#20 - SIFA - MAU MPEMBA - FUMBUA MACHO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024

Комментарии • 101

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 Год назад +7

    Mau leo yamemkutaa jamani 😂😂😂😂
    Hila hongera sana kwa mafuzo mazuri Mola awabarik nyote

  • @adnanhullay
    @adnanhullay Год назад +3

    mi wa mwisho jaman nipeni ayo maua yng mana w2 wote kl mmoja yeye wa kwanza

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m Год назад +2

    ❤mafunzo yenu mzr yanatufurahisha cc Fulani,nafuatilieni sana from ymn sanaa

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад +2

    Haaaaaaaa mau ushajipoza haviku visha kua mwenyezi mungu awabariki nyote

  • @NassorKhamis-uo4ty
    @NassorKhamis-uo4ty Год назад +2

    Hongereni kwa kazi mzur Allah atawalipa kheri kw kutuelimisha.

  • @zuhurazuh516
    @zuhurazuh516 Год назад +6

    Wapemba wenzangu me nawapenda sana MaashaAllah Kazi mzur hongereni wote mnaelimisha sana Pia Mnatufurahisha Na (Mnatufumbua macho) Lakn naomba Kuuliza Swali Kwan Huyu Dongo kaambiwa hizo kanzu Ndio zenye bahati/nyota kwake ?😅😅😅😅😂😂😂 pia Huyo Mau Mpemba Kaambiwa Hala hala na Hako kaseruni Kwan ni mganga??😅😅😅😅😂😅😅😂😅😂😂😅😅😂 Ila nawapenda sana wote ❤❤❤❤

    • @zulfahussein6784
      @zulfahussein6784 Год назад +1

      Yaani dongo na kazu zake kila siku 😂😂😂😂😂

    • @hamadmaliki0029
      @hamadmaliki0029 Год назад

      @@zulfahussein6784
      Cjui ata azinunua wapi, au ana order maalum 😁😁

    • @user-dp5ck2cz2i
      @user-dp5ck2cz2i Год назад

      Waachiwe tu.....😂

    • @altezzanzbar
      @altezzanzbar 9 месяцев назад

      ndoinavotakiwa tuambiane kwa hekma sio maneno ya shombo kwenye jamii haipendezi

  • @hapapetu7018
    @hapapetu7018 Год назад +4

    Hongereni. Kutoka. Abudhabi

  • @nassrasoud
    @nassrasoud Год назад +2

    Hahaaa dongo unafrahisha et akil za wanawake ni dk mbil tu wasahau😅😅😅 kwl kabsa kaz nzr mashaaAllah ❤

  • @jumasaid2895
    @jumasaid2895 Год назад +2

    Pia tuelewe kuwa mke nimke ndio kila kitu tusimfananishe mke na vitu vyengine mke ndio mwenzako ndio maisha yako

  • @binssoud1995
    @binssoud1995 Год назад +2

    Havyekuwaaa🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂 fundi mau kwiiisha

  • @user-og6jy1lq7w
    @user-og6jy1lq7w 10 месяцев назад +1

    Hilo nalo neno! Mawaiza yame mponza sasa shekh dongo rudi tena kwa mau ndoa yataka kuekwa sawa 🤔..

  • @SalumKhan-gt3go
    @SalumKhan-gt3go Год назад +2

    😂😂hahaha wee mau havyekua vipi ww siwajifanya kamange haya kama havyekua vitengeneze ss, ukaidi tu😂😂😂😂

  • @samiramohamed5925
    @samiramohamed5925 11 месяцев назад

    Wallah nimecheka😂😂😂😂.ndiz kwa jiran😅😅😅😅😅

  • @user-dp5ck2cz2i
    @user-dp5ck2cz2i Год назад +1

    Good job may Allah bless all of you.,.....🤲🤲🤲

  • @masturamohd4920
    @masturamohd4920 Год назад +9

    watatu jamn like kwa kazi nzur

  • @dashuu5295
    @dashuu5295 Год назад +1

    Hee wal mepambiwa kweny jiko la mkaa lkn sfuria Lina macnzi mapyaa.. yaan ndo nmetambua wal umepikwa mbal apo umeinjikwa tuu.mau unanchekesha ww😂😂

  • @binssoud1995
    @binssoud1995 Год назад +2

    Dongo maalim wape shule . Hujawahi kuniboaaaaa.

