Uko sawa ndivyo walivyo... Lakini solition nini... Ni Katiba tu ndivyo tiba.... Bila Katiba mpya,, hawezi koma.. Sasa iliyo baki nini ni kuunganisha nguvu.... Mmoja na kuuikemea siasa Mbaya na kuchukua hatua dhabiti.
Masauni kibaraka mkubwa unayeruhusu polisi kwenda kufanya watanganyika kama watumwa wenu. Tuliko toka na Nyerere wetu aliyepigania hii Inchi hajawahi kufanyiwa ukaburu mkubwa wa aina hii ya masalia tu ambayo hawajui hii ilanzajr. Lakini Nyerere najua huko uliko huna raha na mzanzibari huyu na vibaraka wake
Sina hakika kama atajiudhuru mtu hapa labda kurujuani na Novena yaani maombi maalum ili waliohusika wote mioyo yao iwatume kujiudhuru bila wao kuhiari 😂😂
Watu wote serikari ilipe na mali zote zizopotea kualibiwa na usafili waliokua wamekodi garama zote zilipwe na selikari hiyo ya ccm iliyotuma polisi kuumiza watu
Hawa viongozi wanaamua kumharibia mama mama ni mtu WA maridhiano ila Hawa viongozi hahapendezwi na maridhiano ikimpendeza mama aamue kuondowa wote na ateuwe wengine wasiomiharibiya
Watumishi wa Mungu woooote wangekuwa kama wewe taifa lingepona ila watumiahi wengi wanapambania matumbo yao tu hata wakiona maovu yanatendeka kwenye taifa letu wapo kimyaaa
Wewee vp habari ya siro na ngunguri Alipoleta polisi pemba na Unguja watu wamekufa na wengine kuumizwa na Hata kubakwa mbele ya wazee wao mbona hujasema kitu na chadema hajasema kitu wala ww hukusema kitu Wale sio binadamu wacha unafiki njoo mbele ya maandamano tukuone
Akili yako kiduchu imejaa unyafuzi na utapiamlo, kwa kuwa Siro alituma polisi Pemba kwa hiyo utawala wa sasa unalipiza kisasi kuwafurahisha wapemba? Kauli za kipumbavu kama hii zinadhihirisha ujuha, uhasidi na gubu iliyogubika upeo wako mdogo wa ufahamu!
Hii kweli ni Aibu kubwa sana na wame wadhalilisha sana Wakina Mama zetu wote Watanzania, hata kwa Mama Samia ni aibu kubwa mama zetu kupekuliwa na jeshi la polisi wakiume. Hilo sio sawa kamwe na wametuletea Aibu kubwa sana nao wamejichukulia Laana
HAHAHA UPO SAHIHI ILA HII NCHI YAWATU SIYO YAWANANCHI 😂😂😂
Hawako tayali ccm kuleta tumehuru ya uchaguzi
Sahihi kbs Tanzania hakuna Democrasia ya kweli uongo mtupu tu Mungu atujaalie Democrasia ya kweli ili tufanye siasa za huru na haki
Hili sio jeshi la police la Tanzania bali ni jeshi la ccm
Basi na kila chama kianzishe jeshi lake
Kabisa niaibu tupu mungu tubaliki sisi walalahoi
Uko sawa ndivyo walivyo... Lakini solition nini... Ni Katiba tu ndivyo tiba.... Bila Katiba mpya,, hawezi koma.. Sasa iliyo baki nini ni kuunganisha nguvu.... Mmoja na kuuikemea siasa Mbaya na kuchukua hatua dhabiti.
🎉🎉🎉 amina
Waziri Masauni ajiuzuru na viongozi wake wafuate waziri wao....
Chadema waombwe radhi na wapewe fursa ya kufanya kongamano lao
@@adelinelyaruu3036Nani atagharamia
Mtumishi Apo umesomeka
Tz kuna mambo ya jabu kweli kweli. Utawala wa sheria na amri ni vita viwili vinavyotumiwa na Polish kiajabuajabu
Lah mchungaji !!!😮
Kabisa baba ni Kweli Kabisa,gatuna jeshi TZ Bali ni vibaka tu na vibaraka wa. ccm.
