Asante MUNGU kwa kunifungua nakuniponya kupitia madhabahu hii nimepona kuanzia sasa ndoa yangu imerudi kuanzia sasa nimepata kazi nzuri kuanzia xaxa ukoo wangu ukanjitenge na madhabahu ya kichawi na nimeachiliwa na nimeondoka kwenye madhabahu ya kichawi kuanzia sasa nimefunguliwa kizazi changu nimeponywa UTI na Fangas nimetolewa kwenye ndoa za majini mahaba wasinitese tena kwa jina la YESU KRISTO AMINA
Asante Mungu nimepona umeniponya kwa sekunde mateso yote yamagonjwa ya meno na ndoto mbaya zimeisha nimepokea uponyaji asante Yesu kristo kwakupitia mtumishi wako nimepona
Mungu baba wa mbinguni akulinde, akutunze, akuhifadhi, akuongoze na kukupa maisha marefu said ya miaka 100, uendelee kutukomboa. By the name of jesus AMEN.
Mungu baba wa mbinguni tenda miujizajuu ya maisha yangu yote na familia yangu yote na mchumba wangu abdala tufungue kiuchumi tunge ndoa kilahis tuzae watoto na mali ziongezeke kilahis tuinuke na kuangaza kila sehemu ya maisha yetu yote nataka mapacha wa kike na wakiume tuzae kilahis katika jina la yesu kristo ameeeeeeeeeeeen
Ewe duara sikia sauti hii ya mtume wa wa Mungu Buldozer Mwamposa, andika leo mafanikio yangu, ewe ardhi ,ewe mwamba uliyeko hapa duarani futa umaskini wangu kwa jina la Yesu Kristo. Naomba dhahabu hapa duarani kwa jina la Yesu Amen.
asante mungu kupitia madhabau hii kwakuniponya nakunijalia kupata kaz naboc kuniamin kwenye kaz zake Mimi ndomeneja asante yesu naomba baraka zko ktk family yngu nakaz zangu amina
Asante mungu wa mbinguni kwa madhabahu hii ya inuka na uangaze na Mimi napokea kufunguliwa kwangu kiafya na kichumi na kaz naenda kupat kirahisi ameeen
Mungu naomba uniunganishe na mchumba angu deo uweze kuniunganisha nae baba fungua maisha yangu nimechoka na haya maisha nilio nayo baba naomba mkono wako kwangu mungu
Mungu kwaimani naomba niponye na kunipigania nakataa mikosi ninayo tupiwa kwenye Manisha yangu mungu naomba niponye na familia yangu, mungu mguse nitride arudi nyumbani kama kuna Pepo kwenye mwili wake ritoke Kwa Nina la yesu, mungu mfungue Emanueli mnyogele nguvu za Giza zilizo mshikilia zitoke Kwa Nina la yesu, mungu kwaimani namiini jina laki linaponya mungu alie nitamkia kifo kwaimani kifo kimrudie yeye mwenyewe ameni
Mungu naomba uzao wote María Kiara kukombolewa na vifungo vyote vya magonjwa kutoka, yesu kristo , vifungo vyote vya matumbo, mungu naomba kufungua zao wa familia ya Fredy Kisto kuishi maisha marefu nazao wa mapacha wakiume mfulilizo mara nne, familia ya Atanasia na zao wake wote Mungu naomba upatie watoto mapacha wakiume mfulilizo mara tatu,
Napokea uponyaji kwa jina la Yesu kila uVimbe navifungo vya uzao wangu leo vinaniacha kwa jina la Yesu naenda kupokea mimba kwajina la Yesu mtoto wangu awe na. Akili shuleni na kila mbaya asifanikiwe kwajinala Yesu amen
Xtou apdir minha doença sair no meu corpo sida H.l V. Quero ficar muito bem corpo . gorda quero ter emprego , casa , so tenho um filho quero outro filho cm Celso santo Unduku! Quero ele deixar brincadeira com mulher de spostar do estado da mulher, quero sim ele voltar pra sempre cmigo
Quero qui ele pensar em todo dia cnhecer Minha mae com meu pai , eu tambm cnher familhar, eu nao quero namora cm outa pessoA . eu quero qui ele mim responder tudo dia mesmo ele sentir mas eu nao mim porta eu xtou com deus mim salvar nossa vida 🙌😭🙅xtou asegir senhor jesu amem ele vai voltar comigo?
