Epuka Makosa 6 Kama unataka kufanikiwa katika maisha/biashara haraka
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Epuka makosa 6 kama unataka kufanikiwa katika maisha/biashara haraka, inawekezana haujui kuwa unafanya makosa ambayo yanakusababisha haupati mafanikio unayotaka.Haijalishi unaujuzi gani, kipaji gani au elimu gani ila kama ukiendelea kufanya makosa mafanikio kwako utayasikia tu.Muda mwingine mafanikio si kuhusu unachokijua tu, ila pia ni kujua usioyajua.Kama Benjamin
Franklin alivyosema "Kuwa makini na gharama ndogo,kuingia kwa maji kidogo kunaweza kuzamisha meli kubwa".Mfano unataka kuwa na mwili wenye afya bora,unakula sana mboga za majani na kufanya mazoezi lakini kama hautoacha tabia za kunywa vinywaji sio sahihi hautoweza kufanikiwa kupata afya bora na mwili
lakini kama hautoacha tabia za kunywa vinywaji sio sahihi hautoweza kufanikiwa kupata afya bora na mwili bora kama ulivyotegemea.Hivyo hivyo kwenye mafanikio usipoweza epuka makosa kadhaa kama haya ninayoshare na wewe then mafanikio kwako itakuwa ni ngumu kupata.Jaribu kuepuka makosa 6 haya kama unataka kufanikiwa katika maisha/biashara.Karibu
🔴 SUBSCRIBE MY CHANNEL 👇
www.youtube.co...
🔴Follow me on Instagram - / zahir11gome. .
🔴Twitter - / zahir11gomelo
⚡Jinsi ya kupanga Bajeti-50/30/20
• Jinsi ya Kupanga Bajet...
⚡Je unapitia maisha magumu/wakati mgumu katika maisha? Usikate tamaa. Angalia Hii-
• Je unapitia maisha mag...
⚡Angalia Hii : Kabla ujakata tamaa katika maisha
• ANGALIA HII : Kabla uj...
⚡Jinsi ya kutengeneza na kuwa na pesa nyingi/Acha mambo haya matano (5)
• JINSI YA KUTENGENEZA N...
⚡JILIPE MWENYEWE KWANZA
• Jilipe wewe mwenyewe k...
⚡FIKRA/MAWAZO YA WATU WALIOFANIKIWA - • FIKRA/MAWAZO YA WATU W...
⚡ KWANINI UNAFELI KATIKA MAISHA NA UNASHINDWA KUFIKIA MAFANIKIO KATIKA MALENGO NA NDOTO ZAKO - • KWANINI UNAFELI KATIK...
⚡Siri 3 Jinsi ya kuweka malengo - • SIRI TATU ZA JINSI YA ...
.............................................................................
🔴Music from RUclips audio library -Steps
#epukamakosa #mafanikio #gonline
⚡QOTD⚡ Ni kitu gani ambacho kinashika na kukuvuta usifikie mafanikio katika maisha/biashara yako. Niandikie
Jinsi ya kupanga Bajeti-50/30/20
ruclips.net/video/xt0x6up92CA/видео.html
Usisahau KuSUBSCRIBE- ruclips.net/channel/UCk-G
NAOMBA NO YA SM PLEASE 🙏
NO YANGU HII BROO . 0688207567
0629718385
@@GOnlinepositivity Asante ,Labda kunasiku tutaonana , Asante sana broo 🙏
It's not easy
@@GOnlinepositivitynaomba msaada wako kama hutojali
Sawa kaka nimekuelewa vinzur 🙏🙏
Tunamshukul mwenyez mungu ailivo panga kwamba aonyeshae juhudi hatakuwa mtu wa chini
Barikiwa zaidi kaka kiukweli sijajuta kusikiliza nitajitahidi kukufatilia
Nimekuelewa sana brother nimejifunza vitu naanza kuchukua hatua.
Safi
Hongera kwa hii video yako.
Nimepata kitu kk Asante kuanzia SS nabadirika
Asante sana kaka na naomba tuitukuze lugha yetu ya kiswahili na tujigambe kwayo sio wote wanajua kiingereza na wala sio lugha yetu hii. Mungu akubariki
Thanks a lot nimejifunza
Asante kwa video hii yakuepuka mambo sits ili kufanikiwa. Jaribu kutumia lugha ya kiswahili bila kuchanganya changanya ili ueleweke Zaidi.
