Unabii huu nimeuelewa umejaa kweli ya MUNGU Baba Muumba wetu. 🎉🎉🎉🎉🎉Na ukatimie kwa jina la Muumba wetu kwa Utukufu wake mwenyewe.🎉🎉🎉🎉🎉 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mimi ni nani hata nichallenge unabii kama huu! Kama huu unabii ni wa Mungu, utasimama! Nashauri sana sana , Watu wasikatae katae tu jumbe kama hizi, Kama kuna pa kutengeneza , basi patengenezwe! Hayuko mkamilifu chini ya jua
Sababu Wewe ni binadamu mwenye akili, roho, ufahamu na maarifa vyote hivyo hata zaidi umeumbiwa na Mungu ili uvitumie usilaghaiwe na binadamu yeyote. Ndiyo maana Mungu ametuumba kwa mfano wake na sura yake. Hajatupa akili na uwezo wa kufahamu mambo ili tuvifungie kabatini bali tuvitumie kwa faida yetu hapa duniani. Huwezi kuamini kila limalosemwa nabinadamu bila kulipitisha kwenye mchakato wako kwanza. Uwezo huo tumeumbiwa na Mungu ili tuutumie. Na yeye anatusaidia zaidi kuchambua pumba na chuya kama tukimuuliza kwa unyenyekevu pale tunapokwama. Siyo kupokea kila kitu bila ku question uhalisia wake ....no way.
Si kila jambo baya likitokea ni adhabu ya Mungu. Yawezekana labisa Mungu yuko kazini kuamwandaa mtu kuchukua nafasi kubwa ya kiongozi katika taifa. Si kila changamoto ni adhabu bali nyingine ni za kufundishia au kuokoa. Nyingine ni za kupandishia ngazi au kuvusha hatua. Kila mpango wa Mungu una ngazi nasababu zake. Tuombe uzima na afya njema.
Yuko sahihi sana,vifo vingine ni adhabu ya Mungu maana unakua umeyatenda mambo yanayomchukiza yeye na endapo utakiri uovu wako Mungu anasamehe nakukunusuru na adhabu hiyo.Mungu hupitia wanadamu kutimiza malengo yake,nautakapokiri basi atakunusuru kwakukuwekea nguvu yake yaulinzi nakukutakasa nakila Baya lililopangwa nahao wanadamu waliokua wakuadhibu ww litashindikana kwanjia yoyote Ile
@@elijahmathias8745 lakini kifo cha Magu amekitaja kama adhabu ya Mungu. Hivi kweli kwa mtizamo wako na analysis zako unaona kazi zote kubwa na za kipekee alizofanya Magu kwenye taifa letu hili kwa muda mgupi hazikumpendeza Mungu? Kutetea wanyonge na kuwapa sauti ilikuwa kosa kwa Mungu? Kurejesha baadhi rasilimali za taifa kwa watanzania ilimchukiza mungu? Kujenga miundombinu na kusimamia pesa na rasilimali za taifa lake zisizolewe hovyo ilimchukiza Mungu? au ni binadamu? Kudhibiti rushwa na kijenga nidhamu maofisini ilimuudhi Mungu? Kuimarisha uchumi na kudhibiti mfumuko wa bei hasa za vyakula ilimuudhi Mungu? Kuimarisha mashule na mahospitali kwenye taifa lake kwa ajili ya wanyonge ilimuudhi Mungu? (Sababu wakubwa walipelewa nje kutibiwa) Kuzuia matumizi mbaya ya fedha za uma na.kuzuia safari za nje zisizo na ulazima ilimuudhi Mungu? Kweli? Kama una akili nzuri na moyo mzuri na uzalendo na unadhani unafahamu Mungu anayofanya kazi basi jitafakari mara mbili au tatu. Magu alionesha mfano wa kuwa kiongozi bora kwa vitendo siyo maneno matupu. He was a person of his word....akisema anatimiza. He was a legend a true son of Africa. We re Very proud of him Tusipotezane kwenye hilo.