Masauni kibaraka mkubwa unayeruhusu polisi kwenda kufanya watanganyika kama watumwa wenu. Tuliko toka na Nyerere wetu aliyepigania hii Inchi hajawahi kufanyiwa ukaburu mkubwa wa aina hii ya masalia tu ambayo hawajui hii ilanzajr. Lakini Nyerere najua huko uliko huna raha na mzanzibari huyu na vibaraka wake
Sina hakika kama atajiudhuru mtu hapa labda kurujuani na Novena yaani maombi maalum ili waliohusika wote mioyo yao iwatume kujiudhuru bila wao kuhiari 😂😂
Nikampuni ya Chama Cha Mapinduzi ya kutesa Wana Nchi
@@michaelmshighati8432 kabisa kaka kweli hiyo ni kampuni
Mm.mwanangu.akiwa.asikari
Polisi na.mlaani
uko sahii ukweli mtupu mtumishi
Nawote mapolis walio usika siku iyo wajiuzulu
Cheo cha masauni anastahiri mzee camilions wambura ananiambia walioharibu wajiuzuru
Mh!
Utavunjwa miguu bure.
😂
Hakuna kitu hiyo umesema shida ni kutisha wayu wasichague mageuzi
Hao hawana aibu.Ni wanyama.
Sahihikabisa tunaonewe
Hawa polisi tunawaheshim tu lakini sasa naona hawastahili heshima wao ni wachache kuliko sisi
Wasije kukupa sumu unaongea ukweli
Hatuna imani na jeshi lapolisi
Siojeshiraporisituu atawanajeshi nao
Mchungaji salisha kanisa mengine hayakuhusu
Safi sana baba sema tupone Baba🙏
Watu wote serikari ilipe na mali zote zizopotea kualibiwa na usafili waliokua wamekodi garama zote zilipwe na selikari hiyo ya ccm iliyotuma polisi kuumiza watu
Kweli jaman
Amina
Na huo ndio ukweli wenyewe ccm wanatumia dolla kubaki madarakani
Hata.viongozi.kama.raisi.upate.muda.ongea.na.wakuu.wote.waelimshe
Watii.amria.ya.kutii.sheria.waliosomea.vijana.wa.ss.wanaadabu.kutaka.nyumbani.wanapotoka.,zamani.wanapeleleza.nyumbani
ANAPOTOKA.
Watakula mpaka lini
Masauni hatoshi kwenye jeshi la polisi.
Hawa viongozi wanaamua kumharibia mama mama ni mtu WA maridhiano ila Hawa viongozi hahapendezwi na maridhiano ikimpendeza mama aamue kuondowa wote na ateuwe wengine wasiomiharibiya
Hii ni aibu kwa Taifa letu
Police Ni kikosi Cha Ulinzi na Usalama Cha CCM.
Ni tume huru YA " UCHAFUZI" SIO "UCHAGUZI"
Eatu wametuya gharama zao kutoka sehemu mbalimbali
hao polisi waliofanya hiyo mission ni wahuni tu majambazi na waliobeba roho za kuzimu mashetani
Watumishi wa Mungu woooote wangekuwa kama wewe taifa lingepona ila watumiahi wengi wanapambania matumbo yao tu hata wakiona maovu yanatendeka kwenye taifa letu wapo kimyaaa
haya mambo polisi mnayaacha kwa sababu ni chadema mtalipa gharama kubwa sana
Wewee vp habari ya siro na ngunguri
Alipoleta polisi pemba na
Unguja watu wamekufa na wengine kuumizwa na
Hata kubakwa mbele ya wazee wao mbona hujasema kitu na chadema hajasema kitu wala ww hukusema kitu Wale sio binadamu wacha unafiki njoo mbele ya maandamano tukuone
Akili yako kiduchu imejaa unyafuzi na utapiamlo, kwa kuwa Siro alituma polisi Pemba kwa hiyo utawala wa sasa unalipiza kisasi kuwafurahisha wapemba? Kauli za kipumbavu kama hii zinadhihirisha ujuha, uhasidi na gubu iliyogubika upeo wako mdogo wa ufahamu!
Hakunaga jeshi la police Tanzania ila huwa kuna chama cha ccm na ikiwezekana wangeanza kuvaa sare za ccm
Mzee nani atajiuzulu ache ulaji na kuwatumikia upande wa pili?
Hii kweli ni Aibu kubwa sana na wame wadhalilisha sana Wakina Mama zetu wote Watanzania, hata kwa Mama Samia ni aibu kubwa mama zetu kupekuliwa na jeshi la polisi wakiume. Hilo sio sawa kamwe na wametuletea Aibu kubwa sana nao wamejichukulia Laana