MBOWE BALAA! AKINUKISHA MOSHI MJIN, ATANGAZA VITA RASMI NA CCM, WANANCH WAIKATAA CCM, MBOWE ASHANGAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 62

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 3 месяца назад +10

    Hapo nimependa. Wanaume mpo kazini kweli kweli.
    Vyovyote vile ilivyo au itakavyokuwa, kwa sasa mabadiliko ni lazima.

  • @EmanuelElphas
    @EmanuelElphas 3 месяца назад +4

    Mungu ibariki chadema

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl 3 месяца назад +1

    Hongera sana Mheshimiwa Mbowe

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 3 месяца назад

    Hongera baba hukuna kulala wala kusinzia Mungu akutie nguvu na awatangulie kila mahali

  • @sulaimanmallecha6134
    @sulaimanmallecha6134 2 месяца назад

    Pope's power binafisi naikubali sana chadema piga kazi kamanda mbowe.

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 3 месяца назад

    Viva Chadema ✌️✌️💪 Chadema Ni Mpango Wa MUNGU #CcmMustEnd

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 3 месяца назад +2

    Nilikuwa ccm kipindi Cha magufuli, toka afe rais wawanyonge ccm siitaji tena

  • @GasparMfoi
    @GasparMfoi 3 месяца назад

    Iikitu mbona inaeleweka wa Tanzania tubadilike tujitambue

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 3 месяца назад +3

    Ndio maana wenzetu wanakusanya wanafunzi na walimu kuhudhuria mikutano yao! Mmmmmh, malori mangapi yangebeba nyomi hiii?

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 3 месяца назад +3

    Mbowe anastahili kuwa mwenyekiti wa kudumu chadema,,,Mwamba hayumbi hayumbishwali, tangu namjua ni mzee wa kunyoosha, mpinzani wa kweli asiye na wa kupimana linapokuja swala la vyama vya upinzani

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 3 месяца назад +8

    Ccm ndiyo maana hawalali wakisikia sauti ya Simba Mbowr ikitema madini yenye afya!

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 3 месяца назад +4

    Viongozi hawa viongozi wanadanganya watanzania et wawe wazalendo ili wazidi kuwakandamiza wao wakila kodi zetu ubwege

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 3 месяца назад

      Kwa hiyo wewe unaona Heri ccm iendelee kuiongoza kwa hicho Kikundi kilichopo kwenye baraza la mawaziri tu, na nchi ikiendelea kukatwa vipande vipande sio??

    • @ARABIMAARUFU
      @ARABIMAARUFU 3 месяца назад

      We Sunday k

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 3 месяца назад

    Allah ibariki chadema kwenye ushindi

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 3 месяца назад +1

    Kenya wako vizuri kielimu

    • @TNgwale-eu3xl
      @TNgwale-eu3xl 3 месяца назад

      @IssaAlly-lp4uf Sanaa tu na huo ndio ukweli. Elimu yao inawafungua akili na kuwapa uwezo wa kupembua na kuchanganua mambo ya maisha ya jamii, siasa na uchumi. Na wanaijua vizuri Katiba ya Nchi yao: wajibu wao na haki zao. Tofauti na ya Elimu ya Tanzania inayozalisha Machawa kuanzia Profs, Drs, hadi wanaojiita Wasanii.

  • @IdrisaTuppa
    @IdrisaTuppa 3 месяца назад

    Kwenye Lugha Manga Mkono.Watu Wanaenda na Wakati Tibadilike. CCM Tumewachoka.

  • @BozaDizamile-u1d
    @BozaDizamile-u1d 3 месяца назад +1

    CCM Wabaguzi Sana Kwenye Erimu Ndio Maana. Hata Wabunge Wanajirudia Km Babako Alikua Mbunge Na Ww Utakua Mbunge Ccm Walaniwe

  • @RodrickMmanyi-lr6lr
    @RodrickMmanyi-lr6lr 3 месяца назад

    Shkamoo Mh. Mbowe.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 месяца назад

    Ukiona wamelegeza macho unadhani watu kimbe wamejaa ubinafisi na uwaji ndani

  • @faithagrey962
    @faithagrey962 3 месяца назад

    Wametudanganya ,kupeleka umeme vijijini kwa bei rahisi, kumbe ni mpango, wa kupata kodi ya arthi ,mpaka kwenye nyumba za makuti,,

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 3 месяца назад

    Kwani hiki chama ni cha kaskaziniiii........😂

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl 3 месяца назад

    Haya matatizo na ujinga wote huu unaanzia ktk shule zetu. Elimu yetu haitengenezi Critical and analytical thinkers bali watu wasiofikri vizuri na waoga. Watu wasiojielewa na ndio maana tuna wasomi ovyo, wasanii ovyo ..machawa chawa tu wa kutetea matumbo yao ..wapuudhi mno. Angalia wasomi wa Kenya, wasaanii wa Kenya graduates wa kenya wako smart na very intelligent. Mfumo wa elimu inatakiwa ubadilike

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 3 месяца назад

    Waambieni watu wajiandikishe pamoja na mambo yote kila mtanzania wajiandikishe na wapige kura

  • @JoseSimon-mt6oc
    @JoseSimon-mt6oc 3 месяца назад

    Aman ndo kila kitu

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd 3 месяца назад +1

    Chezea chadema wewe people's powee

  • @GasparMfoi
    @GasparMfoi 3 месяца назад

    Tunataka kadi jamani

  • @CafeJohn-n9o
    @CafeJohn-n9o 3 месяца назад

    Mbowe oyeeee hapa kazi akuna kulala mpaka kieleweke

  • @JeremiahMwakanyamale
    @JeremiahMwakanyamale 3 месяца назад

    kinachotuleteleza ni nchi kuwa na mambumbumbu wengi,,bahatimbaya hatawasomi,vyuo vikuu nawengine waliotoka ujinga hawana mtazamo wakuitetea nchi. jamani Tanzania tunatia huruma.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад

