Mimi Nimeamua_AIC Buzuruga Choir_Official Video

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • #AIC BUZURUGA CHOIR
    mimi nimeamua kumfuata Yesu
    ni wimbo mzuri sana karibu utulie
    uusikie na kuutazama share, like and subscribe
    hashtags
    #gospelmusic
    #prsiseJesus
    #aicchoir
    Directed by Seleman
    Editing by Seleman
    +255754272337...l

Комментарии • 151

  • @sulemanmuyomba3524
    @sulemanmuyomba3524  Год назад +1

    karibu

  • @agnessboaz7349
    @agnessboaz7349 3 года назад +1

    Nawapenda jaman nyie waimbaji

  • @gervasdaud9882
    @gervasdaud9882 2 года назад

    Mubarikiwe sana jamn mung awabarik kwa utume wenu wote

  • @ivannason2426
    @ivannason2426 4 года назад

    Mbarikiwe watumishi wa mungu

  • @ntalimasuzanSusan
    @ntalimasuzanSusan 2 года назад

    N Mimi nimeamua kufuata Yesu

  • @webijacktan6668
    @webijacktan6668 2 года назад

    Jamani wimbo mzuri huo!

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 4 года назад

    Mhola ye Sebha.

  • @JemimaAyuma
    @JemimaAyuma 7 дней назад

    Amen ❤

  • @lordorcas9344
    @lordorcas9344 11 месяцев назад

    Shalom Shalom Shalom thanks ❤

  • @dorcashavillalord5484
    @dorcashavillalord5484 2 года назад

    Hallelujah ba toto ya Baba Tua mpenda Yesu Jemadari wetu TU mufate na Roho Moja ata mu mauti ata TU na Towa Jacho ya Damu TU Vumilie TU Mokonzi Wetu Iko mu Njia Acsenti kua mafundisho mema Kasi njema Muko bazuri na Roho Nyeupe SHALOM

  • @rachidjumbe6685
    @rachidjumbe6685 5 лет назад +1

    Uimbaji wa kutulia mpaka msikilizaji anasisimuka mbarikiwe wapendwa kwa wimbo mzuri

  • @pendojeremia9687
    @pendojeremia9687 4 года назад

    Mubalikiwe Sana mungu azidi kuwalinda

  • @ebunyusimon32
    @ebunyusimon32 2 года назад

    Good, may God bless you

  • @sammusic1580
    @sammusic1580 Год назад +1

    Uliuaga Hii Album Mixing kama Ya Leo asubuhi imechambuka Vyema

  • @geoffreyndunda6350
    @geoffreyndunda6350 3 года назад

    Barikiweni watumishi, kazi zuri kweli.

  • @erastojacob17
    @erastojacob17 4 года назад

    Ruben nimekuona kazi yenu njema

  • @macknnko6617
    @macknnko6617 4 года назад

    Mbarikiwa Sana watumishi wa Mungu

  • @angelalphonce2962
    @angelalphonce2962 5 лет назад +2

    Wooo sollo wa kiume umebamba BG up

  • @pendojeremia9687
    @pendojeremia9687 4 года назад

    Hii nyimbo naipenda san

  • @webingogo3633
    @webingogo3633 4 года назад

    Jamani,jamani wimbo mtamu huo!!!

  • @lordorcas9344
    @lordorcas9344 9 месяцев назад

    Jesus Jesus Jesus Jesus Christ Mesiyah The Holy Ones Of ISRAEL The Great King HOSANNA IN THÉ HIGHEST SON OF THE LIVING GOD 💕❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰❤️❤️

  • @johnsanago2974
    @johnsanago2974 4 года назад

    Well is good songs mungu awabrki sana sana

  • @mariarobert4001
    @mariarobert4001 4 года назад

    Mbarikiwe sana aic buzuruga kwa kazi nzuri ya utumishi wenu naham sana ya kujiunga na nyie

