PROPHET IPM AFICHUA KANUNI 5 ZA UTAJIRI ,HIZI NI NJIA NGUMU ZA KUPATA UTAJIRI UKIFANYA HIVI LAZI...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 36

  • @mosesdavid-vm5hk
    @mosesdavid-vm5hk Месяц назад +2

    Kafara (kutoka neno la Kiarabu) ni kitu chochote kinachotolewa kuwa ni sadaka kwa Mwenyezi Mungu, kwa miungu, kwa pepo au kwa mizimu ili kuepuka balaa, madhara na maafa au kupata fadhili fulani.

  • @MartinNelson-g7r
    @MartinNelson-g7r Месяц назад +1

    Mungu ni mungu wa kanuni nakubar sana

  • @LonnieThomas-v4s
    @LonnieThomas-v4s 12 дней назад

    Hernandez John Davis Jason Rodriguez Barbara

  • @MartinNelson-g7r
    @MartinNelson-g7r Месяц назад +1

    Uko vzr ipm mpumbavu hawezi kuelewa tafuta hekima utaelewa mungu azidi kukubariki ipm

  • @jastinarts
    @jastinarts Месяц назад +1

    Nakubari kaka

  • @EmanuelKessy-p2p
    @EmanuelKessy-p2p Месяц назад +1

    Kaka naomba unielekeze sadaka ya kuchinja inatolewaje???

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 17 дней назад

    Nakuelewa

  • @jastinarts
    @jastinarts Месяц назад +1

    Anaeuliza maswali yuko smart sana

  • @LidyaPeter-u6k
    @LidyaPeter-u6k Месяц назад

    mungu akuzidishie nguvu

  • @eliudolekete7891
    @eliudolekete7891 Месяц назад

    Nimekuskiza Sana na nmekuelewa, Kuna ukweli mtupu apo kwa kuchinja ila utaratibu na maelekezo ya kanuni ya kafara ipasavyo ndio siri kubwa ambayo hatuelewi

  • @BrianKathurima-b8s
    @BrianKathurima-b8s Месяц назад

    Mungu hakubariki sana

  • @AndrewMayende-z5b
    @AndrewMayende-z5b Месяц назад

    Amen

  • @HyrieneAkinyi
    @HyrieneAkinyi Месяц назад

    Kabisa Amen

  • @omar-zw9bw
    @omar-zw9bw Месяц назад

    Nakupenda kinoma

  • @picksonchris2059
    @picksonchris2059 Месяц назад

    Kweli prophet

  • @hanamakamba373
    @hanamakamba373 Месяц назад

    Nikweli

  • @BossMallya-mi7ru
    @BossMallya-mi7ru Месяц назад

    Ayo yakuchinja umenikumbusha mazur sana 100:%

  • @MengiMeng-fd7sq
    @MengiMeng-fd7sq Месяц назад

    Wasikuchoshe bwana😂😂😂😂

  • @K-go1qj
    @K-go1qj Месяц назад

    Zijaribuni kila roho

  • @paulmuinde30
    @paulmuinde30 Месяц назад

    Na maskini akitaka kuwa tajiri atafanyaje???

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Месяц назад

    Baadhi ayasemayo ni kweli, 😅Yesu hajalibu mtu wala Mungu hajalibu mtu, hapo umekosea, huyu jamaa anafaa kuwa Comedian

  • @K-go1qj
    @K-go1qj Месяц назад

    Mabus ni ushindani na akili na sio ushirikina

  • @K-go1qj
    @K-go1qj Месяц назад

    Wazungu ni matajiri na wala hawachinji,hya ya kuchinja ni huku Africa

  • @shadrackmussa8197
    @shadrackmussa8197 Месяц назад

    Ipm umepotoka wewe Rudi uislamuni ukristo huuwezi

  • @user-os1hl9yz7c
    @user-os1hl9yz7c Месяц назад

    Kafala ya kweli ni niya Yesu tu msalabani acha upotofu

  • @HimeldaMboya
    @HimeldaMboya Месяц назад

    Acha kudanganya watu kafara ni ya yesu kristo peke yake yeye hafananishwi na mnyama

    • @DanKanu-ox4hx
      @DanKanu-ox4hx Месяц назад

      Mbona hamuelewi huyu mhubiri kuchinja kwa ajili ya kusaindia maiskini ni vizuri jameni

    • @samwelilulandala2384
      @samwelilulandala2384 Месяц назад

      Mungu akupe ufahamu!