NILIMPENDA SANA MLELA / AKIONGEA TU NALEGEA - EBITOKE
HTML-код
- Опубликовано: 15 авг 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
Lugha n moja tu kiswanglish🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mara zoteeeeeeee, mtu akitaka kujifunza lugha ataitumia kwa kuikosea, LAKINI mwisho wa siku ataiweza na kuongea kwa usahihi. Ebi hana uoga, ebi ana nia ya kujua KUONGEA hii lugha ya English. Nawaomba challenge zenu ziwe na mantiki. PENGINE wapo wengine hawezi hata tu kujaribu. Hongera sana Ebi Paul.
Leo Ebitoke amevaa kama mke wa Lukamba
🤣🤣🤣😃
Kabisa mlemle
😂😂
😂😂
Heee bikumbeee waooooh
Sema Haka kadada kanampenda sana Yusuph. 😎😃
Ndio ni Kwl kbs ana Mapenzi ya dhati kwa Mlela
Aseeee ongea kiswahili bwana me spendi kiswanglish kwanz selew
Chuku kamus
Anaeweza kuongea kiswanglish ni WEMA SEPETU TUUU,,
Hapo umesema
Pole sn Ebitoke kwa Misukosuko yote ya Mahusiano yaliyokupata...ila hakika Ww Unampenda kwl Yusuph Mlela... Ubarikiwe sn 🙏🙏🙏🙏
😘😘😘
Huyu ebitoke Mm simuelewag kabisa aendani na anachokifanya
aki INTERNET inanichosha...baada ya yote aliofanyiwa bado anamchekea uyo mlela🙌🙌🙌🙌aki
Ifike Mahali ebitoke na kingereza msuluhishe ugomvi wenu😃😃😃
Rip kingereza
Hàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Rip kiswahili pia, kiko hai nacho? Na hizo nywele mhhh !!! kuigaiga tu hata wakitisha hawajioni . Ati ndio maendeleo. 😂🙃🙄😜😭😇 Balaa tupu.
🤣🤣
Si kofia, si miwani wala nywele havijakupendeza. Ebi tafuta watu wanaojua wakushauri jinsi ya kuvaa. Mavazi yanaendana na time, location na jinsi ulivyo. Tafutacnanaojua kuvaa wakushauri. Utapendeza tu. Kupendekeza sio sura wala shape ni jinsi ya kujieleza uvae nini
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣 WaTz jamani tuacheni
Ebitoke ni nzuri sana, mnataka nikuwowe ebi
😂😂😂😂 unaniowa mbavu zangu jamani. Unataka umuwowe😳😳😳
Ivi yule dada aliemtapeli kakaako pesa yuko wapi sikuizi
Si uongeee tu kiswahili, sisi tunao kusikiliza ni watanzani.
Kapendeza ebitoke
Ebitoke dishi km limecheza hiv
Dishi limeyumba 😂😂😂
Ila mpnz nyie😂💔
Hahahahahah wewe umenikumbusha mbali mbali
Hujui kizungu chefuu
Uyu njoo lofa sana 😂😂😂 ila leo diva umetumaliza pa moja na Ebitoke
Bola uongee kiswahili tu kwann mnafosi kizungu 🤔
NAMPENDA SANA EBITOKE 🍎🍎
Umependa
Ebitoke unacheka vibayaaa
🤣🤣
Cheka vizuri na wewe tukusikie
😂😂😂huyu dada sijui kma mzim kweli..........hicho kingereza kweli ni r.i.p😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
@@faridaally6015 😄😄😄
Ndo kazi yake kuchekesha😂
Vizuli au vizuri
Kingereza jmn 🤔🤔🤗
Yani ww ebitoke unanichekesha sana uuuiii mie mbavu zangu
R.I.P Egilizi
Waarabu wetu Hao,,hahaaaaaaa,Ila tunaishi nao
Exactly my dear
Iyo sauti 😃
Hahaa ww ebithoke ww na umepotea bt una bore sometimes mbna wahanya na tu boys
Miwani ya ebi 😄😄😄
Wacha arudi akule hixo pesa zako kabisa
Sijawah kukuelewa nisamehe
Nilikua nasoma comments tu 🤣🤣🤣🤣😳🙄
Hiki Kiswanglish hiki 😁😁😁
Kapendeza
Mshamba wa mapenzi
Mlela mnyamwez hawez kutulia na demu kama ebitoke ebitoke mwenyewe kapagawa kwa mchizi m chiz kafanya yake kasepa
😂😂🤩🤩🤩
Tembea boya ww👅😂😂😂😂
Ebi WWE siulisema bkila ulimtuziaga benpo au uyo wnyuma ilikuajetena
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nakufa nikiwa hai uwiii
Mh
Ivi ukiwa Star lugha inachange 😂😂😂😂
Haha bongo bhana
Sanaaa🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂sana kawaida ya wabongo
Umekomea kweli
Toka apaaaaaaaa
Mimi mkazi wa mwananyamala namkumbuka sana mzee manjunju namkumbuka pia miaka 70 mwisho I kipindi hiko walikuwa wanapiga mwananyamala kisiwani pale shule ya msingi ilikuwa kipindi cha eid wanafunga magunia na wachezaji wanakaa ndani
Kumzalia ao unazaaa wewe mwenyewe mana mtu asiekupa chochote ukizaa inakuwa wako utalea mwenyewe
Itakua unapepo la ngono kuongea tu unalegea
English sasa Mungu wangu
Yani mi nampenda lakini hicho kingereza na sauti yenyewe ni yanpls coll me
❤
Hajui kiingereza, hajui kuvaa hajui kuongea hacop mazingira
musimulaumu Ebi sikuzote mtu akiwa na doo lazima ataongea lugha yoyote maana anajiona ako juu hataki kujua itakua vp hebu eleweni
Mmmh
Alijui kujieleza cjui anaongea lafudhi gani uyu
😂
😂😂
😂😂😂😂😂 huyu ebi nisaaa mbovu mishale inaenda na kurudi
Umeona 😂😂😂
Nimecheka kwanguvu daaaah dunia tamu
@@edithalagwen8465 😂😂😂😂😂😂dishi lina yumba channel no serves
@@edithakomba6921 😂😂😂😂😂
Kiswaglish
Nauliza hivi kwani ukiongea kiswahili utaonekana mshamba
Jamaniii n kwn lazima mtu kingereza????🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌
Nawewe dada umezidi ubayaa ndoo maana murera kakuachaa kuongea hujuwii
TAZAMA JAZA AKISHOBOKEWA UTACHEKA, 😂😂🤣👇👇
ruclips.net/video/BAhO1BiasgE/видео.html
Aibu,aibu
R I P english
Daaa et RIP
Mmmmmmmm hahaha 🤣😅😂😀 TZ ppl well kell me condolences to English
Mala nyingi. Ni MARA nyingi. Alafu uwache tuu kujichoresha na hicho kingereza😏. Huki wezi lol...! Wahaya wengine bwana. 🙊
Ebitoke na english
Ebi bondia🤣🤣🤣weeee unafanya comedy kwenye interview
Mishi shogayangu kila mahalo hupo tumekutana Tena huku hahaaaaa
Nyie nnaokiona kingereza ni dili Sana ebu badilikeni yani akichanganya wema sawa ila akichanganya ebitoke anakosea uwo ni upumbavu kingereza ni lugha tu wajinga nyie