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 Год назад +4

    shukran kwa burdan naleta posa ya naomba

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150 Год назад +2

    Duh!Halekuwa kweli kaka😢, nia nzuri lkn malengo yamebuna. Sipati picha ukionana na Dongo maskani. Lkn nafkiri sio mbaya fanya tena tuu ataelewa.😊

  • @hamadmaliki0029
    @hamadmaliki0029 Год назад +1

    Mbna Naomba umeanza kulia kabla Mau hajaisifia ndizi

    • @Zumitv-c1g
      @Zumitv-c1g Год назад

      Sasa ww hujaona tukio kabla au??😅😂
      Mtu aramba madole yote hayo iwe bure 2

  • @engineerkhamis9275
    @engineerkhamis9275 Год назад +6

    Another banger🎉

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад +2

    Pole mau ila tumejifunza

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Год назад +2

    Mau yahe macho makubwa usiyafumbe yafumbue 😅

  • @saidjuma25
    @saidjuma25 Год назад +1

    Mzee mwinyi hatumuoni vipi

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336
    @abdullaabdullahmpakanjia2336 Год назад +2

    Fundi huwezeki tena weye yakhe hivi vitu cyo mchezo

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад +2

    Kobold naomba unaeeza sanaaaa

  • @mwanawetumwatumwa3000
    @mwanawetumwatumwa3000 10 месяцев назад

    Ma Shaa allaha

  • @saidahmada9118
    @saidahmada9118 Год назад

    Ndokwanza Leo najua kama mau anamacho makubwa kiasi icho

  • @irfanabdi8877
    @irfanabdi8877 Год назад +4

    Saf sana

  • @user-gk3wz8wb3t
    @user-gk3wz8wb3t Год назад +2

    Kanzu halikoshwi hiloo aloo

  • @BinWaalid-dk5sm
    @BinWaalid-dk5sm Год назад +2

    Ngo'mbe wa maskin hazai

  • @buch123xdo9
    @buch123xdo9 Год назад +2

    Shkmooo mau havyekuwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kassimmtwana8539
    @kassimmtwana8539 Год назад

    OK safi san

  • @hamadmaliki0029
    @hamadmaliki0029 Год назад +1

    Tumemmis Bi Suria

  • @fatmaabdala538
    @fatmaabdala538 Год назад

    😂😂😂😂😂mau leo😂😂😂😂😂 kunyakanyaga

  • @altezzanzbar
    @altezzanzbar 9 месяцев назад

    sema nini mau hapo hapo umeyatimba unasifia ndizi ya jirani😂

  • @user-zw8yf7vr1c
    @user-zw8yf7vr1c Год назад +2

    Duuuuh hii ni hatar

  • @RaisiFaza-bq8oe
    @RaisiFaza-bq8oe Год назад

    Amakwelii😀😀😀😀

  • @hamadmaliki0029
    @hamadmaliki0029 Год назад

    Tunasbria Fumbua macho nyengine, leo ni ya nne tena, au bado hamja'act??

  • @babdaubabdaubabdau8992
    @babdaubabdaubabdau8992 Год назад +2

    Kazi nzuri sana

  • @salimalriyami7779
    @salimalriyami7779 Год назад

    Dah mfano wa haya yashanikuta

  • @hamadially313
    @hamadially313 Год назад +3

    Naomba Kibendera❤❤❤❤

    • @NAOMBAOG
      @NAOMBAOG Год назад +1

      Naam

    • @hamadially313
      @hamadially313 Год назад

      Nitumie account yako ili nije niwasalimu ZANZIBAR

    • @hamadmaliki0029
      @hamadmaliki0029 Год назад

      Yasije ya kakukuta ya dongo, mke wa ngomani

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo Год назад +2

    Hevikuwa😂😂😂

  • @abdillahsleyyum2768
    @abdillahsleyyum2768 Год назад +2

    Nimejifunza kitu, kwamba tuwe na tabia ya mara kwa mara kuwasifu wake zetu ili ikifika siku kama tumewakosea waone kwamba nitabia zetu kuwasifia.

