Simu Mzee Kikwete aliyompigia Ridhiwani baada ya kuona picha yake na Lowassa
HTML-код
- Опубликовано: 11 фев 2025
- Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete amepita kwenye studio ya Millard Ayo kwenye show ya OnAIR with Millard Ayo na kuongelea ishu mbalimbali ikiwemo simu aliyopigiwa na Baba yake ambaye ni Rais Mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete baada ya kuona ile picha aliyopiga na Edward Lowassa uwanja wa taifa Dar es salaam kwenye mechi ya Yanga vs Simba.