Ukweli utapatikana wapi kama pastor kama huyu wanandang'anya watu .waombanji wa ukweli niwakati wenu kusimama na jina LA Jesu. Muombee ichi yetu kusije kupatikana ma pastor kama hiyu.God bless Kenya.
@Agripina Muhavi me neither where in the Bible did we hear Jesus selling anointing oil and water? For me the moment a pastor is selling anointing oil or water that's enough red flag
If ameachiliwa si hamungemushika basi maubwa magasia hao waty woote ametoa kafala sio watu mtu wa chin wake ndie ataozea ndanj Kenya mko na shida tu aky
Chifu wa kilifi Kasi yake Kani watu. Watu zaidi ya watu 50. Wa potehe pila mwili zaho kupatikana ata yy akamate .ama away watu Awana watu waho.kenya. tunahedawapi.? Ruto usihangaliye uyo pasta pekee yake Kuna nyumba kumi. Na chifu .polis .? Walikua wapi .?
Raila na uyo shakahola mhubiri Tata ni the same category.. Raila aki sacrifice watu through mandamano na muhubiri aki sacrifice watu through njaa.. rituals, freemasonry, and Witchery powers.....
Hamjaambiwa lazima muandamane cha nguvu acheni wenye kuandamana wakaandamane juu kenya sioni serikali mtu anauwa watu karibu mia moja na anaachiliwa kwa dhamana ya elfu kumi yaani ametoa roho nyingi na bado anaachiliwa tu je huo niungwana
@@sophiajuma6798 SASA problem ni serekali au constitution yenye Raila anadai alipigania 2010 ambae inakubali pia mwandamane Kwa mfano kibra, mathare, jacaranda and kisumu mkichoma mosque and church na kuiba Kwa mortuary kisumu... Je huo ni ungwana? Kabla uonge ama utoe comment ,au kabla uvuke barabara angalia left, right and behind before you move..wacha kutumia mkundu,tumia akili ndio ikuweleze... Blame 2010 constitution,coz before constitution of 2010 killer would haven't been given the bond. Ala! iyo iliendanga na Ruto , Raila alicheswa na uhuru Kenyatta.. endelea Kuota kabisaaaaa mpaka 2032...
@@hazeljelimo5995 nop I think haya maovu yalikuwepo Tu chini ya maji lakini kujulikana imeanza 2017,the guy used to preach very well early 2004,hapo sasa sijui ikifika mahali wanaendea nguvu za Giza nashindwa
Ezekiel hawexi kua mtu hembu xerikali jukuza poa hio kenxi kulikana na huo Mackenzie anajita pastor anaharipia pastor Ezekiel jina Ezekiel is a good poster why you arresting pastor Ezekiel
Na wale wanauza maji mafuta nk. Kwanini hamuwazungumzii they're making money without paying taxes. Arrest all prophets ambao wanauzia watu vitu vya upako.
Kwani Kenya akuna sheria ya kujunga wakenya 🤔 mtu Kama huyo Pastor aruziwi akuwe huru yeye ni muwaji aruziwi akuwe Karibu na watu 😮 huyu ni Illuminati -sekte ya kutoa watu Sacrifice ☝️ Kama sirikali ameshindwa kuatibu huyo mtu 👈 batieni Wanainchi afundishe adabu kabla auwawe musiwajilia☝️
Such wicked preachers give the authorities the much needed excuse to control worship. Satan brings in rotten preachers so that all genuine people can suffer
Haki ni kweli na anajifanya hajui yaani ameachiliwa na elfu kumi yaani Mungu ndio atatutetea wanyonge hawana haki watoto wengi wamekufa na hata hawajui maana ya kufunga ni nini?
Akaachiliwa tena?😮then the gorvernent is behind this
May they are in the game
Heti ameachiliwa na elfu kumi jamani kuna Mungu mbinguni
Kwani hamuelewi kiswahili, aliachiliwa hapo awali na sio mara hii.
