ELIE MPANZU V/S SERGE POKOU NANI ANAFAA ZAIDI KWA SIMBA/UBORA WAO/POKOU MKALI ZAIDI
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Simba Pro tunakuletea uchambuzi wa kiufundi baina ya wachezaji wawili Serge Pokou anaecheza Asec Mimosas pamoja na Elie Mpanzu anaekipiga Katika kikosi cha AS Vita Club,
Kupitia tathmini hii utapata nafasi ya kujua nani bora zaidi na anaefaa kujiunga na Simba kuelekea msimu ujao
Kwa wale wenye kuhitaji kujiunga na Group letu la Simba Pro tuma ujumbe kwa namba 0626629644 ili uweze kujumuishwa na wanasimba wengine katika group letu
Nataka kujiunga group la Simba pro
Binafsi hapa na sagest aletwe Serge Pokou anaweza kutufikisha nchi ya ahadi❤
Huyu mwamba ni mtu wa maana kabisa. Clip zake zinatisha😅
Poku ni tatizo jipya bhana hauwez mfananisha namtu
Kama bank inaruhusu tunawataka wote wawli make mabeki wetu tshabalala vs wanafanya kazi nzito kwa kua hakuna mawinga wa kuwasaidia
Wamba kwerkwer watuletee wanatufaa smba pale
Niunge
Tuleteeni panza huyo wakimchukua simba watavuna pesandefu sana baadae kwahuyompazu umliwake nimdogo unanswerable uzapesandefu sana
Niunge
Eli mpanzu
Uyu mwamba anajua azam media watazamee
Chukua wote cc simba hatuna winga asilia ndoo maana Shabalala naKapombe wanafanya sana makosa sababu wanalazimika kucheza kama mawinga huku wakiacha nafasi za beki zikiwa wazi wasipopanda juu basi huduma ya winga inakosekana kwa hiyo winga wawili ni muhimu sana
Sawa
Chukua wot muamed xhabalala akae kwenye nafax yake na kapomb akae kwenye nafax yake simba na wawchukue wot
Simba mnawinga asilia kabisa Kibu, Miquissone,Onana na makosa wafanyayo shabalala na kapombe ni kawaida tuh kwasababu wote wanapenda sana kushambulia kama ilivyo Kwa kibabage, lomalissa yanga hivyo kocha ndiyoo abadilishe kupunguza makosa
Simba wawachukue wote wawili
naomba kuugwa kwenye gurupu la Simba
Wote wawil big deal
Walete wote hao
yamkin winga mbadala😮
wanatakiwa kuwasaidia T shabalala na Baba ester show me the way
Napenda sana comparison yenu mkiweza bas na ya valentine Nouma vs chadrack Boka
Watuletee wote watatupeleka kwenye nchi yaahadi
Ninaomba kuungwa ktk group la Simba pro❤❤
Mangungu na try again watuachie timu yetu
Naomba niungwe kwenye group
Nataka kujiunga grupo la Simba pro
Nataka kujiunga na group la simba
Na vp kubusu aubin cramo
Niunge kwenye group
Niunge kwenya group
Yuko vizuri
WACHUKUE WOTE WAWILI
Naomba kuungwa
Hawa wote ni wazuri
wote waje😢😮😮
Hawa jamaa ni hatali ukiweka nyuma yao Fei toto sitreka Mayele inakua shida kubwa sana
Lakini isitegemee hao kina FEI Toto na Mayele kusajiliwa Simba SC
Waretwe wote Hao jamaa ni shida
Elie