Shida yenu ya ACT mnafanyia ccm kampen hampo tayari kushida kwa uchaguz wa mitaa na uchaguz mkuu je mpo tayari kupambana kushida au ni kwamba kikiumana muishie mitaan.
Sisi wengine hatujachoka. Hivi mtu unachoka kweli kupiga kura mara moja kila baada ya miaka 5?! Kama unachoka kupiga kura utaweza Nini?!! Tutaendelea kujaribu mpaka Allah atakapotuwezesha no matter what.
Safi sana kiongoxi wetu
Pambanieni kusiwe na uchaguzi wa siku mbili
Kama Kuna kura ya mapema tukae nyumbani
yah ili tufanikiwe lazima makundi yote yashirikishwe hakuna kudharau wazee hao ni dawa na wametutoa mbali mpaka kufika vijana kujitambua
Shida yenu ya ACT mnafanyia ccm kampen hampo tayari kushida kwa uchaguz wa mitaa na uchaguz mkuu je mpo tayari kupambana kushida au ni kwamba kikiumana muishie mitaan.
Tunatka tujue mapema uchaguzi vp utakua, km itakua ndo Yale Yale ya Kila baada ya miaka 5 hatutaki Tena ,maana kwnza tumeshachoka kupiga kura.
Sisi wengine hatujachoka. Hivi mtu unachoka kweli kupiga kura mara moja kila baada ya miaka 5?! Kama unachoka kupiga kura utaweza Nini?!! Tutaendelea kujaribu mpaka Allah atakapotuwezesha no matter what.