Mimi mwaka 2015 nilikua sina imani na mchegerwa napia kura yangu sijampa mungu anisamehe sana mchegerwa chapakazi ww ni wamphano wa kuingwa unaweza mungu akuogoze nipo nyuma yako ila pambana na swala la kipo asanta
Yaan sio wabunge sio mawaziri sio madiwani kazi zao ni kusifia tuuu serikal ya awamu ya 5 hadi kero wanaacha kuzungumzia mambo ya msingi kama haya wao ni kujikomba tuu
Halafu utakuta jitu linataka lipandishiwe mshahara.... Kazi halifanyi... Thubutu bora Mzee baba hakuna kuongeza mshahara asiyetaka kazi Ya serikali aiache.... Tu
Wanaume tunakazi jaman mtu umekwama hapo mwamke anakwambia wewe karia mimalaya yako uko mwanaume gani miezi yote hiyo auji nyumbani unafikili haki ya ndoa nitapewa na baba mwenye nyumba dah noma au tuma na yakutolea baby usisaau chips yai na take away jaman wanawake wa dizaini hii corona inawakosaje kwa mfano
..jaribu kuwaza Gift!machine zinaharibika..ikitoka hapo garage..ghrama!hao watu maisha yao je?hayo maji hayaonyeshi kupungua Leo au kesho..watakaaa sana!
Kila kitu raisi... Kwan hapo si pana diwan.. Mbunge... Mkuu wa wilaya... Mkoa... Waziri.. Mnamuonea tu rais wa watu si.... Atazimia kama wanao msaidia Ni manyumbu tu Ndio maana anawatumbuaga..... Yani bongo tunakwamishana wenyewe.... Aya hapo utakuta jitu Fulani lipo kwa ajili Ya kuhujumu tu
Nafikiri kunahuitaji wa kujenga fly over Kila mahali ambako kuna onekana kunamafuriko ktk barabara,au kujenga madaraja ya juu zaidi yenye kuruhusu maji yapite yaende yanakotaka
Ndo mna lijua leo ilo?mamba kiboko nikawaida tu rufiji kama vile masi nangombe . Kwa sisi warufiji nikama vile kupishana na mbuzi nang'ombe. Chamsingi mradi ukamilike na barabara zijenge.
@@africandreamchaser8676 wewe ni fisadi mwenzao swali gani ilo unauliza wewe, balabala mbovu ina miaka mbili, au wewe kiziwi, usilete ujinga na unaona watu wanaumia, na kuna mtu amezembea
@@bongobongo1755 sasa kujenga barabara ni kazi ya mbunge, diwani au serikali? au unataka hao wabunge na madiwani wajengee hela zao? KUWA TIMAMU KODOA JICHO VIZURI UTAMWONA MCHAWI
@@bongobongo1755 serikali imetoa hela una uhakika? Na kama imetoa imempa mbunge au diwani..? Huelewi kitu wewe ebu fatilia ujue hela zikitolewa huwa zinapelekwa wapi
Asilimia kubwa ya makandarasi nchini huwa wakipewa miradi ya barabara huwa hawajali barabara mbadala wanazo tengeneza ili magari yapite kwa muda nahata wakikuta magari yamekwama huwa wengi hawatoi msaada sijui hililimekaaje
Huyu muandishi nayo box kwel,we unataka barabara ijengwe kwa kiwango cha lami nawakati eneo lenyewe water table iko chini,hapo ngoma nzito hata ikisema uinue bara bara eneo lenyewe liko chini,uwez kupambana na nature chamsingi wapite kwa msimu na tahazari.
Mh. Mbunge mkiwa bungeni hua mnasifia Sana bila ya kuongelea adha Kama hizo, hayo ndio madhara yake, Kama nyinyi wabunge mmeshindwa kumueleza na kumsisitiza waziri husika juu ya barabara hiyo, yeye ata juaje? Tatizo lenu muda mwingi mnatumia kusifu zaidi ya kuelezea matatizo ya majimboni kwenu...
Cc watanzania hua tuna kua wajuaji sana,hayo magari kwanza sio ya rais swala jingine hayo magari yapo mengi ina maana yalifika hapo muda mmoja yakiwa yoote,,,kwann dereva wa gari la pili alipokuta gari la kwanza limezama kwann hakuacha kupitia hapo????,akarudi alikota na kutafuta njia nyngne akalazimisha apite tu na yy,unaona wanakufa na unaingiamo tU.
kama wanashindwa kuchangia ata kituo cha afya na wakati pesa za jimbo wanazo sembuse barabara ya lami au ata ya changalawe ya km 2 hakuna mbuge wa upinzani aliye jenga kwake. Sasa ndiyo wapewe nchi 🙄
@@pauldaniel5685acha ujinga wewe !! wapinzani siyo jukumu lao kujenga vituo vya afya na maendleo mengine. wenye jukumu lao ni chama kilicho madalakani na serikali yake. kazi ya vyama vya upinzani ni kuishauri na kuikosoa serikali tu na si vinginevyo.
