Bwana yesu hasifiwe..mchungaji naomba mniweke kwenye maombi ...nmekuwa na changamoto pale ninapokuwa nataka kufanya maombi nashindwa ata kusoma biblia piya pesa ninayokuwa napata inakuwa haiyonekani inaisha bila ata kujuwa nikitu gani nmefanyia ,piya afya yangu naomba Mungu anisaidiye katika hili
Eeh Mwenyezi Mungu mwema ukabariki Familia za watenda kazi wako wote walio jitolea kuifanya kazi yako ondoa vikwazo na majalibu kwa Familia zao ili wakaitangaze injili yako passport vikwazo vya mwovu In the name of Jesus 🙏
Bwana yesu hasifiwe..mchungaji naomba mniweke kwenye maombi ...nmekuwa na changamoto pale ninapokuwa nataka kufanya maombi nashindwa ata kusoma biblia piya pesa ninayokuwa napata inakuwa haiyonekani inaisha bila ata kujuwa nikitu gani nmefanyia ,piya afya yangu naomba Mungu anisaidiye katika hili
Naomba watumishi wa mungu mumuombee mwanangu anasumbuliwa na mapepo yapata miaka miwili Sasa tangu apatwe na hiishida ninaimani mkimuombea atapona
Eeh Mwenyezi Mungu mwema ukabariki Familia za watenda kazi wako wote walio jitolea kuifanya kazi yako ondoa vikwazo na majalibu kwa Familia zao ili wakaitangaze injili yako passport vikwazo vya mwovu In the name of Jesus 🙏
Amen
Pr.naomba uniombee Nina changamoto flani inanisumbua
MUNGU aendelee kutufundisha kupitia wewe mtu wa MUNGU