UNAPO KANYAGA MAFUTA YA UPAKO HAYA HUTOKEA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 465

  • @reyjohnson624
    @reyjohnson624 2 года назад

    Asante MUNGU kwa kunifungua nakuniponya kupitia madhabahu hii nimepona kuanzia sasa ndoa yangu imerudi kuanzia sasa nimepata kazi nzuri kuanzia xaxa ukoo wangu ukanjitenge na madhabahu ya kichawi na nimeachiliwa na nimeondoka kwenye madhabahu ya kichawi kuanzia sasa nimefunguliwa kizazi changu nimeponywa UTI na Fangas nimetolewa kwenye ndoa za majini mahaba wasinitese tena kwa jina la YESU KRISTO AMINA

  • @purityneema218
    @purityneema218 2 года назад +2

    Amen amen 🙏🙏 napokea uponyaji ki uchumi na kiafia kwa jina la yesu kupitia madhabahu ya inuka uangaze 🙏

  • @priscachaula4429
    @priscachaula4429 2 года назад +1

    Asante sana mungu wa madhahabu hii naomba unifungue

  • @sponsamapunda2130
    @sponsamapunda2130 3 года назад +6

    Namshukuru Mungu kwakumtuma mch Mwamposya anafanyika baraka,Amina

  • @juliethngelangwa2280
    @juliethngelangwa2280 3 года назад +1

    Mungu nijalie niweze kupokea muujiza wa kumpata mme wa maisha yang naamini amina

  • @EsterSelemani
    @EsterSelemani 11 месяцев назад

    Amina mtumishi wa mungu napokea uponyeji na familia yangu nakataha roho ya magonjwa napokea kufunguliwa uchumi wangu 🙏🙏

  • @rehemarachide4085
    @rehemarachide4085 2 года назад +3

    AMEN napokea uponyaji na anafunguliwa maisha yangu na família yangu kwa jina la yesu alie hai napokea watoto watatu mapacha wakiume 2 n wakike 1

  • @jaclinedaniely2563
    @jaclinedaniely2563 3 года назад +6

    Eeee mungu mlinde mtoto wangu ,naomba ufungue mlango wa kazi mpya juu yangu

  • @GiftErasmus-pd7zz
    @GiftErasmus-pd7zz 2 месяца назад

    Asante Mungu nimepona umeniponya kwa sekunde mateso yote yamagonjwa ya meno na ndoto mbaya zimeisha nimepokea uponyaji asante Yesu kristo kwakupitia mtumishi wako nimepona

  • @kamakiamollel1728
    @kamakiamollel1728 Год назад

    Mungu kupitia madhabah ya arise and shine walionitapeli kupitia njia ya mtandaoni mungu nataka kurudishiwa hela zangu kwa damu ya yesu kristo

  • @sagudamaduhu-yf9se
    @sagudamaduhu-yf9se 9 месяцев назад

    Mungu baba wa mbinguni akulinde, akutunze, akuhifadhi, akuongoze na kukupa maisha marefu said ya miaka 100, uendelee kutukomboa. By the name of jesus AMEN.

  • @mamamikuwa4991
    @mamamikuwa4991 3 года назад +2

    Naamini mwanangu Hellen ajira mpya anapata kwa jina la Yesu kupitia madhabahu ya Arise and Shine Amennnn

  • @Latifa-ck9hi
    @Latifa-ck9hi 6 месяцев назад

    Mungu baba wa mbinguni tenda miujizajuu ya maisha yangu yote na familia yangu yote na mchumba wangu abdala tufungue kiuchumi tunge ndoa kilahis tuzae watoto na mali ziongezeke kilahis tuinuke na kuangaza kila sehemu ya maisha yetu yote nataka mapacha wa kike na wakiume tuzae kilahis katika jina la yesu kristo ameeeeeeeeeeeen

  • @LAMBOMICHAEL-fq1bh
    @LAMBOMICHAEL-fq1bh Год назад +1

    Ewe duara sikia sauti hii ya mtume wa wa Mungu Buldozer Mwamposa, andika leo mafanikio yangu, ewe ardhi ,ewe mwamba uliyeko hapa duarani futa umaskini wangu kwa jina la Yesu Kristo. Naomba dhahabu hapa duarani kwa jina la Yesu Amen.

