Saida KaroIi -Magenyi (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • link www.youtube.co...

Комментарии • 659

  • @jacklinemashoko418
    @jacklinemashoko418 5 лет назад +5

    wahaya vidole juu wakola muno kama ujanisoma laki

  • @prof.oduoroduor6471
    @prof.oduoroduor6471 4 года назад +10

    dunia itakaa sana kabla iwahi kutokea mwingine mwenye sauti kama hiii.. aki walahi...ur voice.... ur voice... it is a blessing

  • @lillianalillie3018
    @lillianalillie3018 5 лет назад +3

    Saida karudi uwanjani..karibu sana mama twakupenda na twapenda mizuki wako...😘😘😘😘😘😘

  • @sinzasoundbandtanzania6200
    @sinzasoundbandtanzania6200 5 лет назад +25

    Tanzania nzuri , full bata! (Having good time). Gonga like kama unamkubali huyu Mama Yetu anawakilisha East Africa.

  • @mamaafrica8565
    @mamaafrica8565 4 года назад +2

    Naskia hila sielewe . Ubarikiwe Sana na style zako za kipekee saida

  • @eliethkwesigabo96
    @eliethkwesigabo96 5 лет назад +3

    Mwakola muno, chonka nimpulila aliyo oluimbo ndwetwa omwana mwana nkantaulubonasi!!

  • @celinelawrence5266
    @celinelawrence5266 5 лет назад +3

    wahaya oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @athumanmkolauti1753
    @athumanmkolauti1753 5 лет назад +1

    mimi huwa napenda kazi zako sana tena zaidi ya sana

  • @joanithawillingtone6565
    @joanithawillingtone6565 5 лет назад +2

    Yan kila wimbo wako naupenda sana, saf sana dadaa

  • @lovegodwine7868
    @lovegodwine7868 5 лет назад +18

    Wakora munonga saida! Omukama katoka akwebembele boojo!!!!

  • @harunnjogero1828
    @harunnjogero1828 5 лет назад +2

    Kànyàngia hapo dada

  • @kiwisayikanju2853
    @kiwisayikanju2853 5 лет назад +1

    Webale saida Karoli akishongoro aka🙌🙌🙌.Hariwo obugenyi💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃

  • @elvirakaganda3807
    @elvirakaganda3807 5 лет назад +3

    Aka akaimbo kanula nkolubisi 💃😋😋 Wakola saida. Hizi ndizo nyimbo zako tunazozijua sisi wahaya na tunakupenda Sana unatuwakilisha vizuri Sana. I miss home haki 😥😥😥😥

  • @delphinacharles1304
    @delphinacharles1304 5 лет назад

    Ahsante sana mama angu Bukoba unaiwakilisha vzr

  • @linuspastory5597
    @linuspastory5597 7 месяцев назад +1

    JanabLeo na hata kesho nipo apa❤❤❤❤

  • @amadikasim5054
    @amadikasim5054 5 лет назад +1

    wahaya tukovizuri. hiingoma niyakufungua mwaka

  • @robertevarist1595
    @robertevarist1595 5 лет назад +4

    Real African Traditional music queen, Nakukubali sana mama, Wewe ni bora kuliko ahsante kwa nyimbo nzuri

  • @matv7116
    @matv7116 4 года назад

    sauti tamu sana dada saida nisikie mtu akisema et diamond kumamake

  • @dr.gregorynganamba1916
    @dr.gregorynganamba1916 5 лет назад +44

    Hongera sana mama yangu kwa kanyimbo kazuriiii

  • @georgemutasingwa9912
    @georgemutasingwa9912 5 лет назад +1

    nzuri sana kwenye sherehe za harusi, Saida anakipaji sana

  • @kahawathungu
    @kahawathungu 5 лет назад +7

    kama kinyarwanda, kama kiganda.... kihaya kinakaribiana sana na hizi lugha mbili.

    • @dedankimathiwakanyoro5461
      @dedankimathiwakanyoro5461 2 месяца назад +1

      actually, it is more of Runyoro/Rutooro, Runyankole/Rukiga. Where i come from , we used to find it suprising that she was Tanzanian

    • @Zamaninasasa
      @Zamaninasasa 2 месяца назад

      Kweli!

    • @Zamaninasasa
      @Zamaninasasa 2 месяца назад

      It goes to show we are all the same.

