Hallo true k. Continue doing what you are doing. Don't respond to TWD though you may listen to him if you want. Talk nothing about him. Don't respond even to the negative comments. Continue building your house (channel) using stones from the quarry. No builder can successfully finish building his house by using stones he gets from demolishing another person's house #twd
Yani sijui wanawake wengine wanatafuta nini???kwanza rohonya usaliti imekuwa kubwa katika ndoa sijui nani kabaki labda mimi maana sipendi kumkosea MUNGU anaenipa uhai
Wooye yani mama amepata mtu mwenye ana anderstant hivoh unajua wanaume wengi wakiona hausai na ndo anakufukuxa kwenyu hk huyu angetulia twe hk lkn mum usijali mungu atakubariki upate kid's 🙏🙏
Mr, Jay well done, bro good job , but huyo Muma anakuliwa na husband' s Boss what's that si aende tu , akae wakulane vixuri bila uoga kwani 💔hiyo tsbia alitoka naye kwao basi si heri angekua na mtoto , huyu asai kasi kasi yake ni ya kudai wanaume pesa anunue simu kubwa ,,na kutoa kitambi🤣 Eti, Hi, phone
There is nothing is there.this people use there tech to make sure there is not couple there.akuna wale wanatokanga apo wakiwa wanasikizana hukumu zenu ziko ngooni kunazo mzingojee mtaona hamtawai kuisha vipoa
Wanawake wametuangusha kabisa tangu mwaka ianze.Gods mercy upon couples.
Last year
Imagine,haki usifanyie husband wako hivyo
Jay ur progressing my brother God is above all,trust in God jay, Bella,kitoo,and moha ur going far
Mwanamuke mukubwa hata auna aibu
😂😂😂niruhusu nicheke please
Anataka mtoto
Hujaona vnye ako na poti kubwa na 6 years in marriage with no kids even kamoja aaaah this is fire on mountain
Hallo true k. Continue doing what you are doing. Don't respond to TWD though you may listen to him if you want. Talk nothing about him. Don't respond even to the negative comments. Continue building your house (channel) using stones from the quarry. No builder can successfully finish building his house by using stones he gets from demolishing another person's house #twd
Sure Jay,mwachie God adeal na yeye
Jay rudishia watu pesa uliwapora,anza na mmi😢😢😢
Run young man. Anapenda Boss na wewe si boss
The lady has saved mpango wa kando husband.
Mama aende tu, finding a faithful man like this man in this days ni neema, boss atamruka tu .
Ten times atarukwa kabisa,boss's wife will know too.
Kweli kabisa bro doop umeweza joo
I like this man,men avoid taking your wives to your job places, especially the so call end year bash.
wakucheat atacheat tu,si ati kueda bash ndio shida
If the DNA is of cheating even if locked inside she will find a way to do it
Phones nowadays wins many ladies, even mlika mwizi.
Mulika mwizi kweli? 😂
Wakucheat hata muliki mwizi ni kitu kumbwa
Young man walk,run run for your life,this is a demon.
Umekula pesa ya mayatima hadi suti haifungiki..... Nkt!!!😅😅😅😅
Jay ni lini utajua kusoma messages bila kurudiarudia kaa fala
Rudi reading lessons please
Mpaka useme mm..mmm.... ukisoma coments😂😂
Ladies jamani ukijua tumbo imejaa manyama kindly vaa Dera,hizi nguo zinafinya tumbo is not😂😂😂
😂😂😂😂😂😂🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸😂😂🙆🙆
Well done Jay good work
Not every dress is for everyone 😅
Waaa mtaka vyote hukosa vyote😢
Nairobi imekuwa kama SODAMA na GOMORA ka si boss ni Mzae ana shugulika
Is cheating na hii tumbo yote ivi😂😂😂😂😂
Aki pia mim Niko na tumbo woiyeee 🤔
Ako mimba ama minyoa
@@Penalty252 ana mimba 😂😂
True k Kula ugali asubui,wacha kupanunua mdomo hivo.🤦🤣🤣🤣
ata kama unachoma bt jay siku hizi ameziti kila saa n kupanua mdomo😄😮
Na koo inakuanga na nini
Kusoma haraka ndiye shinda si koo@@Betty-Adisa
Hio kitambi haijabeba mtoto😂😂😂😂 asking for myself alone 🏃🏃🏃🏃🏃🤸🤸🤸🤸🤸
Ndio najiuliza pia
@@florencemumbe5230 wueh maybe ako na mtoi 🏡
Kweli
😅😅😅n powerbnk
Hii ni pombe na ufala😂😂
Your big stomach will face it hard madam, cheating has consequences.
