Mbowe anastahili kuwa mwenyekiti wa kudumu chadema,,,Mwamba hayumbi hayumbishwali, tangu namjua ni mzee wa kunyoosha, mpinzani wa kweli asiye na wa kupimana linapokuja swala la vyama vya upinzani
Kwa hiyo wewe unaona Heri ccm iendelee kuiongoza kwa hicho Kikundi kilichopo kwenye baraza la mawaziri tu, na nchi ikiendelea kukatwa vipande vipande sio??
@IssaAlly-lp4uf Sanaa tu na huo ndio ukweli. Elimu yao inawafungua akili na kuwapa uwezo wa kupembua na kuchanganua mambo ya maisha ya jamii, siasa na uchumi. Na wanaijua vizuri Katiba ya Nchi yao: wajibu wao na haki zao. Tofauti na ya Elimu ya Tanzania inayozalisha Machawa kuanzia Profs, Drs, hadi wanaojiita Wasanii.
Haya matatizo na ujinga wote huu unaanzia ktk shule zetu. Elimu yetu haitengenezi Critical and analytical thinkers bali watu wasiofikri vizuri na waoga. Watu wasiojielewa na ndio maana tuna wasomi ovyo, wasanii ovyo ..machawa chawa tu wa kutetea matumbo yao ..wapuudhi mno. Angalia wasomi wa Kenya, wasaanii wa Kenya graduates wa kenya wako smart na very intelligent. Mfumo wa elimu inatakiwa ubadilike
kinachotuleteleza ni nchi kuwa na mambumbumbu wengi,,bahatimbaya hatawasomi,vyuo vikuu nawengine waliotoka ujinga hawana mtazamo wakuitetea nchi. jamani Tanzania tunatia huruma.
Nyerere alijenga viwanda alipotoka tu wakaanza kuviuza. Dhambi mbaya aliyoifanya Mkapw wa CCM na Kikwete anaendeleaza na mpaka leo anamshauri mama yake amemalizia kuuza Bandari zote Tanganyika hapo hapo Zanzibar imejiyoa kwenye muungano lakini CCM wanaimba ati muungano wetu umekuwa kweli akili matope ta watawala wa CCM
Watanzania Bajeti inapitishwa, Mwigulu anawatukana kuwa kama hawataki kulipa tozo waende Burundi ... watoto wa Tanzania .graduate wa Vyuo Vikuu hawana habari ..wanashangilia Manchester United na tamasha za muziki za kipuudhi za Wasanii Machawa 😂😂😂😂
Huwa naumiaa Sana ninapoyaona magari yanjano, huku Asante kayumba mtoto anapewa mtihan anaulizwa et katibu was shule anaitwa nani? Jaman inauma Sana jina la katibu wa shule linamsaidia nn mtoto. Daaaa!
Mkichukua nchi viongozi wote walipe kodi zao. Katiba mpya ilazimu viongozi walipe kodi. Katiba itoe kinga za viongozi wote wahujumu na waadhibiwe. Wote waliohusika kuhujumu nchi washtakiwe.
Hapo nimependa. Wanaume mpo kazini kweli kweli.
Vyovyote vile ilivyo au itakavyokuwa, kwa sasa mabadiliko ni lazima.
Mungu ibariki chadema
Hongera sana Mheshimiwa Mbowe
Hongera baba hukuna kulala wala kusinzia Mungu akutie nguvu na awatangulie kila mahali
Pope's power binafisi naikubali sana chadema piga kazi kamanda mbowe.
Viva Chadema ✌️✌️💪 Chadema Ni Mpango Wa MUNGU #CcmMustEnd
Nilikuwa ccm kipindi Cha magufuli, toka afe rais wawanyonge ccm siitaji tena
Iikitu mbona inaeleweka wa Tanzania tubadilike tujitambue
Ndio maana wenzetu wanakusanya wanafunzi na walimu kuhudhuria mikutano yao! Mmmmmh, malori mangapi yangebeba nyomi hiii?
Hahahaaaa
Mbowe anastahili kuwa mwenyekiti wa kudumu chadema,,,Mwamba hayumbi hayumbishwali, tangu namjua ni mzee wa kunyoosha, mpinzani wa kweli asiye na wa kupimana linapokuja swala la vyama vya upinzani
Ccm ndiyo maana hawalali wakisikia sauti ya Simba Mbowr ikitema madini yenye afya!
NAAM HUYU NI KIBOKO CHA CCM!!!
Viongozi hawa viongozi wanadanganya watanzania et wawe wazalendo ili wazidi kuwakandamiza wao wakila kodi zetu ubwege
Kwa hiyo wewe unaona Heri ccm iendelee kuiongoza kwa hicho Kikundi kilichopo kwenye baraza la mawaziri tu, na nchi ikiendelea kukatwa vipande vipande sio??
We Sunday k
Allah ibariki chadema kwenye ushindi
Ndoto
Kenya wako vizuri kielimu
@IssaAlly-lp4uf Sanaa tu na huo ndio ukweli. Elimu yao inawafungua akili na kuwapa uwezo wa kupembua na kuchanganua mambo ya maisha ya jamii, siasa na uchumi. Na wanaijua vizuri Katiba ya Nchi yao: wajibu wao na haki zao. Tofauti na ya Elimu ya Tanzania inayozalisha Machawa kuanzia Profs, Drs, hadi wanaojiita Wasanii.
