CROWN SPORTS: MAGOMA AKANUSHA “MIMI SIJU, SIHUSIKI” - PART 1
HTML-код
- Опубликовано: 27 авг 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
- www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Wa kwanza naombeni like zenu
Like gani unataka kende we like mwenyewe
Hapo mmefeli kutengeneza tatizo.usiseme mahakama inaamua sahihi.mambo mengi tumeyaona hapa yametolewa mahakamani baadae yakaonekana ya dhulma.hiyo kesi yenu kina mo ni ndogo sana.
Huyo Jemedar anahusika kugushi hata Saini na anashirikiana na hao kina mkundu magoma na Abeid Falcon na Makolo
Crown Media Mnaharibu hiyo Media kwa kumuajiri huyo Kenge Jemedari
Sasa hivi tutahama kusikiliza kama tulivyoihama EFm
Ww nanani mlivyo ihama ww ruksa Yako kuchagua Radio uipendayo au umelazimishwa ww nenda upendako halafu haiwezekani eti taasisi imuajiri mtu na kumtengua mtu kisa ww nawachache ambao wanachuki binafsi nasio kupishana kwamaoni📌
💥
Jemedari Ni mchambuzi au ni mpinzani wa Yanga kweli😁😁
Jemedari uwe mwangalifu Sana,anahofia magoma wewe huhofii heshima yako kuvurugika.jipe muda usikilizeupunde was pili.
ALLY KIBA , ni kweli tunahitaj mawazo mseto kwenye hoja, ila jemedari si mtu sahihi!!! Niamini mimi,adhari ya hili sio.kwa wasikilizaji bali nahisi hata wachambuzi wenzie ngum sana kuwa nao pamoja pia nimegundua hata wezie hawapo comfotble wakiwa na yeye chunguza hili!!
We unaemkataa Jemedari hutaki kuambiwa ukweli, Jemedari yupo hapo crown kwa weledi wake nakusema ukweli
Bin Kazumali wewe sheria umesoma wapi, kwani mtu akishinda kesi na hukumu ikatoka unazuiliwa kueleza kilichoamriwa kwasababu ya maombi ya kukaza hukumu??? Usimba na Uyanga unatutoa kwenye taaluma acha kupotosha umma.
Alikiba umekosea sana kumuweka jemdar kwenye kipindi, fuatilia hata wenzake hawako confotabl3 nao
Alikiba kwa bnti kazuri umefelu
Jemedali upo vizuri saaaana..
Watu wenye akili ndo tunamuelewa jemedari saidi tu
Kwahio hao wazee walimshirikisha Jemedari katika huo ujinga wao? Lengo ni nini?
Huyo jemedari hajui chochote kuhusu mpira wamiguu, anacho kijua ni kuipinga Yanga tu
👑 Crown
Katika vitu ambavyo ali kiba alifeli niku msajali huyo mmakonde
Crown waandishi wenu wanatumika
Alaf anapenda kuongea ujinga ila muoga akija ali kabwe tu anakimbia kipind
Huo ni ujinga yani kila mwanachama apewe nafasi ya kuongea? Uliona wapi
Mbona jef umefilisika mpaka mawazo? Na ninani aliyekuweka hapo?
Hili Zumari unadhani litazungumza nn.siku zote zumari lipo against yanga
Na hiyo zumar ndogo unadhani itazungumza nn
Wewe zumar ni shetani tu huna moja ujuwalo
Jemedari anajua anachokiongea?
Yaaap
Wewe Kazumari ni mmbeya!!
Juma ayo watakuchosha hao makolo
Yanga Bingwa
JEMEDARI umeongea ww peke yk km mchumbuz uko peke yako
Kanywea gafra kaona watu wasije kumtoa roho
Juma Ayo Ni weakest link 😅😅hajui kuhoji hana point anarukaruka tu
Mmmmmhhhhh
Magoma tutakula naye sahani moja tu
Hakuna anachokijua
Wameshinda kwa Forgiary 😢we kasumary? Waliofika mahakamani atakuja kuzungumza kivipi Kasumary wakati kwa mdomo wake amekataa hayo unayosema!
Wewe Kasumari una chuki na Yanga kama nyoka swila!
Jemedali kweli poyoyo na ndiyo maana unafeli mitihani ya TFF
Hivi Magoma kwa sasa ni mwanachama kweli?😅 hakuna kitu hapo
Huyu jemedal hajui piah anachokiongea
Mda wa bakuli unaludi sasa😂😂😂
Thubutuuuu😂😂 utasubiri sana ,kama unajifariji kuwa kuna kiongozi au viongozi watatoka madarakani basi uanazidi kuchelewa, magma mwenyewe ameanza kujikana😂😂😂 hazijui hizi habari, na bado anakiri Eng ndio kiongozi wake we huogopi?😂😂😂 bado tunao na tunatamba nao viongozi wetu, bado wapo sana na maendelea kuwa ona sanaaaaaa.mtani amka utajikojolea bhanaa 😅😅
Nyinyi happening yanga sc
Yote kayaleta chama😂😂
Hiyo tareh 5 itafika Inshallah 😅
Mlipo anzaaa hiki kipindi Kila siku nilikuwa nafuatilia Ila mlipo mleta huyu mwendawazimu Hata sina time tena na kipindi chenu
Kwaiy apo ni muongo au shida ya watu kama nyiny vichwa nyanya utaki kuskia tafaut na unacho taka kuskia
mwende tuu shuule mkaajifuuunze namnaaaa ya kujadiiiili mambo yenye taaaaluumaa zinzowaziiidi umriiii
Jemedari Ni mchambuzi au ni mpinzani wa Yanga kweli😁😁