Tin nakufuatilia sana kwenye hii cin yaulev huyo jamaa hajakava kabisa mwili umelewa ila sula wakat mwengine watafute wakina masele au kiduku ingia mfukon baba tupate vitu vizur
Wee adhuli muogope mungu kiduchu c unamnyadua ww ucku hpo kwa dume la pwanii😂😂Alf wee mwenyewe pesa unamdoweya zakayo ndo umpe kiduchu wakat umemkata miguu zakayo kwa kiduchu 🙄🙄🙄lkn twende mbele na turudi nyuma ama tubaki hpa hpa kwa sakata muko vzr sna💪
Numbr one from Burundi 😍😍😍
Straight from Doha was waiting for this ndio kimeeleweka bigup Sana wanangu munanitengezea Siku🥰🥰🥰🥰🥰🥰 wacha sakata itambe
Mm ndio wa kwanza
Dumelapwani anakipaji kikubwa Sana✍️💛💛💛
😂😂😂😂Kilangaso angetuliaga kwa mkewe hay yote yasingemkuta Leo amekutana na mkono wa Nagwa 😂😂😂😂
Hii isiishie kwene twenty au thirty liwe kama za kihindi! Big up tunawapata vema kutoka Bujumbura Burundi
Kina chakori mpaka 1000 au cyo🤣🤣🤣🤣
@@scholahmwelange1406 kabisa! Iwe ya mwaka mzima
Tin nakufuatilia sana kwenye hii cin yaulev huyo jamaa hajakava kabisa mwili umelewa ila sula wakat mwengine watafute wakina masele au kiduku ingia mfukon baba tupate vitu vizur
Nice
Sakata jamani tin kilangaso dube la pwan big up mnajua kumaliza mb zang 🤣🤣🤣🤣
2day I'm number 1 👌 team #Tinwhit mpo wapiiii jmn huku pame taradadiiii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Duh!! kilangaso utatoboa kweli,,kazi nzuri sana asanteni 🔥🔥🔥
Daaaah hii Kali kweli 💯✅ wanangu nawakubali kinoma haipingwi haikataliwi palipo na nagwa apana mchezo wewe, Ila kilangazo utaijua mwenywe
KILA ngaso is the best even in Sirius movies
Jaman jeska nampenda sana yaan kiufupi jeska ni mzuri sana daaah
Big up sana team white films from Mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Ila nagwa kwel muhuni yaan hujui lolote et we ndo zakayo uliyemsaliti Yesu😁
😂🤣😂🤣🙏🥰🙈
Nimeipenda michongo yako we Abdul
Ebwana eee fund kafuata friji lakee 😂😂😂😂😂😂kilangaso kazi unayo
Nagwa jamni si umwonee hurumaa kilangasoo 😂😂😂ameingia Kwa familia ya utawala much love guys 🥰🥰 one love from Kenya 🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️
🤣🤣🤣🤣🤣
Ahahahhahaha
Love you
😂😂 RAILA THE 5TH
Deeper freezer Abdul anazizima zote 😂😂😂😂😂😂😂😂
Unajitahidi bro hongera tihwhite 👋👋👋
Nawapenda bure,much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Number one from 🇨🇩
Abdul snitch bora wa mwaka😂😂😂
One love for Moçambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
One love from Litingina-nangade Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Pamoja
Hii imeweza sana 100%
#Kenya,Mombasa,kisauni
*WA KWANZA TOKA KENYA* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kilangaso nilikwambia atapafanya shambani hio tela kilangaso huyo jamaa usiingie 18 zake🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰🥰🥰👌👌👌💪
Zakayo Eti nitoe mwingine🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂🤣🥰🤣🥰🙈🙏
Yaani hii ngoma ndo kwanza mbichi kabisa mke wa tin anachepuka saiz
Asante ila tunaomba pacha wa kiduchu ili sakata liendelee👌😂😂😂
Nagwa kaongeza matatuu kaharibika vibaya, uigizaje wake mzuri ila hayo matatuu sasa
Izooo bomba sana
Dah hii series lizakayo linaniboa mtoto kama nuru dah i love white films
Dah unyama mwingi San kilangaso huwa namkubal saa,from Arusha chugastan
🤣😂🥰🙏🙈
Zakayo unazingua bana heb fanya kwer mtoto nuru anakuelewa
@@jumarade540 😄🙏🤣😂👍
🤣 "nitOe kukU mwinGinE"😂😂😂😂 zaKayO 🙌🙌🙌
Dume la pwani kazi unayo baba hya lea mkaza mwana sasa usubiri mjukuu
😂🤣😂🙏🥰
Nagwa anakera
DUME LA PWANIIII ❤❤❤
Kirangaso namwona Kwa mbali kanumba ajae kazana kazi nzuri
❤️❤️❤️ this series
Jmn kilangaso kapata mke mwingine kirais😂😂😂😂
😂😂😂Wacha ni cheke kwanzaaa Leo kilangaso una mshangza zakayo daaaaaah 😂😂😂🤣🤣✌️babmkeee shikamo 🙌🙌🙌bondiaaaa walaaaa?
