MTO UNA MAMBA, MAWASILIANO YAMEKATIKA "TUNAMUOMBA RAIS, MAGARI YANA MIEZI MIWILI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 74

  • @ommybizoone1000
    @ommybizoone1000 4 года назад +11

    Nani kamuona mamba kama mim😛

  • @florangido202
    @florangido202 4 года назад +2

    Barabara ijengwe kwa Lami na ihinuliwe!! Na sio ijengwe kwa Lami tu!!
    Ikijengwa kwa Lami Bila Karavat maji si Bado yatapita tu juu!!

  • @mussabuma8829
    @mussabuma8829 4 года назад

    Mimi mwaka 2015 nilikua sina imani na mchegerwa napia kura yangu sijampa mungu anisamehe sana mchegerwa chapakazi ww ni wamphano wa kuingwa unaweza mungu akuogoze nipo nyuma yako ila pambana na swala la kipo asanta

  • @jumaamfaume7905
    @jumaamfaume7905 4 года назад +3

    Hatar sana

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li 5 месяцев назад

    Nani amfunge paka kengere. Hapo tayari umesha towa ushauli tosha mwee tanzania nchi ya kisaniii ccm uyiiii au hooyii majizi ya ccm hooooyeee

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 4 года назад +3

    Hao mamba ndo hao wanaotembea kwenye maji wakiwa wamebeba cement?

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 4 года назад

    Do!! Hatariii

  • @thadeitesha8137
    @thadeitesha8137 4 года назад +10

    Yaan sio wabunge sio mawaziri sio madiwani kazi zao ni kusifia tuuu serikal ya awamu ya 5 hadi kero wanaacha kuzungumzia mambo ya msingi kama haya wao ni kujikomba tuu

  • @modestusndunguru7183
    @modestusndunguru7183 4 года назад +1

    Halafu utakuta jitu linataka lipandishiwe mshahara.... Kazi halifanyi... Thubutu bora Mzee baba hakuna kuongeza mshahara asiyetaka kazi Ya serikali aiache.... Tu

  • @aliykibabe9033
    @aliykibabe9033 4 года назад +6

    Hadi howo imekaaa hapo kwel jau

  • @worldrapamako3960
    @worldrapamako3960 4 года назад +3

    Wanaume tunakazi jaman mtu umekwama hapo mwamke anakwambia wewe karia mimalaya yako uko mwanaume gani miezi yote hiyo auji nyumbani unafikili haki ya ndoa nitapewa na baba mwenye nyumba dah noma au tuma na yakutolea baby usisaau chips yai na take away jaman wanawake wa dizaini hii corona inawakosaje kwa mfano

    • @Aysha-ms3ln
      @Aysha-ms3ln 4 года назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂hakikisha hujatelekeza wala kukataa mimba ndo utuombe hiyo dua🤣🤣🤣🤣🤣

    • @allenmrema2909
      @allenmrema2909 4 года назад

      😂😂😂

  • @giftmlange3327
    @giftmlange3327 4 года назад +1

    Maskini 😪 magari miezi miwili

    • @jacobmakono389
      @jacobmakono389 4 года назад

      ..jaribu kuwaza Gift!machine zinaharibika..ikitoka hapo garage..ghrama!hao watu maisha yao je?hayo maji hayaonyeshi kupungua Leo au kesho..watakaaa sana!

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 года назад

    Dah ... Waziri wa ujenzi anaifahamu hiyo kitu ? Yaan mamba NI wengi kuliko watu !!!

  • @kizaanthony9162
    @kizaanthony9162 4 года назад +2

    Haya magari yaliingia kwa wakati mmoja au sielewi coz mengi AF baadhi yamekwamia sehem moja kabisa

  • @modestusndunguru7183
    @modestusndunguru7183 4 года назад

    Kila kitu raisi... Kwan hapo si pana diwan.. Mbunge... Mkuu wa wilaya... Mkoa... Waziri.. Mnamuonea tu rais wa watu si.... Atazimia kama wanao msaidia Ni manyumbu tu Ndio maana anawatumbuaga..... Yani bongo tunakwamishana wenyewe.... Aya hapo utakuta jitu Fulani lipo kwa ajili Ya kuhujumu tu

  • @samwelimallya3305
    @samwelimallya3305 4 года назад

    Acheni unafiki hakuna mto hapo

  • @mikemnyamwezi7856
    @mikemnyamwezi7856 4 года назад

    Duh...! Miezi miwili...!??!!!

