EXCLUSIVE: MAZITO YA MCHEZAJI WA ZAMANI YANGA SAID BAHANUZI HATAKI TENA MAISHA YA MPIRA/ AZIZ KI?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июн 2024
  • EXCLUSIVE: MAZITO YA MCHEZAJI WA ZAMANI YANGA SAID BAHANUZI HATAKI TENA MAISHA YA MPIRA/ AZIZ KI?
  • СпортСпорт

Комментарии • 22

  • @songombingo108
    @songombingo108 20 дней назад +4

    Pole sana Bahanuzi. Kitu kimoja kilichofanya wenzio wakuchukie ni umaskini tu. Pesa ndio ingewapa furaha. Kama ni kukosa penati wewe sio wa kwanza duniani.

    • @mohamedikassimu7016
      @mohamedikassimu7016 19 дней назад

      Dah! Pole San kak. Jumla ya yote Allah ya A'lam. Mungu ni mjuz na ni muwez wa yote. Sema bdo una nafac kaka kasomee hata ukocha uendleze shughli za kimpira makocha vijana ndio wanatakiw

  • @saludaniel1296
    @saludaniel1296 24 дня назад +4

    Umenikumbusha mbali sana aisee, hyu jamaa ana mdogo wake anacheza ndondo cup ni balaaa , , bonge la straka, ukoo wa akina Bahanuzi ni Wa Ball sana

    • @ngalulaamos3517
      @ngalulaamos3517 16 дней назад

      Anaitwa Benjamin Bahanuzi anapatika Kijiji cha MWANDOYA MEATU SIMIYU

  • @songombingo108
    @songombingo108 20 дней назад +1

    Mtangazaji huyu jina lake sio BANUZI ni Bahanuzi.

  • @user-cv4jb1bm6i
    @user-cv4jb1bm6i 20 дней назад +1

    Wakati nipo shule kipindi iko kila game unaweka na mimi shule naweka kila mechi wakawa wananiita bahanuzi

  • @philipomponeja2457
    @philipomponeja2457 24 дня назад

    daah! bahanuzi ulipotea ghafra sana kwenye soka

  • @user-lv3de1pi7j
    @user-lv3de1pi7j 8 дней назад

    Nakukumbuka kwenye Ile penat yako uliopiga mnazi pale Cairo , ukaona uitoe yanga mashindanoni kwa mnazi uleeeh

  • @salumomar-ph8ht
    @salumomar-ph8ht 15 дней назад

    Ww bahanuz huna jipya nenda ukalime

  • @songombingo108
    @songombingo108 20 дней назад +1

    Bahanuzi bado una nguvu za kucheza mpira. Rudi ucheze

  • @salumomar-ph8ht
    @salumomar-ph8ht 15 дней назад

    Ww unampango wowote ujui kupiga penant pimpi ww

  • @officialvicetz
    @officialvicetz 19 дней назад

    Mnamuhoji mtu amevaa kofia

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 24 дня назад

    Wewe Bahanuzi uliikosesha Yanga penalti dhidi ya Al Ahly!

    • @comsmkemwa2671
      @comsmkemwa2671 23 дня назад

      Kwa hiyo unamuuliza au unamfahamisha, ? Au unamlaumu leo itasaidia nini!? Yeye mwenyewe anajutia halafu anatokea mjinga anamlaumu wnagapi wanakosa penarty?

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 23 дня назад

      @@comsmkemwa2671 Umefurahi eeh kuwajibu wajinga!

    • @hassanmwallimu5767
      @hassanmwallimu5767 20 дней назад

      Wacha ufala kwani wangapi walikosa fainali

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 20 дней назад

      @@hassanmwallimu5767 Ufala upi Sasa, kwani hakukosa penalti? Je, amekuweka uwe wakili wake? Punguza mihemko!

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 20 дней назад

      Juzi Baka kakosa penati mara mbili sauz na juzi na Azam, KI AZIZ KAKOSA

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 19 дней назад

    Huyo haitwi banuzi anaitwa bahanuzi ...!

  • @mariammbwana9018
    @mariammbwana9018 18 дней назад

    Ubishoo ulikuzidi wewe