CROWN SPORTS: MAGOMA AKANUSHA “MIMI SIJU, SIHUSIKI” - PART 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Комментарии • 57

  • @SalomeChisunga
    @SalomeChisunga Месяц назад +4

    Wa kwanza naombeni like zenu

  • @HappyBabyKittens-wx2mb
    @HappyBabyKittens-wx2mb Месяц назад +1

    Like gani unataka kende we like mwenyewe

  • @AlimzeeeAliahmada
    @AlimzeeeAliahmada Месяц назад +1

    Hapo mmefeli kutengeneza tatizo.usiseme mahakama inaamua sahihi.mambo mengi tumeyaona hapa yametolewa mahakamani baadae yakaonekana ya dhulma.hiyo kesi yenu kina mo ni ndogo sana.

  • @ahmedjeizan4431
    @ahmedjeizan4431 Месяц назад

    Huyo Jemedar anahusika kugushi hata Saini na anashirikiana na hao kina mkundu magoma na Abeid Falcon na Makolo

  • @ahmedjeizan4431
    @ahmedjeizan4431 Месяц назад

    Crown Media Mnaharibu hiyo Media kwa kumuajiri huyo Kenge Jemedari
    Sasa hivi tutahama kusikiliza kama tulivyoihama EFm

    • @FadhiliHamza-mz1wu
      @FadhiliHamza-mz1wu Месяц назад

      Ww nanani mlivyo ihama ww ruksa Yako kuchagua Radio uipendayo au umelazimishwa ww nenda upendako halafu haiwezekani eti taasisi imuajiri mtu na kumtengua mtu kisa ww nawachache ambao wanachuki binafsi nasio kupishana kwamaoni📌

  • @elikanawilson2966
    @elikanawilson2966 Месяц назад

    💥

  • @morningstarartproduction8436
    @morningstarartproduction8436 Месяц назад

    Jemedari Ni mchambuzi au ni mpinzani wa Yanga kweli😁😁

  • @JabariKapindya
    @JabariKapindya Месяц назад

    Jemedari uwe mwangalifu Sana,anahofia magoma wewe huhofii heshima yako kuvurugika.jipe muda usikilizeupunde was pili.

  • @athumanially906
    @athumanially906 Месяц назад +1

    ALLY KIBA , ni kweli tunahitaj mawazo mseto kwenye hoja, ila jemedari si mtu sahihi!!! Niamini mimi,adhari ya hili sio.kwa wasikilizaji bali nahisi hata wachambuzi wenzie ngum sana kuwa nao pamoja pia nimegundua hata wezie hawapo comfotble wakiwa na yeye chunguza hili!!

    • @user-tj5bf4yy3e
      @user-tj5bf4yy3e Месяц назад

      We unaemkataa Jemedari hutaki kuambiwa ukweli, Jemedari yupo hapo crown kwa weledi wake nakusema ukweli

  • @makabemwita4843
    @makabemwita4843 Месяц назад +2

    Bin Kazumali wewe sheria umesoma wapi, kwani mtu akishinda kesi na hukumu ikatoka unazuiliwa kueleza kilichoamriwa kwasababu ya maombi ya kukaza hukumu??? Usimba na Uyanga unatutoa kwenye taaluma acha kupotosha umma.

  • @babujohnmwita4337
    @babujohnmwita4337 Месяц назад

    Alikiba umekosea sana kumuweka jemdar kwenye kipindi, fuatilia hata wenzake hawako confotabl3 nao

  • @user-to3cb5dq3v
    @user-to3cb5dq3v Месяц назад

    Alikiba kwa bnti kazuri umefelu

  • @BusinessOne-mf5dj
    @BusinessOne-mf5dj Месяц назад

    Jemedali upo vizuri saaaana..

  • @KudraTimbako
    @KudraTimbako Месяц назад

    Watu wenye akili ndo tunamuelewa jemedari saidi tu

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 Месяц назад

    Kwahio hao wazee walimshirikisha Jemedari katika huo ujinga wao? Lengo ni nini?

  • @morningstarartproduction8436
    @morningstarartproduction8436 Месяц назад

    Huyo jemedari hajui chochote kuhusu mpira wamiguu, anacho kijua ni kuipinga Yanga tu

  • @joshuamolleli3471
    @joshuamolleli3471 Месяц назад

    👑 Crown

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu3783 Месяц назад

    Katika vitu ambavyo ali kiba alifeli niku msajali huyo mmakonde

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Месяц назад

    Crown waandishi wenu wanatumika

  • @MjMohammed-nt6fq
    @MjMohammed-nt6fq Месяц назад

    Alaf anapenda kuongea ujinga ila muoga akija ali kabwe tu anakimbia kipind

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 Месяц назад

    Huo ni ujinga yani kila mwanachama apewe nafasi ya kuongea? Uliona wapi

  • @user-fe8gl5qk6v
    @user-fe8gl5qk6v Месяц назад

    Mbona jef umefilisika mpaka mawazo? Na ninani aliyekuweka hapo?

