Ama kweli tunapaswa kujivunia dini yetu tuliyo pewa na Allah mtu anasoma Quruani hadi msikilizaji anahisi kifuwa kimefunguka na kujihisi usha fika peponi sina budi kumshukuru Allah aliye nifanya nizaliwe muisilam 😢😢🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽❤️❤️❤️
اللهم اغفر له وارحمه واسكنه في الجنة واجعل قبره روضة من رياض الجنة ولا تجعل قبره حفرة من حفر النار يارب العالمين وصلى الله على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين والحمدلله رب العالمين
Mashallah..na inapendeza zaidi kuona watu wameanza kuelewa umuhimu wa kuvaa mask..inshallah mwenyezi mungu ataufikishe katika uelewa huu kwa kipindi hiki cha corona....vaa mask Linda afya yako na ya mwenzio ..salam alaykum and jazaakumulah khair
MashaAllaah MashaAllaah tabaraAllaah kisomo kizuri sana Shukran wa JazakaaAllaahu kheyran Sauti yafanana na yule Qari shabani wa Burundi aliefariki Allaah awape Nuru ju ya Nuru wajawake waliotangulia
Allah amjaalie apokelewe na malaika wema aameen..MashaaAllah ameondoka lakini ameacha mambo ya kheri katika mitandao...Allah amtilie nuru kaburi lake aameen.Namuombea na baba yangu mzazi ameshatangulia mbele ya haki kaburi lake iwe moja ya bustani ya peponi aameen...tusome surah ikhlas ×3 iwaendee wote walotangulia mbele ya haki na sisi mungu atupe mwisho mwema aameen.
Kila nikiisikiliza hiii Quran ilivyo somwa kwa ufundi Wa hali ya juuu Hamu haikati kuendelea Kuisikiliza Allah Alifanye kaburi lake kuwa Ni kiwanja miongoni mwa viwanja Vya peponi
Ama kweli tunapaswa kujivunia dini yetu tuliyo pewa na Allah mtu anasoma Quruani hadi msikilizaji anahisi kifuwa kimefunguka na kujihisi usha fika peponi sina budi kumshukuru Allah aliye nifanya nizaliwe muisilam 😢😢🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽❤️❤️❤️
😢tutakukumbuka sana innaa lillah wainnaa ilaih rajiun 😭😭
Alhamdulillah kwa neema ya uislam
Allah atujaaliye mwisho
Mwema
@@ummohammed8380 Amiin Yaraab
Mashallah kwa kisomo cha Qur an kwa shekhe wetu, pia tunamwomba Allah amuhifadhi shekhe wetu mahala pema na ampe qauli thabit, amiin yarabbi
Mwenyeximungu amsameh madhambi yake, na firdaus iwe ni makazi yake, allamuma amiin.
Sana
اللهم اغفر له وارحمه واسكنه في الجنة واجعل قبره روضة من رياض الجنة ولا تجعل قبره حفرة من حفر النار يارب العالمين وصلى الله على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين والحمدلله رب العالمين
Allah akupe qauli thaabiti shekhe Abdallah
إنالله وإنا اليه راجعون...
. اَللــَّهُـمَّ اغْــفِــرْ لَــه و ارْحَــمْه، واَدْخِلْهُ الجَنَّة مَعَ الأبْرار،، اللّهُمَّ اجْعَلْ قَبَرهُ رَوْضَةً مِنْ رِيَاضِ الجَنَّةَوَلاَ تَجْعَلْ قَبَرَهُ حُفْرَةً مِنْ حُفْرِ النِّيرانْ
آميــــــن يـا رب الــعالمــيــــــــن
Hatuwez kukusahau mwalim wetu mungu akupe maisha maruz huko uliko
Allah amrehemu shekh Abdallah Daud. Allah amekupa kipaji na kweli umekitumia.
Mwenyezi mungu ampumzishe na aliangazie na kaburi liwe miongon mwa watu wa wema
Mwenyezi Mungu amsamehe madhambi yake,nasi tuliobaki atuongoze njia ilio nyoka Amin,
Amiiiin
اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناته يارب العالمين واجعله قول الثابت
Innaa Lillaahi Wa Innaa Ilaihi Rajiuuna. Mmoja katika waja wake wema Allah amhifadhi. Tufuate nyayo zao
Wallaah shekhe Allaah akulipe kheri duniani na kesho akhera
Mashaa Allaah sauti nzuri naiwe kheri kwako
Mashaallah
Allahuma Thabbit-hu min qaul thabit 😢😢😢😢
Mashallah tabaraka Rahmani.Allah akuweke peponi na wazee wetu na jamii waisalm Ameen yarbllamn
Maa Shaa Allah Shukran sana al habeb
Allahuma Ghafir lahu Warham hu askanahu makana fil janat
Allah akurehem sh Abdallah daud tunakupenda sana hakika sisi ni wa Allah na kwake tutarejea
Naaaam Alla atujaaliye mwisho mwema inshaallh taaala
MashaAllah, JazakaAllah, BarakaAllah, Allah Kwa Rehema Zake Akuweke Jannatul Firdousi, Ammeen Yaa Rabbal Alameen.
Allhuma frllahu warhmahu wasqanahu filjana
MASH ALLAH TABARAK RAHMAN
ALLAH AKUPE ELMU YA JUU ZAID AKUKINGE NA KILA HASAD ALLAHUMA AMIN
Allahu akulaze mahali pema pepon amiiin 😭😭😭😭
Kwani kafariki ama?
