OMAR AANZA AICHA OFISI || KUWAFATA WANACHAMA KUSAKA USHINDI WA 2025.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 7

  • @Aisha-lj8bu
    @Aisha-lj8bu 3 часа назад +1

    Safi sana kiongoxi wetu

  • @SuolFat
    @SuolFat 53 минуты назад +1

    Pambanieni kusiwe na uchaguzi wa siku mbili

  • @RamadhaniMussa-xs5uk
    @RamadhaniMussa-xs5uk 3 часа назад +1

    Kama Kuna kura ya mapema tukae nyumbani

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 3 часа назад +1

    yah ili tufanikiwe lazima makundi yote yashirikishwe hakuna kudharau wazee hao ni dawa na wametutoa mbali mpaka kufika vijana kujitambua

  • @AyubuChacha-u6u
    @AyubuChacha-u6u 34 минуты назад

    Shida yenu ya ACT mnafanyia ccm kampen hampo tayari kushida kwa uchaguz wa mitaa na uchaguz mkuu je mpo tayari kupambana kushida au ni kwamba kikiumana muishie mitaan.

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim 4 часа назад

    Tunatka tujue mapema uchaguzi vp utakua, km itakua ndo Yale Yale ya Kila baada ya miaka 5 hatutaki Tena ,maana kwnza tumeshachoka kupiga kura.

    • @SalimLikindy
      @SalimLikindy 11 минут назад

      Sisi wengine hatujachoka. Hivi mtu unachoka kweli kupiga kura mara moja kila baada ya miaka 5?! Kama unachoka kupiga kura utaweza Nini?!! Tutaendelea kujaribu mpaka Allah atakapotuwezesha no matter what.