Maiti 26 zaidi zafukuliwa leo kutoka makaburini, Kilifi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 окт 2024

Комментарии • 89

  • @willyboss8151
    @willyboss8151 Год назад +15

    Akaachiliwa tena?😮then the gorvernent is behind this

    • @ZEDY5iVEZMEDIA
      @ZEDY5iVEZMEDIA Год назад

      May they are in the game

    • @sophiajuma6798
      @sophiajuma6798 Год назад

      Heti ameachiliwa na elfu kumi jamani kuna Mungu mbinguni

    • @danchege4652
      @danchege4652 Год назад

      Kwani hamuelewi kiswahili, aliachiliwa hapo awali na sio mara hii.

  • @esthermargret8205
    @esthermargret8205 Год назад +8

    Mama Ida Odinga qliposema kuwa makanisa yachunguzwe alitusiwa vibaya Sana now it's open

  • @jevanaliskatamu
    @jevanaliskatamu Год назад

    Let us God save pastor Ezekiel ❤❤❤❤❤❤❤ and give hjm love nad peace

  • @judithwambui433
    @judithwambui433 Год назад

    Ukweli utapatikana wapi kama pastor kama huyu wanandang'anya watu .waombanji wa ukweli niwakati wenu kusimama na jina LA Jesu. Muombee ichi yetu kusije kupatikana ma pastor kama hiyu.God bless Kenya.

  • @christineachieng4094
    @christineachieng4094 Год назад +5

    paul makenzi aliuzia pastor Ezakiel Tv station yake na pia ni friends wakenya kuweni waangalifu na hizi maji na mafuta mnanua

    • @agripinamuhavi5669
      @agripinamuhavi5669 Год назад +1

      Exactly as for me I don't buy such water for what

    • @r.q5194
      @r.q5194 Год назад

      ​@Agripina Muhavi me neither where in the Bible did we hear Jesus selling anointing oil and water? For me the moment a pastor is selling anointing oil or water that's enough red flag

    • @agripinamuhavi5669
      @agripinamuhavi5669 Год назад

      @@r.q5194 na vitambaa pia

    • @agnesmuchina5425
      @agnesmuchina5425 Год назад

      Yaani Yesu anatoshea kwa chupa ai ununue ngacibu, Mai, kihato, mutiuhige

  • @nevergiveupinlife753
    @nevergiveupinlife753 Год назад +5

    Tunajua Kenya hii itafunikiwa vile story ya baby sagini ilinyamaziwa

  • @bethbe9688
    @bethbe9688 Год назад +1

    Maybe my brother ako hapo juu alisema ako kilifi nasimu ikaeda offline 😢😢

  • @fly69jamual62
    @fly69jamual62 Год назад +1

    my goodness, and the way i love my life, how did these people not love theirs, so sad!

  • @sophiajuma6798
    @sophiajuma6798 Год назад +1

    🙆🙆🙆😳Ameachiliwa jamani bado hamjaona ushahidi?

  • @kingevans2999
    @kingevans2999 Год назад

    mungu asaidie kenya

  • @Sharlen_
    @Sharlen_ Год назад +2

    They should arrest the judges who let him off easy.

  • @jamillahngala9087
    @jamillahngala9087 Год назад +2

    Ameachiliwa 🙆🙆kwann sasa alivoangamiza watu ivo na Ameachiliwa mbona yeye hakufa akawa mfano bora...

  • @hagaitina7645
    @hagaitina7645 Год назад +4

    From 2017,what really happened?

  • @missnellytv2149
    @missnellytv2149 Год назад +5

    Ati ameachiliwa 😳😳😳😳😳

  • @rachaelmapenzi8747
    @rachaelmapenzi8747 Год назад +1

    Eti ameachiliwa😢😢😢 serikali 😢

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 Год назад +1

    Hao waumini wametajwa kwnye Yeremia 50:6

  • @jumajay8496
    @jumajay8496 Год назад +1

    Mahakama ya huyu mama kila kitu ni hot air !!

  • @linahtalian1277
    @linahtalian1277 Год назад +4

    😂😂😢ameachilia angekua kuwa alshabab , ndio mngeshugulika

  • @lyds2548
    @lyds2548 Год назад +4

    These times,,,evil lives amongst us.. 🙏

  • @naomiwanjiru9972
    @naomiwanjiru9972 Год назад +1

    Sheria ya kenya ibandiriswee kwa upande wa sheria ya mauwanji.

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 Год назад +1

    Duuh 😳😳😳 kuachiwa tena!

  • @EuniceJerop-nx3hk
    @EuniceJerop-nx3hk Год назад

    Mbona akawachiliwa awa watu wamekufa ni wengi Sana

  • @noorabdikarin8905
    @noorabdikarin8905 Год назад

    Ndio Dunia imefika mwisho lakini kujiuwa ni mbaya.
    END DAYZ

  • @wanjiruwanganga5707
    @wanjiruwanganga5707 Год назад

    Wah vile napenda kukula😢.....

