tin nakufuatilia sana kwenye hii cin yaulev huyo jamaa hajakava kabisa mwili umelewa ila sula wakat mwengine watafute wakina masele au kiduku ingia mfukon baba tupate vitu vizur

  • @kingkipeto3996
    @kingkipeto3996 2 года назад

    Sakata jamani tin kilangaso dube la pwan big up mnajua kumaliza mb zang 🤣🤣🤣🤣

  • @sifamugwaneza8774
    @sifamugwaneza8774 2 года назад +3

    2day I'm number 1 👌 team #Tinwhit mpo wapiiii jmn huku pame taradadiiii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @harrisonhamisi9971
    @harrisonhamisi9971 2 года назад +3

    Duh!! kilangaso utatoboa kweli,,kazi nzuri sana asanteni 🔥🔥🔥

  • @boionemkenyaofficial8822
    @boionemkenyaofficial8822 2 года назад +1

    Daaaah hii Kali kweli 💯✅ wanangu nawakubali kinoma haipingwi haikataliwi palipo na nagwa apana mchezo wewe, Ila kilangazo utaijua mwenywe

  • @mchambikisupi9204
    @mchambikisupi9204 2 года назад +8

    KILA ngaso is the best even in Sirius movies

  • @jordanjonas8009
    @jordanjonas8009 2 года назад

    Jaman jeska nampenda sana yaan kiufupi jeska ni mzuri sana daaah

  • @dicksonbaya5263
    @dicksonbaya5263 2 года назад

    Big up sana team white films from Mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @innocentmathias8668
    @innocentmathias8668 2 года назад +2

    Ila nagwa kwel muhuni yaan hujui lolote et we ndo zakayo uliyemsaliti Yesu😁

    • @Mustykhan
      @Mustykhan 2 года назад +1

      😂🤣😂🤣🙏🥰🙈

  • @nonequeartur126
    @nonequeartur126 2 года назад

    Nimeipenda michongo yako we Abdul

  • @abdulytanu3905
    @abdulytanu3905 2 года назад +3

    Ebwana eee fund kafuata friji lakee 😂😂😂😂😂😂kilangaso kazi unayo

  • @aliyamohammed4112
    @aliyamohammed4112 2 года назад +7

    Nagwa jamni si umwonee hurumaa kilangasoo 😂😂😂ameingia Kwa familia ya utawala much love guys 🥰🥰 one love from Kenya 🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️

  • @Iamwinningspirit27
    @Iamwinningspirit27 2 года назад

    Deeper freezer Abdul anazizima zote 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @barakaemanuel4838
    @barakaemanuel4838 2 года назад +3

    Unajitahidi bro hongera tihwhite 👋👋👋

  • @dorcaskiyondi9726
    @dorcaskiyondi9726 2 года назад +1

    Nawapenda bure,much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @congoprince879
    @congoprince879 2 года назад +3

    Number one from 🇨🇩

  • @asanalmiller7342
    @asanalmiller7342 2 года назад +1

    Abdul snitch bora wa mwaka😂😂😂

  • @solizzychessossa1044
    @solizzychessossa1044 2 года назад +9

    One love for Moçambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

    • @Azizisualesaide2004
      @Azizisualesaide2004 2 года назад +1

      One love from Litingina-nangade Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

    • @solizzychessossa1044
      @solizzychessossa1044 2 года назад

      Pamoja

  • @pablomakaveli0014
    @pablomakaveli0014 2 года назад +1

    Hii imeweza sana 100%
    #Kenya,Mombasa,kisauni

  • @maasaimkisii9089
    @maasaimkisii9089 2 года назад +7

    *WA KWANZA TOKA KENYA* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kilangaso nilikwambia atapafanya shambani hio tela kilangaso huyo jamaa usiingie 18 zake🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰🥰🥰👌👌👌💪

  • @OmanOman-ik9sp
    @OmanOman-ik9sp 2 года назад +4

    Zakayo Eti nitoe mwingine🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Mustykhan
      @Mustykhan 2 года назад