Bwana yesu asifiwe mtumie naomba uniombee nashamnbuliwa Sana na Jini mahaba, ndoa yangu haina Raha wala Aman, uchumi ni mbaya naamin ukitamka memo lazima nipone baba
Napokea maombi haya naomba mume wangu afunguliwe kifungo alichofungwa ili tucfunge ndoa mwaka huu uciishe naomba mungu nifanyie miujiza ili tufungee ndoa amina
unauhakika unachokisema mungu akusaidie ndugu usiweunapenda kusema watumishi wa mungu vibaya yesu nimeenda miujiza frimason ni mazingaombwe mungu akusaidie sana ingekuwa huyu mtumishi ni frimason wagonjwa wasingepona mapepo wanatoka kea kulitaja jina LA yesu ingekuwa ni frimason mapepo yangemuumbua
Nawapa pole wote wasio amini mtume huyu mnabaki na shida zenu alafu unakaata neno la mungu chunguza tu neno lake utajua kua katumwa na mungu kama mmezoea waganga endeleeni naooo msipotoshe watuu
Asante MUNGU kwa kunifungua nakuniponya kupitia madhabahu hii nimepona kuanzia sasa ndoa yangu imerudi kuanzia sasa nimepata kazi nzuri kuanzia xaxa ukoo wangu ukanjitenge na madhabahu ya kichawi na nimeachiliwa na nimeondoka kwenye madhabahu ya kichawi kuanzia sasa nimefunguliwa kizazi changu nimeponywa UTI na Fangas nimetolewa kwenye ndoa za majini mahaba wasinitese tena kwa jina la YESU KRISTO AMINA
Amen amen 🙏🙏 napokea uponyaji ki uchumi na kiafia kwa jina la yesu kupitia madhabahu ya inuka uangaze 🙏
Asante sana mungu wa madhahabu hii naomba unifungue
Namshukuru Mungu kwakumtuma mch Mwamposya anafanyika baraka,Amina
Mungu nijalie niweze kupokea muujiza wa kumpata mme wa maisha yang naamini amina
Amina mtumishi wa mungu napokea uponyeji na familia yangu nakataha roho ya magonjwa napokea kufunguliwa uchumi wangu 🙏🙏
AMEN napokea uponyaji na anafunguliwa maisha yangu na família yangu kwa jina la yesu alie hai napokea watoto watatu mapacha wakiume 2 n wakike 1
Eeee mungu mlinde mtoto wangu ,naomba ufungue mlango wa kazi mpya juu yangu
Asante Mungu nimepona umeniponya kwa sekunde mateso yote yamagonjwa ya meno na ndoto mbaya zimeisha nimepokea uponyaji asante Yesu kristo kwakupitia mtumishi wako nimepona
Mungu kupitia madhabah ya arise and shine walionitapeli kupitia njia ya mtandaoni mungu nataka kurudishiwa hela zangu kwa damu ya yesu kristo
Mungu baba wa mbinguni akulinde, akutunze, akuhifadhi, akuongoze na kukupa maisha marefu said ya miaka 100, uendelee kutukomboa. By the name of jesus AMEN.
Naamini mwanangu Hellen ajira mpya anapata kwa jina la Yesu kupitia madhabahu ya Arise and Shine Amennnn
Mungu baba wa mbinguni tenda miujizajuu ya maisha yangu yote na familia yangu yote na mchumba wangu abdala tufungue kiuchumi tunge ndoa kilahis tuzae watoto na mali ziongezeke kilahis tuinuke na kuangaza kila sehemu ya maisha yetu yote nataka mapacha wa kike na wakiume tuzae kilahis katika jina la yesu kristo ameeeeeeeeeeeen
Ewe duara sikia sauti hii ya mtume wa wa Mungu Buldozer Mwamposa, andika leo mafanikio yangu, ewe ardhi ,ewe mwamba uliyeko hapa duarani futa umaskini wangu kwa jina la Yesu Kristo. Naomba dhahabu hapa duarani kwa jina la Yesu Amen.