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 5 месяцев назад

    Nashukuru mungu kwa upako huu nimefungua biashara yangu ya mama ntilie naomba mungu nisaidie

  • @annaanyigulile2479
    @annaanyigulile2479 3 года назад +3

    Amina namimi naamini kuanzia leo mungu wa isaka mungu wa elia ameniponya kwenye masomo yangu

  • @elsonjonh3075
    @elsonjonh3075 2 года назад

    Amina mtume kupitia madhabah naomba uniombee rafik yangu wa karibu amekuwa adui yangu

  • @katushabedotto2883
    @katushabedotto2883 2 года назад

    Asante yesu kwa kupitia madhabau hii nitapona na nitapata Kaz na isiwe na vikwazo yeyote Ile nahamini nimekombolewa

  • @janejohn4257
    @janejohn4257 3 года назад +10

    amen napokea mtoto wakiume kwa jina la yesu na mwanangu Dominic atakuwa kichwa na simkia shulen kwa jina la yesu

  • @valencematutuli9269
    @valencematutuli9269 2 года назад +1

    Mtumishi WA mungu ...mungu aziki kukupa uzima nanguzu zaidi

  • @emmanuelcheyo4911
    @emmanuelcheyo4911 3 года назад +3

    asante mungu kupitia madhabau hii kwakuniponya nakunijalia kupata kaz naboc kuniamin kwenye kaz zake Mimi ndomeneja asante yesu naomba baraka zko ktk family yngu nakaz zangu amina

    • @januaryboay4827
      @januaryboay4827 2 года назад +1

      Asante mungu wa mbinguni kwa madhabahu hii ya inuka na uangaze na Mimi napokea kufunguliwa kwangu kiafya na kichumi na kaz naenda kupat kirahisi ameeen

  • @vedianamgube911
    @vedianamgube911 2 года назад

    Mungu naomba uniunganishe na mchumba angu deo uweze kuniunganisha nae baba fungua maisha yangu nimechoka na haya maisha nilio nayo baba naomba mkono wako kwangu mungu

  • @jaclintarimo774
    @jaclintarimo774 2 года назад

    Amina napokea kwa jina la yesu mungu ukaniponye tumbo langu kwa jina la yesu namwanangu nancy akawe kichwa shuleni kwa jina la yesu napokea

  • @marrymkwama897
    @marrymkwama897 2 года назад

    Kwa Imani tutapona magonjwa kwa jina la yesu kirsto maana kwake Hakuna Gumu linaloshindikana IMANI JUU YA IMANI🙏🙏🙏🙏🙏

  • @juliethngelangwa2280
    @juliethngelangwa2280 3 года назад

    Mungu nijalie neema niweze kupokea kupokea upako hata kama nipo mbali naamini kupokea

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 5 месяцев назад

    Mungu nigunguo vifungo vyote nifungue mm na familia yangu na bibi yangu apone kabisa mungu nisaidie

  • @AnnastaziaMichael-l3e
    @AnnastaziaMichael-l3e Год назад

    Naomba pesa zote alizo honga mume wangu wote alio wapa wanirudishie mara moja naomba unitendee miunjiza amina

  • @KulwaMsafiri-v5u
    @KulwaMsafiri-v5u Месяц назад

    Naamini Mungu hata kama niko mbali niponye ugonjwa huu kupitia madhabahu hii amina

  • @magdalenaluhanga9853
    @magdalenaluhanga9853 2 года назад

    Mungu akubarki kwa maana Mungu amekiagiza uje iwaokoe wana wake amina

  • @muttaadrian5650
    @muttaadrian5650 3 года назад +2

    Ameen 👏. Nahisi kupona mguu wangu ambao umenisumbua mwaka mzima na miezi miwili sasa.