Asante nimelipokea hilo
Mungu akufanyie lolote umuombalo👍👍👍👍💯💯💯
Thanks brother I appreciate your help
Thanks. Naomba ucontiune. Kutukuza zaidi
Mungu akubariki zaidi samahani uliona nini hadi ukatafakari haya yote Ni ushauri mzuri sana😊😊
Good I imprécis
Nimekuelewa sana kaka
Cjawai kujuta kukufuatilia izak gomelo thanks brow kwa masomo mazuri🙏🙏🙏
Asante na karibu sana
Hongera sana G-ONLINE
Kaka G safi sanas nimependa Content zako ... keep doing it .. wengine watu kama sisi tunapenda kusikilia bcoz we learn from it
Asante sana, karibu
Asante kwa kazi nzuri
Thanks G online for your video
Hii ni elimu kubwa sana Kama mm nimejufuza kwakweli ast San fanza
Kazi nzuri.Mungu akubariki
Thanx Mr G.online I appreciate you
Thank you sir
I appreciate, thank you too.
BLESSSSSS....kazi nzuri
Thanks bro nimependa saana
i have nothing to say than to gave u a thumb up 👍👍...umenibariki sana bro keep up to encourage us.
Asante sana.Karibu
Napenda sana kazi zako
Mungu akujarie kaka uzid kutupa elim hii
🙏
Yes very good ideas
EXCELLENT!
Nimeipenda hiyo bro Mungu atuongoze
Mm nimekukubari
Thank you
Thank you my brother👏👏👏
Any time
Shukrani sana
well said!
Big up
Nice
Thank you so much my brother I've learned something
Thank you i appreciate
Naomba Kujua Kati ya Malengo mipango tofauti yake ni IP!
Kweli kabisa asante sana barikiwa
Nashukuru, asante pia.
Mungu akubariki kijana
Asante
big up bro!
Thax
well well
Asante nimegate kitu
Thanks
So nice
Safx Sana brother
I appreciate u
Barikiwa saba
Asante
I'll be someone one-day
Amen keep going
Good idea
Salute
Umenena kweli kaka
Nashukuru Dada, karibu sana.
Thanks
Welcome
Maneno mazuri
Mzungumzani kiswahili kama hamuwezi zungumzeni kingereza moja kwa moja
Asante tumelipokea hilo
Asante kaka,lkn sauti yako inafanana na Ezden Jumanne
Asante sana, labda kwasababu ni mentor Wang. 🙏
Asante
Nimejifunza ki2
Excellent
Thank you! Cheers!
Exactly😘
Thank you i appreciate
kwel broo
Good messege
Good
Nice
TANZANIA
Rafiki Lakin watu weng hususan jamii yetu yaki africa hatujiamin kwa kusimama sisi kama sisi ila mpaka tufanye uchawi
Asante
Karibu sana, asante pia.
Hakika kabisa
A
Thank very much my bro!
Akuna kuludi never never
Kweli
Naomba kujua jins ya kufungua Chanel ya you tube
Ili nweze kupost videos zangu Nami kaka
You
Yes
Thenx bro
Have lean alote bro.. as u said u need to have a team dat it will help u to increase some of ideas I think u can be one of pipo who can teach me more according to what have leaned from you throw hw to success in business mind set can I have your t sap line bro plz..
You're welcome ! Let's get connected
Fact
Kmana una group niunge
unatoa mafunzo mazur sana
Nashukuru sana. Karibu
True
Tumekuelewa lakini jamii pia nayo inachangamoto zake
Najua hilo lakini unaweza fuata mawazo, ndoto na malengo yako. Bila kuwaza wala kusikiliza jamii inasema nini. As long as tu kiwe kitu sahihi kwako
Duu!
Binafs nimekuelewa, ni jinsi gani/ni njia zipi za kubajet katika maisha? Plz naomba unijibu
Bakari angalia video hii -ruclips.net/video/xt0x6up92CA/видео.html itakusaidia
👍
Apo kwnyekuzngumza na waliofankiwa waliofnkiwa weng n wachoyo
.
Niunge group 0713125878
Kati ya watu uliowataja mbona cjakuona umejitaja hapo nendakafanye kazi acha hadisi
Asante
Tayari yeye yuko ndani ya kazi,ama huna ufahamu kuwa unazodhani ni hadisi ni somo ya kuzingua wengi kimawazo?.Hongera kwa mwalimu na uzidi kutuandalia somo.
Poa
Vp huna group whatsapp
Hapana
🗣️ 📺📺📺📺📺📺📺📺📺📺📺📺📺📺📺