Nani kamuona mamba kama mim😛
Barabara ijengwe kwa Lami na ihinuliwe!! Na sio ijengwe kwa Lami tu!!
Ikijengwa kwa Lami Bila Karavat maji si Bado yatapita tu juu!!
Mimi mwaka 2015 nilikua sina imani na mchegerwa napia kura yangu sijampa mungu anisamehe sana mchegerwa chapakazi ww ni wamphano wa kuingwa unaweza mungu akuogoze nipo nyuma yako ila pambana na swala la kipo asanta
Hatar sana
Nani amfunge paka kengere. Hapo tayari umesha towa ushauli tosha mwee tanzania nchi ya kisaniii ccm uyiiii au hooyii majizi ya ccm hooooyeee
Hao mamba ndo hao wanaotembea kwenye maji wakiwa wamebeba cement?
Do!! Hatariii
Yaan sio wabunge sio mawaziri sio madiwani kazi zao ni kusifia tuuu serikal ya awamu ya 5 hadi kero wanaacha kuzungumzia mambo ya msingi kama haya wao ni kujikomba tuu
Kwani huyo ninani?
Halafu utakuta jitu linataka lipandishiwe mshahara.... Kazi halifanyi... Thubutu bora Mzee baba hakuna kuongeza mshahara asiyetaka kazi Ya serikali aiache.... Tu
Unajishughulisha na nini?
Hadi howo imekaaa hapo kwel jau
Wanaume tunakazi jaman mtu umekwama hapo mwamke anakwambia wewe karia mimalaya yako uko mwanaume gani miezi yote hiyo auji nyumbani unafikili haki ya ndoa nitapewa na baba mwenye nyumba dah noma au tuma na yakutolea baby usisaau chips yai na take away jaman wanawake wa dizaini hii corona inawakosaje kwa mfano
😂😂😂😂😂😂😂😂😂hakikisha hujatelekeza wala kukataa mimba ndo utuombe hiyo dua🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Maskini 😪 magari miezi miwili
..jaribu kuwaza Gift!machine zinaharibika..ikitoka hapo garage..ghrama!hao watu maisha yao je?hayo maji hayaonyeshi kupungua Leo au kesho..watakaaa sana!
Dah ... Waziri wa ujenzi anaifahamu hiyo kitu ? Yaan mamba NI wengi kuliko watu !!!
Haya magari yaliingia kwa wakati mmoja au sielewi coz mengi AF baadhi yamekwamia sehem moja kabisa
Mwenyewe ndo nawaza hivyo hivyo yamekwamaje yote kwa wakati mmoja
Madereva Bangi
Tena sio kidogo
Hakili nayo ni Mali sometimes
Kila kitu raisi... Kwan hapo si pana diwan.. Mbunge... Mkuu wa wilaya... Mkoa... Waziri.. Mnamuonea tu rais wa watu si.... Atazimia kama wanao msaidia Ni manyumbu tu Ndio maana anawatumbuaga..... Yani bongo tunakwamishana wenyewe.... Aya hapo utakuta jitu Fulani lipo kwa ajili Ya kuhujumu tu
Acheni unafiki hakuna mto hapo
Duh...! Miezi miwili...!??!!!
Duh changamoto kubwa Sana,poleni ndgu zetu
Nafikiri kunahuitaji wa kujenga fly over Kila mahali ambako kuna onekana kunamafuriko ktk barabara,au kujenga madaraja ya juu zaidi yenye kuruhusu maji yapite yaende yanakotaka
Ndo mna lijua leo ilo?mamba kiboko nikawaida tu rufiji kama vile masi nangombe . Kwa sisi warufiji nikama vile kupishana na mbuzi nang'ombe. Chamsingi mradi ukamilike na barabara zijenge.
Mmh! Noma
Umehujumu Uchumi
Hi tz au msumbiji? Mi mgeni sitokagi chuga
Poleni jamani , Kama mpenzi wa vitu vya asilia 🙄
Hahaha
Miezi miwili,,,,,,,,hatari huenda siyo awamu hii ya tano hahahahahahahahahahahahah
jamani raisi si atachoka yani watu wana kula mishahala tu, mbunge yupo yupo diwani aeleweki yani wahusika wapowapo tu, vitabi tu bure kabisa
so wafanyaje sasa? watumie hela zao au wazuie mvua..?