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 3 года назад

      Mungu niponye na maradhi yanayonisumbua niponye na bariki kazi ya mikono yangu

    • @aminasaidi2486
      @aminasaidi2486 3 года назад +1

      amiina napokea

  • @agnesmangamawalla4371
    @agnesmangamawalla4371 2 года назад

    nguvu za mungu zimeniachia asante yesy kwakunibariki mimi na watoto wajukuu na waumè zao

  • @rosegukula4445
    @rosegukula4445 3 года назад +4

    Kwa Iman tapona magonjwa yanayonisumbua kwa jina la yesu kristo Amen 🙏🙏🙏

    • @teresapaulo7680
      @teresapaulo7680 2 года назад

      Kwa iman tapona magonjwa na nizaie watoto mapacha wakike

  • @magrethmvwango2682
    @magrethmvwango2682 Год назад

    Mungu kwaimani naomba niponye na kunipigania nakataa mikosi ninayo tupiwa kwenye Manisha yangu mungu naomba niponye na familia yangu, mungu mguse nitride arudi nyumbani kama kuna Pepo kwenye mwili wake ritoke Kwa Nina la yesu, mungu mfungue Emanueli mnyogele nguvu za Giza zilizo mshikilia zitoke Kwa Nina la yesu, mungu kwaimani namiini jina laki linaponya mungu alie nitamkia kifo kwaimani kifo kimrudie yeye mwenyewe ameni

  • @ReyJohnson-gr3fw
    @ReyJohnson-gr3fw 2 месяца назад

    Madhabahu ya kichawi yaniachilie Afya yang yaniachilie ndoa yang yaniachilie kaz yang yaniachilie kizaz chang Ameen

  • @Ernest-ry9ty
    @Ernest-ry9ty Год назад

    Naamin kwa jina la yesu kristo kwa nguv ya uponyaj na pona magonjwa yote yanisumbuayoo aminaa

  • @KishaMulokozi-en7cc
    @KishaMulokozi-en7cc Год назад

    Naomba nipone Figo na kama kuna mawe kwenye mirija yatoke pia naomba nipate Pesa ya kulipa Ada na familia yangu Mungu aiongoze Kwa jina la Yesu amen.

  • @fatumanachilapa8412
    @fatumanachilapa8412 3 года назад +2

    Asante mungu kwa uponyaji wa mwili angu

  • @AnnastaziaMichael-l3e
    @AnnastaziaMichael-l3e Год назад

    Naomba mume wangu aachze tamaa za wanawake wa nje napokea amina

  • @kalaluwakisaka3211
    @kalaluwakisaka3211 3 года назад +1

    Amen nimepata Kazi kupitia maombi Ya MTUME MWAMPOSA

    • @jacobmwiru3877
      @jacobmwiru3877 3 года назад

      Mtumishi wa Mungu naomba huduma yangu isonge mbele kama wwe

  • @petroevery3974
    @petroevery3974 Год назад +1

    Napokea kwa jina la yesu nipate kazi nisaidie wazazi wangu na ndugu zangu

  • @kalumbamwato7284
    @kalumbamwato7284 3 года назад +1

    Nilikuwa nasikia kichua napata uponyaji Amen papa mungu Akum bariki saaaaaaaaaaaaaaaaana

  • @sarapaulo4718
    @sarapaulo4718 3 года назад +4

    Mm naomba mungu anipe ufahamu wa kujuwa Siri za hawa watu,na mungu hawasame wote wanapotosha watu kwa kusema miujiza

  • @meshackrocky3796
    @meshackrocky3796 2 года назад

    Maana umbali si tatizo naamin leo nakuombolewa ni katika jina la yesu kristo amen

  • @robymarasi5262
    @robymarasi5262 3 года назад +1

    Naomba mungu nipate aman kwenye maisha yangu

  • @rashidingowi5548
    @rashidingowi5548 10 месяцев назад

    na mm naomba mungu anifungulie mambo yangu leo yote kwa jina la yesu

  • @happynecsadick7320
    @happynecsadick7320 3 года назад +1

    Mimi Nampa nalia kwauchungu baba yangu mzizi Kama mwaka sasa yupo tu kitandani alimbaya na awezi tembea msaidie baba yangu ewe mungu wangu