Mama Ida Odinga qliposema kuwa makanisa yachunguzwe alitusiwa vibaya Sana now it's open
Wanangojea kutengeza commission of enquiry
Ni vizuri makanisa ichunguzwe upya
Let us God save pastor Ezekiel ❤❤❤❤❤❤❤ and give hjm love nad peace
Ukweli utapatikana wapi kama pastor kama huyu wanandang'anya watu .waombanji wa ukweli niwakati wenu kusimama na jina LA Jesu. Muombee ichi yetu kusije kupatikana ma pastor kama hiyu.God bless Kenya.
paul makenzi aliuzia pastor Ezakiel Tv station yake na pia ni friends wakenya kuweni waangalifu na hizi maji na mafuta mnanua
Exactly as for me I don't buy such water for what
@Agripina Muhavi me neither where in the Bible did we hear Jesus selling anointing oil and water? For me the moment a pastor is selling anointing oil or water that's enough red flag
@@r.q5194 na vitambaa pia
Yaani Yesu anatoshea kwa chupa ai ununue ngacibu, Mai, kihato, mutiuhige
Tunajua Kenya hii itafunikiwa vile story ya baby sagini ilinyamaziwa
Maybe my brother ako hapo juu alisema ako kilifi nasimu ikaeda offline 😢😢
my goodness, and the way i love my life, how did these people not love theirs, so sad!
🙆🙆🙆😳Ameachiliwa jamani bado hamjaona ushahidi?
mungu asaidie kenya
They should arrest the judges who let him off easy.
Ameachiliwa 🙆🙆kwann sasa alivoangamiza watu ivo na Ameachiliwa mbona yeye hakufa akawa mfano bora...
From 2017,what really happened?
Ati ameachiliwa 😳😳😳😳😳
Eti ameachiliwa😢😢😢 serikali 😢
Hao waumini wametajwa kwnye Yeremia 50:6
Mahakama ya huyu mama kila kitu ni hot air !!
😂😂😢ameachilia angekua kuwa alshabab , ndio mngeshugulika
These times,,,evil lives amongst us.. 🙏
Sheria ya kenya ibandiriswee kwa upande wa sheria ya mauwanji.
Duuh 😳😳😳 kuachiwa tena!
Mbona akawachiliwa awa watu wamekufa ni wengi Sana
Ndio Dunia imefika mwisho lakini kujiuwa ni mbaya.
END DAYZ
Wah vile napenda kukula😢.....
Kenya hakuna judiciary kweli. Haki lazima wakenya tuamke jamani kupinga court. Kutoka juu mpaka chini wameoza.
Yani Hao police wajinga na hiyo maahakama pumbuvu zaidi
Shaka (doubt) hola (horror). Very telling.
Soo sad may their soul rest in peace
Kwann walimuachia
Kwani huko ni western ya malindi.
If ameachiliwa si hamungemushika basi maubwa magasia hao waty woote ametoa kafala sio watu mtu wa chin wake ndie ataozea ndanj Kenya mko na shida tu aky
They're hidden sickret that this people are doing""hii mwili zinafaa zijunguzwe all parts
Hizi mahaka zilithinisha kuoana wake kwa wake wanaume kwa wanaume
Woneni basi mahkama zetu hazina shariaa
Chifu wa kilifi Kasi yake Kani watu. Watu zaidi ya watu 50. Wa potehe pila mwili zaho kupatikana ata yy akamate .ama away watu Awana watu waho.kenya. tunahedawapi.? Ruto usihangaliye uyo pasta pekee yake Kuna nyumba kumi. Na chifu .polis .? Walikua wapi .?
Only GOD can help us
Huyo jamaaa siakili yake kunabackground nyuma yake Kwanza yeye sio mkristo ,any tazameni hizo maiti kazko na Figo juu huyo jamaa hako bzy
Walio sema Kenya wajinga waliisha warudi tena kufanya utafiti !!
Unzuri Tuesday May 1st tunaenda mandamano
Nenda ukaandamane, wakenya wamepoteza maisha zao kwa upuzi wa „Cult“ , na bado unafuata upuzi wa huyo mzee vitendawili!
Raila na uyo shakahola mhubiri Tata ni the same category.. Raila aki sacrifice watu through mandamano na muhubiri aki sacrifice watu through njaa.. rituals, freemasonry, and Witchery powers.....
