Pole sana Bahanuzi. Kitu kimoja kilichofanya wenzio wakuchukie ni umaskini tu. Pesa ndio ingewapa furaha. Kama ni kukosa penati wewe sio wa kwanza duniani.
Dah! Pole San kak. Jumla ya yote Allah ya A'lam. Mungu ni mjuz na ni muwez wa yote. Sema bdo una nafac kaka kasomee hata ukocha uendleze shughli za kimpira makocha vijana ndio wanatakiw
Kwa hiyo unamuuliza au unamfahamisha, ? Au unamlaumu leo itasaidia nini!? Yeye mwenyewe anajutia halafu anatokea mjinga anamlaumu wnagapi wanakosa penarty?
Pole sana Bahanuzi. Kitu kimoja kilichofanya wenzio wakuchukie ni umaskini tu. Pesa ndio ingewapa furaha. Kama ni kukosa penati wewe sio wa kwanza duniani.
Dah! Pole San kak. Jumla ya yote Allah ya A'lam. Mungu ni mjuz na ni muwez wa yote. Sema bdo una nafac kaka kasomee hata ukocha uendleze shughli za kimpira makocha vijana ndio wanatakiw
Umenikumbusha mbali sana aisee, hyu jamaa ana mdogo wake anacheza ndondo cup ni balaaa , , bonge la straka, ukoo wa akina Bahanuzi ni Wa Ball sana
Anaitwa Benjamin Bahanuzi anapatika Kijiji cha MWANDOYA MEATU SIMIYU
Mtangazaji huyu jina lake sio BANUZI ni Bahanuzi.
Wakati nipo shule kipindi iko kila game unaweka na mimi shule naweka kila mechi wakawa wananiita bahanuzi
daah! bahanuzi ulipotea ghafra sana kwenye soka
Nakukumbuka kwenye Ile penat yako uliopiga mnazi pale Cairo , ukaona uitoe yanga mashindanoni kwa mnazi uleeeh
Ww bahanuz huna jipya nenda ukalime
Bahanuzi bado una nguvu za kucheza mpira. Rudi ucheze
Kabisa😊
Ww unampango wowote ujui kupiga penant pimpi ww
Mnamuhoji mtu amevaa kofia
Wewe Bahanuzi uliikosesha Yanga penalti dhidi ya Al Ahly!
Kwa hiyo unamuuliza au unamfahamisha, ? Au unamlaumu leo itasaidia nini!? Yeye mwenyewe anajutia halafu anatokea mjinga anamlaumu wnagapi wanakosa penarty?
@@comsmkemwa2671 Umefurahi eeh kuwajibu wajinga!
Wacha ufala kwani wangapi walikosa fainali
@@hassanmwallimu5767 Ufala upi Sasa, kwani hakukosa penalti? Je, amekuweka uwe wakili wake? Punguza mihemko!
Juzi Baka kakosa penati mara mbili sauz na juzi na Azam, KI AZIZ KAKOSA
Huyo haitwi banuzi anaitwa bahanuzi ...!
Ubishoo ulikuzidi wewe