SHILOLE AELEKEZA NAMNA YA KUTAFUTA SHILINGI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 31

  • @agnesmkanga4617
    @agnesmkanga4617 3 года назад +2

    Hongera sana Mamy Shishi,umewasilisha vzr sn,kwa utulivu na kwa kujiamini na kubwa zaidi unaeleweka sn tu!

  • @deboraconrad406
    @deboraconrad406 2 года назад

    Hongera sana Dina Marios kwa kutupa mipango ya maendeleo.🙏

  • @sharondivine2088
    @sharondivine2088 3 года назад

    Hongera Sana da Shishi nakukubali Sana Mungu azidi kukuinia katika kazi zako zote na uendelee na moyo wako huo huo. ♥️🙏🙏

  • @aishaabdallah4560
    @aishaabdallah4560 3 года назад

    Hongera dada leo nimejifunza ktu kutoka kwa shishi

  • @milkermathias7416
    @milkermathias7416 3 года назад +1

    Najifunza mengi ...Kupitia Shilole, Mungu Akubariki sana

  • @justafredrickmunyoro1097
    @justafredrickmunyoro1097 3 года назад

    Shishi, mimi ninakupenda sana. Unaniinsipire sana. Najua nmekuzidi elimu lakini maisha unayajua na sioni haya kujifunza kwako. Na leo.nmenote kitu kikubwa sanasana. Mungu azidi kubariki harakati zako

  • @zubbedatt2771
    @zubbedatt2771 Год назад

    Asant kwahushahiri

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 года назад

    Ongera mwanangu shishi,nakupenda sana.

  • @jenifajuma5395
    @jenifajuma5395 3 года назад

    Kweli kabisa wewe wa igunga mpka umepataja Ibologero ni kweli kabisa huo mnada upo kila wiki 👏👏👏

  • @mename6020
    @mename6020 3 года назад +2

    Mama kijacho... Na hilo dera ukilikusanya kitumbo chaonekana na bado dogo..

  • @zuhuraamry3620
    @zuhuraamry3620 3 года назад

    Nimekupenda shishi

  • @mzalendowaasili1727
    @mzalendowaasili1727 3 года назад

    Hongera sana dada umenifunza kitu

  • @abdallahamad4682
    @abdallahamad4682 3 года назад

    Clear madam shishi

  • @elizabethmahua9411
    @elizabethmahua9411 3 года назад +2

    Hongera my shishi nakupenda sana

  • @jenifamtima9325
    @jenifamtima9325 3 года назад

    Shishi nakupenda! Ila fanya mazowezi, ili upunguze unene kidogo, .....uko juu!

  • @سعيدالنعيمي-س4س
    @سعيدالنعيمي-س4س 2 года назад

    Shishi siku nikija tanzania nitakutafu nije kula maana ume nitamanisha sana

  • @aishaalawi64
    @aishaalawi64 3 года назад

    Hongera ses

  • @wivinemwamini9110
    @wivinemwamini9110 3 года назад

    Shiringi joyakwaza shams yeyekuropoka jamani good shirole

  • @nunially2048
    @nunially2048 3 года назад

    I love u shishi, natmn kuwa kama wewe.

  • @aishaomari944
    @aishaomari944 3 года назад +1

    Asante shishi nimejifunza ki2

  • @sambojaomarhadija6803
    @sambojaomarhadija6803 3 года назад +1

    hi 👋 shishi baby 😘 shilole and hadija hata wenza kukuangusha because a na kutengemeya wewe shishi baby foods kikazi na kuwa watu wengine piya wana kuyengemeya wewe shishi baby shilole kuwa kazi yenu au nisema kuwa kazi yako pamoja na upendo wa kifamiliya kimaicha yenu kivivote vile au nisema kazi yenu wawili na muwingine piya because kazi ni kazi shishi baby shilole foods hongera au nisema hongereni kuwa ujuumula and yes yes shishi baby shilole be non 👎 non 👎non 👎non 👎non 👎 about language enlishing it is you just continuings tooling very very good 👍 it is non 👎 non 👎 non 👎 matter usione aimbu and me a i speakening suwahili a just little bit more language speaking much more a i french and english speaking language in world 🌎 also lam here home 🏡 swirtzenland conutiry world 🌎 💖

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 3 года назад

    Ni kweli da shishi

  • @janembwana3339
    @janembwana3339 3 года назад

    Shishi ana akili saana

  • @MctMct-tt4rq
    @MctMct-tt4rq 3 года назад

    ILA SHISHI ANAJIAMIN NAMPENDA HUYU DADA SIJUTII KUMSKILIZA MUNGU AKUBARIKI

  • @florencegideon1467
    @florencegideon1467 3 года назад

    Mung azid kukuinunua dada

  • @alibell5246
    @alibell5246 3 года назад

    Naomba namba ya cm zuwena

  • @nancymohamedy7672
    @nancymohamedy7672 3 года назад +1

    Nimekuelewa shishi

  • @perpetuagodfrey4301
    @perpetuagodfrey4301 3 года назад

    Nakipenda shilole ukeongea Vema kipenzi

  • @tamaraseff.9707
    @tamaraseff.9707 3 года назад

    Alaf io guo.ni zuri il inakutesa ivae tu cku hauna pilikapilika dadaa.

  • @irenengatia4289
    @irenengatia4289 3 года назад

    Shilole hujawahi kuniangusha