  • @agnesndaki7009
    @agnesndaki7009 5 лет назад

    naupenda sana huu wimbo mbarikiwe waimbaji

  • @aiyasageo2572
    @aiyasageo2572 4 года назад

    Nani akubaliana nami kwamba i can never get enough of this sing since its release. Mbarikiwe sana

  • @zabronlukosi2970
    @zabronlukosi2970 3 года назад

    Zabron singles

  • @rehemamwande711
    @rehemamwande711 5 лет назад +1

    nimeipenda hiyo mbarikiwe sana

  • @renathrwelengera7609
    @renathrwelengera7609 5 лет назад

    Safi sana, mbarikiwe watumishi wa Bwana

  • @aiyasageo2572
    @aiyasageo2572 5 лет назад

    Mimi nimeamua kumfuwata yesu siku zote maishani sintamwacha . Maana yeye yesu kwa upendo wake alinitafuta mimi kwanza Kisha akaniita kwa huruma yake kuu niziache dhambi dhambi ni mauti. Mbarikiwe sana

  • @charlotekavira2478
    @charlotekavira2478 5 лет назад

    Kila mara unani bariki mutumishi uniombee sana mutumishi niko na pitia kipindi kigumu sana niko katika inji ya Congo butembo

  • @chiristinamanyang45
    @chiristinamanyang45 6 лет назад +2

    mbalikiww sana kwaujumbe

  • @severinenshubilek7141
    @severinenshubilek7141 5 лет назад

    Mbarikiwe kwa wimbo mzur sana ndugu zangu

  • @alexmaweu4252
    @alexmaweu4252 4 года назад +1

    I've dearly liked your dressing core.Karibuni Kenya

  • @jeniphermakwi6491
    @jeniphermakwi6491 7 лет назад +1

    nimebarikiwa kwa wimbo mzuri

  • @barakandabunganie6585
    @barakandabunganie6585 5 лет назад

    Hello mko juu M ubarikiwe sanaaaaaaaa

  • @isaacsomba6975
    @isaacsomba6975 5 лет назад

    Mungu awazidishie neema yako

  • @jacobmbele5714
    @jacobmbele5714 5 лет назад

    jamani Mungu awabariki sana

  • @vedastuspamba1635
    @vedastuspamba1635 7 лет назад

    Safi sana aic buzuruga mpya... Mungu awabariki zaidi na zaidi

  • @esthenicesongpendo8795
    @esthenicesongpendo8795 7 лет назад

    wimbo mzuri sana KAKA Ruben mubarikiwe sana nawakumbuka sana wote salamu zake mama rebecka niko hapa muscat nabarikiwa sana na nyimbo Zenu by ESTHER Yohana Suka from Tanzania mwanza buzurung

  • @silasimon3365
    @silasimon3365 5 лет назад +1

    Yesu Ni mwokozi. Amina

  • @neemadevid2039
    @neemadevid2039 5 лет назад

    AICT buzuruga mbalikiwe kwa kaz yenu nzur nawapendaa xanaaaa

  • @erickvenance5717
    @erickvenance5717 6 лет назад

    Mmeimba vizuri sana watumishi Mungu awabariki sana na awawezeshe kukiishi mnachokiimba, By Eric Msole Nkinga

  • @yassinmsabah2526
    @yassinmsabah2526 6 лет назад

    mbarikiwe watumishi we Mungu

  • @benardngwibombi6575
    @benardngwibombi6575 5 лет назад

    nimeipenda

  • @anetylucas6757
    @anetylucas6757 6 лет назад +2

    Mungu awainue kwa viwango vingine, nawapenda

  • @masanjadani8356
    @masanjadani8356 7 лет назад

    Mpo vizur watumishi, wimbo huu unanibariki sanaaaaa!!!!!!kumtumikia Bwana ni furaha na amani tele.