@@africandreamchaser8676 wewe ni fisadi mwenzao swali gani ilo unauliza wewe, balabala mbovu ina miaka mbili, au wewe kiziwi, usilete ujinga na unaona watu wanaumia, na kuna mtu amezembea
@@bongobongo1755 sasa kujenga barabara ni kazi ya mbunge, diwani au serikali? au unataka hao wabunge na madiwani wajengee hela zao? KUWA TIMAMU KODOA JICHO VIZURI UTAMWONA MCHAWI
@@africandreamchaser8676 serikali inatoa hela awa magubegube kazi yao, ni kuakikisha kazi inafanywa watu wamelala, au wewe mmoja wao sikuelewi
@@bongobongo1755 serikali imetoa hela una uhakika?
Na kama imetoa imempa mbunge au diwani..? Huelewi kitu wewe ebu fatilia ujue hela zikitolewa huwa zinapelekwa wapi
Hawa madereva wote wandali mwenzao kakwama wanaona hakupita vizuri na mwingine anajaribu tena
endeleeni kuunga mkono juhudi
Asilimia kubwa ya makandarasi nchini huwa wakipewa miradi ya barabara huwa hawajali barabara mbadala wanazo tengeneza ili magari yapite kwa muda nahata wakikuta magari yamekwama huwa wengi hawatoi msaada sijui hililimekaaje
Huyu muandishi nayo box kwel,we unataka barabara ijengwe kwa kiwango cha lami nawakati eneo lenyewe water table iko chini,hapo ngoma nzito hata ikisema uinue bara bara eneo lenyewe liko chini,uwez kupambana na nature chamsingi wapite kwa msimu na tahazari.
Umenikumbusha mbal san kka ulposema "Water table"
Duuuuuuu poleen
Nyie ilikuaje magari yote yamekwama hapo? Mbona sielewi? Poleni sana
Kila MTU alikua anahic yy anaweza kupita so anasema ngoja nijarib so akijarib ndo anakwama.
Mh. Mbunge mkiwa bungeni hua mnasifia Sana bila ya kuongelea adha Kama hizo, hayo ndio madhara yake, Kama nyinyi wabunge mmeshindwa kumueleza na kumsisitiza waziri husika juu ya barabara hiyo, yeye ata juaje? Tatizo lenu muda mwingi mnatumia kusifu zaidi ya kuelezea matatizo ya majimboni kwenu...
2:37 Jinsi ya kutembea kwenye mto wenye mamba
2.37 ndo nini? naomba kujua
@@ishamageta7506 ukikuta mto una Mamba wengi tembea kwa kunyata kama jamaa huyu. Kama unachoma mguu chini kwa timing
Wabunge wenu wanasifia kuwa nchi ipo kwenye Kasi kubwa na ya ajabu kwenye maendeleo
Yeah Bro Rome were never built in one day good things take a time be patient,the he is trying
What will one crocodile do to you
Nani ameona dangote cement imekwama🤔
Hao Mamba wakuapi wewe milad umeanza uongoo
Cc watanzania hua tuna kua wajuaji sana,hayo magari kwanza sio ya rais swala jingine hayo magari yapo mengi ina maana yalifika hapo muda mmoja yakiwa yoote,,,kwann dereva wa gari la pili alipokuta gari la kwanza limezama kwann hakuacha kupitia hapo????,akarudi alikota na kutafuta njia nyngne akalazimisha apite tu na yy,unaona wanakufa na unaingiamo tU.
Madereva ujuaj mwing
Bwana mkubwa umejitahid sana kutuelewesha ila mi cjakufaham apo unaongelea barabara au ujengewe daraja kwenye mto huo,
ruclips.net/video/s1lzy0eaGfs/видео.html
ruclips.net/video/s1lzy0eaGfs/видео.html
hata mimi sijamuelewa uyu mbunge wa rufiji utajengaji barabara penye mafuriko baada ya kujenga daraja.uyu mbunge ni zero brain
Faite enregistré vos bien mobilier et immobilièr pour la mise en vente ou location sur le site www.gamira.net
Du
ruclips.net/video/s1lzy0eaGfs/видео.html
tunawambia chagueni upinzani ndio utaleta mapinduzi makubwa ya maisha bora , bado nyie mmeng'ang'ana na ccm tu shauri yenu.
Kwan upinzan mvua hazitanyesha cjakuelewa
Upinzani upi huu wa akina zito mdee na mbowe kweli
kama wanashindwa kuchangia ata kituo cha afya na wakati pesa za jimbo wanazo sembuse barabara ya lami au ata ya changalawe ya km 2 hakuna mbuge wa upinzani aliye jenga kwake. Sasa ndiyo wapewe nchi 🙄
@@pauldaniel5685acha ujinga wewe !! wapinzani siyo jukumu lao kujenga vituo vya afya na maendleo mengine. wenye jukumu lao ni chama kilicho madalakani na serikali yake. kazi ya vyama vya upinzani ni kuishauri na kuikosoa serikali tu na si vinginevyo.