@@elijahmathias8745 acha hizo za kiafrika jamani. Si rahisi kujua Mungu anavyofanya kazi zake kama hujamsoma kiroho na kimaarifa ya hali ya juu na akufunulie mwenyewe kile anachotaka ujue. Kuhusu vifo Unaweza kuhukumu kwa makosa makubwa sababu hujui makusudi ya mungu juu ya maisha ya binadamu wake. Hujui nani kaandikiwa nini na wakati gani na hujui njia anazotumia Mungu juu ya kuandaa binadamu kwa Kazi zake. Kila.mtu ana kitabu chake kimeandikwa, wewe na Mimi hatuwezi kujua kilichoandikwa. Hata babake David kwenye biblia hakujua habari ya mtoto wake. Hata kina Joseph hawakujua habari ya ndugu yao. Hayo tumwache Mungu tusinyooshe midomo sana. Hatuwezi kusema magu alihukumiwa na kunyang'anywa nguvu na.Mungu. No way. Una uhakika gani? Tuache kumchukiza Mungu kwa kuingilia kazi zake ambazo hatujui maana yake
@@elijahmathias8745 hakuna..hayuko sahihi hata kidogo. Huo ni ubabaishaji kabisa. Hawezi kusema atii Makonda kunyanganywa nguvu kama adhabu wakati yuko na nguvu kubwa zile zile na huenda zikapanda zaidi, hatujui mipango ya Mungu. Na Polepole? Hajui kuwa ni balozi na kapata nguvu zaidi katika ngazi za kimataifa? Hatujui ya kesho huenda mungu anamwandaa kuwa rais wa taifa hili.....who knows? Ukizingatia ni katika viongozi wazalendo wa ukweli wachache sana katika taifa hili la Mungu. Hatujui ya mungu hue.da anamwandaa kwa nafasi kubwa ikulu. Uwezo mkubwa anao na maarifa anayo na uthubutu wa kukemea maovu anao. He is young and very smart...fit for the big job. Anayebish hajitambui tuta question elimuna weledi wake.
Atamshauri nini kiongozi kama H. Polepole au Makonda au Ndungai? Kwa lipi? Wako wachache sana viongozi wenye ushupavu na uthibutu kama hao Labda wengine kama anao.
Mtumishi usisahau.kuwa madaraka maana yake ni nguvu. Madaraka mengi huwa ni ya muda lazima yana ukomo. Ukomo wa madaraka si lazima iwe adhabu ya kunyang'anywa nguvu na Mungu...hapana. Au kifo cha Magufuli umekisema kama vile ni adhabu ya Mungu. Sikubaliani na wewe kwa mtizamo wakp huo. Madaraka ya kisiasa huwa ni kupokezana vijiti na anayeachia si adhabu ya Mungu kama navyotafsiri wewe. Mbona watu wanakufa kila siku na sote tutakufa? Huo ni wajibu siyo adhabu. Sikatai kuwa Mungu wetu yuko kazini ana mamlaka makuu, bali nakataa kufanya kifo kama ni adhabu ya Mungu.
Mtumishi uchwara Viongozi wengi wa Dini Kwa Bara la Africa ndio wanao zalisha haya wanachelewesha maendeleo kwa kuwahusia watu uoga na kwamba Mungu atawasadia kwa kuto timiza wajibu wao wa ki Mungu Dunia ni uwanja wa vita kila mtu anawajibu wa kupambana
@@mozesamizi931 si kweki. Mungu wetu ni wa upendo sana hana chuki bali huwa anatoa nafasi kwa watu lujirekebisah kama walikosea ili waingie kwenye ufame wa mungu. Mtu kama Magu alifanya mambo makubwa na mazuri sana kwa taifa hili ya kukumbukwa milele na Mungu hupendezewa na viongozi kama hawa wanaotetea wanyonge kwa nguvu zao. Hata kama alikosea mahali kama binadamu lakini aliyofanya kwa taifa hili ni makubwa zaidi na hayawezi kusahaulika. Hakuhukumiwa na Mungu bali binadamu mafisadi na walarushwa wenye chuki, waliokatiwa maslahi yao binafsi. Hilo halipingiki. Alitengenea maadui katika kutimiza wajibu wa kulinda na kuheshimisha taifa hili. Tunakumbuka kwa wema milele yote.
NI kweli kabisa. Ila vipngozi aliowachafua ni wazalendo, wakienda haki, wenye maono na uwezo mkubwa wa kuongoza kwa uadilifu nauthubutu bila kuogopa wala unafiki. Sasa sijui kwanini amewataja kuwa wameadhibiwa na Mungu wakati bado wako na hizo nguvu za kiuongozi. Hapo naona kuna hitilafu kubwa kwenye maono yake yeye kama yeye.