  • @gambastephano2256
    @gambastephano2256 3 года назад +1

    Amina kubwaaaaa nabarikiwa mtume

  • @silvia5351
    @silvia5351 6 месяцев назад

    Mungu naomba uzao wote María Kiara kukombolewa na vifungo vyote vya magonjwa kutoka, yesu kristo , vifungo vyote vya matumbo, mungu naomba kufungua zao wa familia ya Fredy Kisto kuishi maisha marefu nazao wa mapacha wakiume mfulilizo mara nne, familia ya Atanasia na zao wake wote Mungu naomba upatie watoto mapacha wakiume mfulilizo mara tatu,

  • @amilianafi8021
    @amilianafi8021 2 года назад

    Napokea uponyaji kwa jina la yesu ninawashwa na nipate mimba na biashara yangu niuzie sana mwanangu pia awe na matokeo mzuri ameni

  • @yunusiwafaume1191
    @yunusiwafaume1191 Год назад

    Mwenyezi mungu nifungulie kwa kuniunganisha na madhahabu ya nabii Boniface toa vifungo na mikosi na chuki toka kwa watu ndugu na watoto

  • @godfreylucas1818
    @godfreylucas1818 2 года назад +1

    Napokea uponyaji kwa jina la Yesu kila uVimbe navifungo vya uzao wangu leo vinaniacha kwa jina la Yesu naenda kupokea mimba kwajina la Yesu mtoto wangu awe na. Akili shuleni na kila mbaya asifanikiwe kwajinala Yesu amen

    • @analucas7606
      @analucas7606 Год назад

      Mundo said sana amen

    • @analucas7606
      @analucas7606 Год назад

      Xtou apdir minha doença sair no meu corpo sida H.l V. Quero ficar muito bem corpo . gorda quero ter emprego , casa , so tenho um filho quero outro filho cm Celso santo Unduku! Quero ele deixar brincadeira com mulher de spostar do estado da mulher, quero sim ele voltar pra sempre cmigo

    • @analucas7606
      @analucas7606 Год назад

      Quero qui ele pensar em todo dia cnhecer Minha mae com meu pai , eu tambm cnher familhar, eu nao quero namora cm outa pessoA . eu quero qui ele mim responder tudo dia mesmo ele sentir mas eu nao mim porta eu xtou com deus mim salvar nossa vida
      🙌😭🙅xtou asegir senhor jesu amem ele vai voltar comigo?

    • @analucas7606
      @analucas7606 Год назад

      Amen

  • @neemasabas4165
    @neemasabas4165 2 года назад

    Amina nimepokea uponyaj wako namuomba mungu mama yang aweze kupona

  • @kurwpaul1134
    @kurwpaul1134 2 года назад

    Ifanyike baraka kwa wote Na Mimi Na uzao wangu kiuchumi Roho ya madeni Na Yule mtenda miujiza Awe kwangu daima nizidiwe Na mafanikio Amen

    • @januaryboay4827
      @januaryboay4827 2 года назад

      Mungu baba naomba nizidiwe na mafanikio kirahisi ameen

  • @drkim-sarai5966
    @drkim-sarai5966 3 года назад +1

    kwa jina la yesu naomba familia yangu ifunguliwe katika vifungo vya mashetani na wachawi

    • @sarapaulo4718
      @sarapaulo4718 3 года назад

      🤣🤣🤣 mungu wa mwamposa tena

  • @mukundaviviane9384
    @mukundaviviane9384 Год назад

    Napokeya uponyaji ya Bright kwa jina la yesu Amen

  • @mwajumasimon7159
    @mwajumasimon7159 2 года назад

    Napokea upako huu kwa jina la yesu kiristo na amin mungu ametenda amina

  • @editharhyera6502
    @editharhyera6502 2 года назад

    Naomba mungu anicmamie katka ofisi yangu

  • @mamamikuwa4991
    @mamamikuwa4991 3 года назад +2

    Napokea uponyaji nakufunguliwa napokea mafao yangu ndani ya mwezi huu wa nne Amen

  • @juliantajewo6658
    @juliantajewo6658 2 года назад

    Mtume mungu akuzidishie miaka in the name of jesus

  • @neemamolell7322
    @neemamolell7322 3 года назад +1

    Naomba unifungue mm na familia yangu baba mwanangu darasa awe kichwa na wala co mkia amen