Hamjaambiwa lazima muandamane cha nguvu acheni wenye kuandamana wakaandamane juu kenya sioni serikali mtu anauwa watu karibu mia moja na anaachiliwa kwa dhamana ya elfu kumi yaani ametoa roho nyingi na bado anaachiliwa tu je huo niungwana
@@sophiajuma6798 SASA problem ni serekali au constitution yenye Raila anadai alipigania 2010 ambae inakubali pia mwandamane Kwa mfano kibra, mathare, jacaranda and kisumu mkichoma mosque and church na kuiba Kwa mortuary kisumu... Je huo ni ungwana? Kabla uonge ama utoe comment ,au kabla uvuke barabara angalia left, right and behind before you move..wacha kutumia mkundu,tumia akili ndio ikuweleze... Blame 2010 constitution,coz before constitution of 2010 killer would haven't been given the bond. Ala! iyo iliendanga na Ruto , Raila alicheswa na uhuru Kenyatta.. endelea Kuota kabisaaaaa mpaka 2032...
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ooh my God
Campuni ya ruto na gachietha inajua hii mambo kawaundani
I think ni figo zinauzwa mahali
True Kuna biashara
Remember he started 2017 hadi wa leo
@@hazeljelimo5995 nop I think haya maovu yalikuwepo Tu chini ya maji lakini kujulikana imeanza 2017,the guy used to preach very well early 2004,hapo sasa sijui ikifika mahali wanaendea nguvu za Giza nashindwa
Ezekiel hawexi kua mtu hembu xerikali jukuza poa hio kenxi kulikana na huo Mackenzie anajita pastor anaharipia pastor Ezekiel jina Ezekiel is a good poster why you arresting pastor Ezekiel
Na wale wanauza maji mafuta nk. Kwanini hamuwazungumzii they're making money without paying taxes. Arrest all prophets ambao wanauzia watu vitu vya upako.
Siyo maakama watu wote away 73 polisi was kilifi waliku wapi. Ama mutu mumoja a
What bible were they reading?
Ati ameachilia ma elfu 10 pekee, na vile ameua watu wengi na pengine ata wametolewa sehemu za mwili
Sio Sahi ni kitbo 10k
@@wilsonnjoroge382 okey ngwiciragia ni riu
Muachilieni Tena angalia hasara aliyosababisha Yani Afrika mpaka janga litufike ndiyo tunashtuka kumekucha Mungu tusaidie waja wako.
Kwani what is 10k
Weh!
Poverty. That's what is to blame here
Kwani Kenya akuna sheria ya kujunga wakenya 🤔 mtu Kama huyo Pastor aruziwi akuwe huru yeye ni muwaji aruziwi akuwe Karibu na watu 😮 huyu ni Illuminati -sekte ya kutoa watu Sacrifice ☝️ Kama sirikali ameshindwa kuatibu huyo mtu 👈 batieni Wanainchi afundishe adabu kabla auwawe musiwajilia☝️
We 44
Judge aliyemtoa kwa bond ya 10k achunguzwe,labda wanashirikiana kikanisa,usicheza na hii kenya yangu
True
Koome eti we arrested him, really? Were you the one who arrested him 🙄🙄🙄wacha uongo
Raila amewaua wangapi na maandamano na bado hajakamatwaa
Ngombe hii si wadhubutu
Kuuwawa kw maandamano ni polisi ndio wanasababisha sio Raila
Kenyans like short cuts things 😂
Brain wash😢😢 hizi macult joh😢
Kweli ni gaidi huyo na yeye alikuwa anakula na kunyua
Such wicked preachers give the authorities the much needed excuse to control worship. Satan brings in rotten preachers so that all genuine people can suffer
Koome and kindiki should justbresign hood for nothing
They died because of lack of knowledge.
😂uk
7yyhyyyh
Case closed. Wapelekwe any stadium there in mombasa na k.d.f ya KENYA iwasimamie hao fake pastor, wasikule na wasikunyue hadi wakufe.kwani iko nn
Campuni ya ruto na gachietha inajua hii mambo kawaundani
Haki ni kweli na anajifanya hajui yaani ameachiliwa na elfu kumi yaani Mungu ndio atatutetea wanyonge hawana haki watoto wengi wamekufa na hata hawajui maana ya kufunga ni nini?