Alichokisema Rais Samia baada ya Rais Ruto kuapishwa nchini Kenya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 50

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 2 года назад +11

    Mungu akutunze Raisi wetu tulie pewa na Mungu kwa kipindi hiki.pia umefanya Jambo jema kuongea kiswahili.

  • @rihannarihanna6589
    @rihannarihanna6589 2 года назад +2

    Wow well spoken.

  • @jescamachocho7605
    @jescamachocho7605 2 года назад +1

    Asante pia ww mama maisha yatakuwa 🥰🥰🥰🥰🥰😘👏👏👏👏

  • @daudimdete4363
    @daudimdete4363 2 года назад +1

    Ndio Mjifunze Democrasia kutoka kwa wenzenu

    • @ibrahimgwasma1223
      @ibrahimgwasma1223 2 года назад

      Wakenya ndo wajifunze Democrasia Tz

    • @hamzaguyo1484
      @hamzaguyo1484 2 года назад

      @@ibrahimgwasma1223 kakangu kenya ina democrasia kuliko Tz

  • @pst.obbybm2280
    @pst.obbybm2280 2 года назад

    Wimbo wa Samia huu hapa ruclips.net/video/gLP9MqtbRRY/видео.html

  • @jeradkanyuru5745
    @jeradkanyuru5745 2 года назад

    Mama musamee.tu.sabaya..m.emejirekebisham..

  • @annakisiga889
    @annakisiga889 2 года назад

    Pale.bibi tozo anapoongea wakati ni rais wa katiba mbona hujaenda na baba toto hahaha

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 2 года назад +2

    Zawadi ya amani anayoisifia Rais Samia iwe fundisho kwetu Watz.Mwaka 2025 tusiibiane kura, Polisi wasiingilie uchaguzi na mtu yeyote asiuawe kwa sababu ya chama fulani kutaka ushindi.Swali ni: haya yatawezekana bila kuwa na Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi?

  • @dannypeter4951
    @dannypeter4951 2 года назад +4

    Hongera sana mama rais wetu Kwa hotuba yako zuri huko Kenya pongezi nyingi Kwa rutoooooooooooooo

  • @mohamedkarati6271
    @mohamedkarati6271 2 года назад +2

    Nmefurah san mama kupewa nafasi ya kuongeya asante raisi wetu rotu mama ni shuja wa ki zanzibar siti hom kizi naeza sem mama etu wa mtaani ndani ya zengi kila la heri

  • @jamesmahatane2723
    @jamesmahatane2723 2 года назад +2

    Rais wetu ana thamani kubwa kuriko tunavo mchukulia ruto kamwita kwa power kubwa

  • @imeldamutabuzi3521
    @imeldamutabuzi3521 2 года назад +6

    That was an excellent speech guided by God's Wisdom. Short and clear. Hongera Mama

  • @pendaelindaskoi.6172
    @pendaelindaskoi.6172 2 года назад +3

    Ongea urudi hom uje kuturahishishia mambo uku tunaumia sana

  • @dottomachibya9339
    @dottomachibya9339 2 года назад +2

    Asante mama rais wetu mupendwa kwa kutuwakilisha Kenya ni ndugu zetu wa kalibu sana

  • @petercharles7959
    @petercharles7959 2 года назад +3

    Asanteeee mama Kwa kutuwakirisha huko Kenya

  • @zakariyahzemah3639
    @zakariyahzemah3639 2 года назад +1

    Congratulation H.O.N Samia hasan suluhu towards your speach

  • @neemamsigwa6760
    @neemamsigwa6760 2 года назад +3

    Tunaumia mama na tuzo tuonee huruma mama vitu viko juu Hadi tunashindwa mama tunaomba huruma yako,najua wamama wanahuruma sana tusaidie

    • @marksulle6120
      @marksulle6120 2 года назад

      Hupendi tuzo jmn

    • @basharahamtzhalisi6871
      @basharahamtzhalisi6871 2 года назад

      @@marksulle6120 acha utani, utanivunja mbavu zangu jamani, ama kweli Tanzania ni app ya vituko huko mbinguni. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ashamusa6704
    @ashamusa6704 2 года назад +1

    Asnte sana mama.samia.raisi.wa Tanzania karibu Sana Kenya yetu tunakupenda sana

  • @josephatkeengwe91
    @josephatkeengwe91 Год назад

    Rahisi muuaji mwenye hana hekima

  • @zakayomahushi7967
    @zakayomahushi7967 2 года назад +4

    Thats my president

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 2 года назад +3

    Hongera Mama Samia 😍😍😍

  • @roselinemoshi5008
    @roselinemoshi5008 2 года назад +5

    Love you mama be blessed walahi 😍

  • @jeshilamtu863
    @jeshilamtu863 2 года назад +1

    Aksante Mama 👏sasa nenda uhudhulie mazishi ya malkia Eliza

  • @kimzymamy6594
    @kimzymamy6594 2 года назад +2

    Hongera na asante mama samia😍😍😍😍

  • @omarsaid4702
    @omarsaid4702 2 года назад

    Napenda watanzania kwa kutumia lugha ya kiswahili sababu hii ndio lugha ya Africa mashariki

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 2 года назад +1

    Ningeshangaa asifike Kenya kwa kupenda safar

  • @KizitoKimario-mc6ol
    @KizitoKimario-mc6ol Год назад

    Hongera sana Rais Samia Suluhu 🇹🇿🇹🇿

  • @rashidmfaume5961
    @rashidmfaume5961 2 года назад +2

    I love u my president

  • @benesiusbenedicto5920
    @benesiusbenedicto5920 2 года назад +1

    Shida tozo huku

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 2 года назад

    Tozo pia usisahau kumshauli aanze sasa na yeye,

  • @thomasgabriel588
    @thomasgabriel588 2 года назад +2

    Mama tozo hukuu vipi????

  • @fadhilmuhomba7213
    @fadhilmuhomba7213 2 года назад

    Ilove u mom

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 2 года назад

    Tozo ndo nauli alizo tumia

  • @susanmwangi7316
    @susanmwangi7316 2 года назад

    D

  • @dennislugenge2008
    @dennislugenge2008 2 года назад

    Why there were two ADC there?

  • @allymohamed8658
    @allymohamed8658 2 года назад

    Tozo vipiiiiii

  • @abdulkihanza5911
    @abdulkihanza5911 2 года назад

    Viongozi wa TZ mmejifunza nini toka uchaguzi wa KENYA?

  • @billmike8441
    @billmike8441 2 года назад

    Alisema mkipiga kura kwingine kutangazwa atatangazwa wa ccm akajifunze sasa ustaharabu

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 2 года назад

    Tozo ndo nauli alizo tumia