Hakuwaondoa Mungu. Ni Shetani kawapiga vita hao. Unaonekana nawewe haujui. HAWAKUONDOLEWA NA MUNGU.. SEMA UKWELI JAKOUB. MAGUFULI ALITENDA MAOVU? YANI HUWA NAKUSIFU,LAKINI KUHUSU HILI NAKUDHARAU KABISA
Hivi nyie makanisa uchwara mbona munawavisha watu upumbavu sana,ISRAEL Sio wajinga wanapo pambana na Adui mwovu Mwenyezi Mungu afungamani na watu wanyonge anataka watu wapambanaji.
Unabii huu nimeuelewa umejaa kweli ya MUNGU Baba Muumba wetu. 🎉🎉🎉🎉🎉Na ukatimie kwa jina la Muumba wetu kwa Utukufu wake mwenyewe.🎉🎉🎉🎉🎉
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Amen. Na Mungu Mwenyewe Akaonekane kipindi hiki.ili watu wakajue kuna Mungu Tanzania.
Uonevu ni too much kuanzia kwenye haki za wananchi
amina mtumishi usichoke kuongea sisi tunasubiri unabiii kwako 😊
Mimi ni nani hata nichallenge unabii kama huu!
Kama huu unabii ni wa Mungu, utasimama!
Nashauri sana sana ,
Watu wasikatae katae tu jumbe kama hizi,
Kama kuna pa kutengeneza , basi patengenezwe!
Hayuko mkamilifu chini ya jua
Sababu Wewe ni binadamu mwenye akili, roho, ufahamu na maarifa vyote hivyo hata zaidi umeumbiwa na Mungu ili uvitumie usilaghaiwe na binadamu yeyote.
Ndiyo maana Mungu ametuumba kwa mfano wake na sura yake. Hajatupa akili na uwezo wa kufahamu mambo ili tuvifungie kabatini bali tuvitumie kwa faida yetu hapa duniani.
Huwezi kuamini kila limalosemwa nabinadamu bila kulipitisha kwenye mchakato wako kwanza. Uwezo huo tumeumbiwa na Mungu ili tuutumie. Na yeye anatusaidia zaidi kuchambua pumba na chuya kama tukimuuliza kwa unyenyekevu pale tunapokwama.
Siyo kupokea kila kitu bila ku question uhalisia wake ....no way.
Hawasikii
Wanamaker Hawaoni.
Wanamasikio Hawasikii.
Wanaubongo, Umefunikwa Ubongo hawana ufahamu. Wanawayawaya hawajitambui
Nakuelewa sana mtumishi
Unasema kweli nabii, viogozi wengine wanajiona mungu watu, ila mungu at simama.
Si kila jambo baya likitokea ni adhabu ya Mungu. Yawezekana labisa Mungu yuko kazini kuamwandaa mtu kuchukua nafasi kubwa ya kiongozi katika taifa.
Si kila changamoto ni adhabu bali nyingine ni za kufundishia au kuokoa. Nyingine ni za kupandishia ngazi au kuvusha hatua.
Kila mpango wa Mungu una ngazi nasababu zake. Tuombe uzima na afya njema.
Yuko sahihi sana,vifo vingine ni adhabu ya Mungu maana unakua umeyatenda mambo yanayomchukiza yeye na endapo utakiri uovu wako Mungu anasamehe nakukunusuru na adhabu hiyo.Mungu hupitia wanadamu kutimiza malengo yake,nautakapokiri basi atakunusuru kwakukuwekea nguvu yake yaulinzi nakukutakasa nakila Baya lililopangwa nahao wanadamu waliokua wakuadhibu ww litashindikana kwanjia yoyote Ile
@@elijahmathias8745 lakini kifo cha Magu amekitaja kama adhabu ya Mungu. Hivi kweli kwa mtizamo wako na analysis zako unaona kazi zote kubwa na za kipekee alizofanya Magu kwenye taifa letu hili kwa muda mgupi hazikumpendeza Mungu? Kutetea wanyonge na kuwapa sauti ilikuwa kosa kwa Mungu? Kurejesha baadhi rasilimali za taifa kwa watanzania ilimchukiza mungu? Kujenga miundombinu na kusimamia pesa na rasilimali za taifa lake zisizolewe hovyo ilimchukiza Mungu? au ni binadamu?
