Kwa huu wimbo ingepaswa zahir apewe to au heshima kubwa ya kipekee kwa sababu ameimba uzalendo wa hali ya juu sana. Mimi hua nikiusikia wimbo huu nasisimka na machozi hua yananitoka na sikuepo katika uwanja wa vita.
Kwenye mpaka wa Uganda na South Sudan,kwenye mpaka wa DRC na Uganda,kijiji cha Koboko alipozaliwa dikteta nduli Idd Amin dada,mashujaa wamerudi wamerudi kishujaa,lengo na nia yetu jamani ilikuwa 1 kuilinda ardhi ye2,tumeweza kujua nani kwe2 ni rafiki na nani kwe2 ni hasidi,yaliyopita si ndwele tugange yanayokuja.
Kwa kweli uzalendo halisi ulikuwa kipindi hicho bwana. huu wimbo ukipigwa lazima machozi yakutoke kama mzalendo wa kweli. Zahir alikuwa anawatia nguvu wanajeshi na kuwafariji watanzania waliopoteza ndugu zao Kwa ajili ya kujitolea kulinda heshima ya Tanzania. Mwl.Nyerere pia alikuwa na influence kubwa katika uongozi.
Ni wimbo unavuta hisia kali hasa kwetu tuliokuwa kidogo tunafahamu yaliyokuwa yanaendelea kipindi cha vita. Navuta kumbukumbu marehemu baba alivyotoa ng'ombe kwa kusupoort vita hivyo.
Taifa letu ni Taifa tukufu ni muhimu kuliko utashi wake mtu mmoja mmoja, Utu wetu, heshima yetu, amani yetu na umoja wetu ni tunu za Taifa hili. Nach law maana ya ardhi, mito na bahari zetu ni urithi wetu muhimu. Rasilimali ni zawadi kuinua uchumi wetu na kujenga Taifa imara kwa maslahi yetu na vizazi zijavyo. Kujitegemea, kujiamini, kuwa wazalendo, kujituma katika kazi, sambamba na kuwa na mtazamo ulio na mawazo huru ni malengo na dira yetu kjelekea kwenye matumaini. Taifa hili tukufu like adhimu sana tumepewa na Mola hivyo tulitunze Mola azidi kutubariki. Tuepuke ubinafsi ni adui mkubwa kwa ustawi wa Taifa hili, tujitume kulijenga bila kuchoka ipo siku watu wa dunia watatutukuza na kutukimbilia, nasi tutaonesha utu wetu kwani nyoyo zetu hazina hasira wala kisasi Bali Ukarimu. Utukufu ni wake Mola alietukirimu Taifa hili la sina yake. Nasi tulithamini Mola asijetukasirikia.
Nakumbuka mwaka 1981,baada ya baba yate kurudi kwenye kambi ya jeshi ya Nachingwea akitokea Uganda alikua na tep yene wimbo huo niliharibu kwa bahati mbaya nilichezea mikanda hatarii .amaungu ailaze roho yake mzee wetu aliyetangulia mbele za haki
Young Zahil Ali sound what a good historic song?Kagera wazazi na cc wenenu tukageuza vichwa kuitazama Uganda, nakuwaacha wenzetu waliopoteza maisha ndani ya nchi ya waganda...wamekufa kishujaa.. Asante Eddie kwa memory.