  • @mariaana9808
    @mariaana9808 Год назад

    Kenya hakuna judiciary kweli. Haki lazima wakenya tuamke jamani kupinga court. Kutoka juu mpaka chini wameoza.

  • @HelenahSian-hl5ue
    @HelenahSian-hl5ue Год назад +10

    Yani Hao police wajinga na hiyo maahakama pumbuvu zaidi

  • @jamesmwaniki7371
    @jamesmwaniki7371 Год назад

    Shaka (doubt) hola (horror). Very telling.

  • @rachaelw580
    @rachaelw580 Год назад +2

    Soo sad may their soul rest in peace

  • @azamazam3279
    @azamazam3279 Год назад

    Kwann walimuachia

  • @wesmaelijah8460
    @wesmaelijah8460 Год назад

    Kwani huko ni western ya malindi.

  • @anitashishi4118
    @anitashishi4118 Год назад

    If ameachiliwa si hamungemushika basi maubwa magasia hao waty woote ametoa kafala sio watu mtu wa chin wake ndie ataozea ndanj Kenya mko na shida tu aky

  • @edwardkemei3116
    @edwardkemei3116 Год назад +2

    They're hidden sickret that this people are doing""hii mwili zinafaa zijunguzwe all parts

  • @issakaharu2161
    @issakaharu2161 Год назад

    Hizi mahaka zilithinisha kuoana wake kwa wake wanaume kwa wanaume

  • @hamzayusuf1894
    @hamzayusuf1894 Год назад

    Woneni basi mahkama zetu hazina shariaa

  • @IrineChebet-p9o
    @IrineChebet-p9o Год назад

    Chifu wa kilifi Kasi yake Kani watu. Watu zaidi ya watu 50. Wa potehe pila mwili zaho kupatikana ata yy akamate .ama away watu Awana watu waho.kenya. tunahedawapi.? Ruto usihangaliye uyo pasta pekee yake Kuna nyumba kumi. Na chifu .polis .? Walikua wapi .?

  • @ChristopherWaweru-jy9fe
    @ChristopherWaweru-jy9fe Год назад +1

    Only GOD can help us

  • @athumanisilaha9847
    @athumanisilaha9847 Год назад

    Huyo jamaaa siakili yake kunabackground nyuma yake Kwanza yeye sio mkristo ,any tazameni hizo maiti kazko na Figo juu huyo jamaa hako bzy

  • @jumajay8496
    @jumajay8496 Год назад +2

    Walio sema Kenya wajinga waliisha warudi tena kufanya utafiti !!

  • @stellaanyango9335
    @stellaanyango9335 Год назад +1

    Unzuri Tuesday May 1st tunaenda mandamano

    • @darkrebel7302
      @darkrebel7302 Год назад

      Nenda ukaandamane, wakenya wamepoteza maisha zao kwa upuzi wa „Cult“ , na bado unafuata upuzi wa huyo mzee vitendawili!

    • @thomasmarende2445
      @thomasmarende2445 Год назад +1

      Raila na uyo shakahola mhubiri Tata ni the same category.. Raila aki sacrifice watu through mandamano na muhubiri aki sacrifice watu through njaa.. rituals, freemasonry, and Witchery powers.....

    • @sophiajuma6798
      @sophiajuma6798 Год назад

      Hamjaambiwa lazima muandamane cha nguvu acheni wenye kuandamana wakaandamane juu kenya sioni serikali mtu anauwa watu karibu mia moja na anaachiliwa kwa dhamana ya elfu kumi yaani ametoa roho nyingi na bado anaachiliwa tu je huo niungwana

    • @thomasmarende2445
      @thomasmarende2445 Год назад

      @@sophiajuma6798 SASA problem ni serekali au constitution yenye Raila anadai alipigania 2010 ambae inakubali pia mwandamane Kwa mfano kibra, mathare, jacaranda and kisumu mkichoma mosque and church na kuiba Kwa mortuary kisumu... Je huo ni ungwana? Kabla uonge ama utoe comment ,au kabla uvuke barabara angalia left, right and behind before you move..wacha kutumia mkundu,tumia akili ndio ikuweleze... Blame 2010 constitution,coz before constitution of 2010 killer would haven't been given the bond. Ala! iyo iliendanga na Ruto , Raila alicheswa na uhuru Kenyatta.. endelea Kuota kabisaaaaa mpaka 2032...

