Five pastors for what? I am married to one of the deep state men and went through exactly what this family is going through. One thing I can tell you for free, It was a big mistake to call the governor here before the family was delivered first. When the woman is delivered, the man gets delivered too.......then slowly things start working until the man gets back to his senses and gets prayed too. Ain't easy to fight the devil with a wicked annoiting
Jay don't give up to help mama Derrick, plz connect mama Derrick with pastor who prayers for ktioo she is powerful this family they need deep deliverance from evil alter and whichcraft 😢😢😢
Saa ingine maombi ya private inaweza Si lazima muite yule mtu mnaombea. Imani ya mungu inaweza in Jesus name. I love your show true k. Mko juu sana nawapenda kutoka kisii
MAMA derick and Joy dont give up,keep praying for Baba derick. Mama Derick please enda kanisa za kiroho inaonekana kule umeishi kwenda ni kanisa za Dini ndio sababu hujawahi jua baba derick ameweka madhabahu ya worshipping idols. Ungekuwa kanisa ya kiroho hata ingeota uone yeye ako na idols hata hiyo secret room ungekuwa ushafunuliwa na mungu,lakini kama mahali ulikuwa unaabudu madhabahu hayo na mchungaji hakuna uwezo wa kuaribu ufalme wa mungu utaishi hapo hata huwezi jua kuna siri za adui. Mungu akusaidie kufunga na kuomba
God the way you had mercy with my mother have mercy upon the gorvernors my dad was behaving the same so continue praying thanks mama Derrick kwa utulivu don’t argue sio kupenda kwa gorvernors May God deliver you from all this my junior sister rudi kwako
NO NO NOOOP. IF HE WAS AFTER MONEY AND FAME, HE COULD HAVE RUN AWAY OR FALL DOWN AFTER KUONA PISTOL BEING DIRECTED TO HIM. AMINI MUNGU WACHA KUA KIGEUGEU.
Deliverance comes from one's heart my dear,even if the pastor does it and the person has not repented his or her sins it's in vain,whether a chain of pastors or one
This governor ls humble and loves his family , only the demons placed in him troubles him. In the name of jesus, may this family have peace and be together the way they used to be. May the mighy power of jesus and the blood of jesus christ cover this family. Amen
A true pastor should NEVER touch a womans llegs today im on the side of Governer....Directo J nakupenda sana sana but i fully love your shows but this one noooooo
Mimi am with governor on this,not every priest means good.kwanza huyu anaanza n kubishana instead of praying direct. Let me continue with my rosary prayers it does magic 🙏✨
Uyu mzee wakati aliuliza mko na nani alisense danger but moto wa mungu ushuka kila mahali governer tumeanza safari ya kujimbua kwako na utatii katika jina la yesu kristo
Ii koti mjue mzinga uko ndani jay and mum family so b careful mungu azidi kuwapigania what goes around comes around b strength and may the lord gives u wisdom patience and courage were u become weary b strength
May God delivered this man in Jesus name he is not alone
I wish angeomba aki kemea he prayed about peace he needs deliverance ooo my God
Mama Derrick no prayer goes to waste, the lord has heard your cry, Derrick's dad will be set free in jesus Christ name.
Wewe pastor start praying wacha kuongea wewe omba please tumia hekima😢😢😢😢😢
HUYU SIONI KAMA NI PASTOR,HUYU ALITUMWA NA TEACHER HATA TEACHER KUTOROKA ALIJIFANYA.HUYU N WA MASHETANI PIA
Look for 5pastors and pray in the mansion when the governor isn't around..
Five pastors for what? I am married to one of the deep state men and went through exactly what this family is going through. One thing I can tell you for free, It was a big mistake to call the governor here before the family was delivered first. When the woman is delivered, the man gets delivered too.......then slowly things start working until the man gets back to his senses and gets prayed too. Ain't easy to fight the devil with a wicked annoiting
Yes .wakaombee huko kwa nyumba na serious pastors kama governor hayuko .
Yes God bless this pastor pls joy napenda mungu😅😢
Big noooooo to this pastor, fake pastor jay ....yale amewatch ndio anaongea.
i love these poster bcoz of his courage let clap for him guys 👋👋👋
Jay don't give up to help mama Derrick, plz connect mama Derrick with pastor who prayers for ktioo she is powerful this family they need deep deliverance from evil alter and whichcraft 😢😢😢
That one used something like oil from her hands so we nobody knew what she mixed with oil
Governor amenichekesha sana leo he is a comedian 😂😂😂😂😂
Saa ingine maombi ya private inaweza Si lazima muite yule mtu mnaombea. Imani ya mungu inaweza in Jesus name. I love your show true k. Mko juu sana nawapenda kutoka kisii
Gov was like why are you clapping 😂😅😂😅😂😅😂
Hapo kwa gun
MAMA derick and Joy dont give up,keep praying for Baba derick.