      😂🤣🥰🤣🥰🙈🙏

  • @aliabdallah8908
    @aliabdallah8908 2 года назад

    Yaani hii ngoma ndo kwanza mbichi kabisa mke wa tin anachepuka saiz

  • @uwimananono4150
    @uwimananono4150 2 года назад +5

    Asante ila tunaomba pacha wa kiduchu ili sakata liendelee👌😂😂😂

  • @claudiayohana6576
    @claudiayohana6576 2 года назад +3

    Nagwa kaongeza matatuu kaharibika vibaya, uigizaje wake mzuri ila hayo matatuu sasa

  • @hemedismail207
    @hemedismail207 2 года назад

    Izooo bomba sana

  • @jumarade540
    @jumarade540 2 года назад +2

    Dah hii series lizakayo linaniboa mtoto kama nuru dah i love white films

    • @maigamasesa564
      @maigamasesa564 2 года назад

      Dah unyama mwingi San kilangaso huwa namkubal saa,from Arusha chugastan

    • @Mustykhan
      @Mustykhan 2 года назад +1

      🤣😂🥰🙏🙈

    • @jumarade540
      @jumarade540 2 года назад +1

      Zakayo unazingua bana heb fanya kwer mtoto nuru anakuelewa

    • @Mustykhan
      @Mustykhan 2 года назад

      @@jumarade540 😄🙏🤣😂👍

  • @dtv6734
    @dtv6734 2 года назад +4

    🤣 "nitOe kukU mwinGinE"😂😂😂😂 zaKayO 🙌🙌🙌

    • @hassanmwakandoro4594
      @hassanmwakandoro4594 2 года назад +1

      Dume la pwani kazi unayo baba hya lea mkaza mwana sasa usubiri mjukuu

    • @Mustykhan
      @Mustykhan 2 года назад +1

      😂🤣😂🙏🥰

  • @estherkazungukarisa9110
    @estherkazungukarisa9110 Год назад +1

    Nagwa anakera

  • @swabrinaidassy865
    @swabrinaidassy865 2 года назад +3

    DUME LA PWANIIII ❤❤❤

  • @isayamgaya1934
    @isayamgaya1934 2 года назад

    Kirangaso namwona Kwa mbali kanumba ajae kazana kazi nzuri

  • @faithjohn7632
    @faithjohn7632 2 года назад +3

    ❤️❤️❤️ this series

  • @shadimwambula7748
    @shadimwambula7748 2 года назад +1

    Jmn kilangaso kapata mke mwingine kirais😂😂😂😂

  • @bahatijuma1626
    @bahatijuma1626 2 года назад +2

    😂😂😂Wacha ni cheke kwanzaaa Leo kilangaso una mshangza zakayo daaaaaah 😂😂😂🤣🤣✌️babmkeee shikamo 🙌🙌🙌bondiaaaa walaaaa?

  • @selesuedi8401
    @selesuedi8401 2 года назад +1

    Tausi huko sawa
    Huyo ni mwanawe.
    Damu.

