Hebu simameni katika dini na simamieni ukweli uwahabi usikutieni katika uwongo ipo siku mtajuta mbele ya Allah hata kwa uwongo kidogo tu hakuna anayeabudu makaburi msiteseke kwa nafasi alizowapa Allah baadhi yenu jikiteni ktk uchamungu maan akuinua mungu dhehebu lako halitokuingiza peponi
Subhanallah muogopeni Allah subhannahu wa taala kiasi cha kumuogopa na mjie lolote mnaloongeza kwa dini mtakuja ulizwa n tengenezeni majibu uislamu mmechafua mkijiita vijukuu vya mtume toka lini ama wapi acheni uzushi bana
Wacheni chuki kama hamupendi hamuna haja ya ku comment hawa wamekutana Makkah na Madina watanzania kwa Mtume mahali patukufu ni barka kubwa sana hiyo lnsha Allah awakutanishe peponi.
Ikiwa hammiliki pepo wala moto,msiteswe na Matakwa ya Allah,hangaikeni na nafsi zenu,acheni watu wamuabudu Mungu wao...Mkiwaona wao ni wa motoni,mjiulize,mmehakikishiwa nyie kuingia peponi?!!Au kibri na porojo kuwatukana wasoo hangaika na ninyi?!!!Mungu amrahamu Darwesh mti mkavu...
Ila mjue mtume salallahu alayhi wasalaam alitakae ongeza jambo lolote lisilokua katika dini atarudishiwa hata mjiite wajukuu w mtume salallahu alayhi wasalaam acheni upotovu bana
Yakitajwa makarama au mambo mazuri ya wanazuoni, kuna baadhi ya wanaojiona waislam sana wanaumiiiiia. Kiufupi kila mtu ana hesabu zake, wewe mambo ya Dhikr na Maulid, yaweke pembeni, hawa hawatajwi kwa Maulid au dhikr, vinavyokusumbueni hivyo. Hawa wanatajwa kwa tabia zao, elimu zao na ibada zao. Na wewe jipime je leo, ukiacha huko kuswali huku unasengenya watu,unachukia watu,unakula riba, una zini, hupatani na majirani na wala waislam wenzio, sasa utatajwa kwa lipi ukifa??.maana kama waeza mchukia mtu kama anasoma Maulid, au anafanya khitma,au anavaa suruali ndefu, sasa utashindwa kumchukia jirani, .wapo radhi kumpenda mwanamziki fulani, lakini wakamchukia Sheikh fulani anaelingania dini,eti kisa hana ndevu?au suruali ndefu
Kila mtu ana tabia.taja zako kwanza hapa ili tukuamini kwanza. Ndiyo mtume katufundisha hivyo. Tatzo mnadandia, mabas siyo ya kwenu. Wewe tafuta Masheikh zenu, bakini huko. Mbona mnaumia mnoooo
Hayo ni maneno yako wewe.kwani wewe ndiyo unagawa uwalii??au baba yako??.halafu mbona mambo yasiyo wahusu, mnayafata huku??wewe baki na mambo yenu. Sis Maulid tutasoma hadi peponi, Dhikr tutafanya, na Nchi hii ya Tz kuna siku maalum ya Maulid, . Wewe ukaijue bidaa kuliko imam shafii.
Wewe mwenyewe bidaa, kwani ulikuwepo wakat wa Mtume wewe? Au hii RUclips unayotumia hapa siyo bidaa?tuelezeni msikiti gani wa mtume ukikua ni Mic, na mabusati na Mafeni?mbona mnayo?. Tuelezeni mashindano ya Quran mtume aliyafanya wapi?na mshindi alikua nani?au mtuelezee vitabu mnavyosoma soma, kuna kitabu alikiacha mtume zaid ya quran na Hadithi, na hata hazikua ktk msahafu.kuna mambo mengi ya kuyafanya kama waislamu siyo kubishana maulid tuu.hatuna hospitali,hatuna mashule, tumejawa na umaskini, kazi kubishana tuu,. Wewe usiyoyafanya waachie wanaofanya
SUBHANALLAH MashaLLAH ❤️❤❤❤
Hebu simameni katika dini na simamieni ukweli uwahabi usikutieni katika uwongo ipo siku mtajuta mbele ya Allah hata kwa uwongo kidogo tu hakuna anayeabudu makaburi msiteseke kwa nafasi alizowapa Allah baadhi yenu jikiteni ktk uchamungu maan akuinua mungu dhehebu lako halitokuingiza peponi
Subhanallah muogopeni Allah subhannahu wa taala kiasi cha kumuogopa na mjie lolote mnaloongeza kwa dini mtakuja ulizwa n tengenezeni majibu uislamu mmechafua mkijiita vijukuu vya mtume toka lini ama wapi acheni uzushi bana
Wacheni chuki kama hamupendi hamuna haja ya ku comment hawa wamekutana Makkah na Madina watanzania kwa Mtume mahali patukufu ni barka kubwa sana hiyo lnsha Allah awakutanishe peponi.
@@rushu1232 aamiin
Hao wana akili bwana. Mtume mwenyewe wanampinga.wenyewe wanapingana. Sasa wanampinga hata mtu akitoa historia yake mwenyewe
@@ZaynWalad sahihi
Sijui hata Wana nini, tena habari wanazifuatilia. Si watuwache tu na mambo yetu.