  • @naomijuma5190
    @naomijuma5190 6 лет назад +1

    Wimbo mzuri hakika nimeamua kumfuata yesu..naomben

  • @elibarickandrew2870
    @elibarickandrew2870 6 лет назад

    E bhana mmeua sana..Mungu awabariki sana sana..mimi mdau wenu mkubwa nimebarikiwa sana

  • @mngonikunyumba8451
    @mngonikunyumba8451 5 лет назад

    Nyc song nyc message

  • @masalumasanga9190
    @masalumasanga9190 7 лет назад

    mbarikiwe wapendwa nimebarikiwa NA wimbo wenu mpya.

  • @yassinmsabah2526
    @yassinmsabah2526 6 лет назад

    Amina wimbo mzuri sanaaa nimebarikiwa na huu ujumbe

  • @esthenicesongpendo8795
    @esthenicesongpendo8795 7 лет назад +1

    nice song mubarikiwe

  • @mussaphilemon8612
    @mussaphilemon8612 6 лет назад

    Nmebarikiwa sana na wimbo huu

  • @sinzasoundbandtanzania6200
    @sinzasoundbandtanzania6200 7 лет назад

    AIC Buzuruga Choir, Tanzania asanteni kwa kazi zenu nzuri za nyimbo za Kiroho.

    • @mussamchele4609
      @mussamchele4609 6 лет назад

      mungu awe pamoja katika kazi nzuri ambayo mnaendelea kufanya God bless us

    • @mussamchele4609
      @mussamchele4609 6 лет назад

      it will be the way to communicate with the God but I what tell you my friend pray the all the time oky

  • @georgemalima1433
    @georgemalima1433 4 года назад

    Amen,

  • @martinsamwel3489
    @martinsamwel3489 6 лет назад

    mbalikiwe watumishi wa mung, bwana mungu hatawaacha kamwe jinsi mlivyo

  • @jaynephilips1634
    @jaynephilips1634 3 года назад

    This song blesses my heart.

  • @edinalihedule3421
    @edinalihedule3421 5 лет назад +1

    Mungu awabariki sana🙏🙏🙏🙏

  • @mkwejonathan361
    @mkwejonathan361 7 лет назад

    Nimebarikiwa sana na nyimbo zenu. Tokea Tunda la Roho toleo lenu la kwanza kwa kweli MUNGU amewatumia vizuri kutufikishia ujumbe husika. Mbarikiwe sana
    Nimefurahi sana kuwaona wapendwa waliokuwa kwenye lile toleo la kwanza (yaani yule kaka anayeanzisha wimbo wa "Tunda la Roho" anakuwa anacheza kabla ya wimbo kuanza na pia yule mama 'mama mkubwa lakini sauti ya kitoto(sauti ya kwanza) kwa kweli nimefurahi sana kuwaona tena katika hili toleo la pili.....mbarikiwe sana.
    Mimi ninahitaji VCD zote mbili, toleo la kwanza - Tunda la Roho and pia hili toleo la pile "Nimeamua", tafadhali nijulisheni nitakavyozipata hizi video mbili. Nitakuja Mwanza mwez machi katikati ila napatikana kwa no 0753279272.
    Mbarikiwe sana na tutaendelea kuwaombea, hakikisheni wanakwaya wanabaki na wanongezeka wengine

  • @jeremiahmasagwa9173
    @jeremiahmasagwa9173 7 лет назад +2

    barikiweni sana watumish wa mungu nawapenda mnooooooooooooooooooooooo

  • @julianankulila497
    @julianankulila497 6 лет назад +1

    Mbarikiwe 👏👏👏

  • @kilasaelisha6349
    @kilasaelisha6349 7 лет назад

    nawapenda sana aic buzuruga hamkoseagi mungu awabariki sana miaka 100

  • @albertludago7374
    @albertludago7374 5 лет назад

    Kwa kweli kaz yenu ni njema nyenyekeeni muinuliwe zaid

  • @nicholoustarimo6217
    @nicholoustarimo6217 6 лет назад

    Wimbo hu unanibariki sana nakunihudumia Sana uyo Sollo anaesema nikweli Yuko vizuri sanaa nabarikiwa Mungu andelee kuwainua viwango vingine

  • @wemaligodfreyy1465
    @wemaligodfreyy1465 6 лет назад +3

    AM BLESSED SO MUCH,MAY GOD REWARD YOU FOR THE GOOD WORK.