Kudhibiti rushwa na kijenga nidhamu maofisini ilimuudhi Mungu? Kuimarisha uchumi na kudhibiti mfumuko wa bei hasa za vyakula ilimuudhi Mungu? Kuimarisha mashule na mahospitali kwenye taifa lake kwa ajili ya wanyonge ilimuudhi Mungu? (Sababu wakubwa walipelewa nje kutibiwa)
Kuzuia matumizi mbaya ya fedha za uma na.kuzuia safari za nje zisizo na ulazima ilimuudhi Mungu? Kweli?
Kama una akili nzuri na moyo mzuri na uzalendo na unadhani unafahamu Mungu anayofanya kazi basi jitafakari mara mbili au tatu.
Magu alionesha mfano wa kuwa kiongozi bora kwa vitendo siyo maneno matupu. He was a person of his word....akisema anatimiza. He was a legend a true son of Africa. We re Very proud of him
Tusipotezane kwenye hilo.
@@elijahmathias8745 acha hizo za kiafrika jamani. Si rahisi kujua Mungu anavyofanya kazi zake kama hujamsoma kiroho na kimaarifa ya hali ya juu na akufunulie mwenyewe kile anachotaka ujue.
Kuhusu vifo Unaweza kuhukumu kwa makosa makubwa sababu hujui makusudi ya mungu juu ya maisha ya binadamu wake. Hujui nani kaandikiwa nini na wakati gani na hujui njia anazotumia Mungu juu ya kuandaa binadamu kwa Kazi zake. Kila.mtu ana kitabu chake kimeandikwa, wewe na Mimi hatuwezi kujua kilichoandikwa. Hata babake David kwenye biblia hakujua habari ya mtoto wake. Hata kina Joseph hawakujua habari ya ndugu yao. Hayo tumwache Mungu tusinyooshe midomo sana.
Hatuwezi kusema magu alihukumiwa na kunyang'anywa nguvu na.Mungu. No way. Una uhakika gani? Tuache kumchukiza Mungu kwa kuingilia kazi zake ambazo hatujui maana yake
@@elijahmathias8745 hakuna..hayuko sahihi hata kidogo. Huo ni ubabaishaji kabisa. Hawezi kusema atii Makonda kunyanganywa nguvu kama adhabu wakati yuko na nguvu kubwa zile zile na huenda zikapanda zaidi, hatujui mipango ya Mungu. Na Polepole? Hajui kuwa ni balozi na kapata nguvu zaidi katika ngazi za kimataifa? Hatujui ya kesho huenda mungu anamwandaa kuwa rais wa taifa hili.....who knows? Ukizingatia ni katika viongozi wazalendo wa ukweli wachache sana katika taifa hili la Mungu.
Hatujui ya mungu hue.da anamwandaa kwa nafasi kubwa ikulu. Uwezo mkubwa anao na maarifa anayo na uthubutu wa kukemea maovu anao.
He is young and very smart...fit for the big job.
Anayebish hajitambui tuta question elimuna weledi wake.
Asante tunamngoja Bwana atutimizie mema aondoe uovu ktk nchi uovu imekuwa kanuni ya CCM
Mikaya,mikaya,mikaya sema, baba
unabiii utimie 🎉
Mungu angiliye kati kweli Tanzania mateso
Hivi kwanini kama unauchungu na nchi hii kwanini usitoe huo ushauri kwa wahusika moja kwa moja?!!
Ndo anawaeleza.wanamsikia
Atamshauri nini kiongozi kama H. Polepole au Makonda au Ndungai? Kwa lipi? Wako wachache sana viongozi wenye ushupavu na uthibutu kama hao
Labda wengine kama anao.
Amina na iwe hivyo kama Bwana alivyo kufunulia
Mtumishi Hana kitu.
Acha kukumbusha,mtumishi,usijichoshe Tena nakushauri Wacha
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mtumishi usisahau.kuwa madaraka maana yake ni nguvu. Madaraka mengi huwa ni ya muda lazima yana ukomo. Ukomo wa madaraka si lazima iwe adhabu ya kunyang'anywa nguvu na Mungu...hapana. Au kifo cha Magufuli umekisema kama vile ni adhabu ya Mungu. Sikubaliani na wewe kwa mtizamo wakp huo.