😂😂😂😂😂😂
😂😂
Isn't it a pregnancy? 😂
Rose wa Hezekiel episode one ya kuibia watu....😅
Waaa I'm wondering walai a man 6yrs auna mtol wake imagine na anakuvumilia na unacheat huyo boss kitambi aletwe uko next
Yani sijui wanawake wengine wanatafuta nini???kwanza rohonya usaliti imekuwa kubwa katika ndoa sijui nani kabaki labda mimi maana sipendi kumkosea MUNGU anaenipa uhai
Matiti kubwa,kitambi kubwa, are u sure huyu hajaacha mtoto kwao
Ukweli.
Lazima huyu akona mtoi nyumbani....hiyo tumbo aaaaiii😂😂😂
Wooye yani mama amepata mtu mwenye ana anderstant hivoh unajua wanaume wengi wakiona hausai na ndo anakufukuxa kwenyu hk huyu angetulia twe hk lkn mum usijali mungu atakubariki upate kid's 🙏🙏
The lady is marketable
Na hiyo tumbo😅
Kenyan men should start marrying from neighbouring countries 😢😢😢
Profesa jay wewe ni mjinga aki ati si wewe 😂😂😂but I'm happy the way mnawa-sanitize waanike kabisa kazi poa👏👏👏
Huyo big machine ana need kwenda gym na aache usharati
Have never seen a lady bila mtoto na ako na kitambi!!
My dear I don't have baby na Niko na kitambi due to I have growth and may be ako na growth na hajui kama ako nao
Growth can make someone kuwa na kitambi😢
J...just formolize your marriage and pray God much ...iyo kazi iyo demons wanaikataa kabisa cs yeye ni wa kuaribu
Watching from Saudi hapa same like 😅
Huyu dame wa kitambi anajitetea na nini hapa surely ?? Kwani boss anapeana watoto
Watching from dubai congratulations
Mambo Dubai kuna nn ,,Niko Kenya
@@janemasya4317 kuko tu swity tunangangana
Bro run kabla uanze kulea mtoi ya boss na jirani 😅
Ako na tabia yakupanua mdomo sana Jay unajua imekua kama tabia but you can stop it
Muachie hapo😅😅
Boss anaonga I phone 🤳 150k watu wakona pesa yagualibu ma married hapo inje kunamachokola wanalalanganja kilasiku akii hii dunia sioni ikiendelea
Woooiye I feel this guys yaani unapata mtu mwaminifu unakuwa kaguu na njia aki God help
Mr, Jay well done, bro good job , but huyo Muma anakuliwa na husband' s Boss what's that si aende tu , akae wakulane vixuri bila uoga kwani 💔hiyo tsbia alitoka naye kwao basi si heri angekua na mtoto , huyu asai kasi kasi yake ni ya kudai wanaume pesa anunue simu kubwa ,,na kutoa kitambi🤣 Eti, Hi, phone
Jay washaga ku chapa job ukiwa turbo empty anything inaweza tokea.
Family never go wrong
Wakwanza na mwisho kitrust ni mungu na my own mother
Na vile hiki kimwanamke n kikubwa
Tumbo hovyohovyo
Haiya amekamatwa na boss wabwanake haaa
Ile kitu nime note kwa hii dunia hakuna true love, only God can make my life happy ,no people,,,haki MAPEZI WEWE❤❤❤❤
Sema kwahii Kenya hapo inje kunamapenzi yaukweli
Weeeeeuh bonnie ndio maana sikuiz Huna moods kwa job I feel 😢
Hiyo tumbo yote eti hajazaa?huyo ako nawatoto nyumbani aneficha you can't be eti hujazaa natumbo inakaa Kama mimba mwezi nane?
Watching 4m saudia arebia kaxi nxuri sn naipenda.
Boychild mna appetite Sasa hiki kikitu mtu analala aje na kimunyama kama hiki, huwezi tofautisha tumbo na mgongo, na makalio
Uyu mama shida yake ni nini
Woooi queen umepatikana
Mwiachie bossy wako pumbavu zake alafu uyo boss amejua ndyo maana anasema yupo mashuhuli alfu uyo mwanamke akesi watoto kwao shep less😅😅😅
😂😂😂😂tamaa iliuwa fisi huyu hatumtaki kwa tent ya singles
Kama dem amekosa, semeni amekosa, why are you consoling the man, lakini mwana ume akikosa, mnakua wakwanza kum judge!
