MR TABULELE ATINGA KONDE VILLAGE/HARMONIZE AMPOKEA/KUANDAA REMIX YA TABULELE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 ноя 2023
  • Wananchi wamefika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na kumpokea msanii kutoka kundi la KKL BOMOKO nchini Congo DR anayetamba na kibao cha "Tabulele", kwa ajili ya hamasa kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, @yangasc dhidi ya Al Ahly siku ya Novemba 2, 2023, Uwanja wa Benjamin Mkapa.
    Baada ya kusubiri sana hatimaye Mwamba ndani ya nyumba, ndani ya Jiji kubwa la Kibiashara la Dar Es Salaam, anasema Yanga kwake ni zaidi ya timu, imempa thamani kubwa.
  • СпортСпорт

Комментарии • 69

  • @jumanneenos2481
    @jumanneenos2481 6 месяцев назад +17

    Natoka machozi ya furaha, Yanga siyo tu timu, lkn inawatoa watu ki maisha, Tabulele kuwa kuwa kuwa nenda juu nenda juu juu zaid, Konde Boy you are Great, haya maisha ni kutoana

  • @tinabapemacho8650
    @tinabapemacho8650 6 месяцев назад +24

    Hakika najivunia sanaa kuwa mwana yanga africans kijana katobowa tayari🎉

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 6 месяцев назад +7

    Jeshii akishika song ilo mtakubali tu ni fundiii kweli kweli

    • @noelkabaila3284
      @noelkabaila3284 6 месяцев назад +1

      Unyamaa mwingii sanaaa 🐘🇹🇿

    • @terrence9477
      @terrence9477 6 месяцев назад

      @@noelkabaila3284 Unyama sio slogan yetu, please, sema zile wananchi tunatumia

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly 6 месяцев назад +4

    Hongera yanga kwakumuinua kijana alietoka chini mpaka juu hakika mungu hawezi kutuacha

  • @francepaul7711
    @francepaul7711 6 месяцев назад +12

    Oyaaaaa Weeee Yanga Balaaaa Kijana Ameshatoboaaa 🖐

  • @nicolebitendelo1420
    @nicolebitendelo1420 6 месяцев назад +11

    Safi 💛💛💛💛💚💚💚💚💚

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 6 месяцев назад +6

    Mmmmh mkalimani anaongeza manenooo, huyu kijana ajibu kidogo sana lakin mkalimn kaongea maneno mengiiii

  • @petrochikawe1797
    @petrochikawe1797 6 месяцев назад +5

    Yanga lidude likubwa San

  • @rudachrischris5300
    @rudachrischris5300 6 месяцев назад +29

    Apo ni sawa nazidi yipenda sanaaaa Yanga kutoka Rwanda 🇷🇼 kigali.Saturday ushindi ni wetu

  • @user-cu9mo3rf4t
    @user-cu9mo3rf4t 6 месяцев назад +4

    Congo 🇨🇩 hakutoki mchamba

  • @nguyamtwartz5413
    @nguyamtwartz5413 6 месяцев назад +15

    Ifike wakati sisi na Ali kamwe tumalize tofaut zetu😂😂😂 mbona katupania ivi😂😂😂😂😂

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 6 месяцев назад +3

    Wananchiiiiii iiiiiiiiiiiih 💛💚⚽🖐🏽

  • @dhahbustadi3323
    @dhahbustadi3323 6 месяцев назад +2

    Wananchiii 💛💛💚💛

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 6 месяцев назад +12

    😂😂tabulele kama haamini hivi!

  • @JOHNMARWA-pb5wy
    @JOHNMARWA-pb5wy 6 месяцев назад +4

    wangempa mwamba marioo

    • @user-ni8bw1ps9t
      @user-ni8bw1ps9t 6 месяцев назад +1

      We nawe mArioo amapiano na kubembelezana Tabulele inataka vibe

  • @user-tg8sp6ql6v
    @user-tg8sp6ql6v 6 месяцев назад +7

    🐘🐘🐘💥💥💥💥💥

  • @richlymo
    @richlymo 6 месяцев назад +8

    Tabulele ata amini maisha yake kukutana na harmonize 😂😂

  • @VictoriaLeonard-yh9rc
    @VictoriaLeonard-yh9rc 6 месяцев назад +1

    Yanga rahaaa

  • @bikemastertz1200
    @bikemastertz1200 6 месяцев назад +3

    🖐️🖐️🖐️🖐️🔥🔥

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 6 месяцев назад +1

    Jamani hivi konde village ipo maeneo gani?

