UKHTY ASHA | SICHUKII NDOA YA WAKE WA NNE/SIJAOLEWA/UKHTY MWANACHA/DIDA/KENYA.
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- Ni muendelezo mwengine wa Kukusogezea masomaji wa qaswaida nchini Tanzania, leo tumepata nafasi ya kuzungumza na Ukhty Asha, na amezungumza mambo mingi yanayohusu maisha yake kwa jumla lakin pia tasnia ya qaswaida kwa upande wake.
Kwa maelezo zaidi, wasiliana nasi kupitia...
Whatsapp. +255772285543
Call. +255772285543
Mashaa Allah Ukhty Asha Umenifurahisha Karibu Nyumbani (kenya) MOMBASA
Hongera dada Asha,naomba mawasiliano yako,nna habar njema kwako.
Wajina langu Nakupenda,Utafanikiwa tu.kina Asha wazuri mashallah.kikubwa subrah
Thanks kwa interview mzuli ukhty ashaaa ongeza juhud zaid me nipo pamoja na ww muda wote
MashaAllah MashaAllah karibuuu kenyaaa mpenziiii 😍MashaAllah yaniii maneno yako makiniiii dada
Uko vizuri ukhty Asha nakupenda sana by many thu
Mashallah karibu mpenzi Kenya tunakupenda Sanaa mummy ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Tunaomba umlete ukhty Dida...
Upo vzr Dada karibu sanaa nchini Oman uko vzr
Keep it up. MashaAllah
Nawakubali Sana Hawa Dada lakini ukhuty adila namkubali Sana sauty mzuri
Mashallahu ukty nakupenda mamy
MashaAllah ukhty Asha karibu sana kenya
Welcome Kenya ukhty asha twakupenda daa karibu San ❤️❤️🇰🇪
Mm nakukubal sana
Ukhty Asha nakupenda bure
Wee mzury mashalla
Mashaallah
Hongera ukhty asha
Ukhty njoo ukae mathna na mm mume wangu ni mwema sana
Thubutu
Masha Allah
Mashallha uhty asha
Karibu kenya ukhty Asha 🙏🙏🙏❤️❤️🤣🤣
Umeongea kuwa unachangamoto kwenye kurikod mm nakuzamini masuala ya kutia sauti by produser sule
Mung amp nae ukhty huyu ndoa yeny khery nae
Wow😍 wow😍 welcome in Kenya🇰🇪 asha❤ we love you ❣❣
Ahsante
Mnashida ya management,andaeni matamasha kwenye viwanja vikubwa wazenji wanapenda qaswida zenu hasa ile kolabo yenu
Jaman ukhy aisha naomba kujiunga namim kwenye kikund chenu
Mashaallh
A, a ukhty aisha karibu kenya😍😍
Mashalla ukhty asha
Nakukubali kulikoo wotee
Asha naomba kwa rafik yak Adila namhitaji mm nashindwa kumpata namhitaji kwa lengo zur
uko juu dada ang nkupnd bure mmy 😘😘😘upo juuu
Uko vizr mamaaa
Mashaallah jazakallahu khery
Good interv
Ukhty asha karibu kenya
Na mi najua kuimba lakin sijajua nianzie wap ili nitambulike naomba muniunganishe na waimbaji
Ukhty asha natamani kukuona laivuu japo skuu moja
Ma shaalah
Sauti ya dhahabu
ukhty asha naomba nfte pravt nashda na weye
Mashallh🥀
Unastahilii pongezii
Z
Ukhti asha km hujanusuriwa nakuomba uwe mathna wangu.
Ukisapot nijib
Nimekubak
@@saidkipaji6285 sasa we said unakubali vipi wakati n mwanamume? Au unafanya qaumu lutwi?
Me cfanyi hayo mambo said
Ok sawa ishallah
@@abdulhamidhaji5056 🤣
Assalaamu alaikum, naomba munisaidie namba ya ukhty asha naihitaji kwa ajili ya allah
Hatutaki
@@abubakarminya2329 acharoho mbaya mpemwezako number
Uko vizur ukht asha nakukubal
Mashallah naomba namba Yako Tafadhali my sister Asha
Ukoo vizury
Hunampangoo ashaa
Nipo hapa mimi Dr wako nitakuja kuposa
Ukhty Asha
Hongera
Jongera wajina mmnakupenda ucijali
Mm naitaj namba ya ukhty Asha naitaj Kujiunga na group yao tafazal
Sichoki kusikiliza kasida zakoo
💕💕🙏🙏🙏
Rau rahama tashtiti anajikamua vibaya
Dida
Mash Allha sister thank u can u give me u are Jabari yakov pz
Asha mimi mume wangu ana dini nimependa uwe mke mwenzangu naomba ukubali jamanii si unajua nakupenda jamani
@@sharamata1119 my siwezi kulia jamanii nilisha jitolea kiroho safi kabisaaaa
Musije tiana moto tuu😂😂
@@ysherahmad652 hatari Sana hahahahah
Majina yetu yamejariwa na mwenyezi mungu, Asha wengi wacheshi wanaimani,wavumilivu,watafutaji,siyo wahuni,Wanawivuu mno.
Unatk upate faida vp kwn lazm uimbe si usome huko upte ajira yko ya maish
Naweza pata mamba zako nimetumia sm yamtu mi ni latfa naomba namba mpendwa Dada asha ninashida nawe
Ukhty asha upo vizuty
Nammnipo ukhty nawezakuimba utanisaidiaje nataka niunganenanyinyi
Assalam aleykum warahmatullah wabarakatuh, vipi hal, naweza pata namba ya ukhty ASHA tafadhal
Weka yako utatafutwa
Unapnd chpsi nd maan ukaw bonge mhhh mbn unammb mawl kw wkt mmoj
Ukhty asha ile qaswida mloimba na ukhty mwanacha ya ufukara iko wapi mbn sioni youtube
Umenikosha
Ety uke wenza jmny uwiiiiiiiiii uke wenza huuuuuu ndio mungu tu kapanga lkn mmmmh 😂
Umeona eeee
Pili maige
Mm nataka kuji kunga jamani kwa qaswida mm Rukia kutoka mombasa kenya
Please usipuuze
MashaAllah MashaAllah napenda sana kusikiliza qaswida zako Ukhty Asha, je unaweza kunitungia na mimi qaswida nzuri na pia ningeomba nisaidike na nambari yako ya simu tafadhali, yangu mimi ni +254725920186. Ahsante. Mimi ni mkaazi wa Mombasa (Kenya).
Nataman nifanye kaz n wew inshaallah jmn asha
Haha mm ninatk nimzawadie hizo chips
Naomba nambaza huyo bint
ukhty asha .mm naitwa yunus natokea kenya nimetokewa kupendezwa n wewe ..n nia yangu nzuri kwako ..shukran +254708831092
Ingekuwa boar salma yakislam
Masha Allah
Mashaallah
Mashalllah
Mashaallah
Mashaallah
Mashaallah