Kwani hii pesa hakuna mtu ashaikula, meaning no true couple in kenya , at least one true couple am waiting wakule hii pesa. 7:08
Na hizo brookside's wah!! Boss anazinyonya poaaa😂😂😂
Brookside apartments 😂😂
Jay uko smart sana but unatwangusha, umevaa official bt kiatu ni sports
Kichwa kubwa, kitimba kubwa, matako kubwa,litumbo kubwa lakini akili hakuna😢😢
Weeuh mama na ukapeeana phone??? Ungetia zii hiyo loyalty test🤔
Beib name should be banned from relationship
Exactly 😅
Why and the way is nice
Mshapanga ville mutaongea? Sawa tuu sikuizi hatudanganywi, utawalilipa ngapi hawa? Usiwagonge please walipe vizuri ama wakuanike
Hio kitambi yote ni ya chakula
Imagine
Divorce her bro tafta bibi mwingine umwoe
Look for a wife not a harlot please.
Make sure bibi ya boss amejua😂
Wengine wanakufa uko inje na mapenzi Mimi hapa naulixa waiguru atoke kitchen nipete na raban na snacks,na biscuits hapo kado 😂😂😂😂😂😂😂
Wewe nawe unaniua ,upite na raban 😅
@@munalook4477 eeee sina anja ya kupita na bwana ya mtu but raban na snacks hizo lazima 😀😀😀😀
@munalook😅😅4477
@@23BlessedLady eee🤪🤪
Love is a scam
Kuna couple washawahi PATA iyo 10k ya Dr Jay?
I also wonder.
Huyo hakuwa ambuyie hio iPhone ako n excuses
150k
Haki maisha...wah!
I don't know what women want
........,......Eti si necessary......... How??
Uko Na bwana lakini wewe hakuna.
💔very painful😭😭😭😭💔
Jay mm venye umetingisha tu kiuno ndio nimeona 😂😂😂😂😂
I know this man huyu si bibi yake
Kwani ni kipindi?
Hii ni kipindi... Have already sent this link to bibi yake.
So what? we are here to b entertained
Uko sure??😢😢 na watchdog alisema tu bona wamekubali haraka hivyo😊
Sii huyu mwanaume anitafute
So ni kitambi amebeba tu😅😅😅😅😅😅😅na ana akili itawachwa na huyo boss wacha bibi yake hajue
Matiti na tummy tu inadhibitisha tu ni mama watoto.maybe ni Hawa malaya tu wa kawaida wa kuficha watoto home.na hataki kuzalia huyu jamaa.
Huyu nikinyangarika tu..
But ladies why??😢
Bony siongei kitu Wacha ninyamanze
Hizi nyonyo ....nizakunyonywa tu na wanaume aki!....mbele inaunza nyuma kweli
Jay Jamani kulanga ugali alafu ukunywe chai pia ndio utoke kwa nyumba,,,una panua mdomo sana
Good job jay👏👏👏 l feel for that man
The lady's body language betrays her
Mens tuko na shida ata sita hoa tena
There is nothing is there.this people use there tech to make sure there is not couple there.akuna wale wanatokanga apo wakiwa wanasikizana hukumu zenu ziko ngooni kunazo mzingojee mtaona hamtawai kuisha vipoa
Ungewaambia hujaolewa, how he never loved her
Waaah nkipata mwanaume kama huyu naeza mtunza
Good job Jay ❤❤
The boss is using her and taking advantage, she's losing a good man
Ak auna mtoi ama wew n mama maiti watu wa kutoa mimba tu ona vile unakaa
Milayas 4 milayas hata kwa ndoa
this drama was stage managed. the guy knew everything and wanted to expose the woman for the illicit affair
Huyo malaya usimurudishe 6 years bila mtoi
Kumbe inakuanga scripted 😢😂😂❤
You are doing a good job 👏👏👏
enyewe siku hizi n rahisi kutafuta maji kuliko unga tutaenda wapi sasa
Hii mwaka ni ya kucheet tu
Vile natamani kupata mwanaume mzuri kama huyu aki mwingine anachezea