ELIE MPANZU V/S SERGE POKOU NANI ANAFAA ZAIDI KWA SIMBA/UBORA WAO/POKOU MKALI ZAIDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Simba Pro tunakuletea uchambuzi wa kiufundi baina ya wachezaji wawili Serge Pokou anaecheza Asec Mimosas pamoja na Elie Mpanzu anaekipiga Katika kikosi cha AS Vita Club,
    Kupitia tathmini hii utapata nafasi ya kujua nani bora zaidi na anaefaa kujiunga na Simba kuelekea msimu ujao
    Kwa wale wenye kuhitaji kujiunga na Group letu la Simba Pro tuma ujumbe kwa namba 0626629644 ili uweze kujumuishwa na wanasimba wengine katika group letu

Комментарии • 39

  • @benjaminnelson4834
    @benjaminnelson4834 3 месяца назад +1

    Nataka kujiunga group la Simba pro

  • @KHALIDMULILO
    @KHALIDMULILO 3 месяца назад +4

    Binafsi hapa na sagest aletwe Serge Pokou anaweza kutufikisha nchi ya ahadi❤

    • @juliusmsegu3347
      @juliusmsegu3347 3 месяца назад

      Huyu mwamba ni mtu wa maana kabisa. Clip zake zinatisha😅

  • @robertsongola6034
    @robertsongola6034 2 месяца назад

    Poku ni tatizo jipya bhana hauwez mfananisha namtu

  • @ThomasMatale-d3q
    @ThomasMatale-d3q 2 месяца назад

    Kama bank inaruhusu tunawataka wote wawli make mabeki wetu tshabalala vs wanafanya kazi nzito kwa kua hakuna mawinga wa kuwasaidia

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад

    Wamba kwerkwer watuletee wanatufaa smba pale

  • @innocentdisimas8987
    @innocentdisimas8987 2 месяца назад

    Niunge

  • @mlungumasaba1786
    @mlungumasaba1786 2 месяца назад

    Tuleteeni panza huyo wakimchukua simba watavuna pesandefu sana baadae kwahuyompazu umliwake nimdogo unanswerable uzapesandefu sana

  • @zephaniachaula127
    @zephaniachaula127 3 месяца назад

    Niunge

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma 3 месяца назад +2

    Eli mpanzu

  • @gasparmarwa4689
    @gasparmarwa4689 3 месяца назад +1

    Uyu mwamba anajua azam media watazamee

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 3 месяца назад +5

    Chukua wote cc simba hatuna winga asilia ndoo maana Shabalala naKapombe wanafanya sana makosa sababu wanalazimika kucheza kama mawinga huku wakiacha nafasi za beki zikiwa wazi wasipopanda juu basi huduma ya winga inakosekana kwa hiyo winga wawili ni muhimu sana

    • @sikandarsuleimanTV
      @sikandarsuleimanTV 3 месяца назад

      Sawa

    • @Muhammadshekivul
      @Muhammadshekivul 3 месяца назад

      Chukua wot muamed xhabalala akae kwenye nafax yake na kapomb akae kwenye nafax yake simba na wawchukue wot

    • @DerickDanford
      @DerickDanford 3 месяца назад +1

      Simba mnawinga asilia kabisa Kibu, Miquissone,Onana na makosa wafanyayo shabalala na kapombe ni kawaida tuh kwasababu wote wanapenda sana kushambulia kama ilivyo Kwa kibabage, lomalissa yanga hivyo kocha ndiyoo abadilishe kupunguza makosa

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 3 месяца назад +2

    Simba wawachukue wote wawili

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv 3 месяца назад +1

    naomba kuugwa kwenye gurupu la Simba

  • @TonyJaBillclintony
    @TonyJaBillclintony 3 месяца назад +1

    Wote wawil big deal

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege690 3 месяца назад +1

    Walete wote hao

  • @TonyJaBillclintony
    @TonyJaBillclintony 3 месяца назад

    yamkin winga mbadala😮
    wanatakiwa kuwasaidia T shabalala na Baba ester show me the way

  • @DerickDanford
    @DerickDanford 3 месяца назад

    Napenda sana comparison yenu mkiweza bas na ya valentine Nouma vs chadrack Boka

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад

    Watuletee wote watatupeleka kwenye nchi yaahadi

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 3 месяца назад

    Ninaomba kuungwa ktk group la Simba pro❤❤

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 3 месяца назад

    Mangungu na try again watuachie timu yetu

  • @abeljohn9685
    @abeljohn9685 3 месяца назад

    Naomba niungwe kwenye group

  • @SualemansulManhema
    @SualemansulManhema 3 месяца назад

    Nataka kujiunga grupo la Simba pro

  • @MariamJuma-rf8ph
    @MariamJuma-rf8ph 3 месяца назад

    Nataka kujiunga na group la simba

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 3 месяца назад

    Na vp kubusu aubin cramo

  • @jerrykawogo5656
    @jerrykawogo5656 3 месяца назад

    Niunge kwenye group

  • @yassirammar9680
    @yassirammar9680 3 месяца назад

    Niunge kwenya group

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila 2 месяца назад

    Yuko vizuri

  • @franccoz94
    @franccoz94 3 месяца назад

    WACHUKUE WOTE WAWILI

  • @winfridabeargemalima3089
    @winfridabeargemalima3089 3 месяца назад

    Naomba kuungwa

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 3 месяца назад

    Hawa wote ni wazuri

  • @SirajiRashidy
    @SirajiRashidy 3 месяца назад

    wote waje😢😮😮

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 3 месяца назад +1

    Hawa jamaa ni hatali ukiweka nyuma yao Fei toto sitreka Mayele inakua shida kubwa sana

    • @sikandarsuleimanTV
      @sikandarsuleimanTV 3 месяца назад +1

      Lakini isitegemee hao kina FEI Toto na Mayele kusajiliwa Simba SC

  • @Oscar-zs2vl
    @Oscar-zs2vl 3 месяца назад

    Waretwe wote Hao jamaa ni shida

  • @ElishaBernard-ih2vw
    @ElishaBernard-ih2vw 3 месяца назад

    Elie