  • @josephatmanyama8973
    @josephatmanyama8973 4 года назад +1

    Duh changamoto kubwa Sana,poleni ndgu zetu

  • @sabatomjungu9727
    @sabatomjungu9727 4 года назад +1

    Nafikiri kunahuitaji wa kujenga fly over Kila mahali ambako kuna onekana kunamafuriko ktk barabara,au kujenga madaraja ya juu zaidi yenye kuruhusu maji yapite yaende yanakotaka

  • @reinampona69
    @reinampona69 4 года назад

    Ndo mna lijua leo ilo?mamba kiboko nikawaida tu rufiji kama vile masi nangombe . Kwa sisi warufiji nikama vile kupishana na mbuzi nang'ombe. Chamsingi mradi ukamilike na barabara zijenge.

  • @jumaayubu7184
    @jumaayubu7184 4 года назад

    Mmh! Noma

  • @andersonkyando5694
    @andersonkyando5694 4 года назад

    Umehujumu Uchumi

  • @shilebuyo5857
    @shilebuyo5857 4 года назад +1

    Hi tz au msumbiji? Mi mgeni sitokagi chuga

  • @grandmaempiresecret
    @grandmaempiresecret 4 года назад +1

    Poleni jamani , Kama mpenzi wa vitu vya asilia 🙄

  • @munuoisaack418
    @munuoisaack418 4 года назад

    Miezi miwili,,,,,,,,hatari huenda siyo awamu hii ya tano hahahahahahahahahahahahah

  • @bongobongo1755
    @bongobongo1755 4 года назад +2

    jamani raisi si atachoka yani watu wana kula mishahala tu, mbunge yupo yupo diwani aeleweki yani wahusika wapowapo tu, vitabi tu bure kabisa

    • @africandreamchaser8676
      @africandreamchaser8676 4 года назад

      so wafanyaje sasa? watumie hela zao au wazuie mvua..?

    • @bongobongo1755
      @bongobongo1755 4 года назад

      @@africandreamchaser8676 wewe ni fisadi mwenzao swali gani ilo unauliza wewe, balabala mbovu ina miaka mbili, au wewe kiziwi, usilete ujinga na unaona watu wanaumia, na kuna mtu amezembea

    • @africandreamchaser8676
      @africandreamchaser8676 4 года назад

      @@bongobongo1755 sasa kujenga barabara ni kazi ya mbunge, diwani au serikali? au unataka hao wabunge na madiwani wajengee hela zao? KUWA TIMAMU KODOA JICHO VIZURI UTAMWONA MCHAWI

    • @bongobongo1755
      @bongobongo1755 4 года назад

      @@africandreamchaser8676 serikali inatoa hela awa magubegube kazi yao, ni kuakikisha kazi inafanywa watu wamelala, au wewe mmoja wao sikuelewi

    • @africandreamchaser8676
      @africandreamchaser8676 4 года назад

      @@bongobongo1755 serikali imetoa hela una uhakika?
      Na kama imetoa imempa mbunge au diwani..? Huelewi kitu wewe ebu fatilia ujue hela zikitolewa huwa zinapelekwa wapi

  • @captaincloud7youngpol692
    @captaincloud7youngpol692 4 года назад

    Hawa madereva wote wandali mwenzao kakwama wanaona hakupita vizuri na mwingine anajaribu tena

  • @peterjoseph8780
    @peterjoseph8780 4 года назад +1

    endeleeni kuunga mkono juhudi

  • @ahmedmsangi1653
    @ahmedmsangi1653 4 года назад

    Asilimia kubwa ya makandarasi nchini huwa wakipewa miradi ya barabara huwa hawajali barabara mbadala wanazo tengeneza ili magari yapite kwa muda nahata wakikuta magari yamekwama huwa wengi hawatoi msaada sijui hililimekaaje

  • @valencevalerian3037
    @valencevalerian3037 4 года назад

    Huyu muandishi nayo box kwel,we unataka barabara ijengwe kwa kiwango cha lami nawakati eneo lenyewe water table iko chini,hapo ngoma nzito hata ikisema uinue bara bara eneo lenyewe liko chini,uwez kupambana na nature chamsingi wapite kwa msimu na tahazari.

  • @elizamwaigombe2457
    @elizamwaigombe2457 4 года назад +1

    Duuuuuuu poleen

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 4 года назад +1

    Nyie ilikuaje magari yote yamekwama hapo? Mbona sielewi? Poleni sana

    • @hanankhalifa8309
      @hanankhalifa8309 4 года назад

      Kila MTU alikua anahic yy anaweza kupita so anasema ngoja nijarib so akijarib ndo anakwama.