Poa ndugu Eddie...hapa sauti safi ya Zahir ally-Zorro akiwa na Zacharia tendawema, johnson Mabula, dixon Sharua na Suwas Zozo solo likipigwa na Musa elisha, second solo akiwa jumanne hussein na zuberi kassim, bass akiwepo Daniel kayowa na Harun Mkomwa, drums akiwepo Said mohamed, tumba akiwemo John Ludovic..walikuwa wamekamilika hao
Eddie, Thanks for posting Saad shukurani ka kutuambia nani alishiriki kutuletea uzuri wa wimbo huu. Huyu Bwana Dixson Shalua nilikuwa naye pale Mafinga JKT. Nilipokuwa pale jesheni kwa mujibu wa sheria,na bahati nzuri akawa jirani yangu hapa hapa Mafinga eneo la Changarawe - huyu Bwana amefariki hivi karibuni kule Dar-es-salaam, na mwili wake ukawa umesafirishwa na kuletwa Mafinga kwa ajili ya Mazishi
eddie nashukuru kwa kuniwekea huu wimbo wa 'tumerudi kishujaa' ila cjaona nyimbo kama za polisi jazz, 'mwaka wa watoto', 'nyota na mwezi', 'tuli' na zingine ambazo marehemu moshi william pamoja na marehemu jalala ali walishiriki, 'kabwe wa zahir ali akiwa na kimulimuli ningeupata pia ningeshukuru, halaf kuna zile nyimbo ambazo tabia mwanjelwa alipiga na marquees naomba utuwekee kaka
Fanya subira ndugu yangu.Kila uliyoiomba ikatokea kuwa nnayo,nitai post kila nnaponafasika na uhai ukiwa bado upo.Kuwa tu ukichungulia mara kwa mara tafadhali
Kazi nzuri sana bwana Eddie Nassor. Ila kuna wimbo mmoja hivi wa Mzee Zahir Zorro unaitwa Beatrice..Nimeutafuta sana sijauona. Fanya mambo ndugu na wenyewe tuupate itapendeza zaidi na mibaraka utapata
Asante kwa kutukumbusha tulikotoka,Tutafutie kuna kibao kimoja jina lake silikumbuki vizuri Lakini nakumbuka baadhi ya maneno "Yanasema kama si wewe kijana Tanzania itajengwa na akina nani?" ni wimbo mzuri sana.
Hongera kaka Zahir Zoro, Hapa ulituliza kichwa kweli kuyapanga mashairi, Tuyape heshima zake Majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama, Kipindi hicho kila RAIA wa Tanzania alikuwa na Moyo wa Kizalendo hasa ndiyo maana tulifanikiwa kumng'oa Fashist Nduli Idd Amin.
huyu jamaa ni bingwa wa vipaji kila sehemu anafanya vizuri sana soma vitabu vyake alivyotunga JITU KUMBUKA (kabwe makanika part 1 mpk 3 ) utamkubali twende kwenye filam zote alizocheza ni nzuri Ila naomba unisaidie kitu umri wa zahir ni miaka mingapi mbona kwenye game yupo Siku nyingi na bado ana nguvu zake?na ni kabila gani?
TPDF imetisha...yani walimfuata mpaka kijijini kwake Arua...na ni North ...mbali na Kagera...mmetisha.... ha ha ha eti kazi wamemaliza ...lakini walienda kumpa 'adhabu kidogo' ndani ya mipaka yake... Hivi hizi nyimbo za ki patriotic zipo kweli these days
Kwa huu wimbo ingepaswa zahir apewe to au heshima kubwa ya kipekee kwa sababu ameimba uzalendo wa hali ya juu sana. Mimi hua nikiusikia wimbo huu nasisimka na machozi hua yananitoka na sikuepo katika uwanja wa vita.
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania. Hakika ni Uzalendo uliotukuka
Kwenye mpaka wa Uganda na South Sudan,kwenye mpaka wa DRC na Uganda,kijiji cha Koboko alipozaliwa dikteta nduli Idd Amin dada,mashujaa wamerudi wamerudi kishujaa,lengo na nia yetu jamani ilikuwa 1 kuilinda ardhi ye2,tumeweza kujua nani kwe2 ni rafiki na nani kwe2 ni hasidi,yaliyopita si ndwele tugange yanayokuja.
Kenneth Bahebe Nginilla umenukuu kabisa 😁 hakik yakale nidhahabu
@@halimamageda3218 hahaha ni balaa imenikumbusha mbali hii nyimbo.
Ni kweli kweli mashujaa walokufa walikufa kishujaa Mungu azilaze roho zao maali pema peponi
Kwa kweli uzalendo halisi ulikuwa kipindi hicho bwana.
huu wimbo ukipigwa lazima machozi yakutoke kama mzalendo wa kweli.
Zahir alikuwa anawatia nguvu wanajeshi na kuwafariji watanzania waliopoteza ndugu zao Kwa ajili ya kujitolea kulinda heshima ya Tanzania. Mwl.Nyerere pia alikuwa na influence kubwa katika uongozi.
Asante Sana kimulimuli mmenifanya nimkumbuke hayati mwl Nyerere! Kweli uongozi thabiti na uzalendo tulikuwa nao!