  • @wangitv
    @wangitv 3 года назад +3

    From München to kenya

  • @masekete
    @masekete 5 лет назад +175

    Aki sisi wana wa 254 twakusherehekea sanaa mummy...... Wapi likes za wakenyaa?

    • @emmanuelwambura8254
      @emmanuelwambura8254 5 лет назад +1

      dada said nakubari nakubkia kwetu nyubni bisarara mukowa wa mara sergnti tunasipdga san ogera mama

    • @josembuzi9068
      @josembuzi9068 5 лет назад

      mayo muno😆😆😆

    • @bachboyamuxa1432
      @bachboyamuxa1432 2 года назад

      Kenyan fans 2na k pnda dada kwa kazi nzuri

  • @naimahmassivepatricia8550
    @naimahmassivepatricia8550 5 лет назад +1

    Mwana wange waiyuka

  • @luciarichard7814
    @luciarichard7814 5 лет назад +2

    wakola mwana wa tata

  • @harunnjogero1828
    @harunnjogero1828 5 лет назад

    Nice one heko dadangu

  • @FranciscaMwikali-k4x
    @FranciscaMwikali-k4x 7 месяцев назад +1

    🔥🔥🔥🔥❤️❤️

  • @datiusdidace2173
    @datiusdidace2173 5 лет назад +31

    aiseeee
    #Wanangu_Wa_Bukoba 100% IJA mulebe saida Yagwakya omulilo aiseeew
    👍👌👌😘

    • @munaongoeliebamongi8128
      @munaongoeliebamongi8128 4 года назад

      Ata sisi DRC tunaipenda sana

    • @munaongoeliebamongi8128
      @munaongoeliebamongi8128 4 года назад

      @@deodatusmushubirizi8157 ndugu lafiki yangu uyu dada music wake unani faridji sana ata nikiusikia njaa nafikra zina kimbiya

  • @vestinakamugisha8125
    @vestinakamugisha8125 5 лет назад

    omkaile magenyiii 🙌🙌🙌🙌🙌bibi yange uwiii sindika saida ila otagwisa ila sijakuona kwny msiba wa Mdogo wako kaka ako Ruge maana najua ni MTU muhimu sana kwako...

  • @elizatarimo2074
    @elizatarimo2074 5 лет назад +27

    hata sielewi lkn nakukubali sana saida....big up

    • @uhakikatv255.
      @uhakikatv255. 5 лет назад

      ELIZA HIYO NINYIMBO YA HARUSI

    • @justerkamugisha5107
      @justerkamugisha5107 5 лет назад +1

      Eliza Tarimo wimbo unasema karibu kuna harusi nyumbani ndivyo wimbo unavyo zungumza

  • @athumangokera8246
    @athumangokera8246 5 лет назад +24

    Nakukubali sana Dada.
    Hahahaaaaa Ebyakala byagaruka

  • @gloryjane4147
    @gloryjane4147 5 лет назад +1

    Usiependa unawivu. Kanyanyua kijiji nan kasiki Jane na shemej😂😂😂😂😂😂😂 wahaya siwaoni gonga like km unamkubali Queen traditional singer

  • @ramadhanifelix7285
    @ramadhanifelix7285 5 лет назад +6

    Daah sielew lakn nyimbo nzurii sana..yaan naskia neno moja tu mbo**

  • @brightchangwe9235
    @brightchangwe9235 5 лет назад +2

    Saida karoli I like yo music style though I don't understand the language, u are the great musicians who represent African, may the Almighty grants u knowledge so that u can go up with yo music,

  • @jumaibrahim7605
    @jumaibrahim7605 5 лет назад +1

    Japokuwa sielewi kihaya lakin ngoma kali

  • @MasaraMwita
    @MasaraMwita 24 дня назад

    Saida nakupenda sana dada

  • @halimatanzani8587
    @halimatanzani8587 5 лет назад

    Ongera sana kanzi nzur

  • @eveliusaudax9050
    @eveliusaudax9050 5 лет назад

    kaz nzuri mama ww tupe mambo

  • @jeninejoname7405
    @jeninejoname7405 4 года назад

    Aisee saida wakola maan jeni hapa obugenyi bulungi

  • @athumanmkolauti1753
    @athumanmkolauti1753 5 лет назад

    huwa napenda sana kazi zako

  • @brendabresh1817
    @brendabresh1817 3 года назад +1

    Nipeni like ya 2021 please this songs inakubalika sana 🔥🔥🔥🔥🔥all the way from +254