Mama Derick please enda kanisa za kiroho inaonekana kule umeishi kwenda ni kanisa za Dini ndio sababu hujawahi jua baba derick ameweka madhabahu ya worshipping idols.
Ungekuwa kanisa ya kiroho hata ingeota uone yeye ako na idols hata hiyo secret room ungekuwa ushafunuliwa na mungu,lakini kama mahali ulikuwa unaabudu madhabahu hayo na mchungaji hakuna uwezo wa kuaribu ufalme wa mungu utaishi hapo hata huwezi jua kuna siri za adui.
Mungu akusaidie kufunga na kuomba
Labda huyo pastor pia wako kimoja ndio haamini maombi
Mfunge mlango kwa nguvu kwanza mungeita more than two strong man of God
Mama Derrick continue with the prayers ,with God every thing is possible.
God does wonders, H has powers over everything, everything wanna be well Mama derrick 🙏
Thanks pastor for being strong maana governor is a no go zone
The Governer should be arrested the soonest possible
God the way you had mercy with my mother have mercy upon the gorvernors my dad was behaving the same so continue praying thanks mama Derrick kwa utulivu don’t argue sio kupenda kwa gorvernors May God deliver you from all this my junior sister rudi kwako
Jay huyu pastor apana amewatch kila kitu ma huenda yeye ndiye ametafuta jay ata iyo pesa labda ni yeye aliweka
I thought so
@@CharityWachira-zw9cfaki for real
Jay and pastor wako after pesa chini ya maji
Jy usichoke plz saidia mama Derick mungu atadenda
Roho mtakatifu anachoma roho chafu ya shetani. Leo pistol haitafanya kazi, in Jesus name. Amen 🙏
Amen
Mm sitaki mambo hayo....😅governor na slow motion 😅😅mama Derrick Amen 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Mr.Governor -Mimi siskii ni nyinyi anambia
Joy-Dad si usikize neno
Mr.Governor-Ni nyinyi amekujia sio mimi 😂😂😂😂
😀😀😃😁
True k we needs more pastors
All will be well.Prayers move mountains.Mum..have faith.
Jay cheer up... pray ...pray and ask the Holy Spirit to lift up your spirit...
Hapo so kwako, 😮😮😮hapo ni Kwa Jay.
HUYU PASTOR APANA JAY RUDISHA MTU WAKO HUYU NI MKORA AKO KAZI 😂😂 AMESKIA GOVERNOR AMEONA PESA TAKE CARE GUYS
Who are you to judge
Nashangaa@@Omobasitv2
True k I prefer pastor wa chisaka
NO NO NOOOP. IF HE WAS AFTER MONEY AND FAME, HE COULD HAVE RUN AWAY OR FALL DOWN AFTER KUONA PISTOL BEING DIRECTED TO HIM. AMINI MUNGU WACHA KUA KIGEUGEU.
Wewe kama hauna maneno ya kubariki wachungaji WA Mungu ...at least leave them.
Huyu governor anakuwa vile ground ni moto😂😂😂
Nguvu za mungu zimeingiana, you see how Governor ametoka.
Kivumbi leo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
When people are not in the Spirit of God, they reject to hear the word of God. Because he knows he has dark spell in him.
Amen Amen Amen mr governor accept you are not Young unachezea 80
It power in the prayer that made him take off
I too dont believe this pastor
Come down mama derick, remember your fighting with black powers trust in God and prayers is the 🗝️ in everything may God answer you mummy
Maombi isishie hapa continue praying with this pastor even when thing seems baf😊
Governor you made my day
True k ,mumeanza kutuboo sana juu mnaleta nabii ya wongo kwa studio inakaa kama nyinyi ni mnacon watu
You need more than one pastors who do deliverance.deliverance is not for everyone or pastors.you have to be anointed for that assignment.
Exactly 💯.