Sana!
@@nestorygodfrey1396 umeona ee!
huu ni wimbo bora kuwahi kutokea asante sana mzee zahir hakika tumerud kishujaa
Ni wimbo unavuta hisia kali hasa kwetu tuliokuwa kidogo tunafahamu yaliyokuwa yanaendelea kipindi cha vita. Navuta kumbukumbu marehemu baba alivyotoa ng'ombe kwa kusupoort vita hivyo.
Hakika kwa ubora wa wimbo huu nashauli wenye mamlaka wampe tuzo ya heshima.
Hatari sana hii nyimbo hisia kali 2023
Taifa letu ni Taifa tukufu ni muhimu kuliko utashi wake mtu mmoja mmoja, Utu wetu, heshima yetu, amani yetu na umoja wetu ni tunu za Taifa hili. Nach law maana ya ardhi, mito na bahari zetu ni urithi wetu muhimu. Rasilimali ni zawadi kuinua uchumi wetu na kujenga Taifa imara kwa maslahi yetu na vizazi zijavyo. Kujitegemea, kujiamini, kuwa wazalendo, kujituma katika kazi, sambamba na kuwa na mtazamo ulio na mawazo huru ni malengo na dira yetu kjelekea kwenye matumaini. Taifa hili tukufu like adhimu sana tumepewa na Mola hivyo tulitunze Mola azidi kutubariki. Tuepuke ubinafsi ni adui mkubwa kwa ustawi wa Taifa hili, tujitume kulijenga bila kuchoka ipo siku watu wa dunia watatutukuza na kutukimbilia, nasi tutaonesha utu wetu kwani nyoyo zetu hazina hasira wala kisasi Bali Ukarimu. Utukufu ni wake Mola alietukirimu Taifa hili la sina yake. Nasi tulithamini Mola asijetukasirikia.
Nakumbuka mwaka 1981,baada ya baba yate kurudi kwenye kambi ya jeshi ya Nachingwea akitokea Uganda alikua na tep yene wimbo huo niliharibu kwa bahati mbaya nilichezea mikanda hatarii .amaungu ailaze roho yake mzee wetu aliyetangulia mbele za haki
😂😂😂😂
Zahir Aly hajawahi kuwa na nyimbo mbaya zote ni hatari tumpe sifa zake angali hai
kiukwl mwenyezi MUNGU azipumzishe roho za marehemu mahali pema peponi ndungu zangu wote walio poteza maisha
Safi sana Zahir na JKT Kimulimuli, tungepata na wimbo wa poleni ndugu zetu wa Kagera ulioimbwa na TPDF Mwenge Jazz wana Paselepa
Mashujaa wetu.
Makubaliano yakafanywa mashujaa nusu wabaki wakirekebisha mambo.
Daaaaaah
TUTAZIKUMBUKA ENZI ZA MWL.TUNGO NGURI AFANDE ZAHIRY ALLY
Tulikuwa tupo Aluwa big up damu za mashujaa hazikupotea bure
Lengo na nia yetu wazazi lilikuwa moja...kuilinda ardhi yetu...thanks TPDF thanks Zahil and company....Thanks Eddie kwa kututunzia kumbukumbu adimu...
Young Zahil Ali sound what a good historic song?Kagera wazazi na cc wenenu tukageuza vichwa kuitazama Uganda, nakuwaacha wenzetu waliopoteza maisha ndani ya nchi ya waganda...wamekufa kishujaa.. Asante Eddie kwa memory.
Karibu tena Sufa
Hii nyimbo sasa inanipa hisia ya vita vinavyoendelea Ukraine(Russia vs Ukraine)R.I.P wanajeshi na raia waliopoteza maisha yao ktk mapambano hayo.
Hongera Jeshi letu tukufu. Midundo hii inanikumbusha mbali nikiwa kidato Cha tatu. 1980
Naungana na wewe sana
Nyimbo murua ya kizalendo, hakika wanamuziki wa enzi hizo walifanya kazi kubwa. Big up Zahir na Kimulimuli hakika tungo zako zitaishi milele.