  • @mwesigapaul193
    @mwesigapaul193 5 лет назад

    Daaaaah unajua mpaka bas jmn saida

  • @denniskagiri
    @denniskagiri 5 лет назад +31

    From Kenya with love🔥🔥🔥🔥🔥

  • @lilianaudax262
    @lilianaudax262 5 лет назад

    hongera sana dada

  • @hosearwechungura5391
    @hosearwechungura5391 5 лет назад +8

    Wakola muno ma Saida, Omukama abei amoi naiwe!

  • @zainabumchomvu
    @zainabumchomvu Год назад

    Dada nakubali san

  • @aggraypeter.5008
    @aggraypeter.5008 5 лет назад +3

    Njooni hapa mnao elewa hii lugha

  • @matumizitonny1841
    @matumizitonny1841 5 лет назад

    Hongela sana mama nyimbo nzuli sana nimeipenda

  • @ronalddomazo2
    @ronalddomazo2 4 года назад +5

    Shashasha🤗🤗 I don't know the meaning...but am great to hear from you saida..
    I will name my second daughter your name because of love.
    I love this woman from bottom of my heart

  • @GordianAloyce
    @GordianAloyce 8 месяцев назад +2

    Kasinge weit katonda akubere

  • @pladiusclemens301
    @pladiusclemens301 5 лет назад

    byashemela muno saida ubalikiwe Sana nimesikia jina LA mama angu makemi

  • @chimilimanachimilimana3895
    @chimilimanachimilimana3895 5 лет назад

    Na kuku ba li. kweli dada

  • @nickisoninestory1714
    @nickisoninestory1714 5 лет назад

    Dada saida hongera sana

  • @marwabunchu-pp5gn
    @marwabunchu-pp5gn Год назад

    Hii nyimbo nzuri sana

  • @mugidhofranckkaharamugisho2356

    ❤❤❤ nakuamini unajuwa

  • @ericndunda7892
    @ericndunda7892 5 лет назад +38

    Karibu kenya utupe burudani sauti tamu ya kumtoa nyoka pangoni🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 5 лет назад

    nampenda huyu mama ana bidii...alaf video zake nzuri

  • @kawalareagan4792
    @kawalareagan4792 5 лет назад +6

    2019 makofi kwa hiyo wimbo malike zinyeshe kama mvua

  • @anafizohassani7606
    @anafizohassani7606 5 лет назад +8

    Daaah sielewi lakin nakkubali xana mama

  • @wangitv
    @wangitv 3 года назад +1

    Watching from european

  • @atugonzahappiness6379
    @atugonzahappiness6379 Год назад

    Wahaya tupoo👍👍👍👍👍

  • @johnkiriko6936
    @johnkiriko6936 5 лет назад

    Saida karoli unakubalika...wewe ndo mamayao

  • @amirsab1158
    @amirsab1158 5 лет назад +20

    Diamond yuko wapi acopy wimbo huu

  • @maswetabongomovie302
    @maswetabongomovie302 5 лет назад

    Hongera sana

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 3 года назад

    Wahaya juu, juu zaidi....Saida UTABAKI kuwa juu Big up sana

  • @shanisaidy5033
    @shanisaidy5033 5 лет назад

    Nakupenda sana saida

  • @victoramaro9373
    @victoramaro9373 3 года назад +10

    Much love to all African from Massachusetts USA 🇺🇸

  • @macrinamulima5729
    @macrinamulima5729 5 лет назад +4

    Watuletela imunywanyi, wimbo mzuri sana , wapi wahaya wenzangu ❤❤

  • @neemaruta316
    @neemaruta316 5 лет назад

    Nipenda hsante Sayyida

  • @engelbertkiondo4014
    @engelbertkiondo4014 6 месяцев назад

    Lulu hii...kama wa tz hawatambui baraka....