Nashukuru mungu kwa upako huu nimefungua biashara yangu ya mama ntilie naomba mungu nisaidie
Amina namimi naamini kuanzia leo mungu wa isaka mungu wa elia ameniponya kwenye masomo yangu
ppppppp
Amina mtume kupitia madhabah naomba uniombee rafik yangu wa karibu amekuwa adui yangu
Asante yesu kwa kupitia madhabau hii nitapona na nitapata Kaz na isiwe na vikwazo yeyote Ile nahamini nimekombolewa
amen napokea mtoto wakiume kwa jina la yesu na mwanangu Dominic atakuwa kichwa na simkia shulen kwa jina la yesu
Napokea kwajina la yeah kristo
Napokea uponyaji kwa jina la yesu
Mtumishi WA mungu ...mungu aziki kukupa uzima nanguzu zaidi
asante mungu kupitia madhabau hii kwakuniponya nakunijalia kupata kaz naboc kuniamin kwenye kaz zake Mimi ndomeneja asante yesu naomba baraka zko ktk family yngu nakaz zangu amina
Asante mungu wa mbinguni kwa madhabahu hii ya inuka na uangaze na Mimi napokea kufunguliwa kwangu kiafya na kichumi na kaz naenda kupat kirahisi ameeen
Mungu naomba uniunganishe na mchumba angu deo uweze kuniunganisha nae baba fungua maisha yangu nimechoka na haya maisha nilio nayo baba naomba mkono wako kwangu mungu
Amina napokea kwa jina la yesu mungu ukaniponye tumbo langu kwa jina la yesu namwanangu nancy akawe kichwa shuleni kwa jina la yesu napokea
Kwa Imani tutapona magonjwa kwa jina la yesu kirsto maana kwake Hakuna Gumu linaloshindikana IMANI JUU YA IMANI🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu nijalie neema niweze kupokea kupokea upako hata kama nipo mbali naamini kupokea
Mungu nigunguo vifungo vyote nifungue mm na familia yangu na bibi yangu apone kabisa mungu nisaidie
Naomba pesa zote alizo honga mume wangu wote alio wapa wanirudishie mara moja naomba unitendee miunjiza amina
Naamini Mungu hata kama niko mbali niponye ugonjwa huu kupitia madhabahu hii amina
Mungu akubarki kwa maana Mungu amekiagiza uje iwaokoe wana wake amina
Ameen 👏. Nahisi kupona mguu wangu ambao umenisumbua mwaka mzima na miezi miwili sasa.
Mungu niponye na maradhi yanayonisumbua niponye na bariki kazi ya mikono yangu
amiina napokea
nguvu za mungu zimeniachia asante yesy kwakunibariki mimi na watoto wajukuu na waumè zao
Kwa Iman tapona magonjwa yanayonisumbua kwa jina la yesu kristo Amen 🙏🙏🙏
Kwa iman tapona magonjwa na nizaie watoto mapacha wakike
Mungu kwaimani naomba niponye na kunipigania nakataa mikosi ninayo tupiwa kwenye Manisha yangu mungu naomba niponye na familia yangu, mungu mguse nitride arudi nyumbani kama kuna Pepo kwenye mwili wake ritoke Kwa Nina la yesu, mungu mfungue Emanueli mnyogele nguvu za Giza zilizo mshikilia zitoke Kwa Nina la yesu, mungu kwaimani namiini jina laki linaponya mungu alie nitamkia kifo kwaimani kifo kimrudie yeye mwenyewe ameni
Amen
Madhabahu ya kichawi yaniachilie Afya yang yaniachilie ndoa yang yaniachilie kaz yang yaniachilie kizaz chang Ameen
Naamin kwa jina la yesu kristo kwa nguv ya uponyaj na pona magonjwa yote yanisumbuayoo aminaa
Naomba nipone Figo na kama kuna mawe kwenye mirija yatoke pia naomba nipate Pesa ya kulipa Ada na familia yangu Mungu aiongoze Kwa jina la Yesu amen.
Asante mungu kwa uponyaji wa mwili angu
Naomba mume wangu aachze tamaa za wanawake wa nje napokea amina
Amen nimepata Kazi kupitia maombi Ya MTUME MWAMPOSA
Mtumishi wa Mungu naomba huduma yangu isonge mbele kama wwe
Napokea kwa jina la yesu nipate kazi nisaidie wazazi wangu na ndugu zangu
Nilikuwa nasikia kichua napata uponyaji Amen papa mungu Akum bariki saaaaaaaaaaaaaaaaana
Mm naomba mungu anipe ufahamu wa kujuwa Siri za hawa watu,na mungu hawasame wote wanapotosha watu kwa kusema miujiza
Siri Ni kujitoa 100% kwa MUNGU .
