Wapemba wenzangu me nawapenda sana MaashaAllah Kazi mzur hongereni wote mnaelimisha sana Pia Mnatufurahisha Na (Mnatufumbua macho) Lakn naomba Kuuliza Swali Kwan Huyu Dongo kaambiwa hizo kanzu Ndio zenye bahati/nyota kwake ?😅😅😅😅😂😂😂 pia Huyo Mau Mpemba Kaambiwa Hala hala na Hako kaseruni Kwan ni mganga??😅😅😅😅😂😅😅😂😅😂😂😅😅😂 Ila nawapenda sana wote ❤❤❤❤
Mau leo yamemkutaa jamani 😂😂😂😂
Hila hongera sana kwa mafuzo mazuri Mola awabarik nyote
mi wa mwisho jaman nipeni ayo maua yng mana w2 wote kl mmoja yeye wa kwanza
❤mafunzo yenu mzr yanatufurahisha cc Fulani,nafuatilieni sana from ymn sanaa
Haaaaaaaa mau ushajipoza haviku visha kua mwenyezi mungu awabariki nyote
Hongereni kwa kazi mzur Allah atawalipa kheri kw kutuelimisha.
Wapemba wenzangu me nawapenda sana MaashaAllah Kazi mzur hongereni wote mnaelimisha sana Pia Mnatufurahisha Na (Mnatufumbua macho) Lakn naomba Kuuliza Swali Kwan Huyu Dongo kaambiwa hizo kanzu Ndio zenye bahati/nyota kwake ?😅😅😅😅😂😂😂 pia Huyo Mau Mpemba Kaambiwa Hala hala na Hako kaseruni Kwan ni mganga??😅😅😅😅😂😅😅😂😅😂😂😅😅😂 Ila nawapenda sana wote ❤❤❤❤
Yaani dongo na kazu zake kila siku 😂😂😂😂😂
@@zulfahussein6784
Cjui ata azinunua wapi, au ana order maalum 😁😁
Waachiwe tu.....😂
ndoinavotakiwa tuambiane kwa hekma sio maneno ya shombo kwenye jamii haipendezi
Hongereni. Kutoka. Abudhabi
Hahaaa dongo unafrahisha et akil za wanawake ni dk mbil tu wasahau😅😅😅 kwl kabsa kaz nzr mashaaAllah ❤
Pia tuelewe kuwa mke nimke ndio kila kitu tusimfananishe mke na vitu vyengine mke ndio mwenzako ndio maisha yako
Havyekuwaaa🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂 fundi mau kwiiisha
Hilo nalo neno! Mawaiza yame mponza sasa shekh dongo rudi tena kwa mau ndoa yataka kuekwa sawa 🤔..
😂😂hahaha wee mau havyekua vipi ww siwajifanya kamange haya kama havyekua vitengeneze ss, ukaidi tu😂😂😂😂
Wallah nimecheka😂😂😂😂.ndiz kwa jiran😅😅😅😅😅
Good job may Allah bless all of you.,.....🤲🤲🤲
watatu jamn like kwa kazi nzur
Hee wal mepambiwa kweny jiko la mkaa lkn sfuria Lina macnzi mapyaa.. yaan ndo nmetambua wal umepikwa mbal apo umeinjikwa tuu.mau unanchekesha ww😂😂
Dongo maalim wape shule . Hujawahi kuniboaaaaa.
shukran kwa burdan naleta posa ya naomba
Duh!Halekuwa kweli kaka😢, nia nzuri lkn malengo yamebuna. Sipati picha ukionana na Dongo maskani. Lkn nafkiri sio mbaya fanya tena tuu ataelewa.😊
Mbna Naomba umeanza kulia kabla Mau hajaisifia ndizi
Sasa ww hujaona tukio kabla au??😅😂
Mtu aramba madole yote hayo iwe bure 2
Another banger🎉
Pole mau ila tumejifunza
Mau yahe macho makubwa usiyafumbe yafumbue 😅
Mzee mwinyi hatumuoni vipi
Fundi huwezeki tena weye yakhe hivi vitu cyo mchezo
Kobold naomba unaeeza sanaaaa
Ma Shaa allaha
Ndokwanza Leo najua kama mau anamacho makubwa kiasi icho
Saf sana
Kanzu halikoshwi hiloo aloo
Ngo'mbe wa maskin hazai
Shkmooo mau havyekuwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
OK safi san
Tumemmis Bi Suria
😂😂😂😂😂mau leo😂😂😂😂😂 kunyakanyaga
sema nini mau hapo hapo umeyatimba unasifia ndizi ya jirani😂
Duuuuh hii ni hatar
Amakwelii😀😀😀😀
Tunasbria Fumbua macho nyengine, leo ni ya nne tena, au bado hamja'act??
Kazi nzuri sana
Dah mfano wa haya yashanikuta
Naomba Kibendera❤❤❤❤
Naam
Nitumie account yako ili nije niwasalimu ZANZIBAR
Yasije ya kakukuta ya dongo, mke wa ngomani
Hevikuwa😂😂😂
Nimejifunza kitu, kwamba tuwe na tabia ya mara kwa mara kuwasifu wake zetu ili ikifika siku kama tumewakosea waone kwamba nitabia zetu kuwasifia.
nkongwe mau wadokowa aloo😂😂
Alhaj dongo mashallah 👏👊
Nice job congratulations
Kasifu chakula cha jirani😂😂
Mafunzo mazuri
SAALEQUE wallah 😂
Ati Havyekuwa😂😂😂😂😂😂😂😂
Dango wape darsa hao
Wakwanza
Wa pili wewe
@@irfanabdi8877 sekunde. 15. Mm. Wewe. 13
Makunde na mwinyi mbn hatuwaon
Naomba hhhh ety kutu la ngombe hhhhhhhhhhhh
Helekuwa😂😂😂😂😂😅
Havyekuwa😂😂
🕙 tumemis uongo wa kale
Ila kitatange nashauri apewe nafasi aingie nae
Wapemba nawauliza maana ya kichinchiri ni nn
mtoto msuri yani mrembo 😅😅
Mtt mzuri
@@aminaothuman6784 Okee maana humsikia kiswabi Sana akisema kumbe ni mtoto zumzum 😁
Ok
Wajuaa kilichonifurahishaa kuaa mau atakaa fanya jamboo zurii lakini ajutee hahaaaaaaa ilaa hakukosea mau ushauri wa dongo unkuja siku mbayaa
Ndugu zangu chati inapanda hengereni sana
😂😂😂😂 mau kimemramba
MASHAALLAH
Mau jmn anachekesha
Mashaallah safi san
heheheheheheh dah
Ujumbe maridhawa
Wikipedia safari nbado 👀
Weee. Mau. Weee. Ubuku. Huo
Yuko wapi suria jamani mbona munamtenga sasa
Ila dongo nakukubal sana
😁😁😁😁😁
🤙🤙🤙🤙🤙
😂😂😂❤❤❤❤❤😊😊😊😊
Nipo hapa nasubiri ya ep 21
Mau mijicho
Sawa
Nice ❤
😂😂😂❤❤❤❤❤
Havyeku 😂😂😂😂
Kalikoroga mau 😀😀😀
😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂
😅😅
OK safi san
🤣🤣🤣🤣🤣