Mimi Nimeamua_AIC Buzuruga Choir_Official Video
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- #AIC BUZURUGA CHOIR
mimi nimeamua kumfuata Yesu
ni wimbo mzuri sana karibu utulie
uusikie na kuutazama share, like and subscribe
hashtags
#gospelmusic
#prsiseJesus
#aicchoir
Directed by Seleman
Editing by Seleman
+255754272337...l
karibu
Nawapenda jaman nyie waimbaji
Mubarikiwe sana jamn mung awabarik kwa utume wenu wote
Mbarikiwe watumishi wa mungu
N Mimi nimeamua kufuata Yesu
Jamani wimbo mzuri huo!
Mhola ye Sebha.
Amen ❤
Shalom Shalom Shalom thanks ❤
Hallelujah ba toto ya Baba Tua mpenda Yesu Jemadari wetu TU mufate na Roho Moja ata mu mauti ata TU na Towa Jacho ya Damu TU Vumilie TU Mokonzi Wetu Iko mu Njia Acsenti kua mafundisho mema Kasi njema Muko bazuri na Roho Nyeupe SHALOM
Uimbaji wa kutulia mpaka msikilizaji anasisimuka mbarikiwe wapendwa kwa wimbo mzuri
Mubalikiwe Sana mungu azidi kuwalinda
Good, may God bless you
Uliuaga Hii Album Mixing kama Ya Leo asubuhi imechambuka Vyema
Amina
Barikiweni watumishi, kazi zuri kweli.
Ruben nimekuona kazi yenu njema
Mbarikiwa Sana watumishi wa Mungu
Wooo sollo wa kiume umebamba BG up
Hii nyimbo naipenda san
Jamani,jamani wimbo mtamu huo!!!
Jesus Jesus Jesus Jesus Christ Mesiyah The Holy Ones Of ISRAEL The Great King HOSANNA IN THÉ HIGHEST SON OF THE LIVING GOD 💕❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰❤️❤️
Barikiwa
Well is good songs mungu awabrki sana sana
Asante
Mbarikiwe sana aic buzuruga kwa kazi nzuri ya utumishi wenu naham sana ya kujiunga na nyie
Karibu
naupenda sana huu wimbo mbarikiwe waimbaji
Nani akubaliana nami kwamba i can never get enough of this sing since its release. Mbarikiwe sana
Zabron singles
nimeipenda hiyo mbarikiwe sana
Barikiwa pia nawe tuma share kwa wengine pia
Safi sana, mbarikiwe watumishi wa Bwana
Mimi nimeamua kumfuwata yesu siku zote maishani sintamwacha . Maana yeye yesu kwa upendo wake alinitafuta mimi kwanza Kisha akaniita kwa huruma yake kuu niziache dhambi dhambi ni mauti. Mbarikiwe sana
Kila mara unani bariki mutumishi uniombee sana mutumishi niko na pitia kipindi kigumu sana niko katika inji ya Congo butembo
mbalikiww sana kwaujumbe
Mbarikiwe kwa wimbo mzur sana ndugu zangu
I've dearly liked your dressing core.Karibuni Kenya
Tutakuja Kenya
nimebarikiwa kwa wimbo mzuri
Jenipher Ubarikiwa mpendwa, Karibu Sana Buzuruga.
Mungu awabariki wimbo huu hunibariki sana
Hello mko juu M ubarikiwe sanaaaaaaaa
Mungu awazidishie neema yako
jamani Mungu awabariki sana
Safi sana aic buzuruga mpya... Mungu awabariki zaidi na zaidi
Aksante Vedastus Mungu akubariki.
wimbo mzuri sana KAKA Ruben mubarikiwe sana nawakumbuka sana wote salamu zake mama rebecka niko hapa muscat nabarikiwa sana na nyimbo Zenu by ESTHER Yohana Suka from Tanzania mwanza buzurung
Yesu Ni mwokozi. Amina
AICT buzuruga mbalikiwe kwa kaz yenu nzur nawapendaa xanaaaa
Mmeimba vizuri sana watumishi Mungu awabariki sana na awawezeshe kukiishi mnachokiimba, By Eric Msole Nkinga
mbarikiwe watumishi we Mungu
nimeipenda
Mungu awainue kwa viwango vingine, nawapenda
Mpo vizur watumishi, wimbo huu unanibariki sanaaaaa!!!!!!kumtumikia Bwana ni furaha na amani tele.