  • @ngwashoog7165
    @ngwashoog7165 5 лет назад +2

    I always like ur song God bless u

  • @jaylove3238
    @jaylove3238 5 лет назад

    Nice song

  • @asiahassai9420
    @asiahassai9420 7 лет назад +1

    hongeren sana kwa kaz yenu nzuri.

  • @emmanueldaniel6318
    @emmanueldaniel6318 6 лет назад

    mungu azidi kuwainua

  • @rehemamadaha2110
    @rehemamadaha2110 6 лет назад +1

    hongeren kwa kazi nzur Mungu awabariki sana

    • @anthonymwandu2615
      @anthonymwandu2615 5 лет назад

      mannyama eliud wa bunda mungu awa baliki sana kwa kazi yake maana hata mnavyo nesa inaoneshakuwa mnamweshimu mungu wa mbinguni atupaye kushinda ya ulimwengu amen

  • @marrymlenda2880
    @marrymlenda2880 5 лет назад +3

    this song stimulates me when I look it

  • @petermwanzia9577
    @petermwanzia9577 6 лет назад

    THIS IS BEST WAPENDWA I LIKE IT, KEEP UP AND OUR LIVING DOG SHALL LEAD YOU WELL IN HIS HOLINESS

    • @marthaford952
      @marthaford952 6 лет назад

      Peter Mwanzia not our living Dog but our living GOD

    • @modestaabeli3389
      @modestaabeli3389 6 лет назад

      Mbarikiwe cn watumishi wa mungu tena mmependeza kweli sale zenu 👌👌👌👌

  • @mussakanonimussa7339
    @mussakanonimussa7339 5 лет назад

    nice song

  • @enormayra2513
    @enormayra2513 7 лет назад

    hongeren xn watumish kwa video kaaali by trude

  • @mgalatinojengo3663
    @mgalatinojengo3663 5 лет назад

    Ushirikiano udumu kwenu,Kazi n'zur ya kumtukuza YESU aliyeshinda dhambi na mauti.

  • @esthenicesongpendo8795
    @esthenicesongpendo8795 7 лет назад

    nabarikiwa sana na nyimbo zenu nipo hapa Oman muscat

  • @goodluckmongi5024
    @goodluckmongi5024 6 лет назад

    awali yote ni mpongeze mchukua Video amewapanga Vizuri. Na la pili ujumbe upo Vizuri.

  • @LameckSilinu
    @LameckSilinu 6 лет назад +2

    Mmependeza utukufu apewe Bwana Yesu amina!

  • @martinitambu2505
    @martinitambu2505 6 лет назад

    Amani kwao waimbaji hawa

  • @willibroadjustine9043
    @willibroadjustine9043 6 лет назад +1

    Bwana azidi kuwainua watumishi wa Mungu

  • @amosichacha5675
    @amosichacha5675 5 лет назад

    Vinywa vyenu vinamtukuza Yesu, Ila miili yenu inamtukuza shetani!
    Mawigi hayo, hereni hizo, mikorogo hiyo, mikufu, bsngili hizo nk
    Wazitokani na Yesu! Bali zinatokana na shetani!
    Hakuna mbingu ya watu wanavitumia hitu hivyo. Msipoachana navyo siku ile mtajikuta taabu yenu ilikuwa ni bure duniani!

    • @sulemanmuyomba3524
      @sulemanmuyomba3524  5 лет назад

      Hujaokoka

    • @sulemanmuyomba3524
      @sulemanmuyomba3524  5 лет назад +1

      Fedha na dhahabu ni mali ya Bwanaaaa acha tuvaee

    • @amosichacha5675
      @amosichacha5675 5 лет назад

      Na mawigi, mikufu, bangili, hereni, mikorogo, rangi za midomo, kucha nk
      Hizi si mali ya Bwana, ni mali ya shetani. Kwa sasa waweza usielewe, ila utakuja kuelewa kule mwishoni!

