Huyu kijana alieimba anaimba vizuri sana Mungu Azidi Kumnyanyua ktk Viwango Vya Juu Kabisa. Hakika Irene umeonyesha ni Jinsi GANI UMEMTUKUZA MUNGU KWA KUKUPA MALI ZOTE ULIZONAZO; NA JINSI UNAVYOMPENDA MWANAO KRISH NA UNAVYOWAHESHIMU WAZAZI WK. WEWE NI MFANO WA KUIGWA NA WASANI WENZIO. UBARIKIWE MNO MAMA KRISH💜💜💜🤎
Hivi huu utaratibu wakumtunza mtu kwa kumtupia pesa tena mamaako ni sahihi kweli au ni kufuru kwanini asihesabu hiyo pesa huku akimpa mkononi ni maoni yangu naona huu utaratibu siyo mzuri anyway Mungu awabariki
Wala si sahihi tena mama nikama umemdharau, alafu akimaliza kumtupia mama aokote mwenyewe haijakaa poa, bora angempa mkononi tena huku akipiga magoti kwa heshima.
Hivi hizo hela wanazotoaga hivyo public je kiuhalisia wanawapaga kweli wazaz wao katika siku za kawaida, ikiwa ni ndyo basi abarikiwe sana tofauti na hapo bc mungu huweka dhahir yaliyojificha
Wengine mama Zetu Wapo Lkn mapene Ndo Hvo Hakuna,,,,,, so angesema neno Moja Asante,, then Pesa akapeleka Kanisan Au akawapatia Watoto Yakima Na masikin
Yani mm mwenye kama anazarzhu ibyo bitu byakumpa pesa hivo ,na wala hazitizame ata kuzishtukiya. Yanimama kama vile alikuwa hapendi kufika kwa uyo upuuzi ,héla yenyewe kama anahizarahu
Natamani mama yangu angekuwepo nimfanyie hivi awwwww God bless you Irene
Una hela ww mmbwa au kwakua hayupo
@@hailinhaule2981 jamani😂😂😂
@@princessmeggyclement7591 muombee dua nimuhimu kuliko hivyo
@@nassirmohamed8492 👏👏
Hata mimi netamani
Mama mtamu jaman nimejikuta nalia kwa furaha an kama mm ndio nmemfanyia hiv mama angu, mama mungu akupumzishe salama😭🙏
Ameen amlaze pahali pema peponi
Sorry 😞
Ameen
Aya sasa mungu atufanyiee wepesi tuweze kuwanunuria ata mandoro mama zetuu😭😭😭😭
Ameen rabil alamin
@@mwanamkusaidmwajambomwajam1378 🙏🙏🙏😪😘
Huyu kijana alieimba anaimba vizuri sana Mungu Azidi Kumnyanyua ktk Viwango Vya Juu Kabisa. Hakika Irene umeonyesha ni Jinsi GANI UMEMTUKUZA MUNGU KWA KUKUPA MALI ZOTE ULIZONAZO; NA JINSI UNAVYOMPENDA MWANAO KRISH NA UNAVYOWAHESHIMU WAZAZI WK. WEWE NI MFANO WA KUIGWA NA WASANI WENZIO. UBARIKIWE MNO MAMA KRISH💜💜💜🤎
Mama ni mama tuuuu natamani na wangu angekua hai but ndo hivyo
GOD IS GOOD ALL THE TIME ALHAMDULILAH....🙏
Moms are everything 🥺🥺 this is so sweet
Mpaka nimelia 😭😭😭😭 R.I.P mama pamoja na kipenzi chako Baba mzazi wa mie mbele yenu nyuma yetu
😭😭😭😭😭😭
Mungu akupe amani sms hii akakufariji
@@vanessaenock1337 amina wangu tushapoa mungu ni mwema tunasonga
Daaah sisi tulio zika wazazi wetu ndio tunaumiaa sana hasa tukiona vitu kma ivi endelea kupunzika kwa amani mama angu kipenzi 😭😭😭😭
Amiin
Mashallah uwoya kwa ringa kwa mama yako mungu akuwekeye aishi maisha marefu
Hivi huu utaratibu wakumtunza mtu kwa kumtupia pesa tena mamaako ni sahihi kweli au ni kufuru kwanini asihesabu hiyo pesa huku akimpa mkononi ni maoni yangu naona huu utaratibu siyo mzuri anyway Mungu awabariki
Wala si sahihi tena mama nikama umemdharau, alafu akimaliza kumtupia mama aokote mwenyewe haijakaa poa, bora angempa mkononi tena huku akipiga magoti kwa heshima.