  • @barakarazalo2801
    @barakarazalo2801 Год назад

    Naamini kwa jina la yesu nimekombolewa kwenye biashala yangu nitajidiwa nawateja Amen 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @GoodluckyStanlei-h9v
    @GoodluckyStanlei-h9v 2 месяца назад

    Napokea uponyaji was afya na uchumi na wa elimu Mimi na familia yangu kwa jina LA yesu namuua alie iba nyota yangu

  • @dolishenery3012
    @dolishenery3012 Год назад

    Mung naomba mpenz nilionayo awe mme wangu maisha yang sio mpenz tena mwakan akatoe mahali

  • @immanuelndagijmanae3677
    @immanuelndagijmanae3677 Год назад

    MUNGU mukuu mwenye nguvu mutenda miyujiza pewa sifa kwa matendo makuu juuu ya family hizi utukufu na heshima birudi kwa KRISTO YESU MUNGU mukuu shalom

  • @atanito1327
    @atanito1327 3 года назад +4

    Naamini leo ninaponywa naamini leo nikambolewa kwa jina la yesu naomba naza anipende udat animis kupitia madhabau ya mwamposa amen

  • @elizabethpeter3374
    @elizabethpeter3374 3 года назад +1

    Napokea uponyaji ktk jina la yesu naomba alex anipende na anioe ilo pepo la kishetan lililomtawala liondoke la kuto kuoa kwa uwezo wa MUNGU Amen, 🙏 🙏🙏

    • @eliudmbise8927
      @eliudmbise8927 3 года назад

      Yesu liponye kanisa lako na kuliokoa na nguvu ya upotevu

  • @marthaedward2026
    @marthaedward2026 2 года назад

    Jiungnisha na madhabahu hii mungu naomba unitendee katika Jina la Yesu

  • @AbdallahMgawe
    @AbdallahMgawe 7 месяцев назад +1

    Ninaimani kupitia maombi ya mtumishi naamini ntapata kazi nzuli galinzuli kampuni nzuli

  • @konsesalaurenty9047
    @konsesalaurenty9047 3 года назад +8

    Mamuomba mungu anipe amani ktk familia yng

  • @mch7434
    @mch7434 3 года назад +1

    Amen nmebarikiwa mung azidikukupa hudumaa

  • @rashidingowi5548
    @rashidingowi5548 10 месяцев назад

    napokea muujiza wangu kwa kujiungamisha na ibada ii kila kitu kinaenda kufunguliwa kwa jina la yesu

  • @neemamaiko1342
    @neemamaiko1342 2 года назад

    Ubaryikiwe sanaaa mchungaj

  • @tato8979
    @tato8979 Год назад

    Amen ninaima kupitia maombi haya uvimbe umeisha 🙏

  • @deniskambi7148
    @deniskambi7148 Год назад

    Napokea uponyaji wa kiuchumi kwa JINA LA YESU AMEN

  • @mathamwambuluma8848
    @mathamwambuluma8848 3 года назад +1

    Mungu wa mwamposa mpatie kazi mume wangu apate pesa kwa njia rahisi

    • @HappynessJose
      @HappynessJose 3 года назад

      Mungu wamposa napona kupitia kwa Nabii

  • @dolishenery3012
    @dolishenery3012 Год назад

    Na iman napokea pamoja na familia yang amina

  • @agripinaligelele9367
    @agripinaligelele9367 3 года назад +2

    Mungu naomba nifungue nipone maradhi yote yanayo tesa maisha yangu

  • @aminakiyungi94
    @aminakiyungi94 2 года назад

    Bwana yesu asifiwe mtumie naomba uniombee nashamnbuliwa Sana na Jini mahaba, ndoa yangu haina Raha wala Aman, uchumi ni mbaya naamin ukitamka memo lazima nipone baba

  • @mohamedfakili3376
    @mohamedfakili3376 3 года назад +2

    Napokea kwa jina la yesu ...vifungo nilivyofungwa nafunguliwa kwa jina la Yesu...