Tausi huko sawa
Huyo ni mwanawe.
Damu.
2liokuwa tumemmis nagwa gonga like hapa
Nagwa cjawahi muelewa uigizaji wake ni wa zamani sana na haufai kwa Karne hii
Kama mie weye simwelewi hata kidogo yaani naona asha haribu mzuka wa kuifuatilia
@@Saidkhel mwenyewe simpendi ana ufala mwingi wa kupigana
Tuletee mwendelezo bhana
Sema nuru zakayo akizingua mm nipo apa
😂🤣🥰🙏🙈
Abdul sasa, anatindinganya tu😂😂😂
Kwel nagwa is back
Huyu jamaa mwenye anajifanya mlev anaboa sana
Abduli anajua sana 🙌🙌
ABDULI msenge sana anauwa sana
Uyo mlevi mngemtoa tuu pumbavu
Sawa Sawa ndugu zangu nawatakia kila LA kheir kwa juhudi zenu
Ngoja nicheke kwanz maan kilangaso kaingia kwenye 18 za pendela chuma mlingot chuma😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂
Ndio hio sas sakata kweli hii big up big up after #Aladini ndio hioooo mimi niko ndani
Jaman kweli hili sakata heee
Da zakayo 😂😂😂Pata anajfungia ndani
Wee adhuli muogope mungu kiduchu c unamnyadua ww ucku hpo kwa dume la pwanii😂😂Alf wee mwenyewe pesa unamdoweya zakayo ndo umpe kiduchu wakat umemkata miguu zakayo kwa kiduchu 🙄🙄🙄lkn twende mbele na turudi nyuma ama tubaki hpa hpa kwa sakata muko vzr sna💪
😂🤣🙏🤣🥰🙏🙈
Hili kwel Sakata 🙌🙌
Hapo sasa hili kweli sakataaaa busu hilo
Zakayooo...wanimaliz..uku kenya
😃😋🙏🙏🙏😃
Apo kwenye busus kweli sakata limeanza 😂😂🤣🤣🤣🤣kilangaso pole sanaaaaaaaaaaaaaa😂😂😂🤣🤗🤗🤗🤗🤔😭😭
Yan mpaka ana saidiwa kusema hata awazi nimeckia sauti ya pembeni
Usiombe ukutane na mchepuko mithili ya jesca 😄
Eti tusikumbushane kazi zetuu😂🤣🤣🤣
Big up guys from 💪💪💪🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦
Uwiiiiiii 🤣🤣 kilangaso umeyavuruga
poa sana sakata 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kilangaso mnafiki et kalibu shemeji
Kilangoso kazi unayo mzee baba🤩🤩🤩
Huyu mlevi cjamkubar hta🙄
Kilangaso kapanda mtubwi wa vibwengi😂😂😂
Mke wa kilangaso kaji changaya Sana
Nawapenda sana wote
One Love from 🇶🇦 Qatar
One love from Saudi arabia
Mlevi bado sana
Mimi ndio wakwanza big up tine
Hii endeleyeni kutupa tu.msije mkaimaliza halaka.Hata ifise episode 100 haina noma.Tena hongela sana.Ni movie nzuli sana kabisa
Fundi frig kajaa kutengeneza frig lake!! Sema Nini musitoe mojamoja kaka zanguu
Karbu kipenz changu nagwa kweny saqata
🤣🤣🤣🤣 kilangaso ime kushika kooni hujui umeze ama uteme 🤣🤣🤣 atari
Hahaha eti kwaiy nilikuwa nabeti
Zunde kapona leo ywaongea wacha nitaje jina la pili pili zimia bsi zunde...kkkkkkk
Mbn kunyongoroka Mtt wa wenyewe😹😹 Yaan hzo shemej za kilangaso na jessica 🙌🙌🙌😹
Nachelewa sana 🔥🔥
No.209😎
Mtoa mbwaaaa njeee watoto wa mama hawaelew😜😜😜😜😜😜😜😜
Hhh iyo kaz Sio POA
N kaz gan kwan?
Daah tin katukana eti kutoa mbwa nj'ee
Kilangaz umeyatak ungetulia kwa mke wak
🤣🤣🤣🤣 fundi kaja kutengeneza freji lake ndani
Ameamua kuji "SAKARAFAIS"🤣🤣🤣🤣🤣Umetisha sana mke wa kilangaso
Kilangaso ameghafilika wakati kasema mwenyew toa kuku🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Watu wameshaanza kuiba kazi yako uku
Wakuama utakua wew bwana
Nawapenda Sana from Egypt
Nawaelewa sana mambo ni 🔥🔥🔥💨
Nagwaa badirika huna jumbe usela wa uongo sana hamna fundisho lolote kwako
Umeona eeh
Doha Qatar
Tuko wengi 🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦
Nagwa nagwa nagwa punguza ubabe unaalibu filam
Nagwa huna huruma jaman 😄😄🔥
Awiiii 😂 😂 😂 itakuaje jamani
Naona kama sakata inaharibika