Hivi hizo hela wanazotoaga hivyo public je kiuhalisia wanawapaga kweli wazaz wao katika siku za kawaida, ikiwa ni ndyo basi abarikiwe sana tofauti na hapo bc mungu huweka dhahir yaliyojificha
Sasa uyo kwao kwanza mtonyo upo
@@vanessaenock1337 haijalishi kinachoangaliwa ni je unawajali kama walivyo kujali ulipokuwa mdogo
Wengine mama Zetu Wapo Lkn mapene Ndo Hvo Hakuna,,,,,, so angesema neno Moja Asante,, then Pesa akapeleka Kanisan Au akawapatia Watoto Yakima Na masikin
Mailing,,, Sana,,,, wabongo Bwana waweza kuta Yupo location.
Hadi raha duh mungu ampe mama yako maisha maref nataman nam ningekua na mama
Queen uwoya
Wow
Umetengenezwa hii pole mama kwa kupelekeshwa....mama katulia Hana hta furaha....
Yani mm mwenye kama anazarzhu ibyo bitu byakumpa pesa hivo ,na wala hazitizame ata kuzishtukiya. Yanimama kama vile alikuwa hapendi kufika kwa uyo upuuzi ,héla yenyewe kama anahizarahu
Na mim ningerikuwa na mama yangu ningemufanyia sapraizi kama hiyo sas amesha tanguria mbere yahaki r I p I furaha 😭😭😭😭
Hapa anaomba samahani alivyokatazwa kuolewa na dogo janja 😄😂😂😂
Am cutting onions 😢😢
No one like mother
Kumbuka ndio unalinda izo ela au neneee
Mama katulia
Kumbuka hatulii
Babaako mzazi Yuko wapi dada
Ayo ni mambo ya dini ama dunia 😳😳😳
Mc kihelehele Dr kumbuka yupo🤣🤣
Jina la mwimbaji
Walter chilambo
Alivyomuhug nimelia jamani kua na mamaa rahaa
Kwani huyu si Ali slimu hyu karudi kwenye diniyake 🥺
Hizo ni dharau huwezi kumtupia mamaako pesa km hivyo .bora umkabidhi tu na kumuambia kiasi kilichopo
Umefikri Kama mimi
Chambo kwA wageni mtoe nyingi! Pesa toa benki rudisha benki
Acha uchizi wew .
@@bestinamaro7645 imekutachi !
@@johnmichaellukindo21 huna pesa ndio maana unaongea pumba wenye nazo acha watumiee bhana utaishia kuchamba mitandaon
Congratulation
Mazazi
Mama unampa hela hadharan za nn sasa
Mama han furaha mbona
Kurushiwa hela vile Kama ombaomba unafukri atafurahi bora angempa mc akazihesabu na kumkabizi
Mama kwake ni furaha sikiliza wimbo unaendana nakutunza,anakumbuka mengi yeye ajawai kumfanyia hivyo mama yake
Long live our mamas....kwa waliotutangulia they will always be our angels♥️
Huyu muimbaji anaitwa Nani...na hii nyimbo inaitwaje
mie pia nasubiri jibu
Walter chilambo
Walter Chilambo..Mama