Maana umbali si tatizo naamin leo nakuombolewa ni katika jina la yesu kristo amen
Naomba mungu nipate aman kwenye maisha yangu
na mm naomba mungu anifungulie mambo yangu leo yote kwa jina la yesu
Mimi Nampa nalia kwauchungu baba yangu mzizi Kama mwaka sasa yupo tu kitandani alimbaya na awezi tembea msaidie baba yangu ewe mungu wangu
Amina kubwaaaaa nabarikiwa mtume
Mungu naomba uzao wote María Kiara kukombolewa na vifungo vyote vya magonjwa kutoka, yesu kristo , vifungo vyote vya matumbo, mungu naomba kufungua zao wa familia ya Fredy Kisto kuishi maisha marefu nazao wa mapacha wakiume mfulilizo mara nne, familia ya Atanasia na zao wake wote Mungu naomba upatie watoto mapacha wakiume mfulilizo mara tatu,
Napokea uponyaji kwa jina la yesu ninawashwa na nipate mimba na biashara yangu niuzie sana mwanangu pia awe na matokeo mzuri ameni
Mwenyezi mungu nifungulie kwa kuniunganisha na madhahabu ya nabii Boniface toa vifungo na mikosi na chuki toka kwa watu ndugu na watoto
Napokea uponyaji kwa jina la Yesu kila uVimbe navifungo vya uzao wangu leo vinaniacha kwa jina la Yesu naenda kupokea mimba kwajina la Yesu mtoto wangu awe na. Akili shuleni na kila mbaya asifanikiwe kwajinala Yesu amen
Mundo said sana amen
Xtou apdir minha doença sair no meu corpo sida H.l V. Quero ficar muito bem corpo . gorda quero ter emprego , casa , so tenho um filho quero outro filho cm Celso santo Unduku! Quero ele deixar brincadeira com mulher de spostar do estado da mulher, quero sim ele voltar pra sempre cmigo
Quero qui ele pensar em todo dia cnhecer Minha mae com meu pai , eu tambm cnher familhar, eu nao quero namora cm outa pessoA . eu quero qui ele mim responder tudo dia mesmo ele sentir mas eu nao mim porta eu xtou com deus mim salvar nossa vida
🙌😭🙅xtou asegir senhor jesu amem ele vai voltar comigo?
Amen
Amina nimepokea uponyaj wako namuomba mungu mama yang aweze kupona
Ifanyike baraka kwa wote Na Mimi Na uzao wangu kiuchumi Roho ya madeni Na Yule mtenda miujiza Awe kwangu daima nizidiwe Na mafanikio Amen
Mungu baba naomba nizidiwe na mafanikio kirahisi ameen
kwa jina la yesu naomba familia yangu ifunguliwe katika vifungo vya mashetani na wachawi
🤣🤣🤣 mungu wa mwamposa tena
Napokeya uponyaji ya Bright kwa jina la yesu Amen
Napokea upako huu kwa jina la yesu kiristo na amin mungu ametenda amina
Naomba mungu anicmamie katka ofisi yangu
Napokea uponyaji nakufunguliwa napokea mafao yangu ndani ya mwezi huu wa nne Amen
Naamin nmepokea uponyaji na baraka katika Jina la Yesu
Ameen🙏🙏
Mtume mungu akuzidishie miaka in the name of jesus
Naomba unifungue mm na familia yangu baba mwanangu darasa awe kichwa na wala co mkia amen
Naamini kwa jina la yesu nimekombolewa kwenye biashala yangu nitajidiwa nawateja Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Napokea uponyaji was afya na uchumi na wa elimu Mimi na familia yangu kwa jina LA yesu namuua alie iba nyota yangu
Mung naomba mpenz nilionayo awe mme wangu maisha yang sio mpenz tena mwakan akatoe mahali
MUNGU mukuu mwenye nguvu mutenda miyujiza pewa sifa kwa matendo makuu juuu ya family hizi utukufu na heshima birudi kwa KRISTO YESU MUNGU mukuu shalom
Naamini leo ninaponywa naamini leo nikambolewa kwa jina la yesu naomba naza anipende udat animis kupitia madhabau ya mwamposa amen