HAWA KAWAIDA YAO KUOMBA MAITI NA WALA USIWASHANGAE NIWAJUA SANA PIA WANAPENDA KUJISIFU
Kwani pepo ni yenu?!Au moto ni wenu?!Mbona mnaumia na watu wasoo na vurugu na nyie?😂
acheni maneno ya kufuru badala ya kumuomba ALLAH. eti anamuomba shekh.
Ikiwa hammiliki pepo wala moto,msiteswe na Matakwa ya Allah,hangaikeni na nafsi zenu,acheni watu wamuabudu Mungu wao...Mkiwaona wao ni wa motoni,mjiulize,mmehakikishiwa nyie kuingia peponi?!!Au kibri na porojo kuwatukana wasoo hangaika na ninyi?!!!Mungu amrahamu Darwesh mti mkavu...
Ila mjue mtume salallahu alayhi wasalaam alitakae ongeza jambo lolote lisilokua katika dini atarudishiwa hata mjiite wajukuu w mtume salallahu alayhi wasalaam acheni upotovu bana
MASUFI NI WASHIRIKINA WA WAZI KUBWA WATUBU VINGINEVYO WATARITADDI
Mbna wateseka ww fwata shekh wako ukubalike akufkishe kwa mtume( s a w)
Uzush mtupuuuu hawana jipyaaaa
Kazi yao kuabudia makaburi jama usufi mtihani
Kaburi la babako? Waislam wote wanamuabudu ALLAH unasema huku unadanganya mwenyewe Kwa faida ya nani
Yakitajwa makarama au mambo mazuri ya wanazuoni, kuna baadhi ya wanaojiona waislam sana wanaumiiiiia. Kiufupi kila mtu ana hesabu zake, wewe mambo ya Dhikr na Maulid, yaweke pembeni, hawa hawatajwi kwa Maulid au dhikr, vinavyokusumbueni hivyo. Hawa wanatajwa kwa tabia zao, elimu zao na ibada zao. Na wewe jipime je leo, ukiacha huko kuswali huku unasengenya watu,unachukia watu,unakula riba, una zini, hupatani na majirani na wala waislam wenzio, sasa utatajwa kwa lipi ukifa??.maana kama waeza mchukia mtu kama anasoma Maulid, au anafanya khitma,au anavaa suruali ndefu, sasa utashindwa kumchukia jirani, .wapo radhi kumpenda mwanamziki fulani, lakini wakamchukia Sheikh fulani anaelingania dini,eti kisa hana ndevu?au suruali ndefu
ALLAH atuelekeze katika sunna
Kama hamuyapendi mambo yetu ya Twariqa tuachieni wenyewe
Masufi kwa upotoshaji, na huyo tapeli jabir keshawadhulumu watu wengi kwa uganga wake wa kibid'ah. Na ana tabia nyingine kuisema hapa ni aibu.
Kila mtu ana tabia.taja zako kwanza hapa ili tukuamini kwanza. Ndiyo mtume katufundisha hivyo. Tatzo mnadandia, mabas siyo ya kwenu. Wewe tafuta Masheikh zenu, bakini huko. Mbona mnaumia mnoooo
Watu wa kashfa kumbe wajulikaniwa
Hahahahahahhahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ' usufy ni mzigo mkubwaaaaa sana
Allahul mustaan
awajamaa wanalingania watu kuingia motoni
Mtu wa bidaa hawezi kuwa wali I hata kidogo watu wa kukohoa nyie watu bidaa uwali mupate wapi shirki imejaa na kufru kwenu
Wewe ndo walii ,kwanini mnafuatilia mambo ya dini nyingine mkaacha ya kwenu.. dhikri ipo fuatilia ujue ila walimu wako wafitina hawawezi kukuonyesha
Hayo ni maneno yako wewe.kwani wewe ndiyo unagawa uwalii??au baba yako??.halafu mbona mambo yasiyo wahusu, mnayafata huku??wewe baki na mambo yenu. Sis Maulid tutasoma hadi peponi, Dhikr tutafanya, na Nchi hii ya Tz kuna siku maalum ya Maulid, . Wewe ukaijue bidaa kuliko imam shafii.
Wewe mwenyewe bidaa, kwani ulikuwepo wakat wa Mtume wewe? Au hii RUclips unayotumia hapa siyo bidaa?tuelezeni msikiti gani wa mtume ukikua ni Mic, na mabusati na Mafeni?mbona mnayo?. Tuelezeni mashindano ya Quran mtume aliyafanya wapi?na mshindi alikua nani?au mtuelezee vitabu mnavyosoma soma, kuna kitabu alikiacha mtume zaid ya quran na Hadithi, na hata hazikua ktk msahafu.kuna mambo mengi ya kuyafanya kama waislamu siyo kubishana maulid tuu.hatuna hospitali,hatuna mashule, tumejawa na umaskini, kazi kubishana tuu,. Wewe usiyoyafanya waachie wanaofanya
nyie mnaojitia wabora kuliko wengine Allah yuawatazameni
Huna mapenzi ya mtume ndio maana unashangaa kukohowa wewe Kuna raha yake