TAZAMA CLAM VEVO AME GOMBANA NA SHADOW AMAZING KISA UGONJWA WA AKILI\ AME ZUNGUMZA SHADOW KWENYE....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 79

  • @elizabethkinyua5823
    @elizabethkinyua5823 Год назад +2

    Shadow tunapeda,, watching from Kenya,, usirudi nyuma,, tuko twakufuata kabisaaaa,, keep it up,,,

  • @pascalbailo5283
    @pascalbailo5283 Год назад +10

    Clam ndo amemutowa shadow , shadow anajizima data , clam anakuzidi kilakitu

    • @sarahomary3615
      @sarahomary3615 Год назад

      Mbona bado wanaigiza pamoja ila tuu kila mtu Ana page yake mwisho juzi tuu apo wameigiza na Big

  • @kipagomedia6857
    @kipagomedia6857 Год назад +6

    Shadow ushapotea wew clam kakuzidi kila kitu bila clam tusingekujuwa wew acha ubinafsi

  • @AmeliaLatifo
    @AmeliaLatifo 11 месяцев назад +1

    Acha kujizima data cram ndo kakufanya uwemweupe 😂😂😂😂

  • @vivannywizzy908
    @vivannywizzy908 Год назад +1

    Mm sijui kazi anayoifanya uyuu jama kwanza wewe ni changilia tuuu mbumbu🖕🖕🖕🖕🖕

  • @kelvinathuman8545
    @kelvinathuman8545 Год назад +3

    Shadow kumbe ata akili hauna kuanzia Leo baada ya kuandalia hii stakufatilia Tena wew ndo akili hauna fala wewe ovyoo na haujui kitu

  • @fathiyaanwar4535
    @fathiyaanwar4535 Год назад +4

    AACHE UBINAFNS HAPENDENZI KUWA NA UBINAFS.

  • @ramadhanialmasi2779
    @ramadhanialmasi2779 Год назад +2

    Yani mwanangu huwez amini mm cjui hata nyimbo yako moja

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Год назад +5

    Clam kakutoa na ulikuwa hujulikani.acha kiburi chako

  • @AmeliaLatifo
    @AmeliaLatifo 11 месяцев назад +1

    Auna lolote🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @mjel-pathron4676
    @mjel-pathron4676 Год назад +1

    Shadow wew ndo huna akili kiburi tu,, alfu umri mkubwa sio Kuwa na ubongo..Tumbiri tu wew..Much love to Clam from Kenya

  • @yaseen8982
    @yaseen8982 2 года назад +11

    Shadow acha kujidanganya ,clam ndo amekutoa

  • @issamsodoki6782
    @issamsodoki6782 Год назад +3

    Ww acha izo Clam ndo kakuwezesha ww

  • @hasanainially8619
    @hasanainially8619 Год назад +3

    Unajua me nilikuw nashangaa mbon clam na ww mmegawana watu oi broo umefel clam humuwezi kivyovyote kuchekesha ,subscribers hata kindumba emu tuache na clam wetu

  • @fathiyaanwar4535
    @fathiyaanwar4535 Год назад +4

    Wivu tu

    • @joyyjoyy5474
      @joyyjoyy5474 Год назад

      Haki ana wivu na mwenzake mpaka yuasema eti wanao mufuata ni wazimu daa Mungu amusamehe

  • @NyotaChirimwami-ny2yw
    @NyotaChirimwami-ny2yw Год назад +1

    Shadow anajuwa kulico clam

  • @bernardmasangula9358
    @bernardmasangula9358 Год назад +1

    Mshauri aende American got talent boncina

  • @jacquilinenoah949
    @jacquilinenoah949 Год назад +1

    kumbe huyu madread hanaga akili 🤣🤣🤣🤣

  • @fathiyaanwar4535
    @fathiyaanwar4535 Год назад +6

    We wa cha shado umezidiwa na clam nyota ya mtoto iko juu kweli ndio huo.

  • @dinabilemanga1703
    @dinabilemanga1703 Год назад

    Shadow achakumtusi mwenzio kila mtu anaakili

  • @zainabmohammed6700
    @zainabmohammed6700 Год назад +3

    Ila shadow kwa maneno yako ambayo unaongea nahis kam hupo saw n una uchoyo n Clam so vzur so lazim ufany naye kaz kil sku lkn hamtakiw kuachaan kwa vbaya

  • @asiabuswelu8042
    @asiabuswelu8042 Год назад +6

    Sema kweli kupitia Clam watu Weng ndo tumekufahamu Ila tangia utengane na Clam sema kwel mm ata sikufatilii utanisamehe

  • @lulu-xd7to
    @lulu-xd7to Год назад

    Kumbe ndo ulivyo ivyo nimekuchukia

  • @zulfajuma8394
    @zulfajuma8394 Год назад

    Acha majivuno mshukur clam kwa kila kitu, mueshimu anae kueshimisha acha kejeli kwa aliye kuzidi

  • @MitambaAdele
    @MitambaAdele 8 месяцев назад

    shadow we kigeugeu clam kakufanya star alafu una muita chizi hauna shukuranida wanadamu bwana