Mwaposa
Napokea uponyaji ktk jina la yesu naomba alex anipende na anioe ilo pepo la kishetan lililomtawala liondoke la kuto kuoa kwa uwezo wa MUNGU Amen, 🙏 🙏🙏
Yesu liponye kanisa lako na kuliokoa na nguvu ya upotevu
Jiungnisha na madhabahu hii mungu naomba unitendee katika Jina la Yesu
Ninaimani kupitia maombi ya mtumishi naamini ntapata kazi nzuli galinzuli kampuni nzuli
Mamuomba mungu anipe amani ktk familia yng
🤲
🙏
Amen nmebarikiwa mung azidikukupa hudumaa
napokea muujiza wangu kwa kujiungamisha na ibada ii kila kitu kinaenda kufunguliwa kwa jina la yesu
Ubaryikiwe sanaaa mchungaj
Amen ninaima kupitia maombi haya uvimbe umeisha 🙏
Napokea uponyaji wa kiuchumi kwa JINA LA YESU AMEN
Mungu wa mwamposa mpatie kazi mume wangu apate pesa kwa njia rahisi
Mungu wamposa napona kupitia kwa Nabii
Na iman napokea pamoja na familia yang amina
Mungu naomba nifungue nipone maradhi yote yanayo tesa maisha yangu
Bwana yesu asifiwe mtumie naomba uniombee nashamnbuliwa Sana na Jini mahaba, ndoa yangu haina Raha wala Aman, uchumi ni mbaya naamin ukitamka memo lazima nipone baba
Napokea kwa jina la yesu ...vifungo nilivyofungwa nafunguliwa kwa jina la Yesu...
Mungu naomba umponye mama yangu ugonjwa wa moyo ameen
Napokea muujiza wangu in Jesus name
Namuobamu mungu anime iman
Napokea uponyaji katika jina la yesu🙏🙏🙏
Leo nataka nijue kingereza mtumishi wa Mungu amina
Kupitia arrise and shine naomba roho ya ukomboz katika ndoa yangu
Mungu wa mwamposa utukomboe Mimi familia yangu yote Amina
wanangu watatu amina kudra na yusuph waongoze shulen
Naahkulu mungu nimepona miguu ilikua inanisumbua nomepona 2:25
Napokea uponyaji mimi na mama angu kwa Jina la yesu amin
Kupitia mazabau hiii naamini nitajifungua salama mtoto wa kiume mungu nisaidie
naomba uwafanyie wanangu shulen wawe wanashika namba moja naamin mkombi yako
Napokea maombi haya naomba mume wangu afunguliwe kifungo alichofungwa ili tucfunge ndoa mwaka huu uciishe naomba mungu nifanyie miujiza ili tufungee ndoa amina
Victoria Anthony! Mungu akutendee kama aliivyotenda kwangu,Alitenda kweli2 mpaka ikapitiliza.Amini itakuwa.
Amen sans namuomba mungu hailinde familia yangu
Na imani napokea kwa yale maombi niliyo andika maombi 12 unapokea miujiza yako amina
Ameeeeen napokea kufunguliwa
naamini watoto wangu watapona mbele ya madhabau yko,,pia ntarejeshewa like kilichopotea,,na ntadumu kwenye ndoa yng
Nibariki mimi na family yango pamoja na mke wangu
unauhakika unachokisema mungu akusaidie ndugu usiweunapenda kusema watumishi wa mungu vibaya yesu nimeenda miujiza frimason ni mazingaombwe mungu akusaidie sana ingekuwa huyu mtumishi ni frimason wagonjwa wasingepona mapepo wanatoka kea kulitaja jina LA yesu ingekuwa ni frimason mapepo yangemuumbua
Nawapa pole wote wasio amini mtume huyu mnabaki na shida zenu alafu unakaata neno la mungu chunguza tu neno lake utajua kua katumwa na mungu kama mmezoea waganga endeleeni naooo msipotoshe watuu
Naoba maombi nasumbuliwa sana mapreshar naugovi
Mungu naomba uniponye nisiwe naingiliwa kimapenzi na kitu nisiyoyajua
Pole sana!! Amin utakombolewa ktk bwana!!
Nina Imani mume wangu atarudi na tutaishi vizuri kama zamani,Mungu anisaidie