MAIMARTHA AMCHAMBA ZUCHU KISA KASABABISHA JUMA LOKOLE KUSIMAMISHWA KAZI WASAFI/DIAMOND HATENDI HAKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • Tumepiga Story na MAIMARTHA
    ````````````````````````````````````````````````````
    Facebook Page @chazymedia
    instagram @chazymedia
    Tiktok @chazymedia
    ``````````````````````````````````````````````````````````````

Комментарии • 32

  • @jamilajamila9682
    @jamilajamila9682 8 часов назад +6

    Pia huyo zuchu mwenyewe alimkuta jamaa yupo group moja na kina diamond, akae kwa kutulia tuu mgeni usigombanishe wenyegi akae kimya aendelee kupiga show zake.maimartha yuko sawa 💯 true 👍🏽 😂😂

    • @adijaniyonkuru9731
      @adijaniyonkuru9731 7 часов назад

      Zile kiki amuelewi tu akuna aliyefukuzwa kazi wala nini

    • @pengefeza2563
      @pengefeza2563 6 часов назад +2

      Tena Juma akae kwa kutulia aache kumuzalilisha Zuchu kwa ajili ya wivu wake kwa Zuchu.
      Aache kumuongelelea kwa negatively.

    • @husseinpatel2956
      @husseinpatel2956 6 часов назад

      ​@@pengefeza2563🫴🫴🫴🫴

    • @janerouhassanjanerou7933
      @janerouhassanjanerou7933 4 часа назад

      We unayajua mapenzi lakini?

    • @enjobw5682
      @enjobw5682 4 часа назад

      Kabisa

  • @RehemaKatana-m6l
    @RehemaKatana-m6l 5 часов назад +4

    Juma alikuwa amezidi bana kila siku zuchu zuchu..aombe msamaha arudi kazi uyo juma lakini aache

  • @janerouhassanjanerou7933
    @janerouhassanjanerou7933 4 часа назад +2

    Maimatha bana sasa kwa u profesional gani alio nao Juma

  • @zubedajumbe9881
    @zubedajumbe9881 9 часов назад +3

    Yani maimatha yupo vizuri kwenye kujibu maswali😂… yani anachamba lakini pia anachunga anachokisema… yani kama anataka kuharibu lakini kumkamata ni ngumu.😂😂😂

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 7 часов назад +3

    Mmezidi kuingilia mapenzi ya watu. Iwe fundisho kwa wengine pia

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack1669 9 часов назад +3

    But diamond akaingililia wp na zuchu ndio kalalamika yeye, waaaaa kweli

  • @enjobw5682
    @enjobw5682 4 часа назад +1

    Duuh kumbe kweli juma ayupo tena wasafii 😢😢😢😅😅😅😅😅

  • @azizasaleh6624
    @azizasaleh6624 8 часов назад +3

    Juma ajasimamishwa sababu yazuchu la kiyapo chake alicho apa kuwa jux akitowa pc afukunzwe kazi Sasa mnashanga nini mdomo inauma kiyapo kibaya anayejuwa ya kesho ni mwenyezi mungu pekee

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 6 часов назад

    Sema Mai

  • @chibandamwende3676
    @chibandamwende3676 9 часов назад +4

    Zuchu akiolewa na Diamond 💎 basi. Watu wasafi kwisha!

  • @lucyfrancis9082
    @lucyfrancis9082 8 часов назад +2

    Wamzungumzie kwa wema sio kwa ubaya tu albam katoa hawamsapoti kwenye nyimbo

  • @halimahamza332
    @halimahamza332 5 часов назад

    Wazungumze kazi zake

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 8 часов назад +2

    Wakati zuchu anatumia mbona hamuongei, juma alianza kumchamba zuchu kitambo so ata zuchu ni binadamu

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 6 часов назад +1

    Mai unajua kuwa Trump haleti tena ARVs ? Kajipange

  • @Hassanbaoma
    @Hassanbaoma 2 часа назад

    Mbona kasema dabiliusimbii

  • @khadijasuleiman3855
    @khadijasuleiman3855 4 часа назад

    Ngoja aolewe watakoma kinaa esmaaa

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 8 часов назад +2

    Wewe maimatha tunajua juma ni mtu wako so lazima umtete, zuchu atatetewa na nani

    • @Cindyyy-u9v
      @Cindyyy-u9v 7 часов назад

      Atetewe ni mtoto mdogo😂😂😂😂 hana sauti yakujitetea

  • @azizabiroribirori8665
    @azizabiroribirori8665 7 часов назад +1

    Sasa kazi ni kuzaririsha watu wewe Zuchu akiwa mtoto wako anazaririshwa Kira siku utafurahi sceni unjinga .

  • @AnaRAIMUNDO-b2u
    @AnaRAIMUNDO-b2u 5 часов назад

    Vcs gostam quando a outra é insultada xeeee essa senhora toda hora zuchu zuchu sua amargurada

  • @HabibaMsemo-d2v
    @HabibaMsemo-d2v 5 часов назад

    Acha ujinga ww acheni kumsimanga mto wawatu