  • @Lawimbosso
    @Lawimbosso 2 года назад +5

    2liokuwa tumemmis nagwa gonga like hapa

  • @basilalex3182
    @basilalex3182 2 года назад +1

    Nagwa cjawahi muelewa uigizaji wake ni wa zamani sana na haufai kwa Karne hii

    • @Saidkhel
      @Saidkhel 2 года назад

      Kama mie weye simwelewi hata kidogo yaani naona asha haribu mzuka wa kuifuatilia

    • @oswardbaltazary6222
      @oswardbaltazary6222 2 года назад

      @@Saidkhel mwenyewe simpendi ana ufala mwingi wa kupigana

  • @naomiamos3340
    @naomiamos3340 2 года назад

    Tuletee mwendelezo bhana

  • @jumarade540
    @jumarade540 2 года назад +2

    Sema nuru zakayo akizingua mm nipo apa

    • @Mustykhan
      @Mustykhan 2 года назад

      😂🤣🥰🙏🙈

  • @hancybeny
    @hancybeny 2 года назад +1

    Abdul sasa, anatindinganya tu😂😂😂

  • @faithjohn7632
    @faithjohn7632 2 года назад +1

    Kwel nagwa is back

  • @madollarmadollar7097
    @madollarmadollar7097 2 года назад

    Huyu jamaa mwenye anajifanya mlev anaboa sana

  • @thabitissa6766
    @thabitissa6766 2 года назад

    Abduli anajua sana 🙌🙌

  • @youngpanther7616
    @youngpanther7616 2 года назад

    ABDULI msenge sana anauwa sana

  • @mirriamnalupya4684
    @mirriamnalupya4684 2 года назад +3

    Uyo mlevi mngemtoa tuu pumbavu

  • @mangaza7722
    @mangaza7722 2 года назад

    Sawa Sawa ndugu zangu nawatakia kila LA kheir kwa juhudi zenu

  • @saidiabdalahshabani941
    @saidiabdalahshabani941 2 года назад

    Ngoja nicheke kwanz maan kilangaso kaingia kwenye 18 za pendela chuma mlingot chuma😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @official_ys
    @official_ys 2 года назад +1

    Ndio hio sas sakata kweli hii big up big up after #Aladini ndio hioooo mimi niko ndani

  • @mamahope5816
    @mamahope5816 Год назад

    Jaman kweli hili sakata heee

  • @obadiahlukumay3810
    @obadiahlukumay3810 2 года назад

    Da zakayo 😂😂😂Pata anajfungia ndani

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 2 года назад +2

    Wee adhuli muogope mungu kiduchu c unamnyadua ww ucku hpo kwa dume la pwanii😂😂Alf wee mwenyewe pesa unamdoweya zakayo ndo umpe kiduchu wakat umemkata miguu zakayo kwa kiduchu 🙄🙄🙄lkn twende mbele na turudi nyuma ama tubaki hpa hpa kwa sakata muko vzr sna💪

    • @Mustykhan
      @Mustykhan 2 года назад

      😂🤣🙏🤣🥰🙏🙈

  • @ibrahimuselemani4076
    @ibrahimuselemani4076 2 года назад +2

    Hili kwel Sakata 🙌🙌

  • @husseinathuman8469
    @husseinathuman8469 2 года назад

    Hapo sasa hili kweli sakataaaa busu hilo

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 года назад +2

    Zakayooo...wanimaliz..uku kenya

    • @Mustykhan
      @Mustykhan 2 года назад

      😃😋🙏🙏🙏😃

  • @chrstopher4598
    @chrstopher4598 2 года назад +1

    Apo kwenye busus kweli sakata limeanza 😂😂🤣🤣🤣🤣kilangaso pole sanaaaaaaaaaaaaaa😂😂😂🤣🤗🤗🤗🤗🤔😭😭

  • @salehkimamba8453
    @salehkimamba8453 2 года назад

    Yan mpaka ana saidiwa kusema hata awazi nimeckia sauti ya pembeni

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 2 года назад

    Usiombe ukutane na mchepuko mithili ya jesca 😄

  • @shebyrostam6816
    @shebyrostam6816 2 года назад +3

    Eti tusikumbushane kazi zetuu😂🤣🤣🤣

  • @hamisidumbo1568
    @hamisidumbo1568 2 года назад +4

    Big up guys from 💪💪💪🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦

  • @jemanyamle5945
    @jemanyamle5945 2 года назад

    Uwiiiiiii 🤣🤣 kilangaso umeyavuruga

  • @lyumamarioarlindomacheka8770
    @lyumamarioarlindomacheka8770 2 года назад +2

    poa sana sakata 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @stephanosamweli1245
    @stephanosamweli1245 2 года назад

