Mondy akirudia nyimbo shows nyingi na wasanii wako huwa unakasirika? Hata taarifa za habari na kila kitu duniani kinarudiwa mkuu as matukio sometimes ni yaleyale duniani
Akifa maskini pia utakuja kucomment kuwa alikuwa hayuko serious na maokoto😂muache akusanye hata akifuata hela watu wanacheka bado mkuu, Asante kwa ushauri au tukushauri😄??
Brother unajua sanaaaaaaaaa.......sema hapo kwenye kutunzwa.... Ungejaribu kujimodify kidogo unapokea pesa au unafata kwa mtu huku unaendelea na show🔥
Content zake hazina matusi, very well groomed comedian
Umetisha Sana dullah
Dulla mi nakufatilia, unajua, ila kinyonge, change gear stand up comedy inataka ubunifu,Sana Kila sekunde, Kila sentens point.
Ila dullah unazingatia sana maokoto😂😂😂😂😂
Big unachekeshaaaaaaaaaaaaa
Umetisha sanàaaaaaa
umetisha sana sema awo w2 wana mattz ya bandama
😀😀
😂😂😂
@@nasibshabani7740😊😊😊😊😊
@@nasibshabani7740😊😊😊😊😊😊😊😊
@@nasibshabani7740😊😊
Imetisha
Dulla nilipe afu nne yanguuu
😂😂😂
Bdo fuata akina na ndaro brother
Inaonekana humjui Tx Dullaah vizuri wewee
Nomaaaa
Kumbe mjomba ni Kavishe😂
samahani naomba kuuliza hizi shoo zinafanyika kila jumangapi
Kila Jumamosi ya Mwisho wa Mwezi
Sasa mbn show tena imesitishwa
Mjomba #KAVISHE
Show ilikua kali sana ila mashabiki walitumia mda wa MC kuliko ye mwenyewe
Dodoma mpk wanacheka
Sem warudia san content...ila umetish
Mondy akirudia nyimbo shows nyingi na wasanii wako huwa unakasirika? Hata taarifa za habari na kila kitu duniani kinarudiwa mkuu as matukio sometimes ni yaleyale duniani
Kipindi kinakuwa lini kwenye tv na saa ngap
😂😊😊🤝🤝👍👍
achana na comedy kipaji unacho cha ukonda #zidi kuchangisha
Jamaa anarudia san content ss kwa sisi tunafatilia unatuboa
Hahaha hahahaha
Ametisha. Ila anatakiwa aache ushamba wa kufuata hela anaacha show.
Akifa maskini pia utakuja kucomment kuwa alikuwa hayuko serious na maokoto😂muache akusanye hata akifuata hela watu wanacheka bado mkuu, Asante kwa ushauri au tukushauri😄??