Kafara (kutoka neno la Kiarabu) ni kitu chochote kinachotolewa kuwa ni sadaka kwa Mwenyezi Mungu, kwa miungu, kwa pepo au kwa mizimu ili kuepuka balaa, madhara na maafa au kupata fadhili fulani.
Nimekuskiza Sana na nmekuelewa, Kuna ukweli mtupu apo kwa kuchinja ila utaratibu na maelekezo ya kanuni ya kafara ipasavyo ndio siri kubwa ambayo hatuelewi
Kafara (kutoka neno la Kiarabu) ni kitu chochote kinachotolewa kuwa ni sadaka kwa Mwenyezi Mungu, kwa miungu, kwa pepo au kwa mizimu ili kuepuka balaa, madhara na maafa au kupata fadhili fulani.
Mungu ni mungu wa kanuni nakubar sana
Hernandez John Davis Jason Rodriguez Barbara
Uko vzr ipm mpumbavu hawezi kuelewa tafuta hekima utaelewa mungu azidi kukubariki ipm
Nakubari kaka
Kaka naomba unielekeze sadaka ya kuchinja inatolewaje???
Nakuelewa
Anaeuliza maswali yuko smart sana
mungu akuzidishie nguvu
Nimekuskiza Sana na nmekuelewa, Kuna ukweli mtupu apo kwa kuchinja ila utaratibu na maelekezo ya kanuni ya kafara ipasavyo ndio siri kubwa ambayo hatuelewi
Mungu hakubariki sana
Amen
Kabisa Amen
Nakupenda kinoma
Kweli prophet
Nikweli
Ayo yakuchinja umenikumbusha mazur sana 100:%
Wasikuchoshe bwana😂😂😂😂
Zijaribuni kila roho
Na maskini akitaka kuwa tajiri atafanyaje???
Atachinja nn kwakina nan
Baadhi ayasemayo ni kweli, 😅Yesu hajalibu mtu wala Mungu hajalibu mtu, hapo umekosea, huyu jamaa anafaa kuwa Comedian
Mabus ni ushindani na akili na sio ushirikina
Wazungu ni matajiri na wala hawachinji,hya ya kuchinja ni huku Africa
Unajuaje awachinji
@@DanKanu-ox4hx we uoni buza ilitulia
😂😂
Ipm umepotoka wewe Rudi uislamuni ukristo huuwezi
Auijielewi
Kafala ya kweli ni niya Yesu tu msalabani acha upotofu
Nawe utamtoa nani,yesu hayupo
Mungu akupe ufahamu, soma vizuri torati
Acha kudanganya watu kafara ni ya yesu kristo peke yake yeye hafananishwi na mnyama
Mbona hamuelewi huyu mhubiri kuchinja kwa ajili ya kusaindia maiskini ni vizuri jameni
Mungu akupe ufahamu!