UTACHEKA: TX DULLAH na MJOMBA WAKE wakutana USO kwa USO DODOMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • #comedy #comedyseries #millardayo #trending

Комментарии • 40

  • @alexandermilanzi9860
    @alexandermilanzi9860 Год назад +6

    Brother unajua sanaaaaaaaaa.......sema hapo kwenye kutunzwa.... Ungejaribu kujimodify kidogo unapokea pesa au unafata kwa mtu huku unaendelea na show🔥

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Год назад +2

    Content zake hazina matusi, very well groomed comedian

  • @queenchaki7866
    @queenchaki7866 Год назад +2

    Umetisha Sana dullah

  • @KiboJoseph-cc5eu
    @KiboJoseph-cc5eu Год назад +2

    Dulla mi nakufatilia, unajua, ila kinyonge, change gear stand up comedy inataka ubunifu,Sana Kila sekunde, Kila sentens point.

  • @user-tn8hm8nf3w
    @user-tn8hm8nf3w Год назад +1

    Ila dullah unazingatia sana maokoto😂😂😂😂😂

  • @CostantinhoSamwel-ri4hj
    @CostantinhoSamwel-ri4hj Год назад +2

    Big unachekeshaaaaaaaaaaaaa

  • @MussaDaniel-t5u
    @MussaDaniel-t5u Год назад +2

    Umetisha sanàaaaaaa

  • @chilomwanga3556
    @chilomwanga3556 Год назад +10

    umetisha sana sema awo w2 wana mattz ya bandama

  • @benjaminmwakoti1150
    @benjaminmwakoti1150 Год назад +2

    Imetisha

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz2887 Год назад +3

    Dulla nilipe afu nne yanguuu

  • @kachalazedon323
    @kachalazedon323 Год назад +2

    Bdo fuata akina na ndaro brother

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Год назад +1

    Nomaaaa

  • @frankhignofuime8247
    @frankhignofuime8247 Год назад +1

    Kumbe mjomba ni Kavishe😂

  • @emanueljohn4715
    @emanueljohn4715 11 месяцев назад

    samahani naomba kuuliza hizi shoo zinafanyika kila jumangapi

    • @kimongapro
      @kimongapro  11 месяцев назад +1

      Kila Jumamosi ya Mwisho wa Mwezi

  • @user-eb3hf1lm9e
    @user-eb3hf1lm9e 6 месяцев назад

    Sasa mbn show tena imesitishwa

  • @nelsonkarashani2817
    @nelsonkarashani2817 Год назад +2

    Mjomba #KAVISHE

  • @innocentlusajo9303
    @innocentlusajo9303 Год назад +1

    Show ilikua kali sana ila mashabiki walitumia mda wa MC kuliko ye mwenyewe

  • @ezron_official
    @ezron_official 6 месяцев назад

    Dodoma mpk wanacheka

  • @hansmosses9422
    @hansmosses9422 Год назад +3

    Sem warudia san content...ila umetish

    • @KipazaOfficial
      @KipazaOfficial Год назад

      Mondy akirudia nyimbo shows nyingi na wasanii wako huwa unakasirika? Hata taarifa za habari na kila kitu duniani kinarudiwa mkuu as matukio sometimes ni yaleyale duniani

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel Год назад +1

    Kipindi kinakuwa lini kwenye tv na saa ngap

  • @fredykavishe1609
    @fredykavishe1609 Год назад +1

    😂😊😊🤝🤝👍👍

  • @mwanamarure9919
    @mwanamarure9919 Год назад +1

    achana na comedy kipaji unacho cha ukonda #zidi kuchangisha

  • @cartarenterprises1306
    @cartarenterprises1306 Год назад

    Jamaa anarudia san content ss kwa sisi tunafatilia unatuboa

  • @user-cw7jk3hl6h
    @user-cw7jk3hl6h Год назад

    Hahaha hahahaha

  • @martinsichilima2568
    @martinsichilima2568 Год назад

    Ametisha. Ila anatakiwa aache ushamba wa kufuata hela anaacha show.

    • @KipazaOfficial
      @KipazaOfficial Год назад

      Akifa maskini pia utakuja kucomment kuwa alikuwa hayuko serious na maokoto😂muache akusanye hata akifuata hela watu wanacheka bado mkuu, Asante kwa ushauri au tukushauri😄??