  • @solemba595
    @solemba595 4 года назад

    Mh. Mbunge mkiwa bungeni hua mnasifia Sana bila ya kuongelea adha Kama hizo, hayo ndio madhara yake, Kama nyinyi wabunge mmeshindwa kumueleza na kumsisitiza waziri husika juu ya barabara hiyo, yeye ata juaje? Tatizo lenu muda mwingi mnatumia kusifu zaidi ya kuelezea matatizo ya majimboni kwenu...

  • @KaziDepartment
    @KaziDepartment 4 года назад +1

    2:37 Jinsi ya kutembea kwenye mto wenye mamba

    • @ishamageta7506
      @ishamageta7506 4 года назад

      2.37 ndo nini? naomba kujua

    • @KaziDepartment
      @KaziDepartment 4 года назад +1

      @@ishamageta7506 ukikuta mto una Mamba wengi tembea kwa kunyata kama jamaa huyu. Kama unachoma mguu chini kwa timing

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 4 года назад

    Wabunge wenu wanasifia kuwa nchi ipo kwenye Kasi kubwa na ya ajabu kwenye maendeleo

    • @mohammedally2289
      @mohammedally2289 4 года назад

      Yeah Bro Rome were never built in one day good things take a time be patient,the he is trying

  • @24zjustin28
    @24zjustin28 4 года назад +1

    What will one crocodile do to you

  • @ummuadam2423
    @ummuadam2423 4 года назад +1

    Nani ameona dangote cement imekwama🤔

  • @hellenhuberth1467
    @hellenhuberth1467 4 года назад

    Hao Mamba wakuapi wewe milad umeanza uongoo

  • @andrewjulius3951
    @andrewjulius3951 4 года назад +3

    Cc watanzania hua tuna kua wajuaji sana,hayo magari kwanza sio ya rais swala jingine hayo magari yapo mengi ina maana yalifika hapo muda mmoja yakiwa yoote,,,kwann dereva wa gari la pili alipokuta gari la kwanza limezama kwann hakuacha kupitia hapo????,akarudi alikota na kutafuta njia nyngne akalazimisha apite tu na yy,unaona wanakufa na unaingiamo tU.

  • @sharifabdul6085
    @sharifabdul6085 4 года назад

    Bwana mkubwa umejitahid sana kutuelewesha ila mi cjakufaham apo unaongelea barabara au ujengewe daraja kwenye mto huo,

    • @anithathebosslady2026
      @anithathebosslady2026 4 года назад

      ruclips.net/video/s1lzy0eaGfs/видео.html

    • @anithathebosslady2026
      @anithathebosslady2026 4 года назад

      ruclips.net/video/s1lzy0eaGfs/видео.html

    • @bakarirashidi9533
      @bakarirashidi9533 4 года назад

      hata mimi sijamuelewa uyu mbunge wa rufiji utajengaji barabara penye mafuriko baada ya kujenga daraja.uyu mbunge ni zero brain

  • @etsgamiragamira6210
    @etsgamiragamira6210 4 года назад

    Faite enregistré vos bien mobilier et immobilièr pour la mise en vente ou location sur le site www.gamira.net

  • @eliankya3272
    @eliankya3272 4 года назад

    Du

  • @ramadhanimahongole8764
    @ramadhanimahongole8764 4 года назад +2

    tunawambia chagueni upinzani ndio utaleta mapinduzi makubwa ya maisha bora , bado nyie mmeng'ang'ana na ccm tu shauri yenu.

    • @agathathobias8690
      @agathathobias8690 4 года назад +1

      Kwan upinzan mvua hazitanyesha cjakuelewa

    • @eliankya3272
      @eliankya3272 4 года назад

      Upinzani upi huu wa akina zito mdee na mbowe kweli

    • @pauldaniel5685
      @pauldaniel5685 4 года назад

      kama wanashindwa kuchangia ata kituo cha afya na wakati pesa za jimbo wanazo sembuse barabara ya lami au ata ya changalawe ya km 2 hakuna mbuge wa upinzani aliye jenga kwake. Sasa ndiyo wapewe nchi 🙄

    • @ramadhanimahongole8764
      @ramadhanimahongole8764 4 года назад

      @@pauldaniel5685acha ujinga wewe !! wapinzani siyo jukumu lao kujenga vituo vya afya na maendleo mengine. wenye jukumu lao ni chama kilicho madalakani na serikali yake. kazi ya vyama vya upinzani ni kuishauri na kuikosoa serikali tu na si vinginevyo.