@@mkaapwekekariakoo6417 Kuchekesha ni fan ambayo mm na ww hatuna ila ambao wanayo ndio wamefika huko Cheka tu, hivyo bs mm siwz kufik hpo coz sio mchezo
@@DjmubaTechServices Hakika... Sema mwanzo alikubalika japo kwa Sasa inafaa ajipange upya Joli Master Ni Kama Erick Omondi. Watu kila Mara wanaibuka na kuwa na ubunifu, Sauti, nyimbo fulani wanaimba, kuwa na kollabo ya comedians zaidi yake, kukaa kimya ili watu wawe na shauku naye. Kama anavofanya Midevu. Anaweza akakaa mwezi mzima wa kuandika na kufikiria Nini Cha Kutoa, akija kweli unasikia Ile kauli ya the king is back inaendana na anayeisema. Naamini anapitia comment zetu na Hii ndiyo support yetu kubwa kwao, kuwapa Ni kipi tunafikiria na kipi tungependa kupokea. Asante
@@mkaapwekekariakoo6417 huyu Jol master cheka hata jokes zake za nyuma zilivyo na angalia sasa hivi, utaona kabisa dogo anajiona kaisha fika yaan now anatumia uzoefu tu. Na hili ndilo ttzo sasa yaan bora angezidi kuji brand kwa sasa zaid ili afike mbali japo hata aende Churchill show anaona kuwa Cheka tu kaisha fika...Kuna comedians wakubwa sana haps Africa lkn bado kasi yao ni ile ile na wanzaidi kuwaka 🔥 na wana mafanikio hatari sana, sasa yy alivyoanza kuingiza vihela tu kaanza madharau na anashindwa kuelewa kuwa sisi ndio tumemfikisha hapo
Jol kalime
Huna kitu unacho fanya now days matako yanalia bwata, ngoma ikivuma sana
Material ziroo
Asma ana hema sana
Jol master sku hiizi huna content ni kelele tu ulizo nazoo,,,,!!! Pambanaaa acha mazoeaa
Kweliii man anatumia nguvuu nyingi kweny hamnaa
Sure
Jolly master Nini sikuiz umekuwa mbona huchekeshi? Jitahidi bn yaan ukumbi unatulia saana ukiingia kuchek Ni kidg saana tafta punch Kaka yaan nashangaa ckuhiz huchekeshi kbs
Jol master is not funny at all 😠 it's really boring 😏
Yeah
Najua ulitafuta matusi lakin amna tusi tushakuelewa 😂😂😂
Hana kitu
Yaan nacheka on how jol is fun less
😂😂😂😂😂😂😂😂
so funny 🤣🤣🤣
Hv huyo Dada Nan alimuambia anajua kuchekesha
😂😂
Sa jol masta mbona haeleweki? Anaenda mbele anarudi nyuma..inshort skuizi he has no content for funy but he's just doing it kwa mazoea.
Wewe ndo umemzoea. Sio kazi rahisi kuchekesha watu, especially wa Tanzania kama wewe, mlio na stress za maisha.
Hana kitu
Hapo kwenye cheka tu mkali aza boy, bernado, na mwaisaa yule mwamba wa mbeyaa
Safi sana napenda mnavyo pambania hii fani nauliza nilini mnatarajia kuweka comedy search kwa mwaka huu?
My favourite online comedy show...
😂😂😂
asma😅😅😅
Uyo akuna anachokua cjui kwann kaopata nafc
Ondokaaa bwana nendaa katafute material hakuna unachokifanyaa hapo.
Yaan cheka tu siku hizi hawachekeshi kabisa
Najuta kupoteza mb zangu
Asma MashaaAllah 🤩 🤩 🤩 🤩
Yani ulivyo taja bongo tu hoi🤣🤣🤣🤣🤣
Hamna kitu
😂😂
😂😂😂😂
😂
The Third One......
On time
🤗🤗😂😂
😂😂👏❤
Second to comment
Jol master siku hizi hamna kitu sifa zimemkolea mno
Kwel kaishiwa. Ila sio mchezo unajua kufanya Hii kitu... Em jaribu jicheki kwenye kioo tu😂😂
@@mkaapwekekariakoo6417 Kuchekesha ni fan ambayo mm na ww hatuna ila ambao wanayo ndio wamefika huko Cheka tu, hivyo bs mm siwz kufik hpo coz sio mchezo
@@DjmubaTechServices Hakika... Sema mwanzo alikubalika japo kwa Sasa inafaa ajipange upya Joli Master Ni Kama Erick Omondi. Watu kila Mara wanaibuka na kuwa na ubunifu, Sauti, nyimbo fulani wanaimba, kuwa na kollabo ya comedians zaidi yake, kukaa kimya ili watu wawe na shauku naye. Kama anavofanya Midevu. Anaweza akakaa mwezi mzima wa kuandika na kufikiria Nini Cha Kutoa, akija kweli unasikia Ile kauli ya the king is back inaendana na anayeisema. Naamini anapitia comment zetu na Hii ndiyo support yetu kubwa kwao, kuwapa Ni kipi tunafikiria na kipi tungependa kupokea. Asante
@@mkaapwekekariakoo6417 huyu Jol master cheka hata jokes zake za nyuma zilivyo na angalia sasa hivi, utaona kabisa dogo anajiona kaisha fika yaan now anatumia uzoefu tu. Na hili ndilo ttzo sasa yaan bora angezidi kuji brand kwa sasa zaid ili afike mbali japo hata aende Churchill show anaona kuwa Cheka tu kaisha fika...Kuna comedians wakubwa sana haps Africa lkn bado kasi yao ni ile ile na wanzaidi kuwaka 🔥 na wana mafanikio hatari sana, sasa yy alivyoanza kuingiza vihela tu kaanza madharau na anashindwa kuelewa kuwa sisi ndio tumemfikisha hapo