Madaraka ya kisiasa huwa ni kupokezana vijiti na anayeachia si adhabu ya Mungu kama navyotafsiri wewe. Mbona watu wanakufa kila siku na sote tutakufa? Huo ni wajibu siyo adhabu. Sikatai kuwa Mungu wetu yuko kazini ana mamlaka makuu, bali nakataa kufanya kifo kama ni adhabu ya Mungu.
Huyu bwana mhuni tu
Ni kweli sote tutakufa lakini kuna kufa kabla ya wakati, pia zingati, Mungu anaweza fupisha siku zako, akiona huendi sawa na mapenzi yake
Mtumishi uchwara Viongozi wengi wa Dini Kwa Bara la Africa ndio wanao zalisha haya wanachelewesha maendeleo kwa kuwahusia watu uoga na kwamba Mungu atawasadia kwa kuto timiza wajibu wao wa ki Mungu Dunia ni uwanja wa vita kila mtu anawajibu wa kupambana
@@mozesamizi931 si kweki.
Mungu wetu ni wa upendo sana hana chuki bali huwa anatoa nafasi kwa watu lujirekebisah kama walikosea ili waingie kwenye ufame wa mungu.
Mtu kama Magu alifanya mambo makubwa na mazuri sana kwa taifa hili ya kukumbukwa milele na Mungu hupendezewa na viongozi kama hawa wanaotetea wanyonge kwa nguvu zao. Hata kama alikosea mahali kama binadamu lakini aliyofanya kwa taifa hili ni makubwa zaidi na hayawezi kusahaulika.
Hakuhukumiwa na Mungu bali binadamu mafisadi na walarushwa wenye chuki, waliokatiwa maslahi yao binafsi. Hilo halipingiki. Alitengenea maadui katika kutimiza wajibu wa kulinda na kuheshimisha taifa hili. Tunakumbuka kwa wema milele yote.
Kama nikweli uyomfugaji c afetuu😂😂😂
𝙰𝚖𝚎𝚗𝚒 𝚞𝚖𝚎𝚎𝚕𝚎𝚠𝚎𝚔𝚊 𝚜𝚊𝚗𝚊
Na kusudi la mungu litimizwe
Hakika ila kwa mitixamo ya kimungu siyo ya kibinadamu
Mungu afanye
Afanye nini?
😊
Na iwe hivyo,Tena angeliwaisha,nabii zako zikitimia mtumishi,wewe ni kiboko wa unabii,tunasubiri,Kuna ulee mh,yaani nasubiria sana
Na iwe kweli mungu tuokoe. Watanganyika tumemyonywa vya kutosha
NI kweli kabisa. Ila vipngozi aliowachafua ni wazalendo, wakienda haki, wenye maono na uwezo mkubwa wa kuongoza kwa uadilifu nauthubutu bila kuogopa wala unafiki. Sasa sijui kwanini amewataja kuwa wameadhibiwa na Mungu wakati bado wako na hizo nguvu za kiuongozi. Hapo naona kuna hitilafu kubwa kwenye maono yake yeye kama yeye.
Pls pray for My Grandson Arjun Bharya age 11 can't walk feed speak please pray Heal Bless Him we are in Tanzania East Africa.
May God heal him
May God heal Arjun in Jesus name.
Mafuta akili zangu
Niko wa pili kasulu moja
Zijaribuni hizo roho huyu bwana kila akiota ndoto anashika mc kuongea omba tujue vita wapatestina watakua lini huru
Ni mda tu ndio utasema,
Unabii huu una nia ya kutoa tahadhali au kujenga uoga katika kuongoza watanzania ?
Wacha yatokee, tanganyika yetu iwe huru...
Yepi hayo yatokee?
Hakuwaondoa Mungu.
Ni Shetani kawapiga vita hao.
Unaonekana nawewe haujui.
HAWAKUONDOLEWA NA MUNGU..
SEMA UKWELI JAKOUB. MAGUFULI ALITENDA MAOVU? YANI HUWA NAKUSIFU,LAKINI KUHUSU HILI NAKUDHARAU KABISA
Acha uchizi wewe 😢
Niko wakwanza
Hivi nyie makanisa uchwara mbona munawavisha watu upumbavu sana,ISRAEL Sio wajinga wanapo pambana na Adui mwovu Mwenyezi Mungu afungamani na watu wanyonge anataka watu wapambanaji.
Israel hii ya mashoga au nyingine? 😅