HII NI NOMA MARTHA MWAIPAJA AJAZA UWANJA CONGO, TAZAMA MTOTO WAKE JOAN ALICHOKIFANYA JUKWAANI

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 11

  • @KahindoRuth-g1y
    @KahindoRuth-g1y 11 дней назад

    Tuna mupenda sana dada Martha, mungu ata muteteya tu

  • @EliachimSulle
    @EliachimSulle 12 дней назад

    Songa mbele dada❤

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 12 дней назад

    Safi songa mbele Dunia inatuchosha

  • @SarahMiarony
    @SarahMiarony 11 дней назад

    Mimi Sina neno kuusu Dada wetu tunampenda sana

  • @SaraMAVE-jt2mx
    @SaraMAVE-jt2mx 12 дней назад +1

    Mimi mwenyewe nilikuwa pale chow kalisana kwetu Congo bunia

  • @janetnganga5347
    @janetnganga5347 11 дней назад

    Wa Tanzania mwampenda kuhukumu wasanii bila ushahindi wakutosha muachene mtumishi wa mungu aendelee kuhudumia nyoyo za watu wacheni watu wasikize kinacho toka kinywani mwake ila simatendo yake wala mambo ya familia maana wato wengi sana walio telekeza familia zao hasa wazazi wao, wengine hata niwa chungaji so wacheni Martha aenere ujumbe wa mungu

  • @AbiyaAbi-q2k
    @AbiyaAbi-q2k 12 дней назад

    ❤❤❤❤❤

  • @GeorgineNeema
    @GeorgineNeema 7 дней назад

    Sisi watuwa koko tunamu beda sna

  • @JulieMangah
    @JulieMangah 11 дней назад

    Wewe ulitaka Wacongo waache kumpokea ?
    Walibidi wafanye hivyo wasinge mpokea angevunjika moyo sana, hata kama anasimama hapo kuimba lakini ndani yake amani na ujasiri wandani sijui kama anao kwa yanayoendelea juu yak

  • @MargaretOmondi-pf3uz
    @MargaretOmondi-pf3uz 12 дней назад

    Moyoni hana amani.
    Nikufunika tu macho za watu lakini hilo jambo lamkosesha amani kabsaa.
    Ili apate amani, ni arudi kwa mamake kwanza ndio apate neema na radhi ya Mama laa sivyo moyo ina tashwishi sana. Joan arudi kwao huyo amechafua uzuri wa Martha kabsaa

    • @JustinaMambo-jb4uj
      @JustinaMambo-jb4uj 12 дней назад

      Mama mwenyewe nisumu we nyamaza Mather hajalala na mume wamutu Beatrice ogopa sana mama Pana sili kubwa Mather forward forward forward