  • @francoyoungstar3235
    @francoyoungstar3235 5 лет назад

    Nakukubali dadaangu akuna anae weza fanya kama wew

  • @sixbertkigomakwetu7416
    @sixbertkigomakwetu7416 5 лет назад +3

    Mwaka kauanz vzri

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 5 лет назад

    Htar sana

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 3 месяца назад

    Mama uko vizuri

  • @NyabangeChirimi
    @NyabangeChirimi 5 лет назад

    Mimi sijui kihaya lakini naipenda sauti ya Saida kweli tupende vya kwetu

  • @Getruda-b8w
    @Getruda-b8w Месяц назад

    Tuwachen wahaya tunaweza

  • @greatiq8234
    @greatiq8234 5 лет назад

    Sauti kama imetaka kukauka, ila ni tamu balaa!

  • @dr.gregorynganamba1916
    @dr.gregorynganamba1916 5 лет назад +117

    Waha na wahaya nyosheni vidoleee juuuu

  • @nikkimilian5740
    @nikkimilian5740 5 лет назад

    Moja Kali sana ya mwaka mpya💕💕💕💕sielewi lakini nimependa💥💥💥👌

  • @JasperKahinga-mp5bg
    @JasperKahinga-mp5bg Год назад

    Tupo vizuri sana Saida kwa utunzi mzuri

  • @merrynesskadadaa9586
    @merrynesskadadaa9586 4 года назад +1

    Kasinge mawe akaziki karungi omanya kutuwakilixha abahaya twena mungu akubele

  • @justinerespicius755
    @justinerespicius755 5 лет назад

    mama yetu kpnz kutoka Bukoba kwa wahaya, hakka unatuwakilsha vyema, big up #saida karoli ,wakola mno ntusiima owamawe, omukama akwebembele

  • @hauwangamirjam9365
    @hauwangamirjam9365 8 месяцев назад +1

    I can't stop listening to your music. Well produced indeed. God bless you more.

  • @OmanOman-gc1zu
    @OmanOman-gc1zu 5 лет назад

    Nakupend mamy.. Unajitum san ukat tamaaa. Tulikumiss san

  • @saidmakoke2711
    @saidmakoke2711 5 лет назад

    kitu HD yaukweli hongera sana Dada Yetu mpendwa

  • @almaarufualmaarufu
    @almaarufualmaarufu Год назад

    Nakukubali sanaaaaaaaaq mayetu saida karori

  • @viacaleb9542
    @viacaleb9542 5 лет назад

    Tunakupenda mama

  • @nayigamariam2310
    @nayigamariam2310 9 месяцев назад +2

    Sweet song always ❤❤❤

  • @ndebilemathias7115
    @ndebilemathias7115 5 лет назад

    safi sana saida ngoma nzuri mungu akubaliki sana

  • @ssalijoseph5280
    @ssalijoseph5280 4 года назад +4

    We love you our dear sister here from Uganda (Buganda) go higher and higher.

  • @simonmwangi1057
    @simonmwangi1057 5 лет назад +1

    Mob love kwasisi huwa hatuelewi usemacho lakini tunapenda, kizuri ni kizuri

  • @yohanamaugila743
    @yohanamaugila743 5 лет назад

    Wajukuu zangu wahaya hebu njooni mtulanslate.

  • @rckkajuna2144
    @rckkajuna2144 5 лет назад

    Wimbo mzr ,,,pongez kwako saida

  • @mamayaoharistar4599
    @mamayaoharistar4599 5 лет назад

    Sauti shwari kabisa 👌👌👌🙏🙏🙏

  • @rweyemamu7503
    @rweyemamu7503 5 лет назад

    Waiyuka naiwe ngoma nzuri

  • @myself4128
    @myself4128 5 лет назад +12

    Huyu ndio mwanamuziki aliyebakia anawakilisha utamaduni wa mtanzania
    Tupilia mbali hao wenye ubongo wa fuleva wanaiga iga tu mara nigeria mara south africa mara america wote feki

  • @johnonkoba895
    @johnonkoba895 5 лет назад

    Saida Dada wa tz hongera magenyi viti hafikaliki👍👍👍

  • @manyaramrema6531
    @manyaramrema6531 5 лет назад +8

    Jamani tumsapot huyu mama

    • @mckoba3342
      @mckoba3342 5 лет назад

      daaa tam sana kama niwe muay nijue anaimba nn

  • @SaidNjenjema
    @SaidNjenjema Месяц назад

    Anafunda mwali uyo,akajali na kueshm wakwe

  • @zamzamhassan4159
    @zamzamhassan4159 5 лет назад

    kipenzi changu big up