Zawadi ya amani anayoisifia Rais Samia iwe fundisho kwetu Watz.Mwaka 2025 tusiibiane kura, Polisi wasiingilie uchaguzi na mtu yeyote asiuawe kwa sababu ya chama fulani kutaka ushindi.Swali ni: haya yatawezekana bila kuwa na Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi?
Nmefurah san mama kupewa nafasi ya kuongeya asante raisi wetu rotu mama ni shuja wa ki zanzibar siti hom kizi naeza sem mama etu wa mtaani ndani ya zengi kila la heri
Mungu akutunze Raisi wetu tulie pewa na Mungu kwa kipindi hiki.pia umefanya Jambo jema kuongea kiswahili.
Wow well spoken.
Asante pia ww mama maisha yatakuwa 🥰🥰🥰🥰🥰😘👏👏👏👏
Ndio Mjifunze Democrasia kutoka kwa wenzenu
Wakenya ndo wajifunze Democrasia Tz
@@ibrahimgwasma1223 kakangu kenya ina democrasia kuliko Tz
Wimbo wa Samia huu hapa ruclips.net/video/gLP9MqtbRRY/видео.html
Mama musamee.tu.sabaya..m.emejirekebisham..
Pale.bibi tozo anapoongea wakati ni rais wa katiba mbona hujaenda na baba toto hahaha
Tatizo mda
Zawadi ya amani anayoisifia Rais Samia iwe fundisho kwetu Watz.Mwaka 2025 tusiibiane kura, Polisi wasiingilie uchaguzi na mtu yeyote asiuawe kwa sababu ya chama fulani kutaka ushindi.Swali ni: haya yatawezekana bila kuwa na Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi?
Hongera sana mama rais wetu Kwa hotuba yako zuri huko Kenya pongezi nyingi Kwa rutoooooooooooooo
Nmefurah san mama kupewa nafasi ya kuongeya asante raisi wetu rotu mama ni shuja wa ki zanzibar siti hom kizi naeza sem mama etu wa mtaani ndani ya zengi kila la heri
Free
Rais wetu ana thamani kubwa kuriko tunavo mchukulia ruto kamwita kwa power kubwa
That was an excellent speech guided by God's Wisdom. Short and clear. Hongera Mama
Ongea urudi hom uje kuturahishishia mambo uku tunaumia sana
Asante mama rais wetu mupendwa kwa kutuwakilisha Kenya ni ndugu zetu wa kalibu sana
Asanteeee mama Kwa kutuwakirisha huko Kenya
Congratulation H.O.N Samia hasan suluhu towards your speach
Tunaumia mama na tuzo tuonee huruma mama vitu viko juu Hadi tunashindwa mama tunaomba huruma yako,najua wamama wanahuruma sana tusaidie
Hupendi tuzo jmn
@@marksulle6120 acha utani, utanivunja mbavu zangu jamani, ama kweli Tanzania ni app ya vituko huko mbinguni. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Asnte sana mama.samia.raisi.wa Tanzania karibu Sana Kenya yetu tunakupenda sana
Rahisi muuaji mwenye hana hekima
Thats my president
Hongera Mama Samia 😍😍😍
Love you mama be blessed walahi 😍
Nyokoooo ww kampende mama yako
Aksante Mama 👏sasa nenda uhudhulie mazishi ya malkia Eliza
Hongera na asante mama samia😍😍😍😍
Napenda watanzania kwa kutumia lugha ya kiswahili sababu hii ndio lugha ya Africa mashariki
Ningeshangaa asifike Kenya kwa kupenda safar
🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera sana Rais Samia Suluhu 🇹🇿🇹🇿
I love u my president
Shida tozo huku
Tozo pia usisahau kumshauli aanze sasa na yeye,
Mama tozo hukuu vipi????
Pumzika
Totozo mama zinatutesa sana
Ilove u mom
Tozo ndo nauli alizo tumia
D
Why there were two ADC there?
Tozo vipiiiiii
Viongozi wa TZ mmejifunza nini toka uchaguzi wa KENYA?
Alisema mkipiga kura kwingine kutangazwa atatangazwa wa ccm akajifunze sasa ustaharabu
Tozo ndo nauli alizo tumia
🙄