  • @eliomundus
    @eliomundus Год назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @blessedmum7317
    @blessedmum7317 Год назад

    Ooh my God

  • @agripinamuhavi5669
    @agripinamuhavi5669 Год назад +2

    Campuni ya ruto na gachietha inajua hii mambo kawaundani

    • @user-cg3vf2bl6b
      @user-cg3vf2bl6b Год назад +1

      I think ni figo zinauzwa mahali

    • @linahtalian1277
      @linahtalian1277 Год назад

      True Kuna biashara

    • @hazeljelimo5995
      @hazeljelimo5995 Год назад

      Remember he started 2017 hadi wa leo

    • @user-cg3vf2bl6b
      @user-cg3vf2bl6b Год назад

      @@hazeljelimo5995 nop I think haya maovu yalikuwepo Tu chini ya maji lakini kujulikana imeanza 2017,the guy used to preach very well early 2004,hapo sasa sijui ikifika mahali wanaendea nguvu za Giza nashindwa

  • @jevanaliskatamu
    @jevanaliskatamu Год назад

    Ezekiel hawexi kua mtu hembu xerikali jukuza poa hio kenxi kulikana na huo Mackenzie anajita pastor anaharipia pastor Ezekiel jina Ezekiel is a good poster why you arresting pastor Ezekiel

  • @rubefabi8366
    @rubefabi8366 Год назад

    Na wale wanauza maji mafuta nk. Kwanini hamuwazungumzii they're making money without paying taxes. Arrest all prophets ambao wanauzia watu vitu vya upako.

  • @IrineChebet-p9o
    @IrineChebet-p9o Год назад

    Siyo maakama watu wote away 73 polisi was kilifi waliku wapi. Ama mutu mumoja a

  • @carolinewanjiku6610
    @carolinewanjiku6610 Год назад

    What bible were they reading?

  • @fhhfd8449
    @fhhfd8449 Год назад +1

    Ati ameachilia ma elfu 10 pekee, na vile ameua watu wengi na pengine ata wametolewa sehemu za mwili

  • @mwanashoogobo1785
    @mwanashoogobo1785 Год назад

    Muachilieni Tena angalia hasara aliyosababisha Yani Afrika mpaka janga litufike ndiyo tunashtuka kumekucha Mungu tusaidie waja wako.

  • @ZEDY5iVEZMEDIA
    @ZEDY5iVEZMEDIA Год назад

    Kwani what is 10k

  • @CACingenuity
    @CACingenuity Год назад

    Weh!

  • @carlingari8850
    @carlingari8850 Год назад +1

    Poverty. That's what is to blame here

  • @catherinehusi-burge9426
    @catherinehusi-burge9426 Год назад

    Kwani Kenya akuna sheria ya kujunga wakenya 🤔 mtu Kama huyo Pastor aruziwi akuwe huru yeye ni muwaji aruziwi akuwe Karibu na watu 😮 huyu ni Illuminati -sekte ya kutoa watu Sacrifice ☝️ Kama sirikali ameshindwa kuatibu huyo mtu 👈 batieni Wanainchi afundishe adabu kabla auwawe musiwajilia☝️

  • @jamesmaina8855
    @jamesmaina8855 Год назад

    We 44

  • @phoebeadikinyi3441
    @phoebeadikinyi3441 Год назад

    Judge aliyemtoa kwa bond ya 10k achunguzwe,labda wanashirikiana kikanisa,usicheza na hii kenya yangu

  • @sophiezakaria
    @sophiezakaria Год назад

    Koome eti we arrested him, really? Were you the one who arrested him 🙄🙄🙄wacha uongo

  • @zuchukariz3564
    @zuchukariz3564 Год назад

    Raila amewaua wangapi na maandamano na bado hajakamatwaa

  • @tinatina8193
    @tinatina8193 Год назад

    Kenyans like short cuts things 😂

  • @millykagure9658
    @millykagure9658 Год назад +2

    Brain wash😢😢 hizi macult joh😢

  • @rachaelw580
    @rachaelw580 Год назад

    Kweli ni gaidi huyo na yeye alikuwa anakula na kunyua

  • @johnkariukimungai5211
    @johnkariukimungai5211 Год назад

    Such wicked preachers give the authorities the much needed excuse to control worship. Satan brings in rotten preachers so that all genuine people can suffer

  • @bonfasmallah3692
    @bonfasmallah3692 Год назад

    Koome and kindiki should justbresign hood for nothing

  • @petermakaumutuku9150
    @petermakaumutuku9150 Год назад

    They died because of lack of knowledge.

  • @mwitambechemaroa
    @mwitambechemaroa Год назад

    😂uk

  • @wilsonoduma6891
    @wilsonoduma6891 Год назад

    7yyhyyyh

  • @rosekimani4476
    @rosekimani4476 Год назад

    Case closed. Wapelekwe any stadium there in mombasa na k.d.f ya KENYA iwasimamie hao fake pastor, wasikule na wasikunyue hadi wakufe.kwani iko nn

  • @agripinamuhavi5669
    @agripinamuhavi5669 Год назад

    Campuni ya ruto na gachietha inajua hii mambo kawaundani

    • @sophiajuma6798
      @sophiajuma6798 Год назад

      Haki ni kweli na anajifanya hajui yaani ameachiliwa na elfu kumi yaani Mungu ndio atatutetea wanyonge hawana haki watoto wengi wamekufa na hata hawajui maana ya kufunga ni nini?