#kivumbi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2024
  • #kivumbi CHADEMA WATOA TAMKO ZITO KWA POLISI MBOWE AGEUKA MBOGO "SUGU HARI YAKE NI MBAYA SANA

Комментарии • 57

  • @husseinomary-dg1wx
    @husseinomary-dg1wx Месяц назад +5

    HAHAHA UPO SAHIHI ILA HII NCHI YAWATU SIYO YAWANANCHI 😂😂😂

  • @WilliamMandwanga
    @WilliamMandwanga Месяц назад +4

    Hawako tayali ccm kuleta tumehuru ya uchaguzi

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Месяц назад +5

    Sahihi kbs Tanzania hakuna Democrasia ya kweli uongo mtupu tu Mungu atujaalie Democrasia ya kweli ili tufanye siasa za huru na haki

  • @jonathankessy9615
    @jonathankessy9615 Месяц назад +4

    Hili sio jeshi la police la Tanzania bali ni jeshi la ccm
    Basi na kila chama kianzishe jeshi lake

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g Месяц назад +2

    Kabisa niaibu tupu mungu tubaliki sisi walalahoi

  • @JemeslaizerJemeslaizer
    @JemeslaizerJemeslaizer Месяц назад +2

    Uko sawa ndivyo walivyo... Lakini solition nini... Ni Katiba tu ndivyo tiba.... Bila Katiba mpya,, hawezi koma.. Sasa iliyo baki nini ni kuunganisha nguvu.... Mmoja na kuuikemea siasa Mbaya na kuchukua hatua dhabiti.

  • @SephaniaMsigwa
    @SephaniaMsigwa Месяц назад

    🎉🎉🎉 amina

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 Месяц назад +8

    Waziri Masauni ajiuzuru na viongozi wake wafuate waziri wao....

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Месяц назад +4

      Chadema waombwe radhi na wapewe fursa ya kufanya kongamano lao

    • @JuliusMhina
      @JuliusMhina Месяц назад

      ​@@adelinelyaruu3036Nani atagharamia

  • @eunicemacha8497
    @eunicemacha8497 Месяц назад

    Mtumishi Apo umesomeka

  • @emanuelurio-ok8yl
    @emanuelurio-ok8yl Месяц назад +1

    Tz kuna mambo ya jabu kweli kweli. Utawala wa sheria na amri ni vita viwili vinavyotumiwa na Polish kiajabuajabu

  • @briankatani6770
    @briankatani6770 Месяц назад

    Lah mchungaji !!!😮

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 Месяц назад +1

    Kabisa baba ni Kweli Kabisa,gatuna jeshi TZ Bali ni vibaka tu na vibaraka wa. ccm.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад +4

    Masauni kibaraka mkubwa unayeruhusu polisi kwenda kufanya watanganyika kama watumwa wenu. Tuliko toka na Nyerere wetu aliyepigania hii Inchi hajawahi kufanyiwa ukaburu mkubwa wa aina hii ya masalia tu ambayo hawajui hii ilanzajr. Lakini Nyerere najua huko uliko huna raha na mzanzibari huyu na vibaraka wake

  • @richardmagaka9525
    @richardmagaka9525 Месяц назад +1

    Sina hakika kama atajiudhuru mtu hapa labda kurujuani na Novena yaani maombi maalum ili waliohusika wote mioyo yao iwatume kujiudhuru bila wao kuhiari 😂😂

  • @michaelmshighati8432
    @michaelmshighati8432 Месяц назад +2

    Nikampuni ya Chama Cha Mapinduzi ya kutesa Wana Nchi

    • @HadijaJoseph-d1g
      @HadijaJoseph-d1g Месяц назад

      @@michaelmshighati8432 kabisa kaka kweli hiyo ni kampuni

  • @SwahibuAthuman-wh5wr
    @SwahibuAthuman-wh5wr Месяц назад

    Mm.mwanangu.akiwa.asikari
    Polisi na.mlaani

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6y Месяц назад

    uko sahii ukweli mtupu mtumishi

  • @leomika8473
    @leomika8473 Месяц назад +2

    Nawote mapolis walio usika siku iyo wajiuzulu

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Месяц назад

    Cheo cha masauni anastahiri mzee camilions wambura ananiambia walioharibu wajiuzuru

  • @InnocentDamian
    @InnocentDamian Месяц назад +1

    Mh!

  • @emmanuelndotela9412
    @emmanuelndotela9412 Месяц назад

    Utavunjwa miguu bure.

  • @JaphetJackson-p6b
    @JaphetJackson-p6b Месяц назад +1

    😂

  • @YesuKristu-y5w
    @YesuKristu-y5w Месяц назад

    Hakuna kitu hiyo umesema shida ni kutisha wayu wasichague mageuzi

  • @eliaschipanda2006
    @eliaschipanda2006 Месяц назад +6

    Hao hawana aibu.Ni wanyama.