    • @januaryboay4827
      @januaryboay4827 2 года назад

      Mungu naomba umponye mama yangu ugonjwa wa moyo ameen

    • @januaryboay4827
      @januaryboay4827 2 года назад

      Napokea muujiza wangu in Jesus name

  • @bakaridavid9772
    @bakaridavid9772 3 года назад +1

    Namuobamu mungu anime iman

  • @shukurumunuo8638
    @shukurumunuo8638 2 года назад +2

    Napokea uponyaji katika jina la yesu🙏🙏🙏

  • @patelmbanzi5139
    @patelmbanzi5139 2 года назад

    Leo nataka nijue kingereza mtumishi wa Mungu amina

  • @mafingacargo4333
    @mafingacargo4333 3 года назад

    Kupitia arrise and shine naomba roho ya ukomboz katika ndoa yangu

  • @simonkipanga5321
    @simonkipanga5321 2 года назад

    Mungu wa mwamposa utukomboe Mimi familia yangu yote Amina

  • @maimunahashim6605
    @maimunahashim6605 3 года назад

    wanangu watatu amina kudra na yusuph waongoze shulen

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 5 месяцев назад

    Naahkulu mungu nimepona miguu ilikua inanisumbua nomepona 2:25

  • @enzoon5796
    @enzoon5796 2 года назад

    Napokea uponyaji mimi na mama angu kwa Jina la yesu amin

  • @HappynessNassoro-op4nk
    @HappynessNassoro-op4nk 6 месяцев назад

    Kupitia mazabau hiii naamini nitajifungua salama mtoto wa kiume mungu nisaidie

  • @maimunahashim6605
    @maimunahashim6605 3 года назад

    naomba uwafanyie wanangu shulen wawe wanashika namba moja naamin mkombi yako

  • @victoriaanthony717
    @victoriaanthony717 3 года назад

    Napokea maombi haya naomba mume wangu afunguliwe kifungo alichofungwa ili tucfunge ndoa mwaka huu uciishe naomba mungu nifanyie miujiza ili tufungee ndoa amina

    • @peteryukunda9239
      @peteryukunda9239 3 года назад

      Victoria Anthony! Mungu akutendee kama aliivyotenda kwangu,Alitenda kweli2 mpaka ikapitiliza.Amini itakuwa.

  • @neemasabas4165
    @neemasabas4165 2 года назад

    Amen sans namuomba mungu hailinde familia yangu

  • @AnnastaziaMichael-l3e
    @AnnastaziaMichael-l3e Год назад

    Na imani napokea kwa yale maombi niliyo andika maombi 12 unapokea miujiza yako amina

  • @EsterNambeye
    @EsterNambeye Год назад

    Ameeeeen napokea kufunguliwa

  • @ashuralugoya3774
    @ashuralugoya3774 3 года назад

    naamini watoto wangu watapona mbele ya madhabau yko,,pia ntarejeshewa like kilichopotea,,na ntadumu kwenye ndoa yng

  • @baptistabernardo8344
    @baptistabernardo8344 2 года назад

    Nibariki mimi na family yango pamoja na mke wangu

  • @FestoYohana-ll4wk
    @FestoYohana-ll4wk 10 месяцев назад

    unauhakika unachokisema mungu akusaidie ndugu usiweunapenda kusema watumishi wa mungu vibaya yesu nimeenda miujiza frimason ni mazingaombwe mungu akusaidie sana ingekuwa huyu mtumishi ni frimason wagonjwa wasingepona mapepo wanatoka kea kulitaja jina LA yesu ingekuwa ni frimason mapepo yangemuumbua

  • @merinapatrick7056
    @merinapatrick7056 3 года назад +1

    Nawapa pole wote wasio amini mtume huyu mnabaki na shida zenu alafu unakaata neno la mungu chunguza tu neno lake utajua kua katumwa na mungu kama mmezoea waganga endeleeni naooo msipotoshe watuu

  • @winifridangowi7940
    @winifridangowi7940 3 года назад +1

    Naoba maombi nasumbuliwa sana mapreshar naugovi

  • @MonicaEzekiel-eh3kd
    @MonicaEzekiel-eh3kd Год назад +1

    Mungu naomba uniponye nisiwe naingiliwa kimapenzi na kitu nisiyoyajua

  • @rahmapaul1658
    @rahmapaul1658 3 года назад

    Nina Imani mume wangu atarudi na tutaishi vizuri kama zamani,Mungu anisaidie