  • @altezzanzbar
    @altezzanzbar 9 месяцев назад

    nkongwe mau wadokowa aloo😂😂

  • @SubiraSalum-pq9vo
    @SubiraSalum-pq9vo Год назад +2

    Alhaj dongo mashallah 👏👊

  • @omarramadhan-dm7ce
    @omarramadhan-dm7ce Год назад +1

    Nice job congratulations

  • @jumasabour5886
    @jumasabour5886 7 месяцев назад

    Kasifu chakula cha jirani😂😂

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 Год назад

    Mafunzo mazuri

  • @tamimakhalfanikhani8403
    @tamimakhalfanikhani8403 Год назад +2

    SAALEQUE wallah 😂

  • @mpembainc
    @mpembainc Год назад

    Ati Havyekuwa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mohamedmkojanimashaallah7712
    @mohamedmkojanimashaallah7712 Год назад +2

    Dango wape darsa hao

  • @hapapetu7018
    @hapapetu7018 Год назад +4

    Wakwanza

  • @user-zw8yf7vr1c
    @user-zw8yf7vr1c Год назад +1

    Makunde na mwinyi mbn hatuwaon

  • @sidegrenade2043
    @sidegrenade2043 Год назад +2

    Naomba hhhh ety kutu la ngombe hhhhhhhhhhhh

  • @aliymkuutv4367
    @aliymkuutv4367 Год назад +2

    Helekuwa😂😂😂😂😂😅

  • @user-jm2uh6mk3g
    @user-jm2uh6mk3g 3 дня назад

    Havyekuwa😂😂

  • @idrisaseiph3499
    @idrisaseiph3499 Год назад +2

    🕙 tumemis uongo wa kale

  • @jumasaid2895
    @jumasaid2895 Год назад +1

    Ila kitatange nashauri apewe nafasi aingie nae

  • @alidingongo443
    @alidingongo443 Год назад +2

    Wapemba nawauliza maana ya kichinchiri ni nn

  • @abdilahiriyami
    @abdilahiriyami Год назад +2

    Wajuaa kilichonifurahishaa kuaa mau atakaa fanya jamboo zurii lakini ajutee hahaaaaaaa ilaa hakukosea mau ushauri wa dongo unkuja siku mbayaa

  • @salminijuma7746
    @salminijuma7746 Год назад +1

    Ndugu zangu chati inapanda hengereni sana

  • @alidingongo443
    @alidingongo443 Год назад +2

    😂😂😂😂 mau kimemramba

  • @boblimlim1044
    @boblimlim1044 Год назад +2

    MASHAALLAH

  • @zulekhahamad3167
    @zulekhahamad3167 Год назад

    Mau jmn anachekesha

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 Год назад

    Mashaallah safi san

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 Год назад +2

    heheheheheheh dah

  • @hamidyakoub6865
    @hamidyakoub6865 Год назад +1

    Ujumbe maridhawa

  • @ZakariaWambi-ot5sb
    @ZakariaWambi-ot5sb Год назад +2

    Wikipedia safari nbado 👀

  • @hapapetu7018
    @hapapetu7018 Год назад +4

    Weee. Mau. Weee. Ubuku. Huo

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Год назад +1

    Yuko wapi suria jamani mbona munamtenga sasa

  • @zulekhahamad3167
    @zulekhahamad3167 Год назад

    Ila dongo nakukubal sana

  • @maryamhamad3485
    @maryamhamad3485 Год назад +2

    😁😁😁😁😁

  • @mohammedkhamis75
    @mohammedkhamis75 Год назад +2

    🤙🤙🤙🤙🤙

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 Год назад +2

    😂😂😂❤❤❤❤❤😊😊😊😊

  • @richbird.123
    @richbird.123 Год назад +1

    Nipo hapa nasubiri ya ep 21

  • @fatimaalhabsii1728
    @fatimaalhabsii1728 Год назад

    Mau mijicho

  • @mohamedmkojanimashaallah7712
    @mohamedmkojanimashaallah7712 Год назад +2

    Sawa

  • @user-xg8rd1io2k
    @user-xg8rd1io2k Год назад

    Nice ❤

  • @zakomone7672
    @zakomone7672 Год назад +2

    😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @HamadKhamis-fv5ik
    @HamadKhamis-fv5ik Год назад

    Havyeku 😂😂😂😂

  • @kombokichwa815
    @kombokichwa815 Год назад

    Kalikoroga mau 😀😀😀

  • @aishaabdulla166
    @aishaabdulla166 Год назад +2

    😅😅😅😅😅😅

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 Год назад +2

    😂😂😂😂😂

  • @blackkfeezy916
    @blackkfeezy916 Год назад

    😅😅

  • @kassimmtwana8539
    @kassimmtwana8539 Год назад +1

    OK safi san

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 Год назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