Shishi, mimi ninakupenda sana. Unaniinsipire sana. Najua nmekuzidi elimu lakini maisha unayajua na sioni haya kujifunza kwako. Na leo.nmenote kitu kikubwa sanasana. Mungu azidi kubariki harakati zako
hi 👋 shishi baby 😘 shilole and hadija hata wenza kukuangusha because a na kutengemeya wewe shishi baby foods kikazi na kuwa watu wengine piya wana kuyengemeya wewe shishi baby shilole kuwa kazi yenu au nisema kuwa kazi yako pamoja na upendo wa kifamiliya kimaicha yenu kivivote vile au nisema kazi yenu wawili na muwingine piya because kazi ni kazi shishi baby shilole foods hongera au nisema hongereni kuwa ujuumula and yes yes shishi baby shilole be non 👎 non 👎non 👎non 👎non 👎 about language enlishing it is you just continuings tooling very very good 👍 it is non 👎 non 👎 non 👎 matter usione aimbu and me a i speakening suwahili a just little bit more language speaking much more a i french and english speaking language in world 🌎 also lam here home 🏡 swirtzenland conutiry world 🌎 💖
Hongera sana Mamy Shishi,umewasilisha vzr sn,kwa utulivu na kwa kujiamini na kubwa zaidi unaeleweka sn tu!
Hongera sana Dina Marios kwa kutupa mipango ya maendeleo.🙏
Hongera Sana da Shishi nakukubali Sana Mungu azidi kukuinia katika kazi zako zote na uendelee na moyo wako huo huo. ♥️🙏🙏
Hongera dada leo nimejifunza ktu kutoka kwa shishi
Najifunza mengi ...Kupitia Shilole, Mungu Akubariki sana
Shishi, mimi ninakupenda sana. Unaniinsipire sana. Najua nmekuzidi elimu lakini maisha unayajua na sioni haya kujifunza kwako. Na leo.nmenote kitu kikubwa sanasana. Mungu azidi kubariki harakati zako
Asant kwahushahiri
Ongera mwanangu shishi,nakupenda sana.
Kweli kabisa wewe wa igunga mpka umepataja Ibologero ni kweli kabisa huo mnada upo kila wiki 👏👏👏
Mama kijacho... Na hilo dera ukilikusanya kitumbo chaonekana na bado dogo..
Nimekupenda shishi
Hongera sana dada umenifunza kitu
Clear madam shishi
Hongera my shishi nakupenda sana
Shishi nakupenda! Ila fanya mazowezi, ili upunguze unene kidogo, .....uko juu!
Shishi siku nikija tanzania nitakutafu nije kula maana ume nitamanisha sana
Hongera ses
Shiringi joyakwaza shams yeyekuropoka jamani good shirole
I love u shishi, natmn kuwa kama wewe.
Asante shishi nimejifunza ki2
hi 👋 shishi baby 😘 shilole and hadija hata wenza kukuangusha because a na kutengemeya wewe shishi baby foods kikazi na kuwa watu wengine piya wana kuyengemeya wewe shishi baby shilole kuwa kazi yenu au nisema kuwa kazi yako pamoja na upendo wa kifamiliya kimaicha yenu kivivote vile au nisema kazi yenu wawili na muwingine piya because kazi ni kazi shishi baby shilole foods hongera au nisema hongereni kuwa ujuumula and yes yes shishi baby shilole be non 👎 non 👎non 👎non 👎non 👎 about language enlishing it is you just continuings tooling very very good 👍 it is non 👎 non 👎 non 👎 matter usione aimbu and me a i speakening suwahili a just little bit more language speaking much more a i french and english speaking language in world 🌎 also lam here home 🏡 swirtzenland conutiry world 🌎 💖
Ni kweli da shishi
Shishi ana akili saana
ILA SHISHI ANAJIAMIN NAMPENDA HUYU DADA SIJUTII KUMSKILIZA MUNGU AKUBARIKI
Mung azid kukuinunua dada
Naomba namba ya cm zuwena
Nimekuelewa shishi
Nakipenda shilole ukeongea Vema kipenzi
Alaf io guo.ni zuri il inakutesa ivae tu cku hauna pilikapilika dadaa.
Shilole hujawahi kuniangusha