Daniel Masanja ... Amina Mungu Akubariki
Daniel Masanja
Wimbo mzuri hakika nimeamua kumfuata yesu..naomben
Tukutumie Dvd?
E bhana mmeua sana..Mungu awabariki sana sana..mimi mdau wenu mkubwa nimebarikiwa sana
Nyc song nyc message
mbarikiwe wapendwa nimebarikiwa NA wimbo wenu mpya.
Amina wimbo mzuri sanaaa nimebarikiwa na huu ujumbe
nice song mubarikiwe
Nmebarikiwa sana na wimbo huu
mussa philemon ... Amina
AIC Buzuruga Choir, Tanzania asanteni kwa kazi zenu nzuri za nyimbo za Kiroho.
mungu awe pamoja katika kazi nzuri ambayo mnaendelea kufanya God bless us
it will be the way to communicate with the God but I what tell you my friend pray the all the time oky
Amen,
mbalikiwe watumishi wa mung, bwana mungu hatawaacha kamwe jinsi mlivyo
Mbalikiwe kwauimbaji mzur
This song blesses my heart.
Mungu awabariki sana🙏🙏🙏🙏
Nimebarikiwa sana na nyimbo zenu. Tokea Tunda la Roho toleo lenu la kwanza kwa kweli MUNGU amewatumia vizuri kutufikishia ujumbe husika. Mbarikiwe sana
Nimefurahi sana kuwaona wapendwa waliokuwa kwenye lile toleo la kwanza (yaani yule kaka anayeanzisha wimbo wa "Tunda la Roho" anakuwa anacheza kabla ya wimbo kuanza na pia yule mama 'mama mkubwa lakini sauti ya kitoto(sauti ya kwanza) kwa kweli nimefurahi sana kuwaona tena katika hili toleo la pili.....mbarikiwe sana.
Mimi ninahitaji VCD zote mbili, toleo la kwanza - Tunda la Roho and pia hili toleo la pile "Nimeamua", tafadhali nijulisheni nitakavyozipata hizi video mbili. Nitakuja Mwanza mwez machi katikati ila napatikana kwa no 0753279272.
Mbarikiwe sana na tutaendelea kuwaombea, hakikisheni wanakwaya wanabaki na wanongezeka wengine
Jonathan,Amina karibu sana Buzuruga Choir.
barikiweni sana watumish wa mungu nawapenda mnooooooooooooooooooooooo
🙏
Mbarikiwe 👏👏👏
nawapenda sana aic buzuruga hamkoseagi mungu awabariki sana miaka 100
Kwa kweli kaz yenu ni njema nyenyekeeni muinuliwe zaid
Kwana ye hitaji kazi hii yote piga simu tutakutumia popote ulipo 0754272337
MBARIKIWE KWA KAZI NZURI YA MUNGU
Wimbo hu unanibariki sana nakunihudumia Sana uyo Sollo anaesema nikweli Yuko vizuri sanaa nabarikiwa Mungu andelee kuwainua viwango vingine
Nicholous Tarimo ...Amina mtumishi
Nicholous Tarimo o
Kww ujumla mpangilio ni mzuri
AM BLESSED SO MUCH,MAY GOD REWARD YOU FOR THE GOOD WORK.