  • @AhmedMussa-q9f
    @AhmedMussa-q9f Месяц назад

    Hili Zumari unadhani litazungumza nn.siku zote zumari lipo against yanga

    • @AhmedMussa-q9f
      @AhmedMussa-q9f Месяц назад

      Na hiyo zumar ndogo unadhani itazungumza nn

    • @AhmedMussa-q9f
      @AhmedMussa-q9f Месяц назад

      Wewe zumar ni shetani tu huna moja ujuwalo

  • @mfaumekasuku8876
    @mfaumekasuku8876 Месяц назад +1

    Jemedari anajua anachokiongea?

  • @user-lx7lb7sn8k
    @user-lx7lb7sn8k Месяц назад

    Yaaap

  • @dentomedicalresourceslimit4602
    @dentomedicalresourceslimit4602 Месяц назад

    Wewe Kazumari ni mmbeya!!

  • @user-fe8gl5qk6v
    @user-fe8gl5qk6v Месяц назад

    Juma ayo watakuchosha hao makolo

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice8088 Месяц назад

    Yanga Bingwa

  • @MikidadiMchuchuli
    @MikidadiMchuchuli Месяц назад

    JEMEDARI umeongea ww peke yk km mchumbuz uko peke yako

  • @NurudinZuberi
    @NurudinZuberi Месяц назад

    Kanywea gafra kaona watu wasije kumtoa roho

  • @MbarakaAlly-pw5ri
    @MbarakaAlly-pw5ri Месяц назад

    Juma Ayo Ni weakest link 😅😅hajui kuhoji hana point anarukaruka tu

  • @MikidadiMchuchuli
    @MikidadiMchuchuli Месяц назад

    Mmmmmhhhhh

  • @andersonshimbi1378
    @andersonshimbi1378 Месяц назад

    Magoma tutakula naye sahani moja tu

  • @tynomediatv5376
    @tynomediatv5376 Месяц назад

    Hakuna anachokijua

  • @matiankomola2391
    @matiankomola2391 Месяц назад

    Wameshinda kwa Forgiary 😢we kasumary? Waliofika mahakamani atakuja kuzungumza kivipi Kasumary wakati kwa mdomo wake amekataa hayo unayosema!
    Wewe Kasumari una chuki na Yanga kama nyoka swila!

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 Месяц назад

      Jemedali kweli poyoyo na ndiyo maana unafeli mitihani ya TFF

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n Месяц назад

    Hivi Magoma kwa sasa ni mwanachama kweli?😅 hakuna kitu hapo

  • @gersonsakalani2069
    @gersonsakalani2069 Месяц назад

    Huyu jemedal hajui piah anachokiongea

  • @NelsonSimba-lj7jg
    @NelsonSimba-lj7jg Месяц назад

    Mda wa bakuli unaludi sasa😂😂😂

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc Месяц назад

      Thubutuuuu😂😂 utasubiri sana ,kama unajifariji kuwa kuna kiongozi au viongozi watatoka madarakani basi uanazidi kuchelewa, magma mwenyewe ameanza kujikana😂😂😂 hazijui hizi habari, na bado anakiri Eng ndio kiongozi wake we huogopi?😂😂😂 bado tunao na tunatamba nao viongozi wetu, bado wapo sana na maendelea kuwa ona sanaaaaaa.mtani amka utajikojolea bhanaa 😅😅

  • @graceanyungu2774
    @graceanyungu2774 Месяц назад

    Nyinyi happening yanga sc

  • @Muba-Gucci-TV
    @Muba-Gucci-TV Месяц назад

    Yote kayaleta chama😂😂

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n Месяц назад

    Hiyo tareh 5 itafika Inshallah 😅

  • @kingrama4673
    @kingrama4673 Месяц назад

    Mlipo anzaaa hiki kipindi Kila siku nilikuwa nafuatilia Ila mlipo mleta huyu mwendawazimu Hata sina time tena na kipindi chenu

    • @raydanfrenk
      @raydanfrenk Месяц назад +1

      Kwaiy apo ni muongo au shida ya watu kama nyiny vichwa nyanya utaki kuskia tafaut na unacho taka kuskia

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 Месяц назад

      mwende tuu shuule mkaajifuuunze namnaaaa ya kujadiiiili mambo yenye taaaaluumaa zinzowaziiidi umriiii

  • @morningstarartproduction8436
    @morningstarartproduction8436 Месяц назад

    Jemedari Ni mchambuzi au ni mpinzani wa Yanga kweli😁😁