MAIMARTHA AMCHAMBA ZUCHU KISA KASABABISHA JUMA LOKOLE KUSIMAMISHWA KAZI WASAFI/DIAMOND HATENDI HAKI
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- Tumepiga Story na MAIMARTHA
````````````````````````````````````````````````````
Facebook Page @chazymedia
instagram @chazymedia
Tiktok @chazymedia
``````````````````````````````````````````````````````````````
Pia huyo zuchu mwenyewe alimkuta jamaa yupo group moja na kina diamond, akae kwa kutulia tuu mgeni usigombanishe wenyegi akae kimya aendelee kupiga show zake.maimartha yuko sawa 💯 true 👍🏽 😂😂
Zile kiki amuelewi tu akuna aliyefukuzwa kazi wala nini
Tena Juma akae kwa kutulia aache kumuzalilisha Zuchu kwa ajili ya wivu wake kwa Zuchu.
Aache kumuongelelea kwa negatively.
@@pengefeza2563🫴🫴🫴🫴
We unayajua mapenzi lakini?
Kabisa
Juma alikuwa amezidi bana kila siku zuchu zuchu..aombe msamaha arudi kazi uyo juma lakini aache
Maimatha bana sasa kwa u profesional gani alio nao Juma
Yani maimatha yupo vizuri kwenye kujibu maswali😂… yani anachamba lakini pia anachunga anachokisema… yani kama anataka kuharibu lakini kumkamata ni ngumu.😂😂😂
Mmezidi kuingilia mapenzi ya watu. Iwe fundisho kwa wengine pia
But diamond akaingililia wp na zuchu ndio kalalamika yeye, waaaaa kweli
Duuh kumbe kweli juma ayupo tena wasafii 😢😢😢😅😅😅😅😅
Juma ajasimamishwa sababu yazuchu la kiyapo chake alicho apa kuwa jux akitowa pc afukunzwe kazi Sasa mnashanga nini mdomo inauma kiyapo kibaya anayejuwa ya kesho ni mwenyezi mungu pekee
Kabisa
Kweli kabisa kasema haswaaa Leo tena mnaugeuzia zuchu
Sema Mai
Zuchu akiolewa na Diamond 💎 basi. Watu wasafi kwisha!
Kabisa kajiona biyonce😂😂😂😂
Hata ww pia kwisha na roho yako mbaya
Wamzungumzie kwa wema sio kwa ubaya tu albam katoa hawamsapoti kwenye nyimbo
Wazungumze kazi zake
Wakati zuchu anatumia mbona hamuongei, juma alianza kumchamba zuchu kitambo so ata zuchu ni binadamu
Mai unajua kuwa Trump haleti tena ARVs ? Kajipange
Mbona kasema dabiliusimbii
Ngoja aolewe watakoma kinaa esmaaa
Wewe maimatha tunajua juma ni mtu wako so lazima umtete, zuchu atatetewa na nani
Atetewe ni mtoto mdogo😂😂😂😂 hana sauti yakujitetea
Sasa kazi ni kuzaririsha watu wewe Zuchu akiwa mtoto wako anazaririshwa Kira siku utafurahi sceni unjinga .
Vcs gostam quando a outra é insultada xeeee essa senhora toda hora zuchu zuchu sua amargurada
Acha ujinga ww acheni kumsimanga mto wawatu