Deliverance comes from one's heart my dear,even if the pastor does it and the person has not repented his or her sins it's in vain,whether a chain of pastors or one
Am always praying for mama Derick
This one is of another. Level
Mr Governor eti usinishike soma ukisogea kule 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
prayers are powerful,,, yaani maombi imefanya gun to reject the bullet, hdi mzeee ametoka
The governor for me while asking what are you clapping for 😂😂😂😂😂
This governor ls humble and loves his family , only the demons placed in him troubles him. In the name of jesus, may this family have peace and be together the way they used to be. May the mighy power of jesus and the blood of jesus christ cover this family. Amen
Hawezi piga risasi,anajifanya
Nilisema hyu pasta ako after money nothing else,the truth pstr akuangi na kiherehere mingi
Dad alogwa na maid wa my mum imagine we prayed prayed till God did a miracle
Governor amesema hataki hio maneno😂😂
Amen amen in Jesus name
Jay i thought you deep in prayers,mbio nayo
Pastor has confidence in Jesus name
Joy and mum pray for youselves.i doubt this pastor
For the first am on governor's side.pastor mwitu😢
Jay,, tunakuamini lakini huyu pastor Nooooo
GOD work's in mysterious ways HIS wonder's to PERFORM
😂😂😂😂😂😂 Governor should have such respect
A true pastor should NEVER touch a womans llegs today im on the side of Governer....Directo J nakupenda sana sana but i fully love your shows but this one noooooo
Mzee ni kichwa ngumu mpaka hawezi kusikiliza neno 😂😂
🛑🛑🛑 YOU HAVE CONFUSED A BRILLIANT HAVARD STUDENT WITH NONSENSE. JOY REMAIN SANE. 🛑🛑🛑
Wewe jay huyu si pastor wa kweli anasukuma mtu na nguvu
again mwalimu ako ahead nyinyi ....jay jay ....mwalimu ndo anawacheza
Jay let family return home and invite Pastor huko
Jay yule pastor wa Ezekiel rose na Daniela was good.pastor Sammy, anaweza Fanyia mama derrick counseling. Huyu anakaa jokes
😈 🦹♀️ 👿, huyo governor ni ibilisi kabisa
I always love how governor speaks😂
😂😂😂😂me too haki?nimecheka!!!
Mr Jay teacher ako step ahead.nitasema na nitasema mnachezwa akili
Huyo jama is not a real pastor. Real pastor angeomba tu hata angekuwa mbali. Huwezi force mtu.
Wewe ndio pastor ya ukweli ama pastor anavaa nguo ndio ujui ni ya ukweli
Wewe na governor ni kitu moja
Who was forced to pray here? IF YOU DONT UNDERSTAND THE THINGS OF THE SPIRIT, KINDLY WACHA KUROPOKWA.
Nguvu ilimuisha kuvyatua risasi 😂😂😂
Huyo pastor c wa kweli so guys let us pray for mama Derrick's family......mungu WA mbinguni ataondoa nguvu za Giza in the name of jesus christ
Wewe team governor nenda uombe Na yeye
Jay uyu sio pastor kamili
Nuru na giza ni ngumi kupatana,let me remain in light
Mapepoooo
Mimi am with governor on this,not every priest means good.kwanza huyu anaanza n kubishana instead of praying direct.
Let me continue with my rosary prayers it does magic 🙏✨
Prayers move mountains and your family will be back peaceful is you accept Jesus
God is there hi is there to deliverance
Huyu Governor ni wa illuminate
Mama Derrick pleased let your daughter Joy handle this with her father. Stop going to Jays office now. This noise is too much.
Mama Derrick is a comedian😂😂
😂😂😂
Jay huyu muchungaji amewadanganya that not how the holy spirit works huyo mungaji anatafuta pesa
Ameitisha nani pesa. Co sijasikiaakiitisha . guys stop judging people
Ameitisha nani pesa. Can you clarify... Jay confirm if he has asked for money.
mzee hataki hiyo maneno 😀😀😀😀😀
Joy ulikua una blame jay sasa jioneee paka wewe amekuwekea qwa singo😢😢😢
Maombi hauwezi lazimisha mtu, ni mzuri umuombee hata kama hayuko karibu na wewe kama unajiaminingi wewe ni powerful pastor.
Kapisa
Jay please give chance to direct u to a good pastor to save this family he help our family pls jay try me
Jay kataza mzee kukam kwa ofisi yako na gun,he must respect your office
Uyu mzee wakati aliuliza mko na nani alisense danger but moto wa mungu ushuka kila mahali governer tumeanza safari ya kujimbua kwako na utatii katika jina la yesu kristo
Huyu mzee amewekwa mashetani,pia yeye anatoaga watu kafara ndiyo hataki ajulikane sababu ako na mambo ya shetani
Joy umechage kuvaa haki unaonyeshana uchi na vile tulikuwa tumekucongratulates juu ya heshima na kuvaa vizuri 😢
Governor amesema hataki hio manenos 😅😅😅😅😅
True k call pastor wa Deve
Light and darkness can't mix,lets wait and see
Pastor mkora kabisaa,
Sisi tupo Kigali Rwanda, tunaomba Jay unconnect na huyu Pastor Tafadhali sana
Ii koti mjue mzinga uko ndani jay and mum family so b careful mungu azidi kuwapigania what goes around comes around b strength and may the lord gives u wisdom patience and courage were u become weary b strength
😂😂😂😂😂😂Jay funga macho
Kunaanza kuwa vituko huku kwa Jay 🤣🤣🤣😳😳
Hahhahahaa mimi sigusangwi
😂😂😂😂😂 governor soma ukiwa uko
Mama Derick read Heb11:1 you need to have faith God is able to do all things if you believe in him
Mahombi ya mom Derrick mungu ana jibu peupe