    Nyerere alijenga viwanda alipotoka tu wakaanza kuviuza. Dhambi mbaya aliyoifanya Mkapw wa CCM na Kikwete anaendeleaza na mpaka leo anamshauri mama yake amemalizia kuuza Bandari zote Tanganyika hapo hapo Zanzibar imejiyoa kwenye muungano lakini CCM wanaimba ati muungano wetu umekuwa kweli akili matope ta watawala wa CCM

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 3 месяца назад

    Inauma sana. Soko la ajira hatuna. Lugha mama kisukuma, lugha ya pili kiswahili tena cha kuvunjikavunjika aka broken.

  • @STEVENRingo-vf7ox
    @STEVENRingo-vf7ox 3 месяца назад

    Jamani hizi tozo zinaumiza umeme wameongeza Kodi sasa elfu mbili Kila mwezi vitu muhimu vyote petrol nondo cement bado hata choo tutadaiwa Kodi

  • @CafeJohn-n9o
    @CafeJohn-n9o 3 месяца назад

    Kufa kondagita kufa derava mabadiriko lazima

  • @godfreybitakama9845
    @godfreybitakama9845 3 месяца назад +2

    Tunabaki machinga na boda boda

  • @sophiemsuya6507
    @sophiemsuya6507 3 месяца назад

    Kwetu kuna mafao ya wenza wa viongozi ila waztaafu wengine wenza wao anapewa bima ya afya tu😅😅😅

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 3 месяца назад

    MWAMBA NADANI YA MOSHI TOWN,PIGENI KAZI WAPENDWA

  • @dillonfoya
    @dillonfoya 3 месяца назад

    Kanda Kaskazini Majimbo yote tuhakikishe yamekuwa upande wetu

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 3 месяца назад

    Haya yote ni sahihi alio ongea mbowe kingereza muhimu mwenye akili ataerewa

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl 3 месяца назад

    Watanzania Bajeti inapitishwa, Mwigulu anawatukana kuwa kama hawataki kulipa tozo waende Burundi ... watoto wa Tanzania .graduate wa Vyuo Vikuu hawana habari ..wanashangilia Manchester United na tamasha za muziki za kipuudhi za Wasanii Machawa 😂😂😂😂

  • @StevenGendo-vx9jo
    @StevenGendo-vx9jo 3 месяца назад

    Huwa naumiaa Sana ninapoyaona magari yanjano, huku Asante kayumba mtoto anapewa mtihan anaulizwa et katibu was shule anaitwa nani? Jaman inauma Sana jina la katibu wa shule linamsaidia nn mtoto. Daaaa!

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 3 месяца назад

    Mkichukua nchi viongozi wote walipe kodi zao. Katiba mpya ilazimu viongozi walipe kodi. Katiba itoe kinga za viongozi wote wahujumu na waadhibiwe. Wote waliohusika kuhujumu nchi washtakiwe.

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 3 месяца назад

    Ndio mana atupati maendereo ya haraka kwakufuja pesa kwa mamboyao binafsi

  • @josephkmarwa7425
    @josephkmarwa7425 3 месяца назад +2

    Viongozi..wetu .wakiaka..asubuhi..wanashika..tumbu..leo..nile..nini..masikini..anawaza..leo..nitapata..wapi..matembele..na..nyanya..chungu😭😭😭😭😭🙏🙏..wakati..umefika..maisha..ni..yetu

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 3 месяца назад

    Simba anaguruma tusikilize

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl 3 месяца назад

    Sasa Watu kama kina Mwinjaku na Steve Nyerere Wanachangia nini katika pato la Taifa! Hawa ni Machawa tu ambao kazi yao ni kunyonya kodi za Wananchi.

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552 3 месяца назад

    Waelimishwe. Wajiandikishe kwani hapo.ndipo penye ushindi

  • @HelenikoBusagara
    @HelenikoBusagara 3 месяца назад +1

    kaza mwendo kamanda

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 3 месяца назад

    Sembe chapa kitambi

  • @eliudmugendi9619
    @eliudmugendi9619 3 месяца назад +1

    Unayempinga kamanda tulia wewe ni chawa

  • @FidelisiKidungu
    @FidelisiKidungu 3 месяца назад

    Kama kwenu Kenya Nenda zako Tuache Watanganyika na Rais wetu MBOWE

  • @KiigeMongoreme
    @KiigeMongoreme 3 месяца назад

    Mbowe tusemee tupate ajira

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz 3 месяца назад

    Wacha uongo mm ni mkenya hapa

    • @SaidiMohamedi-n2u
      @SaidiMohamedi-n2u 3 месяца назад +2

      Hata Kenya wapo mazuzu

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 3 месяца назад +1

      Ni Mkenya MBUMBU!!! Labda ulizaliwa Tanzania umehamia tu Kenya ndiyo sababu ni MBUMBU.

    • @TNgwale-eu3xl
      @TNgwale-eu3xl 3 месяца назад

      Kweli kabisa ..ni chawa wa Tza aliehamia Kenya..hakuna mpumbavu hivyo ​@@FrankMwakatundu-cu6bd

    • @saivellybrutally2994
      @saivellybrutally2994 3 месяца назад

      Bainisha uongo ni hupi.

    • @basilisamsaka8469
      @basilisamsaka8469 3 месяца назад

      Mkenya waambie mazuzu hawa