BAJAJI 03

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 20

  • @rachaelmapenzi8747
    @rachaelmapenzi8747 Год назад

    Kipusa usituharibie kiswahili chetu hatuongei ivo wakenya bwanaa

  • @martinrafael8959
    @martinrafael8959 2 года назад

    Safi sana stor nzuli

  • @asmatabdallah1368
    @asmatabdallah1368 Год назад

    Mimi mpaka Sasa sielewi kwani huyo kipusa Kenya ndio kwao au maana mwanaume anasema alienda kutafuta maisha lakin huyo kipusa anavyo ongea kana kwamba siyo Mtz😂😂😂

  • @sherryeverest2522
    @sherryeverest2522 2 года назад

    Ahsante sana kwa movie nzr yenye mafunzo

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 2 года назад

    Pole sana dd ilaa wanaume mungu anawaona kwakeli😭😭🙏🙏

  • @ashamohamed3164
    @ashamohamed3164 2 года назад

    Acha kutuaribia lugha yetu...

  • @yalala3557
    @yalala3557 2 года назад +2

    Wow🥰🥰🥰

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 2 года назад

    Woow maisha yamebdlka🥰🥰🥰

  • @JohsnessGaspard
    @JohsnessGaspard Год назад

    Mwamba humu nimekuelewa kinoma gonga like kama na wewe unahisia kama zangu

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics 2 года назад

    Kazi mzuri sana

  • @christianconrad5709
    @christianconrad5709 2 года назад

    Kadogoo ni fire

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 2 года назад

    Wenye magari pikipiki bhajali za biasharaa wangekuwa wanarogwaaa bs wengi wangekufaa kweliii ..yani huyu dada na mdogo wake akili kisodaaa.

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 2 года назад

    Bg ako kaxi unaendaa kumpa kazi huna helaa siatakukunjaaa wewe

  • @mayayatv5045
    @mayayatv5045 2 года назад

    Kali sana

  • @Nyangondeog
    @Nyangondeog 2 года назад

    Mambo ni mazur🙏🙏🙏

  • @manigajwamipango9491
    @manigajwamipango9491 2 года назад

    Hii movie ni 🔥🔥🔥

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 2 года назад

    Hayaaa ungeuzaa hiyo gari ungefika hapo ulipo?saingine sumameni kwandoa zenu huyo dada alitaka pesaa kisha akutimue

  • @jumakandy2075
    @jumakandy2075 2 года назад

    Huyu kipusa hatari

  • @saidaabudula565
    @saidaabudula565 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 unatudhalikisha bhn s wanaume unamkimbiaje mwanamke

  • @youngzubelyzubely2288
    @youngzubelyzubely2288 2 года назад

    Ety ukrain na urusi