  • @silstardaudi1718
    @silstardaudi1718 Месяц назад

    Sahihikabisa tunaonewe

  • @SamweliZaburi-fk3qj
    @SamweliZaburi-fk3qj Месяц назад +1

    Hawa polisi tunawaheshim tu lakini sasa naona hawastahili heshima wao ni wachache kuliko sisi

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g Месяц назад +1

    Wasije kukupa sumu unaongea ukweli

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 Месяц назад +4

    Hatuna imani na jeshi lapolisi

  • @silstardaudi1718
    @silstardaudi1718 Месяц назад

    Siojeshiraporisituu atawanajeshi nao

  • @SDM2024-z4s
    @SDM2024-z4s Месяц назад

    Mchungaji salisha kanisa mengine hayakuhusu

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Месяц назад +2

    Safi sana baba sema tupone Baba🙏

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6y Месяц назад

    Watu wote serikari ilipe na mali zote zizopotea kualibiwa na usafili waliokua wamekodi garama zote zilipwe na selikari hiyo ya ccm iliyotuma polisi kuumiza watu

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho Месяц назад

    Kweli jaman

  • @matrida-w3o
    @matrida-w3o Месяц назад

    Amina

  • @jamhurigeorge7730
    @jamhurigeorge7730 Месяц назад

    Na huo ndio ukweli wenyewe ccm wanatumia dolla kubaki madarakani

  • @evelina9621
    @evelina9621 Месяц назад +1

    Hata.viongozi.kama.raisi.upate.muda.ongea.na.wakuu.wote.waelimshe
    Watii.amria.ya.kutii.sheria.waliosomea.vijana.wa.ss.wanaadabu.kutaka.nyumbani.wanapotoka.,zamani.wanapeleleza.nyumbani
    ANAPOTOKA.

  • @user-jg6hm9cr9t
    @user-jg6hm9cr9t Месяц назад

    Watakula mpaka lini

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 Месяц назад +4

    Masauni hatoshi kwenye jeshi la polisi.

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf Месяц назад

      Hawa viongozi wanaamua kumharibia mama mama ni mtu WA maridhiano ila Hawa viongozi hahapendezwi na maridhiano ikimpendeza mama aamue kuondowa wote na ateuwe wengine wasiomiharibiya

  • @BeathaChambo
    @BeathaChambo Месяц назад +3

    Hii ni aibu kwa Taifa letu

  • @StephenMpallange
    @StephenMpallange Месяц назад

    Police Ni kikosi Cha Ulinzi na Usalama Cha CCM.

  • @mohamedzambo1511
    @mohamedzambo1511 Месяц назад

    Ni tume huru YA " UCHAFUZI" SIO "UCHAGUZI"

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter Месяц назад

    Eatu wametuya gharama zao kutoka sehemu mbalimbali

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824 Месяц назад +2

    hao polisi waliofanya hiyo mission ni wahuni tu majambazi na waliobeba roho za kuzimu mashetani

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Месяц назад +1

    Watumishi wa Mungu woooote wangekuwa kama wewe taifa lingepona ila watumiahi wengi wanapambania matumbo yao tu hata wakiona maovu yanatendeka kwenye taifa letu wapo kimyaaa

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824 Месяц назад +1

    haya mambo polisi mnayaacha kwa sababu ni chadema mtalipa gharama kubwa sana

  • @khatibumakame6014
    @khatibumakame6014 Месяц назад

    Wewee vp habari ya siro na ngunguri
    Alipoleta polisi pemba na
    Unguja watu wamekufa na wengine kuumizwa na
    Hata kubakwa mbele ya wazee wao mbona hujasema kitu na chadema hajasema kitu wala ww hukusema kitu Wale sio binadamu wacha unafiki njoo mbele ya maandamano tukuone

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Месяц назад +1

      Akili yako kiduchu imejaa unyafuzi na utapiamlo, kwa kuwa Siro alituma polisi Pemba kwa hiyo utawala wa sasa unalipiza kisasi kuwafurahisha wapemba? Kauli za kipumbavu kama hii zinadhihirisha ujuha, uhasidi na gubu iliyogubika upeo wako mdogo wa ufahamu!

  • @NancyMatuli-fb5jp
    @NancyMatuli-fb5jp Месяц назад +1

    Hakunaga jeshi la police Tanzania ila huwa kuna chama cha ccm na ikiwezekana wangeanza kuvaa sare za ccm

  • @ismailramadhani1649
    @ismailramadhani1649 Месяц назад

    Mzee nani atajiuzulu ache ulaji na kuwatumikia upande wa pili?

  • @JhonsonCharo
    @JhonsonCharo Месяц назад

    Hii kweli ni Aibu kubwa sana na wame wadhalilisha sana Wakina Mama zetu wote Watanzania, hata kwa Mama Samia ni aibu kubwa mama zetu kupekuliwa na jeshi la polisi wakiume. Hilo sio sawa kamwe na wametuletea Aibu kubwa sana nao wamejichukulia Laana