    • @sulemanmuyomba3524
      @sulemanmuyomba3524  5 лет назад

      Ubarkiwe sana

    • @davidkamote1374
      @davidkamote1374 4 года назад

      Safi sana kazi nzur

  • @sulemanmuyomba3524
    @sulemanmuyomba3524  7 лет назад +2

    Wimbo Mpya Mzuri sana Barkiweni Wote

  • @churchtoday9889
    @churchtoday9889 7 лет назад

    Nimebarikiwa sana na song hili. Mungu awabariki waimbaji wote.

  • @LameckSilinu
    @LameckSilinu 6 лет назад

    Very nice!

  • @kimwelikilwelichalres5327
    @kimwelikilwelichalres5327 5 лет назад

    mungu awabariki

  • @prospersamwel9413
    @prospersamwel9413 4 года назад

    What a nice song! Be blessed singers

  • @sammsilanga711
    @sammsilanga711 7 лет назад

    wimbo mzuri watumishi mbarikiwe sana. je nitapataje hiyo CD?

    • @reubenmeshack4219
      @reubenmeshack4219 7 лет назад

      Aksante mpendwa kwa maoni yako mazuri, kama unahitaji Cd tuwasiliane kwa namba yangu.

    • @sinzasoundbandtanzania6200
      @sinzasoundbandtanzania6200 7 лет назад

      AIC (African Inland Church) Buzuruga Choir, Buzuruga ward in Mwanza town, Tanzania www.aictanzania.org/mwanzadiocese www.aicbuzurugachoir.com/ & facebook.com/tunda.laroho

    • @yasintajunior1654
      @yasintajunior1654 5 лет назад

      Sam Msilanga

  • @evangelist.isaackyalooffic6080
    @evangelist.isaackyalooffic6080 5 лет назад

    naweza pata wapi mkada huu hapa nchini kenya?

  • @chadwickonyango8745
    @chadwickonyango8745 5 лет назад

    hizi nyimbo naweza pata copy wapi niko nairobi kenya

  • @baltazarynice6717
    @baltazarynice6717 5 лет назад

    Nice

  • @naomisimei5217
    @naomisimei5217 5 лет назад +1

    Amen 🙏

  • @bictonymahindi7090
    @bictonymahindi7090 5 лет назад

    Katika kitiba au mashariti mliapewa na mwanzilishi wa kanisa hili katika kitabu cha ikumeni, nilile la kutocheza danzi makanisani, je, ninyi mnaoimba nyimbo hizi za upuuzi, mnatoa wapi andiko la kucheza?.

    • @ebenezer4719
      @ebenezer4719 5 лет назад

      Ndugu , Sisi hatuko chini ya hizo Sheria zenu ,,,Sisi tunaongozwa na Roho wa Kristo anaetuweka ndani ya neema .
      Wewe unayeishi Kwajili ya Sheria tunakuomba usiwasumbue watu wa Kristo ....Hizo Sheria ziwaongoze ninyi mnaoufuata mwili.

  • @charlotekavira2478
    @charlotekavira2478 5 лет назад

    Eliona kimaro

  • @samsondaud6784
    @samsondaud6784 5 лет назад

    MKO VIZURI

  • @kilasaelisha6349
    @kilasaelisha6349 7 лет назад +1

    aliye post hizi nyimbo aweke zote tafadhar

  • @webijacktan6668
    @webijacktan6668 2 года назад

    Jamani wimbo mzuri huo!

  • @adrianomgimba5043
    @adrianomgimba5043 6 лет назад

    Nikiwa mbeya......,Hongera sana....

  • @yassinmsabah2526
    @yassinmsabah2526 6 лет назад

    mbarikiwe watumishi we Mungu

  • @lujamacheyeki9893
    @lujamacheyeki9893 5 лет назад +1

    Amen

  • @lightnesssekajingo5944
    @lightnesssekajingo5944 5 лет назад

    Nice song