OJ has a point... Ukicheki msee amefungua base ya pool, mwingine anakimbia kufungua the same thing somewhere else. Now most of the good players wako na base yao ya pool. Wamebaki wakicheza wenyewe
I see Uhunye character somewhere 🤣🤣🤣🤣🤣 EDIT: When they need to act a movie about Uhuru's life. This guy anaweza itoa poa sana hadi sauti na mannerisms ni Uhunye kabisa. Skin tone tunaweza ignore.
Professional welders are not trained in Kenya, and money is a great factor to be considered. Some years back, KPC (petroleum) they had to hire a professional welder who was paid more than you can imagine in two weeks. Few professional welders,not just in Kenya but in Africa. Although south Africa they do offer those training.
sasa wameanza kuconfuse talent na skill,ukipata mtu amekuwa good at the job,hiyo ni experience.Ukipata mtoto wako amepewa piano ama guitar na acheze cords fiti bila training,hiyo ndio talent😂😂😂😂
Enyewe nchi yetu ina noma kali kama bado tunafikiria hivi. Naomba wakenya ambao wameishi mahali kwingine waseme jinsi unashtuka ukienda mahali upate watu wakiokota ndo/simu/nkt wanepeleka kwa polisi na polisi wanatafuta mwenyewe. Lazima tugeuze jinsi tunatazama maisha, nothing is impossible.
OJ ever charming.Miss those good old days you made our evenings enjoyable.
Sana
Talent in Embu is Growing Big Up Kimathi Marshall
Hizi shows anasema ziko Izaak Walton zinakuanga lini???
One of our own legend.
OJ my man, always on top. Good to see you
OJ never gets old 😂😂😂
I still enjoy watching OJ
This guy we loved him so much ,na alikua mzito wa south b
Wise and articulate . Big up Denno. Be true be self. 💯
Happy to hear conversations by yout about talent and passion..hii ufala ya 'oh huwezi kula talent tafta job' tuachie ancestors bana
OJ sound mature in his conversation but I hope ana control tei asije story yake ikawa kama uncle yake Omosh.
Kabisa
😂😂I remember in nakuru high those days,na house I was in turkana dorms, such great golden days. Great show
These two brothers can produce the best show in Africa 🌍🙌
#chem
This is a legit conversation, big up guys
Am still wondering why one can dislike such an interview unless you are a hater. If it was politics I could understand
Very inspiring indeed
O.J ... Sijui mbona ukiaargue naona Uhunye.. Breaking the big problems to real smaller pieces of advice, you just simplify every bit of it.. Smart bro
😂😂😂kabisa aki
whooooooooooh!!!!!!!!! OJ, never misses to be real.
Working smart iz btter than working hard..i totally agree with him4💯💯💯
😂😂😂😍OJ na Johny Aki mlikuwa watiaji ...informative show always 💯
Excellent
First viewers💯💯💯🏃🏃🏃🏃
Good vibes
very educative
Big O.J. favourite of all time.
Like you guys
Oj hoyaaaaa 👍 more fire 🔥
Dr. King'ori nadai tuongee....nko na talent moja noma sana. Talent enye nikiget support inaeza lipa deni ya China. Si mchezo....help me out bro
OJ .... living legend 😅
Haiya Oj wewe ni team shamba la wanyama you never grow old still young.
Overflow of Djs and content creators.
Huyu jamaa aliinua tahidi juu sana ..he was too good there
OJ has a point... Ukicheki msee amefungua base ya pool, mwingine anakimbia kufungua the same thing somewhere else. Now most of the good players wako na base yao ya pool. Wamebaki wakicheza wenyewe
buda uko na point
Ukipata kidogo u have to save not spoiling all of it.
Wow, show iliweza atleast I've learnt some things
Deno miaka mingi. Big ups!
Wakenya hapa tuko wengi kuliko wenyewe kama unakubali nipe like
Tune ya "Wimbo wa Clementina'".
Oj
I see Uhunye character somewhere 🤣🤣🤣🤣🤣
EDIT: When they need to act a movie about Uhuru's life. This guy anaweza itoa poa sana hadi sauti na mannerisms ni Uhunye kabisa. Skin tone tunaweza ignore.
Kuna kaukwely apo
Naona pia siko peke yangu 😂
Am I the only one who thinks this dude looks alot like hon. Uhuru Kenyatta?
Hio maskio ni ya Aden dware...umm.
Na colour skin niya scons😂
Professional welders are not trained in Kenya, and money is a great factor to be considered. Some years back, KPC (petroleum) they had to hire a professional welder who was paid more than you can imagine in two weeks. Few professional welders,not just in Kenya but in Africa. Although south Africa they do offer those training.
Precision welders.
Kwani uyu jamaa ni vampire?😂 he never gets old😅
OJ was the best, what is doing in Embu that's wonderful
Yeah do something new and follow your passion
OJ aulizwe situation ya "trending Omosh"
Tumesema abadlishe jina ya omosh kwanza
Kinuthia asituharibie jina 😂😂
mimi ndie dexta-gigas hahaha
Oj do you also need sympathy
🤭😂😂
swear I translated the river between in kikuyu ...na jamaa imedoz
😂😂😂apo kwa light skin
Karibu Oj aite CBC CRE
Niko ndaani 💥💥
I remember one day sneaking out of the skull just to go home drink new milk.
O.j
This guy resembles President 🤔
sasa wameanza kuconfuse talent na skill,ukipata mtu amekuwa good at the job,hiyo ni experience.Ukipata mtoto wako amepewa piano ama guitar na acheze cords fiti bila training,hiyo ndio talent😂😂😂😂
Omosh should borrow a leaf
King'ori share namba ya Timo wa Embakasi shati zangu joo😅
warurigi aliweza
Don't work hard, work smart hapo ndipo.
Kuna vile uyu jama anakaa uhunyee
Warurigi ndi ava mutiri😂😂😂😂
From the Mountain TOP!!! Big Facts Homie, insightful sana. E-Town to The World....60100.........Kanatia Maniii?
Karibuni #SanaaNaKahawa
How do you call a tiny problematic Doctor
Dr kingori
Enyewe nchi yetu ina noma kali kama bado tunafikiria hivi. Naomba wakenya ambao wameishi mahali kwingine waseme jinsi unashtuka ukienda mahali upate watu wakiokota ndo/simu/nkt wanepeleka kwa polisi na polisi wanatafuta mwenyewe.
Lazima tugeuze jinsi tunatazama maisha, nothing is impossible.
🤣🤣🤣🤣🤣
Bahati Girls dont wear ties lol
The precious end ultrastructually shelter because calculus currently smoke athwart a statuesque broker. awesome, conscious patch
In simple terms unasema?