BANDARI YA MTWARA YENYE GATI YA UKUBWA MITA 300, MELI KUBWA ZATIA NANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024

Комментарии • 14

  • @gesambamaisori8781
    @gesambamaisori8781 Год назад +7

    Wapiga dili walitaka wajenge bandari bagamoyo, na hizi bandari zungine wasiziebdeleze zife, sasa tunasubiri reli toka mtwara hadi mbambabay,na kuboresha bandari ya mbamba Bay ili ihudumie nhi jirani kikamilifu. Daima tutakukumbuka shujaa wetu, JPM...rip.

  • @michaeleustach3989
    @michaeleustach3989 Год назад +6

    R.i.p jembe magu

  • @sallababawill404
    @sallababawill404 Год назад +6

    R. I. P jpm kwa maono ya inchi yako

  • @selemani.matendo4091
    @selemani.matendo4091 Год назад

    Hayo. Yote. WA. KupongezwA. Ni. Jpm. Wala. Sio.. Mtu. Mwingine.. Muache. Unafiki

  • @salumbujjo2320
    @salumbujjo2320 Год назад

    Nashangaa walikuwa wanataka kuanzisha mpya ilitakiwa kubolesha mtwara na bandari ya tanga kwa viwango vya kimataifa ila bado unaona uboleshwaji ni wa ujanja ujanja tuu .ni sawa mtu kujiibia mwenyewe wangeboresha hivi bandari zote kwa kiwango kibubwa wangepata manufaa makubwa sana na kuacha kufikilia kukopa

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 Год назад

    Ki ki zitaanza kuja ili kuwazima wana halakati kupinga Bandari zetu kuuzwa??

  • @sabbob574
    @sabbob574 Год назад +6

    Hivi hawa viongozi wametishwa kumtaja JPM. Wananchi hawajamsahu na bado ni kipenzi. Mambo aliyofanya hakuna yeyeto aliyethubutu kufanya kwa miaka mingi. RIP JPM

    • @raffeiystar2870
      @raffeiystar2870 Год назад +3

      Sasa mtu ameshakufa, unataka atajwe na kusifiwa wakat sasa hv tuna uongozi mwengine?? Mbona hufikiriii?? Ina maana marekan Biden aanze kumsifia Trump kwa aliyofanya muda wote?? Muda wote Trump, Trump 🤣🤣🤣 nyie vip

    • @jofreymsigwa85
      @jofreymsigwa85 Год назад +1

      Magu babalao baba la baba mungu amrehem😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 Год назад

    Bandari kuu Mna binafshisha Mnatanua za mikoani nnn?? Utumwa Una ludi tena tz

  • @hatibuyusufu4668
    @hatibuyusufu4668 Год назад +1

    Ishu apo ni kujiuliza sisi lini tutatumia makaa ya mawe

  • @jeffkonki8279
    @jeffkonki8279 Год назад

    JPM ulikuwa genius umekufa ila mawazo yako yanaishia na yanafanya kazi