    Kilangaso mnafiki et kalibu shemeji

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 2 года назад

    Kilangoso kazi unayo mzee baba🤩🤩🤩

  • @fadhilfussi3637
    @fadhilfussi3637 2 года назад +3

    Huyu mlevi cjamkubar hta🙄

  • @barakajonas4086
    @barakajonas4086 2 года назад

    Kilangaso kapanda mtubwi wa vibwengi😂😂😂

  • @mcdanta6919
    @mcdanta6919 2 года назад +1

    Mke wa kilangaso kaji changaya Sana

  • @agnesslucas4744
    @agnesslucas4744 Год назад

    Nawapenda sana wote

  • @Mr-id2wn
    @Mr-id2wn 2 года назад +3

    One Love from 🇶🇦 Qatar

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 2 года назад

    One love from Saudi arabia

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri4455 2 года назад +1

    Mlevi bado sana

  • @malickcalic3565
    @malickcalic3565 2 года назад +2

    Mimi ndio wakwanza big up tine

  • @nzigiyimpainnocent8738
    @nzigiyimpainnocent8738 2 года назад

    Hii endeleyeni kutupa tu.msije mkaimaliza halaka.Hata ifise episode 100 haina noma.Tena hongela sana.Ni movie nzuli sana kabisa

  • @izauamisse8812
    @izauamisse8812 2 года назад

    Fundi frig kajaa kutengeneza frig lake!! Sema Nini musitoe mojamoja kaka zanguu

  • @dashuu5295
    @dashuu5295 2 года назад

    Karbu kipenz changu nagwa kweny saqata

  • @purityneema218
    @purityneema218 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣 kilangaso ime kushika kooni hujui umeze ama uteme 🤣🤣🤣 atari

  • @aliabdallah8908
    @aliabdallah8908 2 года назад

    Hahaha eti kwaiy nilikuwa nabeti

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 года назад +1

    Zunde kapona leo ywaongea wacha nitaje jina la pili pili zimia bsi zunde...kkkkkkk

  • @medullaqueen4589
    @medullaqueen4589 2 года назад

    Mbn kunyongoroka Mtt wa wenyewe😹😹 Yaan hzo shemej za kilangaso na jessica 🙌🙌🙌😹

  • @stevencolman6064
    @stevencolman6064 2 года назад +1

    Nachelewa sana 🔥🔥
    No.209😎

  • @3kings63
    @3kings63 2 года назад +1

    Mtoa mbwaaaa njeee watoto wa mama hawaelew😜😜😜😜😜😜😜😜

  • @key.one_tz2767
    @key.one_tz2767 2 года назад +2

    Daah tin katukana eti kutoa mbwa nj'ee

  • @NuraMasubi-gp6nv
    @NuraMasubi-gp6nv Год назад

    Kilangaz umeyatak ungetulia kwa mke wak

  • @mtallitv9995
    @mtallitv9995 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣 fundi kaja kutengeneza freji lake ndani

  • @rashidjuma9774
    @rashidjuma9774 2 года назад

    Ameamua kuji "SAKARAFAIS"🤣🤣🤣🤣🤣Umetisha sana mke wa kilangaso

  • @claudiayohana6576
    @claudiayohana6576 2 года назад +2

    Kilangaso ameghafilika wakati kasema mwenyew toa kuku🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mengiwhite8289
    @mengiwhite8289 2 года назад

    Watu wameshaanza kuiba kazi yako uku

  • @shadimwambula7748
    @shadimwambula7748 2 года назад

    Wakuama utakua wew bwana

  • @emilykadogo8931
    @emilykadogo8931 2 года назад +1

    Nawapenda Sana from Egypt

  • @jemanyamle5945
    @jemanyamle5945 2 года назад

    Nawaelewa sana mambo ni 🔥🔥🔥💨

  • @nkoslatimwanyangala9333
    @nkoslatimwanyangala9333 2 года назад

    Nagwaa badirika huna jumbe usela wa uongo sana hamna fundisho lolote kwako

  • @Danlizah
    @Danlizah 2 года назад +1

    Doha Qatar
    Tuko wengi 🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦

  • @jumamkongowe2272
    @jumamkongowe2272 2 года назад +1

    Nagwa nagwa nagwa punguza ubabe unaalibu filam

  • @dottohamis4427
    @dottohamis4427 2 года назад +2

    Nagwa huna huruma jaman 😄😄🔥

  • @aishashomali2716
    @aishashomali2716 2 года назад

    Awiiii 😂 😂 😂 itakuaje jamani

  • @adinanzacharia409
    @adinanzacharia409 2 года назад

    Naona kama sakata inaharibika