Allah akurehemu shekhe
Maasha Allah
Baaraka Allah fiyka
Mungu akuhifadhi qariu uko na ikhlaswi watu wakathirika kwa kisomo chako
Allah have mercy on his soul...
Innaalillaah wainnaailayh raajiuun...😔
Mashaanlah
ما شاء الله تبارك الله
ماشاءالله تبارك الرحمن
ربنا يزيدك ويحفظك ويجعله في ميزانك وميزان معلمك وشيخك الفقيد المرحوم السيد حسين بدوي تغمده الله بواسع رحمته يارب العالمين.
ALLAH amlehemu sheh wetu
Mash Allah tabaaraka Allah ahsanul khaalikhin
اللهم اغفرله وارحمه
Innallilah waina illayh rajiun😭😭😭
MASHA ALLAH. ALLAH akuifadhi kwa ilmu yake iliyo jaa barka tele tele . amin amin YARABI amin.
ماشاء الله
Allah amhifadh
Allah Akbar
Inalilah wainailah rajuun
Innalillah wa innailahi rajjiuun
اللهم اغفر له و ارحمه و اسكنه الفرس مع الصالحين❤
آمين يارب العالمين
آمين يارب العالمين
Aamina yarabii
Alhamdiulilahi
Mola akurehemu mpendwa wetu
Mashaallwah Mungu akuhifadhi..Ameen
Mashaallah mashaallah shekhe letu
Mashaa'Allah Tabaaraka'Rahman
Bayat Mashaallaah
Bismillahi MashaAllah
Mashallah..na inapendeza zaidi kuona watu wameanza kuelewa umuhimu wa kuvaa mask..inshallah mwenyezi mungu ataufikishe katika uelewa huu kwa kipindi hiki cha corona....vaa mask Linda afya yako na ya mwenzio ..salam alaykum and jazaakumulah khair
Mashallah Allah
طيب الله مأواك ايها الشيخ الكريم
Allah humma khufralahu warhamuhu
Innalliah wainnaillah rajiun
Allaaah maa sha Allah
MashaAllaah MashaAllaah tabaraAllaah kisomo kizuri sana Shukran wa JazakaaAllaahu kheyran
Sauti yafanana na yule Qari shabani wa Burundi aliefariki Allaah awape Nuru ju ya Nuru wajawake waliotangulia
Yule ni mtanzania anaitwa mubarak shabani
@@hajisoud4612 yule sio mtazania asili yake ni Mrundi kaka
Mashallah 😍 Tabarakallah...ALLAH akuhifadhi Ndugu Yangu
ماشاءالله تبارك الرحمن
Allah akulaze mahala pema peponi insha'Allah 😢😢
AMEEN YAARABBI
رحمه الله وغفر له واسكنه فسيح جناته
ماشاءاللہ,تبارك الله .
Mashallah Allah Akbar
Umetulia sanaa sheikh
Duuu ilaaa amekuffaaaaaa mungu amxamehe mazambii yakee yotee
Yaa Salaaam
Masha allah jazallah mungu akuhifadhi
mashallah mashallah
maashaallah maashaallah
Mashs Allah masha Allah hasbia Allah😭😭😭😭😭
Mashallah Mashallah
Mashaallah allahu akbar
Ma shaa Allah tabaraka Allah
Alllah Akbar
Masha allah
قرائة خاشعة ماتعة طيب الله مرقدك ومؤاك
الله اكبر
Hakika Ya Qur'an Niraha Tunamuomba ILLAH KARIM Atutie Katika Kundi LA QUR'AN
Allah akbar Mash Allah
Masha@llh
❤ Masha Allah ❤
Ahasante
Mashallah
MASHAALLAH
رضي الله عنه 😊وغفر ذنبه
Inna lilahi waina ilaihi rajiunn
Maashaallah
Qur'an ni kitabu kitukufu kilicho na nuru, Allahu akbar 😪
Allah Akbar kabira wal hhamdulilah kadhiran jidah
Allah amuepushe na azabu za kaburi aamiin
Inna Lillah waina ilayh rajiun
Allah amsamehe madhambi yake mha wako huyu
Ma''sha''Allah
ALLAHU AKBAR!
Maashallahh
Nicee
Allah amjaalie apokelewe na malaika wema aameen..MashaaAllah ameondoka lakini ameacha mambo ya kheri katika mitandao...Allah amtilie nuru kaburi lake aameen.Namuombea na baba yangu mzazi ameshatangulia mbele ya haki kaburi lake iwe moja ya bustani ya peponi aameen...tusome surah ikhlas ×3 iwaendee wote walotangulia mbele ya haki na sisi mungu atupe mwisho mwema aameen.
Allahumma Amiin
Mungu akulipe mema tupu
Allah ajaalie kaburi lako liwe bustan ktk jumla ya bustani za peponi
أللهم صل على سيدنا محمد وعلى آل سيدنا محمد وصحبه أجمعين وسلم
😭😭
😩😭
❤❤❤❤❤❤❤❤😭😭😭😭😭😭
Kila nikiisikiliza hiii Quran ilivyo somwa kwa ufundi Wa hali ya juuu
Hamu haikati kuendelea Kuisikiliza
Allah Alifanye kaburi lake kuwa Ni kiwanja miongoni mwa viwanja Vya peponi
Kaburi lako liwe miongoni mwa mabustani ya peponi