Kwenye Lugha Manga Mkono.Watu Wanaenda na Wakati Tibadilike. CCM Tumewachoka.
CCM Wabaguzi Sana Kwenye Erimu Ndio Maana. Hata Wabunge Wanajirudia Km Babako Alikua Mbunge Na Ww Utakua Mbunge Ccm Walaniwe
Shkamoo Mh. Mbowe.
Ukiona wamelegeza macho unadhani watu kimbe wamejaa ubinafisi na uwaji ndani
Wametudanganya ,kupeleka umeme vijijini kwa bei rahisi, kumbe ni mpango, wa kupata kodi ya arthi ,mpaka kwenye nyumba za makuti,,
Kwani hiki chama ni cha kaskaziniiii........😂
Haya matatizo na ujinga wote huu unaanzia ktk shule zetu. Elimu yetu haitengenezi Critical and analytical thinkers bali watu wasiofikri vizuri na waoga. Watu wasiojielewa na ndio maana tuna wasomi ovyo, wasanii ovyo ..machawa chawa tu wa kutetea matumbo yao ..wapuudhi mno. Angalia wasomi wa Kenya, wasaanii wa Kenya graduates wa kenya wako smart na very intelligent. Mfumo wa elimu inatakiwa ubadilike
Waambieni watu wajiandikishe pamoja na mambo yote kila mtanzania wajiandikishe na wapige kura
Aman ndo kila kitu
Chezea chadema wewe people's powee
Tunataka kadi jamani
Mbowe oyeeee hapa kazi akuna kulala mpaka kieleweke
kinachotuleteleza ni nchi kuwa na mambumbumbu wengi,,bahatimbaya hatawasomi,vyuo vikuu nawengine waliotoka ujinga hawana mtazamo wakuitetea nchi. jamani Tanzania tunatia huruma.
Nyerere alijenga viwanda alipotoka tu wakaanza kuviuza. Dhambi mbaya aliyoifanya Mkapw wa CCM na Kikwete anaendeleaza na mpaka leo anamshauri mama yake amemalizia kuuza Bandari zote Tanganyika hapo hapo Zanzibar imejiyoa kwenye muungano lakini CCM wanaimba ati muungano wetu umekuwa kweli akili matope ta watawala wa CCM
Inauma sana. Soko la ajira hatuna. Lugha mama kisukuma, lugha ya pili kiswahili tena cha kuvunjikavunjika aka broken.
Jamani hizi tozo zinaumiza umeme wameongeza Kodi sasa elfu mbili Kila mwezi vitu muhimu vyote petrol nondo cement bado hata choo tutadaiwa Kodi
Kufa kondagita kufa derava mabadiriko lazima
Tunabaki machinga na boda boda
Kwetu kuna mafao ya wenza wa viongozi ila waztaafu wengine wenza wao anapewa bima ya afya tu😅😅😅
MWAMBA NADANI YA MOSHI TOWN,PIGENI KAZI WAPENDWA
Kanda Kaskazini Majimbo yote tuhakikishe yamekuwa upande wetu
Haya yote ni sahihi alio ongea mbowe kingereza muhimu mwenye akili ataerewa
Watanzania Bajeti inapitishwa, Mwigulu anawatukana kuwa kama hawataki kulipa tozo waende Burundi ... watoto wa Tanzania .graduate wa Vyuo Vikuu hawana habari ..wanashangilia Manchester United na tamasha za muziki za kipuudhi za Wasanii Machawa 😂😂😂😂
Huwa naumiaa Sana ninapoyaona magari yanjano, huku Asante kayumba mtoto anapewa mtihan anaulizwa et katibu was shule anaitwa nani? Jaman inauma Sana jina la katibu wa shule linamsaidia nn mtoto. Daaaa!
Mkichukua nchi viongozi wote walipe kodi zao. Katiba mpya ilazimu viongozi walipe kodi. Katiba itoe kinga za viongozi wote wahujumu na waadhibiwe. Wote waliohusika kuhujumu nchi washtakiwe.
Ndio mana atupati maendereo ya haraka kwakufuja pesa kwa mamboyao binafsi
Viongozi..wetu .wakiaka..asubuhi..wanashika..tumbu..leo..nile..nini..masikini..anawaza..leo..nitapata..wapi..matembele..na..nyanya..chungu😭😭😭😭😭🙏🙏..wakati..umefika..maisha..ni..yetu
Simba anaguruma tusikilize
Sasa Watu kama kina Mwinjaku na Steve Nyerere Wanachangia nini katika pato la Taifa! Hawa ni Machawa tu ambao kazi yao ni kunyonya kodi za Wananchi.
Waelimishwe. Wajiandikishe kwani hapo.ndipo penye ushindi
kaza mwendo kamanda
Sembe chapa kitambi
Unayempinga kamanda tulia wewe ni chawa
Kama kwenu Kenya Nenda zako Tuache Watanganyika na Rais wetu MBOWE
Mbowe tusemee tupate ajira
Wacha uongo mm ni mkenya hapa
Hata Kenya wapo mazuzu
Ni Mkenya MBUMBU!!! Labda ulizaliwa Tanzania umehamia tu Kenya ndiyo sababu ni MBUMBU.
Kweli kabisa ..ni chawa wa Tza aliehamia Kenya..hakuna mpumbavu hivyo @@FrankMwakatundu-cu6bd
Bainisha uongo ni hupi.
Mkenya waambie mazuzu hawa