BREAKING: WAKILI PETER MADELEKA ASHITAKIWA KISA KESI YA AFANDE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 13

  • @AyubuChacha-u6u
    @AyubuChacha-u6u 4 дня назад +3

    Kweli kama hii nchi tumefikia hapa basi tu kweli haki haipo tuishi tu kwa neema ya mungu mwenyewe.

  • @Josephukijiji
    @Josephukijiji 4 дня назад +4

    Mungu..uwashidia..wenye..haki😢😢

  • @AbelJohn-tx4in
    @AbelJohn-tx4in 4 дня назад +3

    Yaani kama tumefikia huko basi hii nchi imeoza

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 4 дня назад +2

    Ni haki ya kila mtu kuitafuta haki yake mahakamani.Huyo aliyeshtaki Madeleka ni haki yake,pengine mungu ndo anaenda kuifungua njia ukweli na uhongo kuwa wazi.Mungu awaongoze.

  • @FarahaOthman
    @FarahaOthman 5 часов назад

    Duuu mtihani kweli binadamu ss

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 15 часов назад

    Wewe mjinga sana jinga

  • @SarahAdam-c4m
    @SarahAdam-c4m День назад

    Yaonekana afande ana power yuko juu ya sheria

  • @SimonMassawe-i8e
    @SimonMassawe-i8e 4 дня назад +1

    "Meno ya MBWA hayaumani"..

  • @RugakiMsingo
    @RugakiMsingo День назад

    Mwenye aki ni mwenye pesa ange kuwa masikini angefungwa .

  • @FarahaOthman
    @FarahaOthman 5 часов назад

    Huyu Fatuma NI Nani kwenye selikari mpaka achiwe huru

  • @AbelJohn-tx4in
    @AbelJohn-tx4in 4 дня назад

    Itakuwa ni kweli, kwa nini mahakama imefuta hiyo kesi ya afande?, Hiyo ni jitihada za huyo wakili mshenzi kabisa, wangemfira mtoto wake ingependeza zaidi halafu tungeona kama angemtetea mfiraji

  • @asiasuleman8750
    @asiasuleman8750 4 дня назад +1

    Nyiye ifanyeni selekari kama ya baba yenu lakini mkae mkijuwa haki itabaki kuwa haki

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza 4 дня назад

    Mbona wewe Mwandishi unamsemea Madeleka? Mwache tumsikie yeye mwenyewe