  • @rigotv1575
    @rigotv1575 Год назад +3

    Shadow kupigwa hamna mtu hapo

  • @khadijahadija5807
    @khadijahadija5807 Год назад

    Et machizii wenzake mungu anakuona

  • @msauzbusiness558
    @msauzbusiness558 Год назад +2

    Ukiwa peke Ako huna maajabu kabisa asee huna

  • @RehemaIsaac-s5x
    @RehemaIsaac-s5x Год назад

    Kua mkweli mbona waongea vibaya

  • @kurugokurugo4095
    @kurugokurugo4095 Год назад +8

    Ila kama una ubinafsi Fulani ivi ndani ya moyo wako kwa clam.

  • @vicentvisent9991
    @vicentvisent9991 Год назад +1

    Shodow #clam umwezi wewe wewe tuna kujua ume toma mlimba bwan ,😄😄😄😄

  • @WilondjaMmasa
    @WilondjaMmasa Год назад

    wewe acha bagi ww clam amekutowa utazima ww

  • @MasoudMaestro-cn5hs
    @MasoudMaestro-cn5hs Год назад

    Yan wew kram humuwez ata uzikir uchi

  • @rigotv1575
    @rigotv1575 Год назад +2

    We fala sana mani

  • @FubbuhTz-nz9rt
    @FubbuhTz-nz9rt Год назад

    Achana na kanumba wa kesho

  • @habilbinmwaju-kd4nm
    @habilbinmwaju-kd4nm Год назад

    Me skukubal hat kidog yaan ww clam ndo bos wko

  • @emmanuelandrea5841
    @emmanuelandrea5841 Год назад +2

    Ilijamaa nipunguani akienderea kuwajuu uyujamaa mniite bwabwa

  • @DeboradoubleStiven
    @DeboradoubleStiven Год назад

    Akuna shabikiako

  • @mohdhababi4986
    @mohdhababi4986 Год назад +2

    Mm nakushauri shadow we w clam mm kicheza pamoja munahiti hatary kwaiyo nakushauri mungekuwa sawa hapendezi ivooo unashuka haziii sababu we ni Mt unaeonekana uko vizur nawakubali nyote fanyeni kazi pamoja kaka

  • @hasanainially8619
    @hasanainially8619 Год назад +2

    Inshort ww na clam .clam unajua sana tena sana

  • @fredkambole-jt9xi
    @fredkambole-jt9xi Год назад

    Shadow tuliya usisikilize watu wanavwo sema muki fanya commende Na clam uwaga inakuwa imependeza sana, Na wewe unajulikana kupitiya clam njo mana ata watu wakisema kwamba clam njo ana kuinuwa usijali yafumbiyetu macho, natu ju maendeleo inaoneka njo muache kufanya pamoja apana munge endelea nama fanyikio ingé endelea kuwa masuri sana namunge fanya kintu kikubwa sana Nami penda sana mweto bawili!, from Lusaka Zambie !.

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 Год назад +1

    Na clam Sasa hv yupo na yule mbwa kicheche kwa Sasa humpati tena

  • @FatakiFabien-co2qs
    @FatakiFabien-co2qs Год назад

    Kaka shando husikatiswe tama mimi nakuku balisana hâta clam Vevo hakushindi hakili

    • @elizabethkinyua5823
      @elizabethkinyua5823 Год назад

      Ni ukweli kabisaaaa,, MUNGU alikuwa amempangia kila kitu ,wala siyo clam amefanya ajulikane,, shadow amini MUNGU pekee ,huwezi tegemea binadamu maisha yote,, yote yawezekana ukimwamini MUNGU🙏🏼 watching from Kenya utatajirika saidi,, keep fire burning,,,🔥🔥🔥🔥

  • @mwaserarashid5451
    @mwaserarashid5451 Год назад +2

    Wacheni kuwagombsnisha hawa watu

  • @zenamtembezi4921
    @zenamtembezi4921 Год назад +1

    Mbona nikama unamchukia hv clam

  • @kasumumbobo8684
    @kasumumbobo8684 Год назад

    Rudin,tena

  • @kaka.kahete7803
    @kaka.kahete7803 Год назад +2

    Mbona sio Mr bigi bigi

  • @frankamos8388
    @frankamos8388 Год назад +1

    Unazingua mzee biracram watazania wasingekujua

  • @marthamwenda8424
    @marthamwenda8424 Год назад +2

    Mmmh shadow

  • @ranboyyaliy
    @ranboyyaliy Год назад +1

    Brother hella Kwanza maneno hayana maana

  • @mickdad8309
    @mickdad8309 Год назад +1

    Yn we jamaa nlikuwa nakukubali because ya clam lakin kwasabab ya pumba unayoongea aaah nmekufuta nigga c mshabiki wk me kiazia Leo na ninafuta RUclips kwenye account yng

