Mungu azidi kukubariki na kukupa nguvu ya kusonga mbele, hakika Bwana anatukuzwa kupitia wewe, barikiwa sana mtumishi wa BABA, ninafuatilia sana mahubiri yako na ninayafurahia sana, natamani sana kama mahubiri yako yangekua yanasikika dunia nzima, nikiwa nyumbani nasikiliza mahubiri naweka sauti kubwaaa ili majirani hata waambulie Neno Moja.. kwa imani najua mafundisho haya yanaendelea kusikika kwao katika ulimwengu wa Roho,, Amina
Tunajifunza vitu makini sana. Ubarikiwe mchungaji. Mimi sijawahi kuona mahubiri ya aina hii, NDUME!, Mungu akubari akulinde wewe na familia yako utokapo na uingiapo.
Nazidi kubarikiwa na kutambua jinsi ya kuishi nyakati hizi za mwisho. Asante pastor kwa mafundisho mema mungu wa amani na akubariki na akuzidishie hekima na maarifa. Niombee pastor niko na uvimbe wa umbilical hernia naumia hapa saudi arabia
Mchungaji elezea pia kuhusu nafsi ya Mungu. Yohana 17:3, neno linasema tunapaswa kumjua Mungu wa kweli na Yesu Kristo aliyetumwa. Je, YAHWEH ndiye Yesu (Yoshua)?
Rev. 13:3 John saw the first beast was injured and then his wound was healed. Did Daniel saw the same prophecy? Also in Rev. 12:9 satan is referred to as dragon and that old serpent the devil. Is it wrong to say that satan gave his seat to the first beast? It is true the pagan rome transferred its power to bishop of rome but the strength this flame ako nayo it shows it was from the devil himself. Remember he has refused the pple to read the bible and those who read and knew the truth he killed
Asante kwa neno tamu
Mungu azidi kukubariki na kukupa nguvu ya kusonga mbele, hakika Bwana anatukuzwa kupitia wewe, barikiwa sana mtumishi wa BABA, ninafuatilia sana mahubiri yako na ninayafurahia sana, natamani sana kama mahubiri yako yangekua yanasikika dunia nzima, nikiwa nyumbani nasikiliza mahubiri naweka sauti kubwaaa ili majirani hata waambulie Neno Moja.. kwa imani najua mafundisho haya yanaendelea kusikika kwao katika ulimwengu wa Roho,, Amina
I bless and lift the name of the most high our God n saviour Jesus Christ because of a preacher like David Mbaga... following from Nairobi-Kenya
Tunajifunza vitu makini sana.
Ubarikiwe mchungaji. Mimi sijawahi kuona mahubiri ya aina hii, NDUME!, Mungu akubari akulinde wewe na familia yako utokapo na uingiapo.
Ubarikiwe sana mtumishi
Amen
Doreen Edasi watching from abroad, Amen 🙏🙏🙏🙏
Nazidi kubarikiwa na kutambua jinsi ya kuishi nyakati hizi za mwisho. Asante pastor kwa mafundisho mema mungu wa amani na akubariki na akuzidishie hekima na maarifa. Niombee pastor niko na uvimbe wa umbilical hernia naumia hapa saudi arabia
Pokea uponyaji in Jesus Christ name
@@fredrickgitonga1972 Amina Amina
Mchungaji elezea pia kuhusu nafsi ya Mungu. Yohana 17:3, neno linasema tunapaswa kumjua Mungu wa kweli na Yesu Kristo aliyetumwa. Je, YAHWEH ndiye Yesu (Yoshua)?
Mungu azidi kukulinda
morning glory
Pastor Bwana Yesu asifiwe.Hakuna namba yoyote inayopita,natafuta namna ya kuwasiliana.Naomba msaada
GOD blessed you
Umenisaeedeh
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
❤
Muchungaji asante ujumbe huu.
Je mafuta ya alizeti ni nini kwa English?
Sunflower Oil.
Nahitaji hicho kitabu nitakipata wapi?
+255 67 388 8226 piga huyu atakusaidia
Rev. 13:3 John saw the first beast was injured and then his wound was healed. Did Daniel saw the same prophecy? Also in Rev. 12:9 satan is referred to as dragon and that old serpent the devil. Is it wrong to say that satan gave his seat to the first beast? It is true the pagan rome transferred its power to bishop of rome but the strength this flame ako nayo it shows it was from the devil himself. Remember he has refused the pple to read the bible and those who read and knew the truth he killed
Amen
Amen
Amen