I always like ur song God bless u
Nice song
hongeren sana kwa kaz yenu nzuri.
mungu azidi kuwainua
hongeren kwa kazi nzur Mungu awabariki sana
mannyama eliud wa bunda mungu awa baliki sana kwa kazi yake maana hata mnavyo nesa inaoneshakuwa mnamweshimu mungu wa mbinguni atupaye kushinda ya ulimwengu amen
this song stimulates me when I look it
THIS IS BEST WAPENDWA I LIKE IT, KEEP UP AND OUR LIVING DOG SHALL LEAD YOU WELL IN HIS HOLINESS
Peter Mwanzia not our living Dog but our living GOD
Mbarikiwe cn watumishi wa mungu tena mmependeza kweli sale zenu 👌👌👌👌
nice song
hongeren xn watumish kwa video kaaali by trude
Andante enor Mayra.
Ushirikiano udumu kwenu,Kazi n'zur ya kumtukuza YESU aliyeshinda dhambi na mauti.
Mbalikiwe sana
nabarikiwa sana na nyimbo zenu nipo hapa Oman muscat
awali yote ni mpongeze mchukua Video amewapanga Vizuri. Na la pili ujumbe upo Vizuri.
Mmependeza utukufu apewe Bwana Yesu amina!
Lameck Silinu0762197519 barikiwa
Amani kwao waimbaji hawa
Bwana azidi kuwainua watumishi wa Mungu
Mungu awabariki sn
Mungu yupo na atakuwepo milele na milele amina
Vinywa vyenu vinamtukuza Yesu, Ila miili yenu inamtukuza shetani!
Mawigi hayo, hereni hizo, mikorogo hiyo, mikufu, bsngili hizo nk
Wazitokani na Yesu! Bali zinatokana na shetani!
Hakuna mbingu ya watu wanavitumia hitu hivyo. Msipoachana navyo siku ile mtajikuta taabu yenu ilikuwa ni bure duniani!
Hujaokoka
Fedha na dhahabu ni mali ya Bwanaaaa acha tuvaee
Na mawigi, mikufu, bangili, hereni, mikorogo, rangi za midomo, kucha nk
Hizi si mali ya Bwana, ni mali ya shetani. Kwa sasa waweza usielewe, ila utakuja kuelewa kule mwishoni!
Ubarkiwe sana
Safi sana kazi nzur
Wimbo Mpya Mzuri sana Barkiweni Wote
Nice
Nimebarikiwa sana na song hili. Mungu awabariki waimbaji wote.
Nice song
Very nice!
Ujumbe mzuri Mungu awabariki
Kwel
mungu awabariki
What a nice song! Be blessed singers
wimbo mzuri watumishi mbarikiwe sana. je nitapataje hiyo CD?
Aksante mpendwa kwa maoni yako mazuri, kama unahitaji Cd tuwasiliane kwa namba yangu.
AIC (African Inland Church) Buzuruga Choir, Buzuruga ward in Mwanza town, Tanzania www.aictanzania.org/mwanzadiocese www.aicbuzurugachoir.com/ & facebook.com/tunda.laroho
Sam Msilanga
naweza pata wapi mkada huu hapa nchini kenya?
hizi nyimbo naweza pata copy wapi niko nairobi kenya
Nice
Amen 🙏
Katika kitiba au mashariti mliapewa na mwanzilishi wa kanisa hili katika kitabu cha ikumeni, nilile la kutocheza danzi makanisani, je, ninyi mnaoimba nyimbo hizi za upuuzi, mnatoa wapi andiko la kucheza?.
Ndugu , Sisi hatuko chini ya hizo Sheria zenu ,,,Sisi tunaongozwa na Roho wa Kristo anaetuweka ndani ya neema .
Wewe unayeishi Kwajili ya Sheria tunakuomba usiwasumbue watu wa Kristo ....Hizo Sheria ziwaongoze ninyi mnaoufuata mwili.
Eliona kimaro
MKO VIZURI
aliye post hizi nyimbo aweke zote tafadhar
Jamani wimbo mzuri huo!
Nikiwa mbeya......,Hongera sana....
mbarikiwe watumishi we Mungu
Amen
Nice song