  • @mikaelamri
    @mikaelamri Год назад +1

    Ume zingua shadow

  • @hasanainially8619
    @hasanainially8619 Год назад +1

    Mtangazaj unafel nan anamkubali huyo mtu

  • @swahiliplate466
    @swahiliplate466 Год назад +1

    Nakubali shadow ukosawa kufanya kazi kiviako pia nausichaganywe na watu mkakosane nyi no ndugu

  • @lewiktesh
    @lewiktesh Год назад

    Clam dio amekutoa acha hso wew

  • @azuarazime
    @azuarazime 11 месяцев назад

    Chado hako sawa

    • @azuarazime
      @azuarazime 11 месяцев назад

      Big zito MZ chado hawko sawa anatwo engoya

  • @airinistivini671
    @airinistivini671 Год назад +2

    Hongeraa

  • @yohanaraphael8081
    @yohanaraphael8081 Год назад

    Uyo muong

  • @chinaboyzanzibar5328
    @chinaboyzanzibar5328 Год назад

    HELLO MY BROTHERS COMEDIAN FROM TZ NEVERY JUDGE ANYONE JUST PRAY FOR UR COMEDIAN BROTHERS MY ALLAH WILL BLESSED YOU I AM LIVING IN UK 🇬🇧 BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA I LOVE TZ PEOPLE AND I AM PROUD OF THEM MY PARENTS FROM TZ AND I AM BORN IN KENYA 🇰🇪 MOMBASA. MY FATHER AND MY MY MOTHER THEY PASSED AWAY FROM THIS WORLD 🌎 😢😢😢😢😢MY ALLAH PUTIN HEAVEN JAANAT FIRDOUSH INSHALLAH AMEEN AMEEN AMEEN. PLS LOVE EACH OTHER U DONT NO WHO WILL COME HELP U WHEN U GET PROBLEM OR I DONT HAVE ANYTHING NO MONEY NO JOBS NO HOUSE NO FOOD MY BROTHERS COMEDIAN NEVERY JUDGE ANYONE THAT'S MY WIRDS FROM BOTTOM OF MY HEART UR BROTHER CHINA-BOY. SHADOW AND CLAMI CAN HELP EACH OTHER BUT DONT JUDGE ANYONE ALLAH IS NOT HAPPY IF ANYONE JUDGE ANYONE TO FAY U HAVE JOB AND HOUSE TOMORROW ALLAH TAKE EVERYTHING FROM U WHAT WILL U DO THAN U WILL SAY TO ALLAH WHAT HAVE U DONE TO ME BECAUSE OF U JUDGE UR BROTHERS AND UR FRIENDS THAT WILL COME TO U EVERYTHING YOU SAY BAD WORDS ABOUT ANOTHER PERSON U WILL PAID MY WORDS SAY GOOD WORDS ALWAYS FORGIVE ME IF I SAY ANYTHING TO HURTS YOU MY COMEDIAN HELP EACH OTHER 😢😢😢😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤❤CHINA-BOY FROM LONDON 🇬🇧 BYE.

  • @roimenimatingoi5390
    @roimenimatingoi5390 Год назад

    Acha ujinga machiz wenzake ukihojiw try to smart

  • @chinaboyzanzibar5328
    @chinaboyzanzibar5328 Год назад

    I HATE PEOPLE WHO HURT ANOTHER COMEDIAN THAT'S TOO SAD LOVE EACH OTHERS I HAVE IDEAS OF KISWAHILI COMEDIAN BUT I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON SO I DONT HAVE TIME BUT I AM ALWAYS PRAYING TO TZ COMEDIAN MY ALLAH BLESSED THEM REMEMBER ME IN UR DUAS UR BROTHER CHINA-BOY FROM LONDON 🇬🇧

  • @yussouphluambo959
    @yussouphluambo959 Год назад +1

    dAh huyu jamaa nilikua namuonaga mwana kumbe mwanamisi kumamae zake anaongea nn vitu vya honyo namna hii

  • @prriya507
    @prriya507 Год назад +3

    Shadow acha kuita Wat machix hao fans wa Clam Ndio hao Ambao upo NAO katik Harakat za Maisha Kila Siku Bakiza baba Hakiba ya Maneno 😥

  • @lulu-xd7to
    @lulu-xd7to Год назад +2

    Mimi nampenda clam na uchizi wake wote alafu wewe mwenye akili ata sikupendi

  • @مكتومالدرعي
    @مكتومالدرعي Год назад

    Jaman tz hamfiki mbali voo mkiaza safali mnagombana

  • @abdulmalikabdul6261
    @abdulmalikabdul6261 Год назад +2

    Jamaa nilikuwa namuheshim kmbe ni matako hvo😂😂 akili hana chizi hyo....hana alichomzidi clam hta kimoja..clam ni talented af ni hustler....cha kumshaur aache kiki aache kazi ziongee

  • @omaryshaban6500
    @omaryshaban6500 Год назад +1

    Huna maajabu wew

  • @jenipetro2866
    @jenipetro2866 Год назад

    Unachukua na clam

  • @issaskighanga3199
    @issaskighanga3199 Год назад +2

    Hongera sn shadow nakubali