Kama ningeweza kumpata mkuu wa majeshi Mabeho ningemuomba tumpe nchi akitokea mama kwangu Mimi ni MTU wa heshima sana KWA Tanzania
Wimbo wa pole ndugu zetu wa kagera ukiutaka utaupata kwa jacob usugu wa mza
Wananchi walijitolea kuikomboa ardhi ila vita haina maigizo wengi walipoteza maisha huu wimbo umebaki kama kumbukumbu! Rest in Peace Mashujaa wetu.
UNAJUA mzee zollo
huuu wimbo nimeupenda cna wazee kweli walikuwa vzr cna
Thanks Eddie, nimekumbuka Vita ya Kagera... "Tungo ina falsafa ya hali ya juu sana" Heshima kubwa kwa TPDF
Poa ndugu Eddie...hapa sauti safi ya Zahir ally-Zorro akiwa na Zacharia tendawema, johnson Mabula, dixon Sharua na Suwas Zozo solo likipigwa na Musa elisha, second solo akiwa jumanne hussein na zuberi kassim, bass akiwepo Daniel kayowa na Harun Mkomwa, drums akiwepo Said mohamed, tumba akiwemo John Ludovic..walikuwa wamekamilika hao
Duuh! ahsante ndugu.Ngoja nipost zaidi Saad utushehereshee kaka
Eddie, Thanks for posting Saad shukurani ka kutuambia nani alishiriki kutuletea uzuri wa wimbo huu. Huyu Bwana Dixson Shalua nilikuwa naye pale Mafinga JKT. Nilipokuwa pale jesheni kwa mujibu wa sheria,na bahati nzuri akawa jirani yangu hapa hapa Mafinga eneo la Changarawe - huyu Bwana amefariki hivi karibuni kule Dar-es-salaam, na mwili wake ukawa umesafirishwa na kuletwa Mafinga kwa ajili ya Mazishi
Anthony Kisondella
Mzazi wangu alinisumiria vita ya Uganda na Tz mm ndio nanyolewa nywele
Katika institutions nazoziheshimu Tz ni jeshi letu...
Kabwe
eddie nashukuru kwa kuniwekea huu wimbo wa 'tumerudi kishujaa' ila cjaona nyimbo kama za polisi jazz, 'mwaka wa watoto', 'nyota na mwezi', 'tuli' na zingine ambazo marehemu moshi william pamoja na marehemu jalala ali walishiriki, 'kabwe wa zahir ali akiwa na kimulimuli ningeupata pia ningeshukuru, halaf kuna zile nyimbo ambazo tabia mwanjelwa alipiga na marquees naomba utuwekee kaka
Fanya subira ndugu yangu.Kila uliyoiomba ikatokea kuwa nnayo,nitai post kila nnaponafasika na uhai ukiwa bado upo.Kuwa tu ukichungulia mara kwa mara tafadhali
Inanikumbusha JKT MAFINGA OPERATION TIJA 1980
Miaka ya themanini..inafanya akili itulie tofaut na sasa..thanks
Eddy Naomba kupata ile bendi ilikuws inapiga kwenye hotel ya ..new afrika..walikuwa wanaita ..ngoma za maghorofani...jina nimeisahau..
joel massu mk group
Credit to men and women who wear the uniform of our country - TPDF.
aslay
Kazi nzuri sana bwana Eddie Nassor. Ila kuna wimbo mmoja hivi wa Mzee Zahir Zorro unaitwa Beatrice..Nimeutafuta sana sijauona. Fanya mambo ndugu na wenyewe tuupate itapendeza zaidi na mibaraka utapata
Gerald,acha nipekue nione kama nnao.Na nikiwa nao hapana shaka nitaurusha hewani Mungu akipenda
Eddie Nassor
Inshallar, naamini ukiupata tumeupata pia na sisi.. Mungu akujaalie nafasi na uhai ili uupate..Asante
Hongera mashujaa we2
I like the Solo Guitar.
Thanks Guys.Kweli Walimaliza Kazi Idd Aman Dada, the Field Marshal OUT. Congrats to TPDF, Zahir Ally Zoro Ulifunika
Beautiful song
Hizi ndio nyimbo zetu achana na hizo zenu za kamatia chini
Eddie asante kila siku, ukifanya chochote kumbuka kuna asante ktk kwa Twila, sbb kubwa hii ngoma
Flower Twila Hahahaa,ahsante ndugu
Thanx a lot Eddie Nassor, nilikuwa nitafuta hii nyimbo kama nini. inanikumbusha mbali...... you have a big and golden collection big up and be blessed
Ahsante sana na karibu sana William
Karibu tena William
Jimbo la kizalendo inatukumbisha mbali na uzalendo
Eddie naomba wimbo wa ngozi ya kiti moto wa bantu group hamza kalala
Brother Edd thanks a lot. Be blessed!