  • @harunamateranya4925
    @harunamateranya4925 6 месяцев назад +2

    Mimi ni Mcongo lakini nilikuwa sijamsikiya huyu dogo ndani ya Congo hongera yanga kwa kumu promote huyu dogo mimi nilikuwa mshabiki wa yanga tangu imsajili Mayele na mpaka sasa nimebaki shabiki wa yanga hata kama Mayele ameisha ondoka

  • @user-wc5jc8vp6u
    @user-wc5jc8vp6u 6 месяцев назад +6

    Taburere

  • @user-nf3dc9fb6v
    @user-nf3dc9fb6v 6 месяцев назад +1

    👏👏👏👏

  • @user-wc9dj8ey3y
    @user-wc9dj8ey3y 6 месяцев назад

    Anavoongea tu unaweza jikuta unaitikia " Rraaaahhh"

  • @masoudabdoul8447
    @masoudabdoul8447 6 месяцев назад +2

    Ni vichekesho😂

  • @MasizieRahim-gw1bf
    @MasizieRahim-gw1bf 6 месяцев назад +7

    🔥🔥🦣🦣

  • @simulizizenyemsisimko2504
    @simulizizenyemsisimko2504 6 месяцев назад

    huyu jamaa kwen ameimba nyimbo gani

  • @sharafimohamed5937
    @sharafimohamed5937 6 месяцев назад

    Jeshiiiiiiii 🔥🔥🙌

  • @donaldshita5281
    @donaldshita5281 6 месяцев назад

    Hatali

  • @user-iu2cm5um6e
    @user-iu2cm5um6e 6 месяцев назад

    Mwenyezi mungu atuzidishie amani na upendo sisi wanainchi, aminaaaaaaaaa

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule 6 месяцев назад

    Ni vile tuh semeji aelew hapo ila tumekosa Ving sana

  • @katushabedotto2883
    @katushabedotto2883 6 месяцев назад

    💛💚💛💚💛💚🖐️🖐️🖐️

  • @joshuamwishawa6653
    @joshuamwishawa6653 6 месяцев назад

    Mganga wa yanga huyo

  • @katushabedotto2883
    @katushabedotto2883 6 месяцев назад

    Kitu ambacho sielewi nimchezaji wa mpira au ni mwana mziki?mahana sielewi

  • @zaudolutambi9895
    @zaudolutambi9895 6 месяцев назад +3

    Kwahy yanga kwa kilugha chake inaitwaje??

  • @user-pe5hf4kn3j
    @user-pe5hf4kn3j 6 месяцев назад +2

    WACONGO WAKITAKA JAMBOLAO, WANAJUA KUKUSIFIA😂😂😂😂😂😂😂, MDAWOTE UTASIKIA,HAMINIZE NAMBER ONE, NAMBER ONE, 🤣🤣🤣🤣🤣
    HUKUKWETU HUYO SIO NAMBER ONE WEWEEEEEEE,
    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 WAPO WAKURUNGWA,

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js 6 месяцев назад

    Nasisi yanga 😂😂😂😂😂mh hatuna dogo

  • @yohanalukindo3737
    @yohanalukindo3737 6 месяцев назад +1

    Nasikia mtavaa misuli bila kitu chochote ndani yan muarabu atakuwa anajipakulia tu 😅😅😅

  • @mosestv9051
    @mosestv9051 6 месяцев назад +1

    Romonaizi😅😅😅

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 5 месяцев назад

    Anaye tafsili😂😂😂

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 5 месяцев назад

    WANATAKA PESA TU KUYOKEYA HAMONAIZI HAWA WALIKUWA MAADUWI WAKE WENGI TU WANAONA HAYA SASA

  • @VIVAXMEDIA
    @VIVAXMEDIA 6 месяцев назад +2

  • @VIVAXMEDIA
    @VIVAXMEDIA 6 месяцев назад +2

  • @VIVAXMEDIA
    @VIVAXMEDIA 6 месяцев назад +1

  • @VIVAXMEDIA
    @VIVAXMEDIA 6 месяцев назад +1

  • @VIVAXMEDIA
    @VIVAXMEDIA 6 месяцев назад +1

  • @VIVAXMEDIA
    @VIVAXMEDIA 6 месяцев назад +1

  • @VIVAXMEDIA
    @VIVAXMEDIA 6 месяцев назад +1

  • @VIVAXMEDIA
    @VIVAXMEDIA 6 месяцев назад +1

  • @VIVAXMEDIA
    @VIVAXMEDIA 6 месяцев назад +1

  • @VIVAXMEDIA
    @VIVAXMEDIA 6 месяцев назад +1