Karibu tena Vendedeline
good job Eddy! one more request! kuna wimbo wa vijana jazz-nauliza maana ya Tanga
Asante kwa kutukumbusha tulikotoka,Tutafutie kuna kibao kimoja jina lake silikumbuki vizuri Lakini nakumbuka baadhi ya maneno "Yanasema kama si wewe kijana Tanzania itajengwa na akina nani?" ni wimbo mzuri sana.
thanks for this
Jamani siwezi kuelezea furaha niliyonayo kwa kusikiliza huu muziki.
Asante sana kaka Eddie.
Nitawezaje ku-download kwenye Ipod
Haribu tena ndugu.Nipe e-mail yako naweza kukutumia kama unauhitaji kiasi hicho ndugu!
Eddie Nassor
Asante sana Eddie kwa kujali na kujibu swali langu. Naogopa kuweka email yangu adharani.
Nii in box ndugu
download kwanza kwenye computer yako alafu alafu download itune kwenye hiyo computer then sync na hiyo ipod
Hongera kaka Zahir Zoro, Hapa ulituliza kichwa kweli kuyapanga mashairi, Tuyape heshima zake Majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama, Kipindi hicho kila RAIA wa Tanzania alikuwa na Moyo wa Kizalendo hasa ndiyo maana tulifanikiwa kumng'oa Fashist Nduli Idd Amin.
Nikiwa Forodhani primary school
huyu jamaa ni bingwa wa vipaji kila sehemu anafanya vizuri sana soma vitabu vyake alivyotunga JITU KUMBUKA (kabwe makanika part 1 mpk 3 ) utamkubali twende kwenye filam zote alizocheza ni nzuri Ila naomba unisaidie kitu umri wa zahir ni miaka mingapi mbona kwenye game yupo Siku nyingi na bado ana nguvu zake?na ni kabila gani?
Kigoma nadhani ni mmanyema km co muha
Baba yake ni Singasinga na mama ni mmanyema.
mzee mzima zoro ktk umahili
Jamani jamani jamani!!!
Nautafuta mwanaenzi WA jjb
Eddie nassoro mbona umetuondolea nyimbo za juma bhallo tunakuomba uturudishie kama ilivyokuwa mwanzo
Kaka mwanawe amenishitaki anadai wanakuwa maskini kwa ajili yangu nimeweka nyimbo zao bure hivyo watu hawaendi kununua kwao!
Kaka mwanawe amenishitaki anadai wanakuwa maskini kwa ajili yangu nimeweka nyimbo zao bure hivyo watu hawaendi kununua kwao!
Ninawasikitia askari waliopoteza maisha wakati wakiludi vitani eneo la lukumbulu baada ya loli lao kupinduka
TPDF imetisha...yani walimfuata mpaka kijijini kwake Arua...na ni North ...mbali na Kagera...mmetisha....
ha ha ha eti kazi wamemaliza ...lakini walienda kumpa 'adhabu kidogo' ndani ya mipaka yake...
Hivi hizi nyimbo za ki patriotic zipo kweli these days
Imentoa machozi hii meseji yako!
TPDF dozi waliyompa amini, imefanya majirani wote wanaotuzunguka kuacha chokochoko...sisi sio wagomvi ila ukituchokoza tunakupa makavu.
sasa hivi kuna bongo fleva bana. vurugu tupu.
,jesh
❤❤❤❤❤
Duh, we mtu unatisha; naomba tuwekee na 'kisa cha foto albam' na 'cleopatra' tafadhali!
Upo hewani huo muda mrefu ndugu yangu.Utafute tu hapo utauona
2024
Solol a musa elisha bitebo (muzikmoses)
Asante
Mwenye namba za zahir aly anipe nataka aje cku ya kufungua pub yangu
😢hii nyimbo ipigwe kila siku ya heshima kubwa siyo hizo za kamatia chini zinatakiwa zifungiwe